The fact that he played the biggest role in the rescue effort amongst the 4 of them but he includes them in everything describes alot May God protect this young man always 🙏🏽 yani hajitaji yeye anahusisha wenzake watatu kwa kila anapoulizwa swali.. ndio wapate kuonekana wote.. this man is a HERO🙌🏽
@kelvinmwenda1013
Жыл бұрын
Yes perfect
@lusajokafuko3450
Жыл бұрын
Sio mbinafsi
@changanikisesa7021
Жыл бұрын
Team working bless him.Ingekuwa mwingine angejitia mimi mimi but very hod boy in every sentence he includes his 3 friends
@billgussy6099
Жыл бұрын
He is indeed
@pialashayo4519
Жыл бұрын
Kiuhalisia tu ni kuwa angekuwa mwenyewe asingefanikiwa hicho ndo kitu ambacho wameshindwa kukiona
@kisetukumbuael1839
Жыл бұрын
Mungu akutunze na kukulinda maisha yako yawe heri daima
@michaelsumari4064
Жыл бұрын
Vijana hongera sana. Nashauri mpewe medali za mashujaa wa taifa na ajira ya kudumu/ kuwezeshwa katika shughuli zenu za uvuvi ikiwa hamtapenda ajira. Ukijitoa kwa wenzako Mungu atafanya baraka maishani mwako.
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
Nashangaa anatajwa mmoja tu kwamba ndiye shujaa wakat kwa maelezo tu ya huyiu dogo ganaweka waz kwamba hakuwa peke yake bali walikuwepo na wengine japo ni waz dogo alikuwa mstali wa mbele lkn zawaid ilitakiwa kwenda wa wote
@semenisadiki5842
Жыл бұрын
Mungu awabariki vijana hawa kwa mioyo yao yakujitoa .selikali iwafikilie na hawa wenzake walisaidiana nae peke yake asingeweza .wote walirzki maisha yao
@saphinamshana5037
Жыл бұрын
Nshauri na wengine wapewe kifuta jasho maana walikua wengi wanasaidia
@abdijogoo956
Жыл бұрын
YA RABBI 🤲 Wape maisha mema hawa waokoaji
@ayshamahariq6665
Жыл бұрын
Amen
@mwanasele7943
Жыл бұрын
Amin🙏🙏
@nevergiveupinlife753
Жыл бұрын
Wakati wengine wanatumia simu zao ku record video wakati watu wanahitaji misaada, lakini huyu kijana alijitolea kuokoa maisha May Almighty God uplift him 🙏
@mrambadiana9678
Жыл бұрын
Kijana mdogo kupambana safi sana..Ana imani nzuri Mung amuingoze
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe sasa Igarashi toka kwenye mifano mizuri katika mazingira yako ya kazi, nyumba, jamii na wewe nenda ufanye hivo hivyo
@kedmonisangula3069
Жыл бұрын
Rais amefanya kitu Cha maana Sana kusema huyu kijana aajiliwe kwenye jeshi la uokoaji
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
@@kedmonisangula3069 Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@mussawaziri1120
Жыл бұрын
O
@dr.mosesstvonline1882
Жыл бұрын
Hao jamaaaa wapewee ajira woteee sio mmoja tu wote walijitoaaa
@alexchungu6263
Жыл бұрын
Mimi nashangaa, anapewa mmoja
@ياسمينسالم-ك8ص
Жыл бұрын
Si haki
@omarnicesang5507
Жыл бұрын
Mungu atawafungulie riziki Kwa namna nyingine maana walijitoa kiukweli
@sophiamirambo9656
Жыл бұрын
Kabisa wapewe wote wanne
@halimasaleh5705
Жыл бұрын
Kuna clip ya mwanzo kabisa huyu kijana alihojiwa yy km yy na kuna baadhi ya maneno naona km kaambiwa asiongee wakati anataka kuvunja kioo alikatazwa na mtu na kule chini alisema alizama yy mpaka mwisho alimpungia mkono rubani anaondoka
@Silyvesta
Жыл бұрын
Hongeran Sana Kwa Kaz kubwa na yenye ujasili mkubwa mungu azidi kuwatia nguvu mue na moyo huo huo WA uzalendo
@mayjunemayjune6829
Жыл бұрын
😭
@evaristohaule588
Жыл бұрын
Anasema alichojifunza ni Uzalendo, nimelipenda sana hilo kweli alichokifanya huyu kijana na wenzake ni Uzalendo, na anajitahidi sana kusema, " Mimi na wenzangu hawa" huyu kijana Siyo mbinafsi kabisa
@hassanmfaume9175
Жыл бұрын
Nikweli kabisa mungu awafanyie wepes vijana hao.
