Nakupenda sana mama angu wajina wangu mdonge mwenzangu Mmungu azidi kukulinda na husda za walimwengu akupe umri mrefu na afya njema amin nakukumbuka sana tangu niko mdogo makadara kwa khamis Ayoub unakuja tunafurahi tunakuja kukuangaliya mashaAllah ❤️❤️😘
@Boaz22
Жыл бұрын
Aisee Millard camera zako ni noma, very clear mpaka mtu unatamani interview isiishe, big up Millard and your Team
@peninashungu6633
Жыл бұрын
Vidox ni mwandishi mzuri Sana sijui kama anajijua anaongea vizur anahoji vizuri, umemtendea haki mama yetu kopa wetu😍😍😍
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
sana😍😍😍
@vidovidox2632
Жыл бұрын
Asante sana ❤🙏🏾
@eddiekajuna9160
Жыл бұрын
Vido jaribu kukuza kipaji has ktk kuhoji maswali. Ni muhimu ktk fani yako
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Yuko vizuri sana 💯
@messiahfeatures3994
Жыл бұрын
Huyu mama namkubali sana ni muelewa na muwazi sana
@janethedward4631
Жыл бұрын
Nakupenda Sana😘Mama yng anae MZARAU Mama alaaniwe na mcheza kwao Utunzwa
@laylatabdallah2796
Жыл бұрын
Uyo jamaa nimempenda anajua kuongea mashaallah
@mohamedhozi8110
Жыл бұрын
Umri umeenda huo washindwa nakushika udhu ukaswali bado wawaza kushirikiana na ibilisi tu..umejiandaa na nini kwa maisha ya akhera ama waona hizo nyimbo ndio utakwenda pewa nazo daftari lako kwa mkono wa kulia nazo muogope mungu umebakisha bonus tu jiandae Allah ameandaa siku nzito kuwa na mazingatio pepo ina kazi
@maryamabdallah3140
Жыл бұрын
Bi Khadija kumbe unajua mziki ni wa shetani...umefika muda wa kuyaacha haya Mambo urudi ktk njia nzuri.
@faizamohamed6993
Жыл бұрын
Akiacha wewe untamuabgalia pumba wewe...hebu fanya yako chuki tu na njaa inakuua
@ashurahaji4794
Жыл бұрын
Bila mziki ungemjua
@mohamedibrahim7732
Жыл бұрын
kabisa Nyanza kadija afaa kutubu Sana
@rahimalewe2835
Жыл бұрын
@@mohamedibrahim7732 kwani ww hufai kutubu ulipewa kitambo chako cha peponi
@officialsharifa
Жыл бұрын
Acha unabe mbinguni tutakwenda kwa neema tu
@stellah3844
Жыл бұрын
Mama zuchu nampenda💞💞💞💞💞💞💞🔥🔥🔥🔥🔥
@mhabimina4023
Жыл бұрын
Nice talk mama🔥👌
@fatumamakwaia1126
Жыл бұрын
Amina kabisa Mwenyenzi mungu atupe mwishoni
@didakalaule7840
Жыл бұрын
Mashallah mama ana sauti tamu mnooo Mashallah Mashallah
@sallysafisanakijanakazibut1688
Жыл бұрын
Bi khadija uko vizuri sana. Allah akufanyie wepesi
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Kuskia Qor'an njo Bora Zaidi Wala hiyo miziki haifai hatta 😎
@hafsamohamed8342
Жыл бұрын
Allah akuongoe wew pamoja na sisi🤲
@habibamorne3023
Жыл бұрын
Allah amuongoe kwani muziki ni halaki mnafik wewe toa jina Allah kwa upuzi Kama hizi
@peninashungu6633
Жыл бұрын
I LOVE YOU MAMA ZUUUUU CUTE AKE ❤️❤️❤️😍😍😍😍😍😍😍ANA UMRI MKUBWA ILA ANAVUTIA
@furahatarimo1095
Жыл бұрын
Hapendi mikorogo nampenda sana ni mcute balaa
@mwatumsaidi5104
Жыл бұрын
Nyumbani ni Nyumbani tu I love you zanzibar
@patrickndumba7855
Жыл бұрын
Damu ya mziki hongera Mama wa taifa....👏👏👏👏
@fatmasalim8293
Жыл бұрын
Nakupenda sana bi khadija mashallah ❤🥰🥰🥰🇴🇲👌
@irakozeaisha3308
Жыл бұрын
Allahumma Amiin. ALLAH BARIK
@mariamgodfrey53
Жыл бұрын
Kinachomfanya huyu mama awe na mvuto mpk kesho ni kwamba hajapaka mamikorogo alijikubali na rangi yake mashallah kababy face hakuna kitu inazeesha kama mikorogo.
