Very proffesional deliverance, jamaa ameua, hii kuomba hela inazingua, walipeni vzuri ma artist, wawe wanaperform content za kijanja, na hii masuala ya regular na vip inaboa na inawafanya reg wasijisikie vizuri yani inatengeneza matabaka. Hamuoni show kama za trevor noah du yani ni kali mno, maana hmna interference ya kati kati ya show wakati anafanya delivery on stage, hii kuleta kuleta hela wakati comedian anaperform inafanya asitoe utamu wote au pengine hata kuharibu. Mnakumbuka aza boi kwenye ile cheka tu search wale walioleta leta hela ndiyo walimpoteza, eliudi nae siku hizi ni kuomba omba hela ndiyo kunamfanya usifaidi utamu wake, ila bado utamu anao. Yani ni likewise demu akiwa anakuomba omba hela kiboya hata ajue kukatika vipi hata kama anaufundi kiasi gani huwezi kuupata wote na utaona utamu wake unapungua, kwa sababu ya kuomba omba hela. Au wadau mnasemaje? Ni maoni yangu ruksa kutoa na ww yako
@ChafupozHd
22 сағат бұрын
Kimjamaa nakubal 🤜🤛
@winfredngaeje6969
21 сағат бұрын
Hizo sauti za kicheko zime editiwa alafu haziendan na vitendo😮 Aibu Naona mm
@barackamtwange1925
3 күн бұрын
Mwamba unatalent
@kingsureofficial
17 минут бұрын
Kim😅😅😅 hapana
@eliudminga6085
3 күн бұрын
Nmekubal
@fadybeatz
3 күн бұрын
Sauti za kicheko ni editing
@Subscribers109K
3 күн бұрын
Ina ua vibe hio....sema tafanyaje watu awataki kucheka 😢
Пікірлер: 9