@gaudenciaantony5523
Жыл бұрын
Mungu ana makusudi yake kwa huyu kijana ana roho ya kipekee sana
@rhodapyuza6053
Жыл бұрын
Kijana mwema MUNGU akutunze Kwa KAZI nzuri
@hasinaalrahbi6681
Жыл бұрын
Jamani hao vijana wengine mbona hawajuwajali japo kuwashkuru
@asteriambwei3349
Жыл бұрын
Tunakuomba rais wetu wape kazi hawa wote wanne chondechonde hadi wameumia wakalanzwa wakijitahidi kuokoa roho za watu hongereni vijana mungu awabariki sana
@neemapaul6349
Жыл бұрын
Mungu azilaze loho za ndugu zetu mahala pema peponi AMINA hili nifunzo kwa selikali wadumishe kikosi cha uokowaji navifaa vya uokozi viwepo mungu awabaliki pia wote walioshiliki uokozi wameokoa maisha ya ndugu zetu wasingekuwepo hao vijana ote tungewapoteza
@salemarahbi9171
Жыл бұрын
Wangepewa wote ajira maana wote wamepambana na wamemuokoa mwenzao serikali waangalieni na wenzie na haachi kuwataja wenzie..Mungu awabariki sana
@bongo39
Жыл бұрын
Safi sana huo ndio ubinaadamu uzalendo tofauti sehemu zengine za ajali baada ya kuokoa majeruhi wanaanza kuiba na wengine kupiga picha hii tabia iko sana ila hawa vijana 4 kwa kweli mungu ndio atakae walipa kupata vijana wa namna hii kwa generation hii tuliokuwa nayo sasa hivi ni ngumu sana allah atawalipa endeleeni hivyohivyo mama waangalie hawa vijana 4 kuwapeleka sehemu husika ili wapate ujuzi zaidi ❤🇹🇿
@vickydan2869
Жыл бұрын
Amina amina amina
@abochejuniorhutingwa223
Жыл бұрын
Safi na tunashukuru kwa kazi nzuri mliyoifanya kuokoa maisha ya wananchi wenzetu
@obirinaom9611
Жыл бұрын
Yaani kama Jina lake Mungu amjalie mema maishani mwake
@aminaabdalla9949
Жыл бұрын
Yes yes godis good ubarikiwe kijana mungu akitakakukupa akuletei barua hiyo ilikuasababu yawewe kuonekaniwa
@madamtemu4167
Жыл бұрын
Jamaniii Mama aangalie na hao wanne waliobaki,awape ajira,huyu kijana angekuwa pekeake kwa kweli asingeweza,, Mbarikiwe sn vijana
@aishaabdalla7624
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@sophiamirambo9656
Жыл бұрын
Kabisa waangaliwe wote wanne
@mussaisaac
Жыл бұрын
Hongera sana majaliwa pamoja na wenzako wanne ambao hujaacha kuwataja katika mazungumzo yako kwa maoni yangu serikali pia iwakumbuke hao vijana watatu,kweli ni wazalendo Mungu awatunze muendelee kulitumikia Taifa kwa uaminifu.