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Ndio unaona hajazeeka huyo au umesahau kuvaa miwani?😂
@mariebenjamin5190
Жыл бұрын
@@Fear_Allah394ana miaka 60 . Ulitaka aweje?
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
@@mariebenjamin5190, Nikuulize ww unaesemq bado anamvuto. Isitoshe kwa miaka 60 kachakaa sana. Si mkorogo tu unaozeesha ulevi na uzinifu pia na waimbaji hayo ndio matendo yao wala asikudanganye mtu. Na kwa huyo Khadija tabia yake namjua vzr tangu anakaa kwa Alimsha.
@mwanaherhussani7425
Жыл бұрын
Mtu wa mungu na kichwa wazi Na hilo likifua lako upo wazi wewe mama kaa Kwa kutulia
@chunaamina878
Жыл бұрын
😂😂😂
@mwanaherhussani7425
Жыл бұрын
@@chunaamina878 sasa anasema mtu wa mungu na kishingo lake wazi kichwa wazi maumvi kibawo
@catherinekiwipa9271
Жыл бұрын
@@mwanaherhussani7425 du pole
@alisaida4080
Жыл бұрын
Love you mammy
@lailalaila8206
Жыл бұрын
nampenda sana mma khadja kopa
@subirajohn728
Жыл бұрын
Mama Zuchu❤️❤️❤️❤️❤️
@abdubakar5428
Жыл бұрын
Young Pioneer 👍
@nusrathmanyawa4501
Жыл бұрын
Mnavyosema aache music mumpe na njia ya kumpatia kipato manadhani hapendi kuacha?
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
good comment 🙏🙏🙏🙏
@Fear_Allah394
Жыл бұрын
Njia azitafute mwenyewe kwani hzo kamtafutia nani? Yyte anaemtegemea Allah humtosha.
@madamboss348
Жыл бұрын
Mama micheal❤❤
@metrinenyakoe1764
Жыл бұрын
Nakupenda sana hadija kopa mama zuchu
@user-id1me9ve1o
Жыл бұрын
Umri umeenda mama ludi kwa mola wako mlezi kwani maisha ya dunia hayana chochote 🥺 from Oman New 🇴🇲
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
👍
@najmanasoro1426
Жыл бұрын
Mh
@aishaz1
Жыл бұрын
Kwani kuna umri wa.kutubu mbona mna jidanganya eti anz kutubu ww ndo umwambie umri umeend umeeda wapi eti ??
@sallysafisanakijanakazibut1688
Жыл бұрын
Wewe hakuna mkamilifu. Kwani hukumsikia hapo anasema nini
@user-id1me9ve1o
Жыл бұрын
@@sallysafisanakijanakazibut1688 hee ulimsikiya nani akizungumzia ukamilifu hapa hata Anllah ametuusia kuzichunga limi zetu kabla huja jibu swali la mtu mwenye kuuliza tafakali kwanza kauliza nini au kasema Kauri gani...?
@piusphilip307
Жыл бұрын
,😂😂 huyu mama namfurahia sana anatumia akili sana
@safiayussuf9308
Жыл бұрын
Dadagu acha tena umri ushakutupa mkono. Kila jambo lina mwisho wke. Tubiya dadagu duniya sio kitu maisha mafupi sn
@nanaritho6850
Жыл бұрын
Weee uliyetubia unatafuta Nini huku you tube
@AfricanaTaarabTv.
Жыл бұрын
@@nanaritho6850 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@camejowayne5455
Жыл бұрын
Wewe unafanya Nini huku. Inawahusu?
@faizamohamed6993
Жыл бұрын
Nakupenda sana dadangu...wenye chuki watakufa siku si zao
@fatmamohamed372
Жыл бұрын
Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala uwache Tena. umri umekwenda na mauti huja ghafla ndugu yangu. tubia tubia tubia wakati bado unao . Na mtihani zaidi kizazi chote umekitia ktk mtihani Subhanallah . Allah akuhidini nyinyi na cc pamoja .Allahummaamiin.
@aminaally5436
Жыл бұрын
Kaabisa Allah akulip badal
@hassinaalharthi5984
Жыл бұрын
Fungua mambo ya mapishi Dar utapata saana.
