Awa police wanaona kama wanaweka amani sawa lkn awajui wanaendelea kutengeneza chuki kweny mioyo ya watu na serikali... Mungu tusaidie Watanzania
@TATUMSUMSA
10 сағат бұрын
Nchi ya wachache sio milioni sitini kama inavyosema sensa
@DavidMutiba-hr3vo
11 сағат бұрын
Naona yamekuwa maandamano ya polisi sio chadema.
@mrambabashim3571
10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@VoccaBeatz-xf2jg
10 сағат бұрын
😂😂😂
@JokhaJokhaabla
10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@FrankNoel-g2h
9 сағат бұрын
Safi waandish kwa kuwa na umoja🙏🙏
@muzafarsharif9465
11 сағат бұрын
Tanzania kuimba amapiano tu kuandamana aaah😂
@GufgChgy
8 сағат бұрын
😂😂😂😂
@fredducaunt
5 сағат бұрын
😂😂😂 mbongo kelele za mitandaoni live huwaoni 😂😂
@Twahamwela-ch5lz
5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@EricUbalijoro-x1l
10 сағат бұрын
Hiyo nguvu mnayoitumia watu wasingekuwa wanatekwa wala kuuliwa ovyo
@stevenjackson4985
8 сағат бұрын
Wanaoteka watu hawaandamani. Waambie waandamane hadharani kama hawatakamatwa.
@SamirPeter-t4u
11 сағат бұрын
Mnakamata waandamanaji wa kimwili lakn wapo wameandamana kiroho watu wapo magotini kwa Mungu wakiomba haki kwa Mungu nyie watu msiojulikana mnakatisha uhai wa watu mpo mbion kulia na kusaga meno ogopeni sana watu wenye maumivu moyon, sijui lengo la chadema kuandamana lakn lakn kauli yao ya kutaka haki ndio imesisimua mioyo ya weng wakitaman haki itendeke kwa watu wanaotekwa 😢😢😢😢
@JokhaJokhaabla
10 сағат бұрын
Exactly msg senta imewafika na vitendo vimeonekana
@MahaSaeed-hf3gs
9 сағат бұрын
@@JokhaJokhaablagood❤❤❤❤❤
@juliusjohnii7823
3 сағат бұрын
Kwa kweli@@MahaSaeed-hf3gs
@OmanSinaw-r9b
11 сағат бұрын
Tanzania nikama kwetu Burundi ugipima tuu ety maandamano utakufa utatafutwa nafamiliy yote inatafutwa yani kirakitu sisi hatusemi naona naa Tanzania wananchi hawausiwi gusema
@elandaboyz
10 сағат бұрын
Kwani Tanzania hawana magari za police, hizi vitu gani wanatumia😂
@maryamtan682
8 сағат бұрын
Kwani polisi wana aina moja tu ya magali.?
@Anandezi
10 сағат бұрын
Kuogopa kuona watu wengi wanapenda Chadema sio Ccm, chadema watashinda, watu wengi amechoka na CCM. Kutishia watu maisha
@MariamJuma-c1h
10 сағат бұрын
Watu wasio julikana wapo kazini😊
@ericlowasa3097
8 сағат бұрын
Ndugu kuwa makini na comment zako hii ni Tanzania siyo marekani shauri yako
@MariamJuma-c1h
7 сағат бұрын
@@ericlowasa3097 pole yako kama upo Tz lingine acha woga mtoto wa kiume maendeleo hayaji vile anavyo fikiria sawa
@fredducaunt
5 сағат бұрын
@@ericlowasa3097 Dah 😂😂 woga wa watanzania ndo unawaponza
@nasramusaro
10 сағат бұрын
Mfikirie na kifo chenu msifurahie dunia tu mkumbuke na akhera yenu
@JumaMatao
8 сағат бұрын
Bora ya hayo kuliko kuharibu aman ya nchi yetu
@salumbujjo2320
10 сағат бұрын
Daah kweli nchi ina serikali mbovu sana
@miltonjohn9779
10 сағат бұрын
Tena sana. Hakuna anachokifanya zaidi ya kuje ga kwao tu
@RamadhanAlly-cf7du
6 сағат бұрын
Kabsa
@PeninaMaduhu-j1z
11 сағат бұрын
Inashangaza sana nguvu kubwa inayotumika kuzuia maandamano ya Amani.
@alexvenas2699
10 сағат бұрын
Wakati wa Mungu ukifika Kila goti litapigwa na Kila nafsi itaonja mauti.😢nyakati zitaongea.
