Mzee Kikwete unatufuraisha sana unavyosimulia na kucheka Upuuzi wa Kawawa,.Safi sana na ongera kwa kujenga Kikwete Hall👍👍👍👍❤❤
@ismailmshana2828
11 ай бұрын
Hongera DR KIKWETE mungu akupe umri mrefu Taifa bado tunakutegemea Kwa ushauri wako mzuri Hawa wanao tukana wanasahau umewalea wasamehe mungu anasema salehe 7x 70
@kamishina7853
Жыл бұрын
Alikufokea tu kumbe!! Ningekuwa mimi Nyerere na vibao ungepata
@faustinthomas9551
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ci3bv3uc8c
Жыл бұрын
Live from United kingdom 🇬🇧🇬🇧 Asante Sana ndugu mtangazaji
@emmanuelmambarera141
Жыл бұрын
Uongozi huanzia mbali jamani , hongera Sana Mzee kikwete
@rashiditembo1574
Жыл бұрын
Asante mzee kikwete, Hakika ninyi mliandaliwa na hayo ndio matunda ya chama chetu,huo ndio uzalendo ulio tulea sisi, Asante mkuu.Tunahitaji sana uzalendo huo,(umepotelea wapi) sijui kama kizazi chetu tutakivusha salama(mungu tusaidie)
@TPW_FLUXY
5 ай бұрын
Akusaidie kukivusha kwani yeye Mungu muuwaji aligukuzwa na nyerere alijua mwixi hugo kabaki ana danganya watu
@kingzanika860
4 күн бұрын
Raising jiya Sana mwenye alijishaganya na familiya ya wauwaji hutu hajakuwa naakili ya kimtu kwa maisha yake yote .
@ahmedkagambo4964
Жыл бұрын
Ni kweli Baba wa Taifa alikutayali mapema kuwa Rais nakumbuka miaka ya 70 alikushika mkono na kutamka kuwa hawa ndio watakuwa Marais wetu hapo baadaye
@lodrickmwambene133
5 ай бұрын
Mimi nashidwa kuelewa wanaomtukana huyu mzee hakuna aliyekatazwa kugombea na haki ya kila mtanzania aliye na sifa mzee kikwete natamani nikuone
@salehehemedi8267
8 ай бұрын
Historian nzuri sana mheshimiwa kikwete
@user-gv4pc9if2u
5 ай бұрын
Charming
@barakawiseman5073
Жыл бұрын
tulio soma UDZM tujuane
@kazigembeleke5958
5 ай бұрын
UDSM
@WestonMbuba-ff4jk
Жыл бұрын
Nyerere alikuwa kichwa sana.
@sharoonrumisha9440
11 ай бұрын
Jakaya. Ulimaliza. Tanzania uliuza maliza watanzania sasa uko na samiya naendelea kuuza bandari zetu utakufa utapatana na mungu
@walidmgonja3644
7 күн бұрын
Endelea kukunja ngumi kwakuwa huna akili "pipoos"
@madaiincubationcenter4947
4 сағат бұрын
@@walidmgonja3644unaelewa kweli au unajibu tu
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
Жыл бұрын
raisi mwenye historia alisi ulitabiriwa kuwa rais mapema ww ulikua chaguo la wote
@EdwinKaywanga-ww7jr
10 ай бұрын
Baba wa Taifa nkiongozi wa mfano wa kuigwa mwenya aono ya mbali❤❤
@shukranikayange2275
11 ай бұрын
Safi nakukubari kikwete👍
@joventjohansenmushwaimi1988
11 ай бұрын
Mmeaona hekima za Mwalimu hakuweza kuhangaika na mavazi maana ni vitu vya kupitaaa na si suala la serikali hilo
@KhalfanKilatungwa
4 күн бұрын
Kwel kila mta ana history za kimaisha❤
@BedroomTvKe
Жыл бұрын
Kweli wazee ni hazina, hizi story ziwekwe vitabu. Mzee Kikwete aweke haya kwenye vitabu. Thats we keep these memories alive
@victormtani7170
11 ай бұрын
Jambazi mkubwa huyo na muuaji wa jpm. Nyerere kipindi cha mwinyi kumaliza muda wake NEC ilivyopiga kura Kikwete alishinda kura Nyerere Mzee mwenye haiba na Maono akasimama akasema wewe Kikwete haujakomaa na haujawiva kuwa Rais haufai Mkapa ndio anayestahili siyo wewe labda mimi Nyerere nife. Kwa hiyo maneno yanaishi sana leo mnaona
@gosbertrwezahura3645
11 ай бұрын
@@victormtani7170Kabisaaaaaaa. Huyu Kikwete ni mshenzi mkubwa.