@salamaignace7873
Жыл бұрын
Nakukubali sana 😍😍
@saidmwinyi7062
Жыл бұрын
Nampenda vidox blessed much blood
@happymniwa-pz6qx
Жыл бұрын
Zuchu anafanana na Mama sauti yake,safi sana
@vveronicamakori2297
Жыл бұрын
Have seen a handsome man 😘😍
@mashauriwegoro4575
Жыл бұрын
🔥🔥
@latifas.m3605
Жыл бұрын
Bi Khadija hodari Manshaa Allah
@rahimasaid6721
Жыл бұрын
Allah atupe khusnulkhaatimah Amiin
@aishaz1
Жыл бұрын
Umependeza sana dada Adija
@shabanizena2612
Жыл бұрын
Mungu akupe mwisho mwema
@neemafatu471
Жыл бұрын
Tubia Sasa mama ,muda umefika sasa.mshukuru Allah kakufikia umri huo jmn. Ebu turudini kwa mungu..
@rukiyyarukiyya6317
Жыл бұрын
❤❤❤💋💋💋
@bintqassimidarous1636
Жыл бұрын
Uo wakati ndo fumbo mama angu mana mpaka apo alhamdulillah ushakua mkubwa kama bado unahisi wakati bado basi uliobaki ni fumbo nivyema ungelisema hujafkiria kuacha mziki unaumri miaki 60 sasa yaliobaki ni fumbo allah atujaalie khusnil-khatma
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
👍😍
@tatu6484
Жыл бұрын
Allahuma Ameen M.etu mungu akupe mwisho mwema Insh'Allah
@nizigiyimanajaja9814
Жыл бұрын
Waoo ,karibu Burundi kwetu
@vendettawho6151
Жыл бұрын
❤❤
@aydajuma3333
Жыл бұрын
A.alaykum bi Khadija kwa Sasa umri unaenda mrudie mwenyezi mungu kwa kuwacha kuimba kwani kwa dini yetu ya kiislam haikubaliki
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
aha kumbe saut zuchu karithi ya mamake ila sura ya babake maana anamfanana sana babake ila saut yake mamake mtupu
@Mrschid958
Жыл бұрын
Maashaallah mumy 💕💕💕💕
@rehemafredrick7794
Жыл бұрын
Mama Khadija Kopa ❤
@jacquelinesamson
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤🎉
@adiventinapaul7910
11 ай бұрын
Mhhhhh ila watu mnapenda kuhukumu eti kifua wazMara Ohoo kofia, kuna watu mnatumia jina mwenyez mungu ila mna madhaifu kuliko hata uyu mama
@cheiknamouna2058
Жыл бұрын
Bila make up hapana na hizo nywele sasa kumbe mawigi yanatufichia mengi🤣🤣🙌
@zulfatabdallah7942
Жыл бұрын
Hahahaha
@juliennenzeyimana3274
Жыл бұрын
Bi kidude bhana
@rahmasuleiman586
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Anauzuri bila hta makeup pia
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatumamakwaia1126
Жыл бұрын
Umeongea point mamy kweli kabisaa
@piusphilip307
Жыл бұрын
Ukusikia taarab Huyu ndiyo TAARABU MWENYEWE
@tatu6484
Жыл бұрын
Nakupenda sana m.zurah
@rehemakomba6376
Жыл бұрын
Mijitu bhana kumshupalia umri umeenda unawahusu hebu mwacheni mama wa watu kwani nyie mungu Hadi mshupaze mishipa yenu amrudie mungu kwani hapo alipo hamjui mungu kwani haswali au kaua 😏😏
@benjaminmartin4548
Жыл бұрын
Nampenda Khadija kopa anabusara sana.
@Jal210
Жыл бұрын
Hana busara yeyote
@mmn7480
Жыл бұрын
@@Jal210 😂😂😂😂😂mbangari tu
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
@@Jal210 😂😂😂
@sallysafisanakijanakazibut1688
Жыл бұрын
Nakupenda bureee
@balahaunadir2769
Жыл бұрын
KAMA KUOMBA NDIO MTU WA MUNGU BASI HATA FIRAUNI ALIOMBA SANA NA WALA MUNGU HAJAMNYIMA, MAMA ETU ACHANA NA HAYO MAMBO JAMANI...
