Naipenda shamba lako. Napanda huku Homabay, Upande wa Nyanza, Kenya. Hongera ndugu.
@mohdkhamis6581
3 жыл бұрын
Safi sana mm napenda sana kilimo cha mbogamboga jee mimi nipo sehemu ya mchanga mweupe zinaweza kuota na kufanya vizuri kama hivo na nitumie mbinu gani
@Big-P-mm7sc
28 күн бұрын
Quantos tratamento aplicou e bom trabalho
@MwitaMagere
23 күн бұрын
Hongera kwa bodii unayofanya ili kufanikisha
@veraniinnocent7624
4 жыл бұрын
Umeona bloosam end root, kuoza nyanya "chini kuoza kwa rangi nyeusi"
@GiftMushamo
18 күн бұрын
Well done
@karumekanisius8144
3 жыл бұрын
Hello wadau naombeni kufaham zaidi kuhusiana na mbolea aina ya yara vera, na je, inafaa pia kutumika kwenye zao la nyanya.
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Inafaaa kabisa
@ZubedaAbdallah-s5p
4 ай бұрын
Hongera saana Nami naomba no yako tafadhari
@kanankirannko6174
3 ай бұрын
Mimi niliwahi kulima kama hii hiyo hela atapata manake atachuma muda mrefu sana zaidi ya miezi 4 utunzaji tu na soko liwe wastani
@ahmedsharif2259
3 жыл бұрын
Kazi nnzuri sana allah atawalipa
@salmamjengera2512
3 жыл бұрын
Naomba unitajie dawa znazotumika nahitaji kujifunza Niko dar
@rozinamollel1990
3 жыл бұрын
hongera sana
@elizabethlweya5011
Жыл бұрын
Asante Sana mungu akubaki endelea naiokazi
@fatmasaid5864
4 жыл бұрын
Allah awabariki
@salmamjengera2512
3 жыл бұрын
Nimependa Sana hongera mbegu gani hiyo
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Spaina plas
@VEVO-africa
2 жыл бұрын
Inapatika wapi na inauzwaje
@williamodongo9570
Жыл бұрын
Anti bacterial wilt hiyo mbegu?
@godsfavour5665
Жыл бұрын
Wow ni safi sana hadi nikafikiria ni kwa green house 💞💞keep it up
@yudaaraphati9673
3 жыл бұрын
Hekari1 unaweza kupata kreti ngapi boss
@halimaabubakar6702
5 ай бұрын
Bado information sio enough unatakiwa useme clear heka ngapi ? Umepanda miche mingapi kila mche unatoa kg ngapi za nyaya na soko likoje umeongea lkn sio professional
@petromwibangi888
6 күн бұрын
Unapotoa Maja je Maja yanaedele
@user-ep5fu9do9h
5 ай бұрын
Naomba kukuliza vp mtu akihitaji msaada wa kupata maeneo ya kulima afanye nn ili apate
@alifakimati9614
3 жыл бұрын
Dunga au bambi hapo karibu na kambi ya jku.
@duniandwelle207
2 жыл бұрын
Asante kwakuhamasisha
@mfaumemkoma-ey2jd
7 ай бұрын
Samba zuli lime nivutia sana hongela kwa usimamizi mzuli
@ZubedaAbdallah-s5p
4 ай бұрын
Hiyo mbegu ni Aina gani?tupe faida tujifunze
@hakizimanaaudace8002
3 жыл бұрын
Mimi nataka kuuriza dawa za ukungu bora zaidi.
@DoriiShayo
4 ай бұрын
Naitwa samata nakaa muyuni A naomba namba zenu samahan lakin
@mwalimuwakujitolea2030
4 жыл бұрын
Mnatoa elimu nzuri. But jitahidini kuchukua video vizuri. Video inayumba sana
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Sawa Asante
@peteralbert5636
3 жыл бұрын
Hiyo mbegu inapatikanaje?
@josephinemtikila3066
2 жыл бұрын
Naomba kujua majina ya dawa inayotumika kupiga mwanzo hadi mwisho.
@felixmpwaga1262
5 ай бұрын
Naombakujua vipimo cya upandaji
@samweljosephaudktmboje3062
2 жыл бұрын
kaka hizo mbegu aina ya kipato iko sawa na nyanya maji
@DoriiShayo
4 ай бұрын
Ndugu nauza ivi kunakitonge cha mbolea?
@muniali5530
3 жыл бұрын
Jee niulie heka moja hutoa tenga ngapi za tungule
@erastombise3930
3 жыл бұрын
Dawa za ukungu unatumia dawa gani
@rashidmaina2166
2 жыл бұрын
Hii high brid nlilaza uvuge au Kuna mbini higine
@ramadhanmoshi1038
2 жыл бұрын
Naomba namba yako nijifunze kitu toka kwako
@christommhagama6549
2 жыл бұрын
Ekari moja unaweza kuvana kiasi gani kwa mchumo moja
@ericklucas7196
2 жыл бұрын
Mbona matunda machache njoo uone huku mby utaona inavyozaa
@morganmgovano3816
2 жыл бұрын
Najifunza sana
@othmanali9460
3 жыл бұрын
Nisaidie namba zako bro nikutafute.nahitaji uzoefu wako mkuu
@hosianaminja7034
6 ай бұрын
Huu mtindo mliotumia sijaelewa.
@fatmasaid5864
4 жыл бұрын
Maharage hamlimi
@selemanfrancis4940
3 жыл бұрын
Shamba la ekari kumi nalimuduje hadi kuvuna,,?
@kavuyunzota4147
2 жыл бұрын
Mmetumia mbolea gani ya kukuzia?
@VEVO-africa
2 жыл бұрын
Samahan je tunawapataje wateja wa uhakika
@user-ry9jt7fv1z
Жыл бұрын
Nina swali hekali moja inamashina mangapi na inatoa nndoo ngap
@mwitamgesi6625
2 жыл бұрын
Kwanini IMRA F1 hupukutisha maua Sana?
@mhogomchungu7168
4 жыл бұрын
unalima maeneo ya wapi zanzibar ?
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Fuoni
@davidedison4450
3 жыл бұрын
Zanzibar wanajua kulima
@jumaabrahman1169
2 жыл бұрын
@@davidedison4450 dawa gani na mbolea gani naweza kutumia katika kilimo Cha nyanya
@castormarwa2018
2 жыл бұрын
rusha namba as simu
@rashidiselemani1516
Жыл бұрын
Ulilima mwezi wa ngapi?
@anicentdeo9761
2 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu
@salmamjengera2512
3 жыл бұрын
Aina ya mbolea
@ZubedaAbdallah-s5p
4 ай бұрын
Jibuni coment jamani
@sadikililai1846
3 жыл бұрын
Ni aina gani iyo mbegu
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Malkia
@denissamwel8978
2 жыл бұрын
Mbegu gani
@salmamjengera2512
3 жыл бұрын
Katka ukuaji
@dominickissack2536
3 жыл бұрын
Hamujibu koment za wateja
@simonsoka5392
3 жыл бұрын
Unatumia mbinu gani kumwagilia
@tomatozanzibarcompanylimit7006
3 жыл бұрын
Natumia malkia AF 1 namwagilia kawaida
@simonsoka5392
3 жыл бұрын
@@tomatozanzibarcompanylimit7006 kawaida yaan bila mashine kwa kutumia ndoo
Пікірлер: 74