Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi Abdulrahman Kinana amejitokeza na kumuomba msamaha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Dkt. John Magufuli kufuatia matukio yaliyojitokeza siku za nyuma ikiwemo mazungumzo ya simu baina yake na baadhi ya viongozi wakongwe wa CCM yakimlenga moja kwa moja Rais Magufuli.
Mazungumzo hayo yaliyosambaa kupitia mitandao ya kijamii yalipelekea uongozi wa CCM kuwaita kwa ajili ya kumhoji Kinana na wenzake na baadaye kila mhusika kupewa adhabu kutokana na tuhuma zilizokuwa zikimkabili.
Hii ni mara ya kwanza kwa Kinana kuzungumzia jambo hilo kwa vyombo vya habari ambapo amekiri kumkosea Rais Magufuli, wanachama wa CCM pamoja na wa Tanzania kwa ujumla na kwamba kwa sasa anachoomba ni msamaha.
#kinana #abdulrahmankinana #chamchamapinduzi #ccmtanzania
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Негізгі бет Kinana amuomba msamaha JPM na CCM
Пікірлер: 43