@abdallahhamza9689
9 сағат бұрын
Mungu gani?
@yusufsaid8911
10 сағат бұрын
WATANZANIA NI KAMA MAITI HAKUNA SIKU WATAAMKA WANADAI HAKI ZAO.
@wilhelminajob3581
4 сағат бұрын
Kwani wa TZ nani katuloga?
@francisotieno5086
8 сағат бұрын
Wana Tz ni kama hamjui kufanya maandamano hire us from Kenya we do it for u guys
@SamirPeter-t4u
7 сағат бұрын
@@francisotieno5086 sio kwamba hatujui kuandamana, kumbuka wenzetu simiyu waliopoteza maisha ni vijana ambao n wadogo mno, geita pia Binti wa kidato Cha nne amekatishiwa uhai wake, haya angalia hapa DSM mambo yalivo Toka Jana police wanasilaha za kuulia magaidi afu mm hata fimbo tu Sina ntaanzia wap acha Mungu asimame tu wenyewe hatuwez kabsa 😭😭😭
@SurprisedAntenna-ne2vr
4 сағат бұрын
Tunaomba msaada jmn wakenya
@saxannjo6173
10 сағат бұрын
AMANI YETU NI TUNU ILIYODUMU KWA ZAIDI YA MIAKA 50,,, ASITOKEE MPUMBAVU YOYOTE WA KUJA KUIVURUGA KWA ULAFI WAO BINAFSI WA MADARAKA... HONGERENI SANA POLISI. HAYA NDIO TUNAYOYATAKA.
@ericlowasa3097
8 сағат бұрын
Duuh hii nchi ngumu sana ......
@taylorkasitu3819
7 сағат бұрын
Mpumbavu ni wewe usijielewa mtaji wa wezi wa ccm
@peterilimwa5754
6 сағат бұрын
hiii nchi Kuna matatizo mengi Sana
@EmmanuelGilibert
6 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂inabdi tusitoe ushirikiano wowote kwenye uchaguzi kwa sababu kama unamchagua Mt alfu anakuwa kama roboti nibora tuache mungu atainua meingine kwa mda wake
@RamadhanMpogo-fm9yl
3 сағат бұрын
@@taylorkasitu3819Sasa wewe unavyofikiri nani atakayeingia madarakani halafu asiibe, tena hao mnaowataka ndo watakuja kuhomola sio kuiba tu dadadeki !
@KingIbrahimHaule-t7f
11 сағат бұрын
Police Tanzania acheni kutumika kisiasa
@PauloAlfayo-qi1gn
7 сағат бұрын
Ee mungu uko wapi,Kuna ,wimbo unaosema bwana yesu uko wapi mpenzi wangu rafiki njia Gani amekwenda nitamwonaje mm?
@khamisjuma7616
5 сағат бұрын
2025 ndio mtawaelewa watz kwamba tumewachoka mungu atufikishe hata hii serikali ya mitaa mtapata salamu zetu nyani nyiie
@HuseniJuma-h3o
9 сағат бұрын
Ebu kweli tuseme ...wamekosea nn hawa raia jamani ..serikali mnazidi kututia maumivu ndani ya donda la vilio kwenye mioyo yetu.....naelewa nikwamipango yakini yanaweza tatuta hili...viva amani viva
@fashyahmed4135
9 сағат бұрын
Hapa sio kimaliza tatizo bali ni kuongeza tatizo mnajaza chuki kwenye mioyo ya watu
@ElizabethNanjala-z4m
11 сағат бұрын
Wakenya ndiyo wenye maandamano siyo tanzania
@mkude
10 сағат бұрын
Wakenya hao hao wanakufa kwenye maandamano viongozi wao wanakutana ikulu kula Bata, jinga kabisa
@VoccaBeatz-xf2jg
10 сағат бұрын
We endelea kuongea utopolo tu utashangaa tumetimba anga izo
@abdhallahsaid4876
10 сағат бұрын
@@mkudekwani huko kwenu hakuna mtu aliekufa juu ya kutetea inchi yao
@mkude
9 сағат бұрын
@@abdhallahsaid4876 huku kwetu tunatii mamlaka ni harumu na Dhabi kukaidi serikali
@ZenaUsangi
8 сағат бұрын
C TUNAPENDA AMANI SERIKALI HAITUTAFUTII CHAKULA YANN TUANDAMANE?TIUCHAPE KAZI NDG ZANGU HAO WAHAMACSHAJI MAANDAMANO PESA WANAYO.KAZI IENDELEE
@BENEDICTMHINA-pd1kr
9 сағат бұрын
Daah waandishi waoga sana Jamaa kajitetea sana 😂😂😂😂
@josephmkinga9509
4 сағат бұрын
chademaa inatisha polisi wote wameandamana na sio chadema tena safi sana ujumbe umefika mnatia nguvu kupita kiasi
@ElishaSolomoni-kc4zk
11 сағат бұрын
ME MWANDISHI ME MWANDISHI🤣🤣🤣
@ndakilufunga9008
10 сағат бұрын
😂😂😂
@fashyahmed4135
9 сағат бұрын
Mwenyezi mungu ataamua haki kwani hakuna mwenye nguvu zaidi yake Allah iko siku malipo makubwa yatalipwa
@WinfridaAluto
11 сағат бұрын
Kibonge wa watuu😅😅
@FredyJoseph-m3z
9 сағат бұрын
Inaumiza sana ila mungu yupo IPO siku ata hao police watachoka😢😢😢😢
@twalibulomy-cd4zd
9 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Machadema wote yamegeuka waandishi.