@godilzenilema1536
Жыл бұрын
Baraka zake 🙏 kwa mola amjalie
@latifachilala2015
Жыл бұрын
Wamemkataza asiseme kama wamemwambia asipasue ile ya hospital ndio kaongea sahihi
@joyceassey2347
Жыл бұрын
Ata we umeona ee,,ashamezeshwa maneno,bt ujumbe umefika
@mishychy564
Жыл бұрын
ATA nmeshangaa cjamsikia akiongelea wale walomwambia asivunje kioo amuache ruban
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Kasema lkn inaonekana wameikata
@lwitikomusa1712
Жыл бұрын
Kwakuwa umeweza kuokoaroho za watu wote naurikuatyr kutarisha ata maisha yako kwajir ya wengne ,, yesu akuzidishie miaka nahata kukubarik hakika huta kufa mungu atazid kukutunza zaidi utakuwa sarama kijama Maisha yako yote
@angeldejoice3202
Жыл бұрын
Yaan yesu ndo amzidishie maisha marefu sio mungu ? Wakati dogo mwenyewe anamshukuru mungu , are you okay ?
@lucyconsolata8414
Жыл бұрын
Yesu na Mungu ni kitu moja ....hampa tofauti
@angeldejoice3202
Жыл бұрын
@@lucyconsolata8414 yesu na mungu sio kitu kimoja, cause yesu kaumbwa na mungu , nakukumbusha tu labda umesahau.
@lucyconsolata8414
Жыл бұрын
They work hand in hand
@lucyconsolata8414
Жыл бұрын
@@angeldejoice3202 they work hand in hand my friend, sio madharau.
@josephinajosephu6859
Жыл бұрын
Umeonesha ujasiri mkubwa Sana❤️❤️Maisha yako yakawe heri
@ssyjehx1332
Жыл бұрын
Hongera kwa kazi nzuri Allah akuongoze na kila la kheir lnshallah
@gracejapheth3476
Жыл бұрын
Hongereni sana vijana kwa kujitolea kweli huo ni uzalendo Mungu awabariki.
@sofitanzanian955
Жыл бұрын
Nahao wenziwe wasaidieni watajisikia vibaya
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Kauli yako inaonyesha uko tayari kuwa wa msaada...hongera wewe na huyo dogo mna moyo wa aina moja, moyo wa uzalendo
@marieconnect6389
Жыл бұрын
Ajira si kitu kibaya ila si kila mtu anafanya vizuri kwenye ajira. Watu Wengine ni wazuri zaidi kwenye kujiajiri kibiashara kuliko kuajiriwa. Kila mtu na kipaji chake na mtizamo wake na malengo yake. Huyo kijana anaweza kuwa mfanya biashara mkubwa sana na hata kuajiri wavuvi au vijana wenzake kama atamewezeshwa kimtaji na kiutaalamu zaidi kwenye area yake. Au pengine shule inayohusiana na ujuzi wake ingemfaa zaidi sababu bado ni kijana mdogo.
@irenebonface6956
Жыл бұрын
Hongela kjana unapojitoa mungu anakubaliki
@emilianahyera4236
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana kwa ulichotenda ni SADAKA ya ukombozi hata kwa kizazi chako.
@mukandoricecile8881
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu aendeleye kukulinda umejitowa sana bila kujali hatari ungeweza kukutana nayo marehemu mungu wetu awapokeye huko muendako amen
@elizabethfatuma9053
Жыл бұрын
Mungu awabariki Sana wa Vijana zetu kwa Kazi nzuri mulifanya Mubarikiwe
@allyfarahani3029
Жыл бұрын
Serikali inafaa iwaangalie na hao vijana wengine watatu, maana walikuwa wa 4, tena kuna mwingine aliingia mpaka ndani ya ndege.
@kanoa645
Жыл бұрын
Mi nadhani itapendeza kama wote wanna wakipelekwa kwenye kitengo
@fidesbernard4835
Жыл бұрын
@@kanoa645 kabisa walipambana
@mwanatumungenya4978
Жыл бұрын
MashaAllah Allah akupe Umri mrefu InshaAllah
@mapekhamis3882
Жыл бұрын
Nawale wenzie wapewe motisha jamani tunamshukuru kwa upendo na huruma yake mungu amzidshie kuzamia nakuokoa watz wenzie
@erickchitumbi1308
Жыл бұрын
Hongera majaliwa.Dunia ya leo watu kama wewe ni 10 kwa 1.vijana tujifunze kupitia huyu mwenzetu.siyo hela kwanza na utu ufuate.
