mtu mzima ata ashike shoka hadharani hawezi kukata gogo❤🔥❤🔥❤🔥
@bigkakameshack8066
7 ай бұрын
Any song with Stamina and youngkiller is always a hit before you listen to it🔥🔥
@johnrichard5482
7 ай бұрын
Hii Ngoma Yote Ni Ya Moto 🔥🔥🔥🔥 Yaani Kuanzia Chorus Mpaka Verses ZOTE Ni PUNCHES...✍️ Mwanzo Mwisho 🎧🎤🎵💥💥💥💥💥💥💥💥💥 MUCH RESPECT TO #Youngkiller #Kontawa #Stamina na #Rapcha 👏👏👏👏👏👏
Hapo ndyo utajua marapa wanatembea vp na puch line hamna kelele bint haiisikii sana unasikia miamba inaongea nn na wana wa mitaa . Big up sana kwa msodoki kwa kutupa hip hop og yenyew
@johnrichard5482
7 ай бұрын
@@JaymbwanziOg Ni Hatari Yaani BITI Lina Mfata Rapper Na Sio Rapper Kufuata Biti...✍️
@mrsinia3064
7 ай бұрын
@@johnrichard5482😂😂😂
@johnrichard5482
6 ай бұрын
@@mrsinia3064 Sio Poa...
@goldenpoze
7 ай бұрын
Rapcha you really killed it🔥🔥👏
@kadmc9124
7 ай бұрын
Young killer u remind me verses za mwsho kwenye "tungo" . Stamina remains a dude, killer killed it. Rapcha + kontawa ❤❤
Watu wamelinda vyeo sana humu ndani..collabo imesimama
@lucaskanyamaha4885
7 ай бұрын
Rapcha you killed it💥😬😬😬
@user-xr8zq8ds8t
7 ай бұрын
Stamina ndo king wa hip hop bongo
@amissisumaili9995
7 ай бұрын
Nakukubali young 🤝nakufatilia kutoka🇨🇩
@eliezamachaku7177
7 ай бұрын
All the best msodoki all time for me 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@kelvinmacha813
7 ай бұрын
Ukichoka kuumia haujakua Makini Rasta🎉🎉
@SteveTegemea-fj6de
7 ай бұрын
Unyama Mwingi..!!!! Rappers WANGU Hawavimbi Maana Nna Dawa ya kuchua!!!!Oiiii!!Stamina.......Ngoma Kali Sana Kila Mmoja Kaiwakilisha Vizuri..Ila Kosa Kidogo Tu Wamembania Sana KONTAWA Kwenye Chorus...Baada ya Verse ya Stamina Angepiga chorus Au Angemalizia Ila Big Up Hip Hop Tz ....
@JamalOthuman-ko5nl
7 ай бұрын
Ndani ya uwezoo toeni mawazo alf usikaze msuli kama upaja wako mdogo💪💪💪
@habaritvtanzania5562
7 ай бұрын
Oyaaaaaaaaaaa like 2k kwa young killer
@Eric_Bismarck
7 ай бұрын
Im a Kenyan but this one here, this one here is a banger
@modestentwari4807
7 ай бұрын
3GENIUS IN TRACK 1 KIUKWELI YOUNG KILLER ARE ICON BONGO HIPHOP
Пікірлер: 356