Kutana na Kijana @GodfreyMteule (19) mkazi wa kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma mwenye tatizo la kutoona(Kipofu) akiwa na kipaji cha uimbaji ambaye anasema pamoja na kua ni mtu asiyeona lakini hajachoka kupambania ndoto zake na kuamua kuja kwa watanzania kuomba msaada wa kukuza kipaji alichonacho.
Ripota wa Ayo TV Kigoma alifunga safari zaidi kilometers 150 hadi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kufuata kipaji hiki ambapo kijana huyu anasema kwao wamezaliwa watoto tisa na yeye ndiye mtoto wa kwanza ambaye anasema hawezi kumkufuru Mungu kwa jinsi alivyo.
Mawasiliano 0752768451 ( M-Pesa )Jina Bawili Issa.
Негізгі бет KIJANA ASIYEONA MWENYE KIPAJI KIKALI CHA KUIMBA, ANATOKA KAMBI YA NYARUGUSU, ALIPOTOKA FOUNDER TZ
Пікірлер: 133