Ni vyema wakajenga barabara tu.hakuna haja ya Airport. Kutoka Paje mpaka town ni dakika 50 tu kukiwa na Good Road.
@hatibbaraka3956
17 күн бұрын
Ifahamike ya kua wananchi wa Paje na Jambiani hawapingi ujenzi wa hicho kiwanja ila wanataka itafutwe sehemu nyengine kutoka kutoka Jambiani hadi Muyuni ni zaidi ha kilometres 20 kuwafidia shamba ni aula kuliko kuwafidia nyumba ambazo watu wanaishi. Na ukweli hasa Kisauni inatosha International Airport ya nini kujitia gahrama kujenga International Airport mbili!
@OmerSuley-gl7go
14 күн бұрын
Imewashinda ya Pemba tu
@aimanshija4230
9 күн бұрын
Kweli kabisa airport moja inatosha ,,
@user-qe9ot4kl9u
16 күн бұрын
Uchaguzi unakuja mtachagua tena Ccm 😅😅😂
@Grataaaaa
16 күн бұрын
Serekali hii baada kujenga viwanda watu wakapata ajira wanawakandamiza raiya wallah maisha magumu kula kupata kwa tabu wao wanaona powa tuu
@ZalkhaRawahi
17 күн бұрын
Ardhi mali ya serekali au mali ya sirikali mana mabango yashawekwa tayari kuzuia halafu unaambiwa sirikali haifanyi jambo bila kushirikishwa mwanachi angeshirikishwa tangu mnataka kupima
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
14 күн бұрын
Mwinyi bana hvi Hana Imani hana mnafiki wallahi sasa wtu kwenye makazi yao munawaondosha
@ginazngo4317
14 күн бұрын
Watu wanalia njaa wao ndio kwanza wanawakandamiza maskini daa poleni wazibabaria wenzangu
@margarethpolepole7438
17 күн бұрын
Walipwe sehemu zao za makazi wasiwadhulumu hao ni wananchi wao
@mohammedbakar4142
16 күн бұрын
Kiufupi ni uwonevu Airport nyengine yanini zanzibar imekuwa NGOROGORO
@MeniJr
15 күн бұрын
Sidhani kama Kuna haja ya kijenga airport Kwa geographia ya unguja hizo PESA wengali Jenga Barbara na hospitali
@user-st9me2jn7o
14 күн бұрын
Ya nn kujenga air port mbili kisiwa kidogo hicho jamani viongozi tumieni uwezo wa kufikiri mukijenga air port ya pili kipato kitapunguwa mtu anatumia 800000 kwa kuja kuchukuwa mgeni airport mjini kutoka shamba Jengeni barabara
@user-hn6kv6xe7m
12 күн бұрын
Mh mwinyi Jenga uwanja wa ndenge usibabaike na kelele .hayo ndiyo maendeleo tupo pamoja 👏👏
@hassnsalim5156
17 күн бұрын
Serikali sikiliza wananchi ndio wapiga kura wenu pls
@awatifalghanim1106
15 күн бұрын
@@hassnsalim5156 Nyiye pigeni KURA na kupigwa viboko baada ya Kura baada ya hapo hakuna mtu anaye kujuweni subirini tena miaka mitano hebu wacheni UJINGAaaaa na mchezo huo huo unaendelea…..😀
@namisgiggah1571
17 күн бұрын
Mimi nashangaa znz'unguja bado ndogo kiwanja kimoja kinatosha ikiwa kipo kiwanja cha ndege chajeshi tayari.! Maana zanziba sio kiwanja cha vitata mpaka ueneze viwanja vya ndege. Kama tatizo ni kupunguza masafa ya umbali bridge kujenga kunatosha ama reli za treni basi.
@saidalhinai1131
17 күн бұрын
Nchi imeshauzwa nyie nendeni mwanaromango hapo ni wawekezaje ndio wenye nchi mliwatoa waarabu wamekuja waarabu weusi bora wale waarabu haikuhi kufanya dhulma kama hiyo
Uyo sio raisi ni rahisi mwinyi ungejenga ikamaliza uwo wazamani kuna barabara tele nyembamba tanueni njia gari zipite huku na huku zakwenda tu ziwe zake na kurudi ziwe kwake munajenga njia nyembamba halafu munazingua
@awatifalghanim1106
16 күн бұрын
Wajengeeni Wananchi wenu nyumba za kuishi nzuri baada ya kuwadhalilisha . Wazungu imekuwa bora kuliko Wananchi hapo Unguja. Wananchi hawana kauli yoyote kwa kila kitu wanachokitaka kwenye maisha yao hawakipati. Airport hiyo itakuwa ya Wazungu tuu wakitoka kwenye ndege moja kwa moja baharini. Hii Unguja itakuja kuzama siku moja. Wacheni kudhulum watu.