@anner8120
9 сағат бұрын
Sas kwani awa watu wamefanya kosa gani?😢
@RamadhanAlly-cf7du
6 сағат бұрын
Ni upuuzi tu wa hii nchi
@halimamasai2234
11 сағат бұрын
Kuna watu wanataka umarufu tu wala hawana shida ya kuandamana 🤣🤣🤣
@@edwardaaronmassawe4951 sawa atae uwa ndugu yangu ye ataishi milele acha chuki pambania familia yako iyende chooni boss 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
@humphreybilly7437
10 сағат бұрын
Sasa wanajuaje kuwa Hawa niwaandamanaji?
@davidmwandenuka1712
10 сағат бұрын
Unasifia ufala
@CharlesMwakajinga-r5d
10 сағат бұрын
Kampa mimba mamaako
@jumamussantuiche
5 сағат бұрын
Waandamanaji wote wapeleke kongo goma.
@pcthemaster9096
11 сағат бұрын
Ila uchaguzi utakuwa mgumu sana labda muibe kura
@mkude
10 сағат бұрын
Hakuna ugumu wowote mama Samia anashinda Kwa wepesi sanaa,chama kipi chenye ushawishi mkubwa kushindana na mama Samia,
@JokhaJokhaabla
10 сағат бұрын
Kwani walishawahi kushinda😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂 Madarakani wanajiweka wenyewe hlf nashangaa mnapata tabu kupigwa na jua na mvua eti mnapiga kura
@miltonjohn9779
10 сағат бұрын
@@mkudekwani Hilo lisamia lenu ni chama?
@mkude
9 сағат бұрын
@@miltonjohn9779 na Kwa wachungaji wenu hamna anaekubalika hata mmoja
@JesusJesus-ny1sm
4 сағат бұрын
@@mkudeKura yako peke yako ndiyo itamshindia !??? Hana kura za WaTanganyika.
@misha.e.mmbaga5154
9 сағат бұрын
Hii nchi hiii sasa hao mbona walikua hawaandamani jmn,acheni uonevu ,mnatafuta sifa tu
@sonilyemily523
11 сағат бұрын
watz waoga sana et mi muandishi x4 mtu anajitetea na uandishi
@VoccaBeatz-xf2jg
10 сағат бұрын
Watz n mbogazi
@miltonjohn9779
10 сағат бұрын
Ni wajinga
@husseinmramba
9 сағат бұрын
Acha kujikuta smart na kuzidi watu wote akili we mwenyw ungekuwep usingefanya chochote na huwez fanya chochote unakaz kujicommentish tu hapa mtandaoni
@AbdulWaheedAlRawahi
9 сағат бұрын
Nyie mliokamatwa tuone kama MbooWee atakuja kukuoneni asubuutuu. Ni sawa na kununua matatizo, kuwapa shida mke na watoto kwenda kushinda polisi na mahakamani kila siku. Faida ya viongozi wa chadema hasara kwa walala hoi.