@walidmgonja3644
7 күн бұрын
@@gosbertrwezahura3645Mama yako ni mshenzi zaidi
@HajiChalazo
11 ай бұрын
Good support of Guys LBQT
@mosesgasana4102
6 ай бұрын
Le Prezidaa Kikwete raha sana kumsikiliza.Na vile ana sense of humour basi burudani tupu.Mtu wa furaha sana. Ana kicheko chenye power ya kumfanya msikilizaji kupona maradhi na kuwa fit
@ruwaichimeela2459
11 ай бұрын
Mhe. Rais Mstaaf Jakaya Kikwete , ni msimuliaji mzuri wa hadhithi! Tunakushuru Bw. Ayo kutuletea Mhe.
@kingzanika860
4 күн бұрын
Mtumishi ya wauwaji uyu ki kwete
@richard2218188
4 ай бұрын
Huyo legend aliyeandika "Upuuzi wa Kawawa" ajitokeze tumpe maua yake 🤣🤣🤣🤣
@kherihightechllc113
5 ай бұрын
Mwambiye usemeukweli ? Alikuwa anataka Rais kabla mwinyi 👈🏾 JK mtu watamaa sana ndiyo nchi imefika pabaya 😮JK mnafiki sana sana ni chawa chawa 👈🏾
@heronimomsefya3190
Жыл бұрын
Asante .
@gosbertrwezahura3645
11 ай бұрын
We ndo unatuharibia Tanzania yetu. Na kwa unafiki unajichekeshachekesha utadhani mtu mwema sana.
@jamillamarealle1574
Жыл бұрын
Congratulations mwaka 74 ulikuwa University.
@lukehaprimary2574
6 ай бұрын
Mzee yakupasa umshukulu mungu sanaaa alikujaalien kukupa kipawa kikubwa sana alikuuandaa mapema ujekua kiongozi mkuu wakitaifa
@alenaudax8485
5 ай бұрын
Nyerere aliona mbali sana ndo maana alimfokea. R. I. P Nyerere
@GeorgeBenard-ue2gh
Жыл бұрын
Baba wa Taifa aliona mengi, inawezekana kuna mambo mlichanganya, ila nimependa adithi yako MUNGU Akubarik
Naomba kuonana na raise wangu mstaafu na mkuu was chuo changu
@HajiChalazo
11 ай бұрын
Ipo siku mtoto wake atamuuua mke wake !!!!! Yaaaani agent wa USA, France, Japan, develic traditions, with cheap corruption and family, fame
@emanuelelias4695
11 ай бұрын
Huna jipya ww ndio nanga ya taifa hili fisadi mkuu mpola haki na utu wa watu huo ndio ukweli Yani uwepo wako ww ktk taifa hili ni mkosi mkubwa
@user-ns5bw3dw6e
11 ай бұрын
Una mawazo mgando weye kijana
@gosbertrwezahura3645
11 ай бұрын
@@user-ns5bw3dw6eWe ndo mpumbavu. Hujui kwamba Kikwete ndo shetani mkubwa wa Tanzania?
@emanuelelias4695
11 ай бұрын
@@user-ns5bw3dw6e Siku ukiacha umbumbu utagundua kuwa huyu mzee ni tatizo kwa taifa letu
@user-ns5bw3dw6e
11 ай бұрын
@@gosbertrwezahura3645 Nashkur kwa matusi yako utajibiwa na alokuumba.