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@NENOlakochannel.
Жыл бұрын
Good job vijana muwe hivyo maisha yenu yote
@fostinniyonkuru221
Жыл бұрын
Mungu akubalik San kaka umeonyesha ushuja🥰
@bettykarume5619
Жыл бұрын
Hakika we ni mzalendo halisi Mungu aendelee kukupa moyo huo ulipambana sana mpk kupoteza fahamu Mungu akutunze
@suleimansultan3333
Жыл бұрын
Hongera sana vijana kwa moyo wa ujasir ndege inapo anguka inatisha na hatari lakini vijana wamejitoa lolote na liwe na mwenyezi mungu amewasaidia
@aishaomar9621
Жыл бұрын
Mungu akulinde kkngu akupe umri mrefu
@faustineaghakan8117
Жыл бұрын
Shukran Sana Mh.Rais kwa ulichoamua kwa kijana huyu shujaa kumpatia ajira Ila ombi langu Mama Hawa aliosaidizana nao please over please waone kwa jicho la tatu 🙏🙏
@chachajuma9534
Жыл бұрын
Mungu akubariki na akusidishie
@bibieflorence5069
Жыл бұрын
Maja Kama Maja,God bless you 🙏
@hijamwinyi3233
Жыл бұрын
Mungu awajilie pepo inshaallah
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Mashallah, Mungu akuongoze kijana Wetu.
@husnamiraj9252
Жыл бұрын
M/mungu akupe maisha marefu na afya njema na uendelee na moyo uo w ujasiri
@imeldangoda2319
Жыл бұрын
Hakika ndio maana ukazaliwa mwanamume mungu akubaliki sana na pole na ajali uliyo ipata.mungu aliitaji duniani kwa sababu ya wema ulioufanya
@edinachami4318
Жыл бұрын
Kweli kijana amezifanya movementi kbw mungu amjalie maisha na riziki🙏
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@lorapamboz4307
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Rais wetu kwa kumpa ajila huyo kijana binafsi ningeomba na wengine walioshirikiana nae wapewe ajila pia maana ata yeye anasema akufanya pekee yake walikuwa na wenzake 4.
@rahelgika3870
Жыл бұрын
Hongereni vijana, ila hao wenzake wamesaidikaje sasa?!! Maana wote walisaidiana kuokoa.
@jwdyjwdy7052
Жыл бұрын
Mungu aendele kumpea hiyo roho aki🙏🙏🙏👏
@swahilitherapytv3846
Жыл бұрын
Wametoa 1 million ni aibu sana.
@adamelly8781
Жыл бұрын
Mwenyezi ana makusudi kwanini akamfanya azirai asingejjulikanna Wallahyi n yeye ndo chachu cha hao wenzio wengine wanne kujulikana na wavuvi wote kwa ujumla japo serikali haina uwezo wa kusaidia wote. Ila iwafanyie hawa wavuvi kitu n naamini hta wale waliookolewa watauridisha mkono wa shkrani wacha aende jeshi LA uokozi anaeza kua yeye ndo mkombozi wa wavuvi wenzie Mungu ambariki
@flomenastephen2226
Жыл бұрын
Ongereni vijana Kwa kuwa na moyo wa kujitolea kweli ujakosea uwo ni uzalendo mungu awabariki
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@ruu6592
Жыл бұрын
The boy he is sober mashallah
@ellywillisgotora1473
Жыл бұрын
Aiseeh kafanya kazi kubwa ila acngeweza bila hao wenzake ko nafikiri mama angewapa ajira wote....kwa mfano kwa kimichezo dogo kafunga hat trick Ila assist kapewa na wenzake ko bila wenzake kumpa assist hacngefunga
@gracekimani8834
Жыл бұрын
God bless you so much
@maalimjaffar5563
Жыл бұрын
Kumpa ajira ya jeshi la uokoaji anastahili,lkn sio jeshi tuu,bali aanzie kwenye angalau nyota moja,,napia hao wenzake waliokua pamoja wote waajiriwe, kiukweli kazi waliyoifanya inafaa iwe kielelezo na kigezo cha shukran za nchi yao kwao,,,"hongera rais Samia kwakuliona na kulithamini hilo.