@humphreymkony8915
3 сағат бұрын
Kujiita Abdul ndio uonekane mtoto wa mama au? Akili tope
@pastorlazarosamwelkilala5795
11 сағат бұрын
Sasa kila raia ana kamatwa
@VoccaBeatz-xf2jg
10 сағат бұрын
😂😂😂
@jumaothman9449
7 сағат бұрын
Mm nilijua watakamatwa waliomo na wasio kiwemo. Kama mm ningekuwa dar siku ya Jana tu ningesafiri kwenda mkoa mwengine. Nafahamu kilichotokea 2001 Pemba maandamano ya CUF
@AthumanHassan-d7x
10 сағат бұрын
Mahafande Leo mmekua wapole amburi watu Yani safi kweli mnalinda lahia
@MkMk-t9f
10 сағат бұрын
Nenda darasan
@ReginaWilliam-d5g
10 сағат бұрын
Nakushangaa ww unaesoma comment hiii ,umeshindwa kuandamana na wenzako kaz 2 kuangalia kinachoendelea kwenye sim 😂😂😂😂
@JackieMartine
11 сағат бұрын
Tanzania na maandamano ni wapi na wapi maandamano waachieni kenya bwana😂😂😂😂
@halimamasai2234
11 сағат бұрын
Kweli yani sisi madamano yetu ni ya mdomo tu 🤣🤣
@dicksonkazungu7925
10 сағат бұрын
@@halimamasai2234😂😂😂😂
@JokhaJokhaabla
10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@HafidhAli-b6e
10 сағат бұрын
Wapeleke wamechoka kukaa uraiani,Mange kimavi anawacheka, chadema ni chama cha matukio,kinateka na kuuwa halafu wanatengeneza maigizo
@liberatusmsasa7103
10 сағат бұрын
Kwa hiyo polisi wameshindwa kuwakamata? Ni nani chadema anayeteka na kuua watu tusaidie sisi tunsotsmani wauaji wanapatikana tushughulike nao. Kama hujui basi wewe mkundu.
@HafidhAli-b6e
9 сағат бұрын
@@liberatusmsasa7103 my friend soma kitabu cha Dr Slaa kama unataka ushahidi kwenye kile kitabu ameeleza Mambo mengi pamoja na hilo la ujasusi wa chadema,waliomteka kibao na kumuuwa ni hao hao chadema ili kutengeneza taharuki,hujawahi kumuona yule jamaa alietekwa na chadema?anatowa ushahidi lilikuja gari la policy na Police na silaha but at the end lile gari lilikulikana ni la jalima mdee kama jio haitoshi Slaa amesema walikuwa wakiingiza silaha kutpka nje ya nchi,Nchi imetulia mnataka kuleta ujinga
@SuleimanSalum-ck1ws
10 минут бұрын
Namuomba allah mwaka huu asikali hawa wawe vilema wenye maumivu kila ikiingia jion wafe vifo vibaya laila anta subhanaka in kuntu mina dhwalimin laila anta subhanaka in kuntu minadhwalimin laila antasubhanaka in kuntuminadhwalim
@SharhabilMuhamed
8 сағат бұрын
Mimi kwa ushauri tu kama mtu anapata riski ya kila na seem yakupumzka atulie tu asitafute matatizo awachie wenyewe wanasiasa MAMB YANGOSWE MUWAVHIE MWENYEWE.
@Mima-cl2im
9 сағат бұрын
Mbona Polis wengi kushinda watuhuiwa. Munapoteza fedha za umma kukamata watu wasiokuwa na hatia wakiandamana kwa amani
@ramadhanmwandambotuntufye5972
8 сағат бұрын
Chezea Dola weye, Dola ndio kila kitu, kidogo maandamano badala ya kunadi sera, mnanadi upumbavu wa maandamano. Kila siku chadema wanasonga ugali mbichi, sijui utaiva lini. Viongozi wenu wamekosa sera. Wao ni fujo.
@heripaulo1008
10 сағат бұрын
Hiyo nguvu ingetumika kuwatafuta watekaji mambo yengekuwa safi sasa
@AlexKalonga-d4o
10 сағат бұрын
The police arrest people without proof, the Tanzanians just talk too much but they don't have hard hearts like the Congolese 🇨🇩😂
@AnthonyMbogo-g5r
3 сағат бұрын
The people arrested look so innocent,wadamanaji wako wapi?
