Msemaji wa sheikh wa mkoa wa Dodoma amemtaka mwenyekiti wa Bakwata wilaya ya Dodoma Ustadh Bashiru Omary Hussein Waendelee na jambo hili la mashindano ya qur.an Ktk Wilaya ya Dodoma na amemtaka asisikilize la mtu akaze kiatu kuhakikisha mashindano haya yanafika mbali
#usisahau_kusubscribe
Негізгі бет KAZA KIATU USISIKIE LA MTU! ENDELEA NA JAMBO HILI | MASHINDANO YA QUR,AN CHANG'OMBE_DODOMA
Пікірлер