@user-ns5bw3dw6e
11 ай бұрын
@@gosbertrwezahura3645 maana matusi yako kwenye media yanadhihirisha ukubwa wa elimu ulonayo
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Jizi
@WestonMbuba-ff4jk
7 ай бұрын
Nyerere was genius
@husseinallysuleiman4657
Жыл бұрын
Nakukubali sana mzee wa msoga
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Sasa hivi hakuna hata anaekutaka wewe ndiyo unaemrimoti mama kuuza bandari zetu za bara kwa manufaa yako hutakiwi kabisa hata ukifa leo watu watapiga vigelegele
@veronikamabula7101
11 ай бұрын
Alijuwa utakuja tunyanyasa
@malelamalela1362
Жыл бұрын
Okay
@sharifuhusseinally542
Жыл бұрын
Muheshimiwa unach
@WaziriRamadhan-ML
11 ай бұрын
Jambazi lililotuminyima maendeleo tz na kujikusanyia pesa zote katika uongoz wake na bado hakupendezewa na maendeleo aliyokuwa anatuletea magufuli na akaona ana aibishwa na kuamua kumuondoa magufuli kwahiyo huyu mzee siyo mtu mzur kbs ana roho ya kipeke yake kbs lkn mwisho wa siku kila mtu ataingia tu kaburini
@user-ss3fq7vy7v
6 ай бұрын
Ngoja niaangalie mlizotumaga
@gatimarwa7525
8 ай бұрын
Kumbe Muhimbli ilikuwa tawi la UDSM
@lodrickmwambene133
5 ай бұрын
Bado ni tawi la udsm
@margarethpolepole7438
11 ай бұрын
Usituchanganye sasa hiv wewe ndiyo unaemrimoti mama mpaka anauza bandari zetu watanzania wanskuchukia sanaaaa njoo usikie mitaani kila sekta wizi mtupu
@abdallahally842
11 ай бұрын
Nampenda huyu mzee very social mcheshi mtu wa kutoa ushauri ukikanae unaskia furaha kwa zile story zake nzuri zakufurahisha na kukujenga mungu akupe afya na furaha mzee wetu
@burundishallsmile1day109
Жыл бұрын
😊😊❤
@juliusjohn9453
Жыл бұрын
Punch
@user-gh7rg7mr7p
11 ай бұрын
Vipi kuhusu gas
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
kwanza nyerere alikataa usipewe urais alijua wewe ni kibaraka wa wazungu na hufai kua kiongoz wa inchi ila kwa uchawi wa mtwara ukafanya kila uchawi upate inchi ili uile inchi nakweli mmeila sana inchi ya tanzania wewe na family yako nadhani nyerere angekua hai msingekula inchi hivi na ingekua iko mbali sana tanzania fisad mkubwa wewe unauwa wenzio ili ubaki kulainchi na wazungu wako ipo siku yeni insha allah
@saidindaro5858
Жыл бұрын
Hao wasiokuwa vibaraka mbona wanatupeleka upande upande kama kama ngadu
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@saidindaro5858 ukiwa na akili timamu utajua ninacho kisema kama umejaza mavi kichwani kwako basi endelea kuenda upande upande huenda we ni mwizi ama fisad ama muuza unga ndio maana unaenda upande upande
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 INGE NA ANGE NA ISINGE HAISAIDII KITU FANYA KAZI MVIVU WEWE.
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@salimmalaka256 unaumwa ukimwi nifanye kazi marangapi ama unavoniona humu umenipa wewe cm na wi_fi ? mjinga nini fanya kazi wewe usie na kazi unaetumia vi bundle
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 M'BULUSHI WA KWA MPALANGE FANYA KAZI INGE NA NINGE HAISAIDII KITU
@jamesmalegi5682
5 ай бұрын
UDSM
@user-zl3le1wz2u
6 ай бұрын
Unapotezea
@edwinmbunda6709
6 ай бұрын
Angewalamba bakora
@yussuph-lx7cu
Жыл бұрын
Alikwamisha mchakato wa katiba na kupoteza pesa nyingi katika mchakato huo na kuukwamisha ,,,,ni chanzo kikubwa cha mauwaji kipindi cha uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na alikwamisha ushindi wa maalim seif pale aliposhinda uchaguzi
@user-qo6wb4le9i
Жыл бұрын
inaumaga hii issue kikwete alitupa jpm akatuumizaa sana Wana cdm
@msabahaali758
Жыл бұрын
huyu msanii alitupokonya haki yetu Zanzibar kwa kufuta uchaguzi
@saidiathuman-og6bc
Жыл бұрын
Hainishtui
@yussufhassan5582
Жыл бұрын
0
@bensonmgaya5693
Жыл бұрын
Anachekaga peke yake ase yaani 😡
@birianination7097
Жыл бұрын
Shida nini
@gosbertrwezahura3645
11 ай бұрын
@@birianination7097Anajichekeshachekesha kama mwanamke. Huyu jamaa huwa sina uhakika kama ana akili timamu. Huwa anajifanya mtu mzuri wakati hayuko hivo.