@AnociathaChuwa-cb5nk
7 сағат бұрын
HAWA NDIO ASKARI WA TZ HAWANA KAZI WENZAO WAKIWA BUSSY KUTENGENEZA MA DRONES WAO WAKO BUSSY KUKAMATA NA KUPIGANA NA WANANCHI WADAI HAKI AIBU KWA JESHI LA.POLICE NA SETIKALI NZIMA YA CCM
@RestitutaTarimo
11 сағат бұрын
MUNGU Ibariki TZ
@DjMswati
11 сағат бұрын
kwa nchigan sem bariki kenya
@lukomanomaliki5442
10 сағат бұрын
Mara kumi mwanangu awe Mwalimu kuliko polisi,hata kama hauna malupulupu.Kazi ya kutumwa hata kuwakamata binadamu wenzako bila haki kisa tu umepewa amri.
@PhilipoMwita-b2x
10 сағат бұрын
Lazima tukubali sisi ni waoga
@dicksonkazungu7925
10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@BENEDICTMHINA-pd1kr
9 сағат бұрын
😂😂😂
@nyabahailani3169
9 сағат бұрын
Kenya ndio kuna maandamano tz wote wa baridi yaan hovyo kabisa
@RUKIANTUMILIGWA-if8qf
7 сағат бұрын
Safi kabisa jeshi la police kwa ulinzi.Mungu awabariki sana.
@RamadhanAlly-cf7du
6 сағат бұрын
Ww hujielew ulinzi upi watu wangetekwa kama kuna ulinzi jitambue bqc toka gizan
@nurumazyun9392
30 минут бұрын
Uchaguzi unakaribia...mbinu kibao watatumia chadema...hivi walikuwa wapi?
Rais ndiyo kayataka haya kwanza tunaambiwa nchi sio yetu watanzania atuna haki yakujitetea Mungu katende haki
@NjoholleSolloOlesoyaih
8 сағат бұрын
Jamani tusiige tu kila kitu wakati mwingine tuishi maisha yetu, wakenya babu zao waliandamana tangu zamani watoto na wajukuu wamerithi, sisi babu zetu hawakuwa na haya mambo , ndiyo maana yanaonekana mageni , tulia nyumbani kwa amani ya maisha yako, waacheni wanasiasa waandamane peke yao maana wanamaslahi katika hili
@SaidKhamis-q4b
3 сағат бұрын
unaandamana kwa ajili ya tumbo la mwenzako🤣🤣🤣🤣 ujinga
@AGUSTADAUDI
7 сағат бұрын
WASENGE KWELI AWA WANAKAMATA WATU HOVYO TUU EMBU WAJARIBU KUFIKIRIA NDO WAKE ZAOAU WATOTO ZAO WANAFANYIWA HIVYO
@gregorychunya3727
10 сағат бұрын
Leo nimegundua polic wetu,wamefanya maandamano,badala ya cdm walio yaitisha,mungu awape moyo wa kujitambua.
@AgnesEphraim-jw6dv
Сағат бұрын
Polic mnakamata hata waandishi kwanza ayo mafunzo yakukamata waandishi mmejifunzia wapi
@OleLucas
7 сағат бұрын
Eemungu wasamehee maana hawajui walitendalo watu siyo kuku Wala sio njiwa angalieni Sheria na katiba ya nchi inavyoelekeza Tanzania siyo nchi ya wakimbizi
@laurencematitah7046
9 сағат бұрын
Maandamano yamefanikiwa kwa 100%
@andiahaji333
9 сағат бұрын
Hakika nnachokiona hapa ni maandamano ya polisi na silaha zao....
@DicksonChisata
10 сағат бұрын
Wakichukuwa chadema ndio watakuwa wenye nchi acha hisia nchi ya watanzania
@JacobMwamahonje-r2q
3 сағат бұрын
Hawa watu tunawaogopa sana lakini amuna lolote sijui wachawi nguvu hawana bunduki na pingu ndo vinawapa jeuli
@simbarajabu4157
10 сағат бұрын
Tii Sheria bila shuruti😂😂😂😂
@HafidhAli-b6e
10 сағат бұрын
Sawa sawa,tii Sheria bila shuruti vinginevyo utatii shuruti bila sheria
@joachimisack5834
40 минут бұрын
Hopeless
@SarahEdithchambo
11 сағат бұрын
Hao watu 3 pass zao zipo sawa uchaguzi uliisha wanapenda kula soseg mtabakivwenyewe na wakitoka hapo wanapenda kukaa kti viyoyozi na masaji nyie mnatafuta maji ya kukanda miguu poleni
@elandaboyz
10 сағат бұрын
Hapa hakuna police, I wish Gen Z ya Kenya ingenda huko
@BlankaPhilipo
8 сағат бұрын
Sa wanavyowaletea sho o fujo za kukamata haowaon wanachangia hasara hata kw makaz yaliyowazunguka mana kukamatwa mbele y biashara hizo fujo lazma hasara tu
@kisinza6077
7 сағат бұрын
Kuna siku ya kutisha naiona yaja! Kwa mujibu wa maandiko!
