Pole sana Mh. Bwege naona kaa Una Stroke Hiyo Hali uliyo nayo sio normal
@bigdad1816
Жыл бұрын
Hongera Mzee umesema ukweli Sisi ni ni binadamu Mzee Mungu akupe Maisha Marefu Kwa kumsemea Mjomba Wangu Marehemu Magufuri.
@VotanVotan-gb3hd
Жыл бұрын
Nilikumisi sana katika bunge la Tanganyika heshima Yako hko kirwa
@fidelfidel-jz4iw
Жыл бұрын
Bwege kweli hiyo hali ndugu yangu shwali .
@nyamgarurijaphet4003
Жыл бұрын
Haya
@w4058
Жыл бұрын
Allah akupe afya yako kamili Yaarabiy
@knight6757
Жыл бұрын
🤔
@simonikasato6310
Жыл бұрын
🙄🤔
@sagandamalechampullo659
Жыл бұрын
HAKUNA CHA BAHATI MBAYA
@salimliemba3458
Жыл бұрын
Msameh bure mtu anaitwa bwege sio kosa lake la huyo alompa Jina na hayo matamshi ya huyo bwenge jeshi la polis watalifnyia Kazi
@halimamasai2234
Жыл бұрын
Huyu Bwege kweli bwege hana lolote akaombe mungu maana atakufa saa yoyote mdomo usha pinda bado anamsema magufuli wetu shenzi sana
@leokamil6284
Жыл бұрын
Unamuombea afe wewe utaishi milele?
@aishaaisharagp9381
Жыл бұрын
Ivi we we unomuombea bwege kufa unajuwa mipango yamungu icikute ukajikuta ww umetangulia kablayake maana kifo hakichaguwi mkubwa wala mdogo mzima wala mgonjwa sote tumokwrnye foleni ukifika mudawake mtu anaondoka Allah atupe mwisho mwema
@mabulajoel1967
Жыл бұрын
Mwongeaji kama kalewa hivi!!!
@w4058
Жыл бұрын
He is diabetic patient Allah ampe siha yake
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Anaumwa kisukari. Ila ni mwanasiasa mzuri Sana. Mungu amponye
@leokamil6284
Жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352Amen
@rajabjuma277
Жыл бұрын
Ushamba wewe mzee haki zako huzijuwi ndo wewe ukiletewa maji unasema maendeleo
@richardhosea8827
Жыл бұрын
Afya yako na jukwaa unajikontamineti
@mzarendo.com9624
Жыл бұрын
Demokrasia ya vyama vingi na uhuru wa kujieleza ni haki ya kila mtanzania na wala sio hisani wala fadhira za Rais Samia na CCM yake. Kwahiyo serikali inapo jenga Hispitali sio suala tena la kuishukuru bali ndiyo wajibu wake kuleta maendeleo kwa wananchi. Huwezi kumsifia baba au mama kwa kumpa chakula au mavazi mwanae, kwasababu ndiyo wajibu wake kumlea na kumtunza huyo mtoto wao. Kwahiyo habari ya kuisifia CCM sijui imejenga Zahanati, mara sujui imejenga Shule, huko ni kujipendekeza tu kwasababu huo ndo wajibu wao. Sasa wewe ulitaka wafanyeje na kama sio kuhudumia wananchi kupitia kodi zao? Na kama CCM iliteka na kuua watu kipindi cha Magufuti kwa kutumia genge la wasiojulikana, watu ndo wasiseme ukweli uliopo? Hayo yalitokea na yapo tuna yaona tutasema na hatuto nyamaza. 😳😳😳😳😳
Пікірлер: 20