@kianda973
Жыл бұрын
Mhh
@timboxlee919
Жыл бұрын
Huyu jamaa mawaziri wake watufilisi watanzania, RIP JPM
@issaabdi9129
Жыл бұрын
Hauna adabu ww mpe heshima yake. The best president Tanzania aliepita. Nimtulivu na msikilizaji kwa maoni ya watu.
@birianination7097
Жыл бұрын
JPM alimtoa Prof Asad kisa aligundua uwizi wa 1.5 trillion pia akafukuza wanafunzi wa chuo cha UDSM walio post picha za ufaa katika mabweni yake mapya
@sundaymsuya1433
Жыл бұрын
@@issaabdi9129yan huyu mzee ulikuwa unamuona mzuri sio raisi anakuremba uku anakumaliza sio ndiomaana ulikuwa unamuona mzuri sio
@timboxlee919
11 ай бұрын
@@issaabdi9129heshima Gani kwa fisadi papa Kama huyu,nchi imekuwa ya kifisadi tu,hana point anayoongea huyu jamaa
@hamidudigogo5863
Жыл бұрын
Ikuru ulikua msikiti huo na ulijengwa na warabu
@Burner_Acc
Жыл бұрын
Ikulu (kutoka neno la Kinyamwezi; kwa Kiingereza: State House) ya nchi ya Tanzania ilijengwa na Wajerumani mwaka 1891 kwa namna ya kipekee na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Nyie waislam kila kitu mnahusisha na dini yenu au waarabu. Smh
@barakaayubu6126
Жыл бұрын
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi?? Tafadhali Kaa kimya.
@barakaayubu6126
Жыл бұрын
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi? Tafadhali Kaa kimya..!!
@@Burner_Acc hizi nazalia za uwongo kabisaaa ila ukiangalia moyoni mwako unabaki na ukweli ila kinacho kusumbua ukafili uliyo nao Kwahyo ENDELEA kubisha
@okashhabib6944
11 ай бұрын
😅😅
@HhBbh-tn5uh
Жыл бұрын
Sikweli😂😂
@amosdaniel1327
11 ай бұрын
Safi' sAna"
@editorfrank7471
Жыл бұрын
hivi kwanini kikwete akiongea lazima ajikune kichwa
@jafarisadiki4960
Жыл бұрын
Muulize mwenyewe
@salimmalaka256
Жыл бұрын
YANI WASWAHILI HIVI MTU AKIJIKUNA KICHWA MNATAKA KUJUWA KWA NINI KAJIKUNA???? 😂😂😂😂
@saleheinnocent7636
Жыл бұрын
Akili nying
@otmarmkali8883
Жыл бұрын
Akikosea anajiumbua
@gosbertrwezahura3645
11 ай бұрын
Ni unafiki
@AdamMtore-rv9jh
10 ай бұрын
W²²
@user-lb7jq5li7x
Жыл бұрын
Huyu kikwete ni mkundu wa nyani,msiwe mnamwonesha..kumanina zenu mnae mwonesha.
@daudmwaipasi5672
Жыл бұрын
Amekukosea nn bhna wajina, mbona umetumia lugha ngumu Sana mzee
@birianination7097
Жыл бұрын
Jifunze kustaarabika.
@kabaranamaganga6646
Жыл бұрын
Tafadhali uwe na adabu Mzee Kikwete kiongozi wetu mstaafu jifunze kuheshimu wakubwa na kuweka mihemko mbali.
@canoksancomprehensivelearn7182
Жыл бұрын
Wewe katka comment nyingi ni matusi na uahasama ukisoma na sio mgeni lughayako Daud chafu sana kila mahali hata mtu akitafuta kilakwenye comment hakosi maneno machafu sana. Utakufa yatabaki yakikuhukumu hayo. Yataishimuda mrefu kuliko wewe
Пікірлер: 139