@frankmasse2477
8 сағат бұрын
Hili ni jeshi la kulinda CCM sio wananchi na mali zao😂😂
@RahimMallya-fh9zc
8 сағат бұрын
Mwandishi wa ccm wa mchongo , eti ulikuwa unakwenda, kumbe mnafulaia
@malickmashteo
11 сағат бұрын
Kwahyo ukipita tu maeneo ya karibu hapo unakatwa au vp....ko hata nkienda kwa wakala nakamatwa
@HassanHamza-qx9cm
9 сағат бұрын
Hii ni kutengeneza chuki kwenye mioyo ya watu na serikiali.
@giftkalenge418
8 сағат бұрын
nimejifunza kitu atu wanawacheka wanaokamatwa ndo maan wakamataji Huwa hajulikni mnaona mtu anachukuliwa mnacheka hamjui anaenda wapi na kufannywa nini
@aliaden5512
10 сағат бұрын
Tanzania hakuna wanaume ni wanawake na mdomo mingi hata maandamano hawaezi fanya
@AgnesEphraim-jw6dv
Сағат бұрын
Kwani Amna wakujitoa muanga ao polic wakafa kama amza alvyo fanyaga
@MichaelyphidelyGervass
7 сағат бұрын
Tz hakuna waandamanaji jaman fanyeni kaz zenu acheni ujinga nataman sikumoja Tz waje M23 wakinukishe nione jee hao polisi wenye vitambi watatuokoa kweli au wanajua kutukamata sisi wanyongee
@josephudoba5563
7 сағат бұрын
Tanzania tunatia aibu swala lilikua dogo sana Kwa Hali hii kunajambo la kujifunza
@ThomasBenedicto
10 сағат бұрын
Kuma maye kabisa kwa hali hii wabongo mtaeza kuandamana
@GodfreySospeter-f7r
8 сағат бұрын
Mi ombi langu vyama vifugwe, ibaki ccm. Haina maana ya vyama vingi. Nikutesa tu watanzania.
@IddyAdam-ww1mq
10 сағат бұрын
Aisee sku hii nchi wakichkua chadema hawajama watapata tabu sana
@arafathswaleh
8 сағат бұрын
Kuna Mozambique alafu kuna Tanzania, Kenya hatuwawezi kwa vitu hivyo tatizo unafki umetujaa sana sasa hiko kidude kidogo ndo mnakiita maandamano? 😂😂😂😂
@frankjohn8706
11 сағат бұрын
Polisi ni wengi wakifuatiwa na waandamanaji Kisha waandishi na wapota njia wabishi
@StephanoAlmas-z6n
8 сағат бұрын
Nyampala anapambania mshahara wake bila kujali kuwa kesho yake na kizazi chake ipo mfukoni mwa boss wake.
@RamaMikidad-vm3we
8 сағат бұрын
Watu wenyewe wanyonge maskin yamungu, bado police na mitutu yao kama wapo ukuriene
@FlorianAndendwile
9 сағат бұрын
Kazi ya police ni kupokea order Kwaiyo waacheni wafanye walichoagizwa
@khamisjuma7616
5 сағат бұрын
hiyo ndio shughuli ya polisi kutesa watu sio kulinda raia na mali zao
@kisinza6077
7 сағат бұрын
Kikubwa wajulikane tu mnawapeleka wapi!! Kuna jamaa anaitwa Kommandoo hana macho tangu sijazaliwa hadi leo Mungu anamtafuniaha tu🤣🤣🤣🤣🤣
@faridaamasha5700
59 минут бұрын
Nakweny kura tusiend maaan ht tukiend tukipig wanaaiba
@ezekielmwasenga4640
8 сағат бұрын
Hakuna mamlaka isiyo toka kwa Mungu Safi jeshi la polisi,,maana hao hawaitii mamlaka
@twalibulomy-cd4zd
9 сағат бұрын
Hao wanawake waliodakwa wapelwke gereza la wanaume. Waachwe siku moja tu.
@Mhina-z2u
10 сағат бұрын
Mama Samia aswachekee hao mbwa chadema siowatuwazur watatuharibia nchi kwa tamaa zao za madarka
Пікірлер: 327