@stellaseverine8160
Жыл бұрын
Mungu Awabariki Wote mliofanya uwokozi🙏
@christinekerubo9936
Жыл бұрын
Mungu akulinde akufiche chini ya ulinzi wake milele
@lucynyawira6933
Жыл бұрын
God bless ...
@bonifacekyalo9690
Жыл бұрын
Asante sana waokohaji
@komelwalinze6695
Жыл бұрын
Mungu Ni mwema hata kwa kuwaokoa hao watu 26 vinginevyo wangeweza kupoteza maisha wote kwa jinsi ajari ilivyokuwa. Ushauri wangu kwa serikali itoe ajira kwa vijana wote 4 waliohusika katika uokoaji
@husnaibrahim2107
Жыл бұрын
Allah akulinde kaka
@rajshaban5291
Жыл бұрын
Ukwel ni kwamba hiyo respect wanatakiwa wapewe vijana wote wanne.
@jamesmasila6873
Жыл бұрын
God bless you
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@Ibnseifjr
Жыл бұрын
Alieokoa nae kaokolewa...Vaa gwandaa .. Allah akulipe ..
@jacklinekivuyo9257
Жыл бұрын
Sisi Kama Watanzania wenzako tunakushukuru Sana kwa mdaada uliotoa kwa wenzetu Mungu akupe maisha marefu
@nelsonmariki1981
Жыл бұрын
Hongera kijana Mungu akubariki sna
@richardboaz-mashagospel2346
Жыл бұрын
Na wewe nenda ukafanye mema hivyo hivyo. Amesema alichojifunza ni uzalendo na wewe kafanya uzalendo huo kila kona ya maisha yako, kazini, mtaani, barabarani, kenye ukoo nk
@abduljuma4330
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atawalipa awa Vijaya kwa juhud zao
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni mkubwa mnoo muda wote. Poleni wafiwa, poleni majeruhi😰
@elizasizya4285
Жыл бұрын
Kweli aowote wanne wapewe kazi jaman mama samia
@Nikita_8017
Жыл бұрын
Poleni sana waathiriwa,
@pascalpembamoto6968
Жыл бұрын
MIMI NILIWAZA HIVYO , NAMSHUKURU SANA RAISI WANGU KUFANYA MAAMZI MAKUBWA YA BUSARA KUMPATIA KAZI MAALUMU YA UOKOAJI .
@kaitaramadan6340
Жыл бұрын
Uzalendo ndio jambo la msingi Safi Sana kijana mungu akupe umri mrefu
@moodychanday9220
Жыл бұрын
Well Done 🙏🏻🙏🏻
@bienabdulswamad886
Жыл бұрын
mungu awabariki
@fatumasukwaju226
Жыл бұрын
Wote kwa ujumla wao wanne ni wamba.walipoambiwa kuna ajali hawakusita wakaongoza chombo pasi kuchelewa.bila hicho chombo hata majaliwa asingefika kwa haraka na kusaidia.
@amosmichael8986
Жыл бұрын
Mungu nipe mwisho mwema mie na kizazi changu oh my god
@joshuamuro9494
Жыл бұрын
Natoa pole kwa wafiwa wote kwa kupoteza wapendwa wao, na pia na muomba Mh. Rais Mama Samia Suluhu Hassan (SSH) awape kazi yaku dumu vijana wote wanne kwani hata star Majaliwa anatajawenzi Kama wote walishilikiana wote na itakuwa vyema Kama wote watakuwa mafunzoni kwani wameonesha moyo wakipeke kbsaa pongezi Nyingi Sana kwao
@mkwayaalex7304
Жыл бұрын
Ongera sana enderea moyo uo majariwa
@floraleonard9095
Жыл бұрын
Tujifunze hapa kwa wenzetu, wamewek utu mbele, maana wengine wangeanza kuchukua video na kupiga picha.