@ambokileasheengai1140
16 күн бұрын
Ardhi mali ya serikali je Watu ni mai ya nani?sio serikali mnaambiwa nyie watu ni mali ya MUNGU
@HafidhKhamis-ph8qg
16 күн бұрын
Kwani sie hatujajua tu kama tuliondoa mkoloni mweupe na sasa karudi Kwa mlago mwengne Kwa muafrika
@rukayyaaliy9713
12 күн бұрын
Jamani hiii dunia tunapita tunaondok na sanda nyeupe uwemtu wa serekal sio serekal nyanda yetu nimoja ubao wetu ni mmoja kilakitu unakiyacha mali ya mwenyenzi mungu allah ndie mmiliki wa kilakitu kwani yeye kamba uwonavo vitu vyote vya duniani vyote mmiliki ni yeye allh kwa iv tutumie akiri
@alhudhaify7810
9 күн бұрын
Ivi airport ya kiembesamaki na kigunda mnataka kuongeza nyengine? Khaaa kwa wasafiri gn? Hebu kajengeni kile cha pemba kwanza
@OmarMbwana-c4h
6 күн бұрын
Nyie wezi 2
@jumaabdalla3374
17 күн бұрын
Watu wanadanganya lakini bikon si zipo
@hatibbaraka3956
17 күн бұрын
Bikon wameeka miaka 7 iliyopita na wakati walipokuja kuomba eneo walikuja na kauli wapatiwe eneo la kujenga kituo cha uokozi maana tupo kwenye ukanda wa pwani tuna watalii wengi. Hili bango unaloliona wameweka mwaka jana na baadhi ya bikon wameweka juzi hata wiki 1 haijamaliza. Kuna watu wapo kuzitumia hizo arshi toka 1978 kaka.
@muhammadkhamis5798
16 күн бұрын
Ccm hoyeeee 😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
15 күн бұрын
Na uonevu na unyanyasaji wa mkololi wa kileo ccm oyee😂😂😂
@Aisha-lj8bu
16 күн бұрын
Najisikia kichefuchefu kwa serikali hii jamani viwanjahivo nataka kutuuza kwa wageni au vipi maana tayari mmeha jenga huko kaskazin kiwanja kipo Maashaallah Inter national Airport yakifakhari inatosha watu wanalka njaa Nyinyi najenga majengo yatakaliwa nani au huo uwanja watu watakula acheni ufisadi kufusidi mali zawananchi hakuna Ardhi ya serikali Ardhi zote zina wenyewe tangu enzi zamababu zetu
@ambokileasheengai1140
16 күн бұрын
DAH HII NDIO AFRIKA NYEUSI KWAHYO ARDHI WAO WANAWEKA BICONS NA KIONGOZI UNASEMA SERIKALI HAIJAAMUA?KWELI HUU SI ULAGHAI,,,KWANI ARDHI HAIKO KWA SERIKALI?
@whatisthetruth.8793
15 күн бұрын
Viongozi Africa hawawajali watu wao ,, wanawaona kama nyani tuu , hili ndio tatizo la Africa nzima
@rukayyaaliy9713
12 күн бұрын
Wewe unaona makelele ila munatukandamiz maisha magumu
@Bilioneabichwa331
16 күн бұрын
Mnaibishia serikali?
@user-wf8eb6nm4s
15 күн бұрын
Israfu hiyo uwanja wandege SI upo Kuna haja gani kupoteza pesa za wananchi na ardhi kubwa kutumika bila umuhimu uwanja tulionao unatosha
@CrazyBon-p7h
10 күн бұрын
Wanataka kutia umaskini wananchi wao tu
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
14 күн бұрын
Ww muongo bwana munataka kuondosha wtu kwenye makazi wkt hata alama mumeshaweka
@salimsalimali8285
15 күн бұрын
Wapeni fidia inayostahili hao wananchi, uwanja wa ndege ujengwe.
Kwani kuna haja gani unapotaka kujenga nyumba yako ushauriane na watoto wako wakati kila mtu unamuwekea chumba chake ...... Jenga nyumba BABA ukifa sisi watoto ndio warithi wako..... ijenge iwe na thamani ukiondoka itusaidie soteeeeee.
@LUBAINAMOHDRAJAB
13 күн бұрын
Kwani hujui kama bado ww ni koloni tu..
@FatmaAbdulhalim
16 күн бұрын
Mitihaniiii
@othmanali5362
17 күн бұрын
Sawa baba
@abdallaabdalla7026
16 күн бұрын
Ana Hashuo mwnyi
@lmdos4382
12 күн бұрын
hawa ccm dah, ccm paje uwanja wa ndege wa nini?
@ilynpayne7491
16 күн бұрын
Nchi mali ya wawekezaji kama mlikua hamjui Tanzania ime funguliwa iko wazi wananchi sisi kama mifugo
@whatisthetruth.8793
15 күн бұрын
Wawalipe tuu
@abdull_hafidh
16 күн бұрын
Yangu Macho tu
@afropanorama4730
16 күн бұрын
wazungu mpaka uko juu pia washajaa,naona mwisho mutakimbilia mtule
Nahukunungwi tayar weshakuja na madoza Yao kuchukuwa viwanja vya watu wanasena mali ya serekali Sasa tukajengewap tukae wap au tujengeeni nyumba tukae
@ilynpayne7491
16 күн бұрын
Hi nchi mali ya wawekezaji😅😅 maeneo wame chukua wazungu na Waarabu wa nje ya nchi
@TunauzaSimu-fn2ff
16 күн бұрын
@@ilynpayne7491 utalii/ utalia time ndio hii. Athar haiji haraka hasa kwa mambo makubwa na endelevu.
@user-hh5ew8wb7d
16 күн бұрын
Wacha zulma haidumu ww kwacha mwenyewe umedhulumu
@abdulhial6176
16 күн бұрын
Nina kuomba ww wazir wa ardhi kwa akili yako nenda kwa wasikilize wana nchiì wa jambian na wa paje haraka iweze kanavyo huko ndiyo unguja ilipo ahhhhaaa mķonnĝooo
@YunusMwadini
15 күн бұрын
Serikal yet ni sikivu naamn rais wet atatatua hili kwa hekima na busara
Пікірлер: 77