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Absolutely
@r9ayyansaid652
Жыл бұрын
Ndomana kina juma lokole wakajidai eti aaaa zuchu anaenda kutolewa posa na bi khadija kashatoa siri wanaenda kufanya show
@user-qs7lj7kj1k
Жыл бұрын
Mtangazaji mansha allah
@shimafuad6868
Жыл бұрын
86 nilikua na miaka 7 nakumbuka nilikua chipikizi huyu bibi nilipokua na miaka 14 alinipiga bakora nilichelewa kufika kwe gwaride
@lulually5209
Жыл бұрын
Kwenye mazungumzo yenu m,mngu anahusishwa vipi sijaelewa hapo
@husseinchai1133
Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 hakuna zaidi yako mama
@mnolamanyendi4956
Жыл бұрын
Mama umri umeenda rudi kwa mora wako
@rayaali7551
Жыл бұрын
Hakuna muziki wa mungu ila kuna ibaada za allaah so tuwache kujidanganya aati qwasida ni nyimbo za mungu. Nyimbo za mungu ziko makanisani kwa wakiristo sio kwa waislaam okayyyy
@neemamalakilevi2661
Жыл бұрын
Mama zuchu anajua kujibu
@mwanahamisimwinyi1040
Жыл бұрын
rudi kwa mungu uko mzee sasa uombe toba kuimba ni madhambi hiyo ni firibi ya shaitwani hayatakufaa mali yako unachuma mali ya haramu mama muogope Allah kuna kufa
@Majanga-d4h
Жыл бұрын
Mama huyoooo
@iamfriedrich
Жыл бұрын
Nakupedaga bule mama
@brigidmua2548
Жыл бұрын
Bure
@fatmayusuf8413
Жыл бұрын
Mwanamke mambo
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
😁😁😁😁😁🤣🤣🤣 huyu mama nomaaa
@evalenad6256
Жыл бұрын
Hatakama ingekuwa mimi mama Zuchu ningemkana huyo Zuchu kuhusu mahusiano siyajui
@mwanahamisimwinyi1040
Жыл бұрын
mfano ni mzee yusuf atafute lakwenda kumjibu Allah
@rahmaabdallah4514
Жыл бұрын
Hahaha 😄😄
@officialsharifa
Жыл бұрын
Mama nakupenda sijawahi kukuona live
@hamedabashir9
Жыл бұрын
I love mommy 💋💋💋🇴🇲
@zepinashatibu5149
Жыл бұрын
Mama unamshauli mbona wimbo wa kuna kitu kimoja ni matusi hukuona au ndiyo alisha rekodi
@omarykusah9719
Жыл бұрын
Fanya ibada mamangu jua limezama moja ya dalili mbaya dunia hiii Ina mwisho je umeejiandae kwa sasa
@marywairimu5682
Жыл бұрын
Mama nakupenda sana unaongea kwa uwazi....much love
@jumatajiri585
Жыл бұрын
Nakupenda uko natural
@AaAa-vm8bb
Жыл бұрын
Ramadhani imefika stiri nafsi yako bado anaimba سبحان الله
@janiaoma7093
Жыл бұрын
Huyo jama kamuita mama hadija kopa Kwa ajili ya kutaka kumuliza unafiki Hawa wandishi vijana Ata aibu hawana kutafuta MABAYA ya unafiki
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Mashallah nakupenda ❤️ kwa AJili ya allah mama Yangu kipenzi
@esperancenathali
Жыл бұрын
Vidox wamekufikia na vimaneno vyako una vipanga tu 😂😂😂😂😂 hacha usuda wala bibi hatakagi hayo mambo 😂😂😂😂 sio huyo mama dangote anaye vuacha nguo hadi ya ndani anavua mama na hekima zake 😂😂😂
@vidovidox2632
Жыл бұрын
😅😅
@mariambilonkwa5183
Жыл бұрын
Firiiii masoniiii wanapanga na kuchagua
@sophiemafole9214
Жыл бұрын
Eti nini???😂😂 firiii masoni??😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikoteni
@zuhurayusuph4826
Жыл бұрын
Jam hadija kopa leo kawaje kama yupo home tu
@ghatibisansaba7200
Жыл бұрын
Sasa hv amezeeka
@kaninamargaret8025
Жыл бұрын
Zuchu ana miaka mingapiiiii????
@lydiahmartinz925
Жыл бұрын
The guy is cutie like yammmy
@vidovidox2632
Жыл бұрын
🥳🥳
@Jal210
Жыл бұрын
Wewe mama tubuu acha hayo mrudie mweezi mungu
@mwanatz5980
Жыл бұрын
😍😍😍❤️
@mbowehassam3963
Жыл бұрын
Anajifarij mwanae kaachika ndumba zimeisha 😂😂
@AaAa-vm8bb
Жыл бұрын
Hiyo hali ilivo ni mtu anamcha Mungu huyo badi huyo shetani ndio atakupeleka pabaya Allah akuhidi
@aishaalhabsi21
Жыл бұрын
akitajiwa mambo ya zuchu na mondi anabadirika zura kwa haya
Пікірлер: 257