@wanjiruwanganga5707
Жыл бұрын
Yaani Kila kitu kina sababu kitu itaathiri watu wengine nakuwafaidi wengine
@suezanna2690
Жыл бұрын
So traumatizing poleni sana 😓
@saphinamshana5037
Жыл бұрын
Waliokua wanasaidia.walikua wengi ndio kijana majaliwa alikuashujaa lakini na wengine muwakumbuke msiwvunje moyo nao walisaidia kuwaokoa
@Martin-lv1xw
Жыл бұрын
Nchi kichekesho kweli...yani JWTZ wanatokea kubeba majeneza...kijana acye na mafunzo muuza dagaaa kaokoa watu wote hao...
@saidsalum6101
Жыл бұрын
Pole sana
@Myright888
Жыл бұрын
Kumbe alikua na wenzake sasa mbona hawasapotiwi vijana wote w4? Yaani jamani na majina yanachangia maana mi nilijua ni yeye pekee tu kumbe tuna mashujaa w4 wangepewa ajira wote tu ni vijana wazalendo kwa kweli na wameshirikiana. Mungu atusamehe dhambi zetu jamani maana hatujui siku wala saa.
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Innalillahi wanna ilayhi Rajiuun 😰 Subhanallah
@josephatisidori3060
Жыл бұрын
Ni kweli alishirikiana na wenzake watatu naiomba serikali iwatambue wote ni mashujaa🤔
@zaliermuya2437
Жыл бұрын
Na hao wenzake wafikiriwe maana haishi kuwataja hana roho mbaya jaman kijana...
@rajabuhamisi3340
Жыл бұрын
Ongera kwa serikali kumpa motisha shujaa ,lakini upande wa pili wa shilingi naona Kuna wenzake wa 3 anawataja na sijasikia chochote kuhusu wao !
@shamsaog2998
Жыл бұрын
Wote walipaswa kupewa ajira Ila kwakua MUNGU hutengeneza ridhiki ya mja kwa vile anavyotaka Basi ndivyo ilivyotokea kwa huyu kijana
@richardmgabo
Жыл бұрын
Maja mnyama umetisha mwanangu..
@marianaduncan6330
Жыл бұрын
Hawa vijana wengine wanaonekana wana roho ya wivu baada ya mwenzao kupongezwa ,
@cmantz8837
Жыл бұрын
Jamani dogo anasema walikuwa wanne yeye nawenzake mbona serikali imemzingatia mmoja wenzake vipi au kisa alizimia ama ndiyo nyota imeng'aaa du! Sielewi
Nilichoona ni kuwa kasaidiana na wenzie na anawaheshimu sana ,serikali iwazingatie pia hao vijana
@allymwinyi970
Жыл бұрын
Kijana amefanya kazi kubwa ya kuokoa uhai wa binadam wenzie, amesema neno kubwa kwamba amejifunza uzalendo. MUNGU ambariki, aidha Serikali yetu sikivu. Hawa ndio watu wa kupewa nafasi katika hilo Jeshi la Uokoaji. Wengine wanakula Kodi za Wananchi tuu na walibaki kusimama nje ya maji wakati raia wasio na hatia wakipoteza uhai.
@immaculateslegaray8627
Жыл бұрын
Huyu ana moyo wa huruma na uzalendo siku hizi ajali nyingi zikitokea watu wanakuwa busy kupiga picha nakuchuka video badala ya kuwaokoa kwanza wahanga hongera sana majaliwa kwa busara hiyo
@juvenaryelpidi8774
Жыл бұрын
Majaliwa anasema walikua watu wa4 walio saidia naomba na serikaril iwaangalie na wenzake pia... Is deal na Majaliwa tu jaman na wao walipambana
@ham6588
Жыл бұрын
Itakuwa waliwakataka wasivunje kioo maana katika maelezo yake kwnye interview zingine apo tu ndo anabadilisha maneno. Unbelievable, kuna watu wana thamini kioo over maisha ya watu.
Пікірлер: 501