Mimi ni mkulima ambaye zao hili la Tikiti nimelianza kulilima Mwaka huu wa 2023 ninalima kwa kutegemea Mvua kutokana na changamoto ya ukame kuna mkulima mwenzangu amenishauri nitumie SUPER GLO ili iweze kukabiliana na ukame ,Je ni sahii kutumia hiyo Super Glo
@ziddy8076
8 ай бұрын
dqwa ya ukame ni maji tu mjomba hakuna cha dawa wala mbolea
@elizalaya7887
6 жыл бұрын
Wow Kilimo kizuri sana nami nipo Dar nataka kulima tikiti sijui hata nianzie wapi msaada jamani
@happinessfrancis6916
7 жыл бұрын
Aiseee! nikiona mazao huwa nachanganyikiwa
@leonilajaphet7519
6 жыл бұрын
Happiness Francis
@avax5717
6 жыл бұрын
Tuko wengi tunaochanganyikiwa
@berthakamugisha9787
7 жыл бұрын
Nimeipenda sana kaz yenu. Hongera sana
@TEACHER.CLEOPHAS
3 жыл бұрын
A great source of motivation. Keep it up guys.
@nassirsaid3897
7 жыл бұрын
motivation right there...been following your channel so closely to gain the knowledge in farming industry. some great videos. please upload some more.. really appreciated.
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
thanks , we have a lot more to be uploaded soon buckle up!!
@abdangembe4339
7 жыл бұрын
Kazi nzuri sana,
@subilamwambigija
5 жыл бұрын
Kilimo cha karanga tz
@lucasmagalayashilinde5379
7 жыл бұрын
Elimu nzuri sana
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
Hongera kwa kupenda kilimo,asante
@njeshkaris7951
7 жыл бұрын
kazi mzuri sana mtu anaeza pata shamba huko
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
Ni vyema ukaenda kufanya uchunguzi kama una dhamira ya kulima
@njeshkaris7951
7 жыл бұрын
Kilimo Biashara asantee sana
@sophiamagnus3428
7 жыл бұрын
Napenda sna kilimo matkit yna stawi wapi? Kwa hapa dar?
@kefasimwashitete4766
Жыл бұрын
Wow what a good project
@aidandago5528
6 жыл бұрын
Kazi nzur
@user-qs9rn2je4c
6 жыл бұрын
asanten sana ila mi naomba km mnaweza kunisaidia mm na taka lima mapapai sin ujuzi ila napeda san kilimo hicho
@kilimobiashara9361
6 жыл бұрын
Tutaandaa kipindi muda si mrefu kinachohusiana na papai subscribe utajulishwa tutapoweka
@elisantemrita8122
7 жыл бұрын
natamani kukutana nae maana wengi wana agakwenda shamba kulima ila wakati wakuvuna huwaoni wakileta walicholima nawengine hulimia Kwenye madaftari
@christinamelikioli9201
2 жыл бұрын
Tatizo solo yaan wakulima wa matikiti wanaoat shida San Bei mbovu.mr yamekalibia kuiva Ila sok ndo shida jaman
@mxofmfk8406
2 жыл бұрын
Upo mkoa gani?
@mzeemweva2102
7 жыл бұрын
Nimeipenda kazi nzuri
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
asante sana
@sulemwarabu7298
7 жыл бұрын
safii saana
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
shukran
@kassimmgwami
2 жыл бұрын
Mdau hiyo Iko poa.
@kurthumkamru5435
3 жыл бұрын
Uongo hakuna kitu danganya. wasiojua
@athanaelalexchuma7700
7 жыл бұрын
elimu nzuri kabisa kaka lakini aujatuambia hiyo ni mbugani ya tikitikimaji naomba unijuze
@nyanzalakaporo2504
7 жыл бұрын
SAFI SANA KILIMO KIZURI SANA ICHI ASANTE SANA KWA ELIMU
@user-bk8bv5dm5d
Жыл бұрын
Khams. Ntakupat wap
@duakyando791
6 жыл бұрын
shukrani kwa kuniamsha.
@majengabuhumbi5042
5 жыл бұрын
musmu mzuri wa kilimo cha tikit
@sammritta6584
7 жыл бұрын
Naomba unisaidie ni sehemu gani nzuri kwa Tanzania kulima aina hizi za matunda 1.Tikiti maji 2.Vitunguu 3.Mapapai Natumai Majibu kutoka kwako
@mandyfitnesstv6738
5 жыл бұрын
Ruaha mbuyuni,Iringa panafaa sana
@carolinanurdine4609
4 жыл бұрын
Vizuri sana
@gullaalex6590
4 жыл бұрын
Morogoro
@khamiskapopo6206
3 жыл бұрын
Kwanini karibu wataalam wote wa kilimo awasemagi katika heka moja zinaingia mbegu kiasi gani na no grm ngapi za mbegu?
@annacanykaybravo8772
7 жыл бұрын
nawapataje?
@piusvincentkihiyo499
7 жыл бұрын
Faida ni zaidi ya hiyo..!
@kilimobiashara9361
7 жыл бұрын
yawezekana ila huwa tunajitaidi kuweka bei ya uhalisia kutokana na changamoto za mbeleni
@petermasilili6434
7 жыл бұрын
good speach
@abuumaingu5414
6 жыл бұрын
Kilimo kinatoa nata mshauri
@user-bk8bv5dm5d
Жыл бұрын
Naipend kaz hiy
@esperansahkafuka9891
6 жыл бұрын
Bei ya tikiti shambani ni kiasi gani?
@jumaally5612
7 жыл бұрын
kuna shirika kalitaja, ambalo ndo limemshauri kuhusu kilimo, amelitaja lakini halisikiki vzuri,
@sansam100
7 жыл бұрын
TAHA
@jacobntugwa5566
2 жыл бұрын
👍
@mohdfaki9324
2 жыл бұрын
Kila biashara inalipa ukihadithiwa
@filoteamagabali941
4 жыл бұрын
Tikiti maji inakomaa baada ya muda gani??
@tamiasambo2831
4 жыл бұрын
miezi mitatu
@piusvincentkihiyo499
7 жыл бұрын
soko la tikiti maji pasua kichwa, wakulima wanateseka sana.
@christinamelikioli9201
2 жыл бұрын
Kabisa Kaka yaan mi mume wangu klima yapo vizuri san nimakubwa San Ila tatizo soko.anahangaik tu wateja amn
@mxofmfk8406
2 жыл бұрын
@@christinamelikioli9201 wewe upo mkoa gani?
@user-xw3ew4jy5p
3 ай бұрын
Inategemea na eneo ulipo
@user-xw3ew4jy5p
3 ай бұрын
Tafuta Soko mbona lipo tu
@elisantemrita8122
7 жыл бұрын
natamani kukutana nae maana wengi wana agakwenda shamba kulima ila wakati wakuvuna huwaoni wakileta walicholima nawengine hulimia Kwenye madaftari
@asmaseif1316
5 жыл бұрын
Elisante Mrita mambo ayo naitaji sana nanina hitaji kukutananae
Пікірлер: 61