😂😂😂😂😂😂tulikuwa hapo bwana ila baba mirinda ni kiboko yao🎉🎉🎉🎉
@jumaaally-fw3cf
Ай бұрын
Moto utawaka tukamilishie na abdu dj babaaaa❤
@mwalitv4555
Ай бұрын
Ni kweli Babu ni nomaaa
@AbushiryAlly-rj7zv
6 күн бұрын
ukimsikiliza uyu miranda krimu vizuri ni muongo babu DJ ni mzuri sana kwenye kutangaza afu muvi zako nyingi unamuiga babu DJ
@babamirinda3695
2 ай бұрын
Thanix tv swaili nimejibu.agans wangu wao wote wanajuwa
@uwesusaid5334
2 ай бұрын
Instagram jina gani unajiita huko sasa hivi ndio sehemu ya matangazo zaidi ✍️
@AnordGodlove-pn1cg
Ай бұрын
Kwanza jina baba mirinda babu dj ni mkali
@uwesusaid5334
2 ай бұрын
Baba mirinda mwamba kabisa 😂😂😂
@morisgonzalo
Ай бұрын
Babu anasema alianza 1999
@AbuuAsmah
Ай бұрын
Hapa baba mirinda kudanganya Mimi binafsi BCBG nimemkuta babu dj Akitangaza movie 2010 sijui uko nyuma alianza lini lakini iyo 2012 anayosema mirinda ni uongo sio kweli Huyu ommy Dj anatangaza movie tangu 2004 naona movie zake walikuwa wanaingiza maneno ya kiswahili kwenye VHS mikanda mikubwa kiufupi babu kamtangulia baba mirinda babu dj ni mkweli Ma Home Town mererani home ndo chimbuko la ma dj wote Arusha DJ's.
Пікірлер: 10