Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine
@lindatogether
7 күн бұрын
Very humble man. Live long Jakaya
@Kim19onlinetv
8 күн бұрын
Duuu dunia inamengi sana
@user-fs7bs6gy4z
8 күн бұрын
Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .
@stn4873
8 күн бұрын
Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂
@Coffted
6 күн бұрын
Chakaram sana
@stn4873
6 күн бұрын
@@Coffted Since wayback.
@ismailmshana2828
2 күн бұрын
Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba
@samgaya
8 күн бұрын
Jk yuko humble sana
@lindatogether
7 күн бұрын
Sana
@gabrielmoses6860
8 күн бұрын
Hongera sana
@RamadhaniAyubu-nv5qz
8 күн бұрын
Mzee hongera sana umelea wengi
@shabanrufumbo3701
8 күн бұрын
daaah mzeee yupo real sana muungwana sana
@hamisimuhunzi7916
6 күн бұрын
hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja
@abednego3876
8 күн бұрын
Raisi wa matajiri bwn.
@user-wi8og3sv4j
5 күн бұрын
Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi
@AndrewMtweve-pm7gl
7 күн бұрын
Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa
@salmakirundu2076
7 күн бұрын
Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby
@user-zz5ng1yb8d
7 күн бұрын
Amiiin
@OmariZayo
5 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu jakaya
@WahidaHilaly
7 күн бұрын
😢😢
@hassanimlacha8479
5 күн бұрын
Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz
@RahimhalmasRahimhalmas
Күн бұрын
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
@raphaelondego7703
8 күн бұрын
Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂
@leokamil6284
8 күн бұрын
Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani
@DM_15
21 сағат бұрын
Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa
@user-ui4oh8gf8n
8 күн бұрын
Allahumma Ameen
@hamidashaban1203
8 күн бұрын
Poleni sana familia
@hilarymark7583
8 күн бұрын
Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa
@denismasele4130
6 күн бұрын
Kuna comment naitafta siioni😢
@georgesolos344
7 күн бұрын
Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.
@edithamboya5016
6 күн бұрын
We ungekataa? Punguza makasiriko !!
@ilynpayne7491
5 күн бұрын
@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza
@King_Of_Everything
8 күн бұрын
👍✌️🙏
@ZulekhaBaksh-ii4fk
8 күн бұрын
Innalillah wainna ilayhi Rajuun
@RamadhaniAyubu-nv5qz
8 күн бұрын
Makubwaaa
@VenitaRugemalila
5 күн бұрын
Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.
@maylusasi1239
8 күн бұрын
Chakaramu sana 😂😂😂
@njemamehuna9821
2 күн бұрын
Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM
@user-wi8og3sv4j
5 күн бұрын
Mbona ya madawa husemi?
@gaspermatovu2899
5 күн бұрын
Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!! Yusufu papa wa hadaway ya ...... Ndege wa ranging moja hutembea pamoja. Za mbayuwayu changing na zako.
@user-pj7ng8il4t
5 күн бұрын
Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.
Пікірлер