Kuporomoka kwa jengo maarufu la Beit Al Ajaib (Jumba la Maajabu) mjini Zanzibar kumewasikitisha watu wengi ndani na nje ya nchi ambao wanaijuwa thamani na nafasi ya jengo hilo kwenye utambulisho na tareikh ya Zanzibar. Mwanahistoria Profesa Abdul Sheriff anaungana nami kwenye Gumzo la maombolezo ya msiba huu kwa historia yetu.
Негізгі бет Ойын-сауық KIJIWENI: Profesa Abdul Sheriff na Kuporomoka Beit al Ajaib
Пікірлер: 102