anaitwa Marky mugisha (kimaka) amepata changamoto akiwa darasa la sita mwaka 27/09/1998 lakini pamoja na changamoto ya maisha lakini hakuona ulemavu alionao na kuwa mjasiliamali katika kutengeneza sabuni za kuoshea vyombo majumbani, magari, malumalu,,,,,,
kimaka ameoa na anamtoto mmoja
Kumuacha mwanamke akatafute mwanaume anabaki na watoto nikupoteza ubaba haya ni maneno ya kijana mlemavu macky
kwa mahitaji ya bidhaa ya sabuni namba ya simu +255 628 606 500 doble impact kimaka
mtangazaji
mpitanjia
camera & edity video
baraka macup
Негізгі бет Kijana mlemavu adai kupewa pesa sio msaada bali ni kudumazwa kifikra
Пікірлер: 5