Wanaosikiliza hii ngoma huku wanasoma comments tutambuane apa 👍👍👍
@hawamokka3627
3 жыл бұрын
Huyu mc kinata singeli anaiweza haswaa.😍dolemigo
@lilianpeter9886
3 жыл бұрын
Yaan kafunika
@edwardnelson335
3 жыл бұрын
chinga mwenye melody zake 💣💣💣🔥🔥🔥like kwa king of new school 🐘🐘🐘🐘konde gang fc nipen like chama la wana🔥🔥⏱️
@mtaani001tv
3 жыл бұрын
Ibraaah ni habari nyengine...huwezi mlinganisha na msanii yoyote bongo...wale tuko pamoja gonga like🙏
@auntiemylee3157
3 жыл бұрын
Kila mmoja anaplay part yake msee tusuport good music zetu n burudani cjui fans tunafeli WAP...mm team konde damuu
@queenmalikia3827
Жыл бұрын
🎉❤❤
@mohammedikitambulio2621
3 жыл бұрын
Kumamake Huyu Ibraah Wamoto Mno Hapoi Wala Haboi Dah Konde Gang For Everybody
@rayvannykiki8239
3 жыл бұрын
Jamani ukweli usemwe apa dogo apatia saaaaaaaaana ebukama umeukubali nipeni huko like zangu Tanzania 👉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 is in fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💢💯💯💯💯💯💯💯
@parambili1382
3 жыл бұрын
Uyu mtoto n fundi aiseee katishaaaa ni fireeeeeeeee kama umeona ilo ndondosha like yako apo kwajili ya kond gang family
@bbycandy3979
3 жыл бұрын
Wewe weeeh piga kelele kwa ibraha wake 🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Don lem go kiboko babu💃💃💃
@musamatsaki79
3 жыл бұрын
Kama Umeskua na kuelewa mustari wa Ibrah "mi sio kama dadavany kueka kucha bandia"🤣🤣🤣gonga like twende nalo hadi 1M views
@yukramkassimu6311
3 жыл бұрын
Hahahaha
@alwattanchinga
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/s5yEsHpqk3-nmII
@shukurungumitushukurungumi5603
3 жыл бұрын
😀😀😀
@fainajaffary4070
3 жыл бұрын
😃😃😃
@davidmayengo2046
3 жыл бұрын
Nakubal mwamba
@kaidrisa2711
3 жыл бұрын
Oyaaaa hatareee sana hiiii nani karudia Rudia kama mara zote ngonga like twenzetu on 1 trending 💥💥💥💥💥
@inetcyber4772
3 жыл бұрын
Wenye tumerudi hapa afta kuskia nyumba ndogo ya zuchu tupige likes
@joebaben9593
3 жыл бұрын
😅
@abdullkadirali2748
3 жыл бұрын
sio Kam dada van umewekaa kucha ya bandia daaah maraiiii ni 🔥 like zenu jpoo 10
@emmanueljoseph2576
3 жыл бұрын
Nimewahi kinata mc weweeeeeee like kwa kinata and IBRA
@genge_officiel6618
3 жыл бұрын
Song kali sana kinata mc ana vibe la kijanja san 😊😊😊💪💪💪💪
@KrizSnazzy
3 жыл бұрын
Ngoma Kali sana respect kutoka 🇸🇸🇸🇸wapi likes za Ibrah
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@amanimichael4533
3 жыл бұрын
Ibrah safiiiiii naomba like za dolemigo
@ramaahke512
3 жыл бұрын
Unae soma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️
@franksimle6696
3 жыл бұрын
Poa bhana
@dativagabriel3188
3 жыл бұрын
Amina
@abdimakame3387
3 жыл бұрын
Ibta
@abdimakame3387
3 жыл бұрын
Ibta
@thaliamalaika9711
3 жыл бұрын
Amen 🙏🏻 wewe pia
@kimsal5506
3 жыл бұрын
Gongeni like za Kenya hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Shaa-bb9vc
7 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@abey5508
3 жыл бұрын
Watanzania wakati kinata mc anapiga chafya mim sikuwep kwa iyo naomb irudiwe irudiwe jaman irudiwe
@ezekieltimotheo9907
3 жыл бұрын
nyimbo kali sana sema kinata Mc sauti haipangilie iko juu sana adi inaboa kuna sehemu anapanda sana adi inakua kama anapiga kelele ila kwa ibra nampa 100% amebalance unaweza sikiliza kipande kimoja zaidi ya mara 10 mziki hunao imba biti ni ya kukimbia na kufoka sasa ukishindana nayo unaharibu
@maulidsarai2362
3 жыл бұрын
Konde gang 4 everybody....chinga umeua xana kk🐘🐘🐘🐘
@shadhililipamba5661
3 жыл бұрын
naomba like za ibraaah apa ata 50
@rashidmustapha5816
3 жыл бұрын
Daaah kama umekubAli bonge lasingeri gonga like na mimii nifurahi
@rashidmustapha5816
3 жыл бұрын
Dah
@mwanaishaalfan3145
3 жыл бұрын
Dogo lbrah Sai umechanuka ile mbaya ivyo ndo tunataka 🔥🔥🔥🔥
@muhammedymadati4042
3 жыл бұрын
Pongezi za dhati kwa ibraah na timu nzima ya kondegang, siku zote mpo mbele kupush game la kisingeli 🙏. Jahbless 👊👊👊. #singelitothetop #kondegang4everybody #kondegang4life
Ibraah kwa kweli tunakupenda huku Kenya, yaani umebarikiwa kipaji kikubwa sana katika sanaa ya uimbaji
@yasheha9412
3 жыл бұрын
Kiboko ya dada vany🔥🔥🔥
@aysharahman3080
3 жыл бұрын
😂😂😂
@baaliyanuun416
3 жыл бұрын
The King is back Ibtah ft kinata MC Gonga like kama ww ni mwana wa KONDE GANG FC @ harmonize##
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@getyuth
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qm2Ck5eur6SLg4Y
@baaliyanuun416
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@abuuhilary4609
3 жыл бұрын
Simpenzi wa singel lkn kwahapa umenikosha ngoma kali sna
@richardmloha1762
3 жыл бұрын
Mweny alikuwa anaisubir na atairudia Hadi iende trend tjuane kwa likes wanang wa Kondegang
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@mishikitendo4441
3 жыл бұрын
Pamoja
@aysharahman3080
3 жыл бұрын
Lazima tufike trending
@richardmloha1762
3 жыл бұрын
Uwakikaaaah ❤️❤️
@boscoboy573
3 жыл бұрын
Oyaaaaaa wanangu nimechelewa naombeni like kumi to kwa ibraah huuu ndo mwaka wa ibraah wanangu
@paskarifabiani5431
3 жыл бұрын
P
@thaliamalaika9711
3 жыл бұрын
🤗🤗🤗
@nadhirynadhiry6842
3 жыл бұрын
Anaweza kusema ukweri
@hamisilally4727
3 жыл бұрын
Noma sana
@waaog7477
3 жыл бұрын
Jamani do lemi go.... Dindosha like tuu kma unapenda mziki mzur
@ELISSKGTV
3 жыл бұрын
Kama wewe ni mwanajeshi naomba comments ziwe mbili mbili tuingie trending asubuhi na mapema...hakuna kulala..
@husnanyamvula2372
3 жыл бұрын
Pamoja
@ELISSKGTV
3 жыл бұрын
@@husnanyamvula2372 basiii🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@yasinkatondopamojasanakaka3831
3 жыл бұрын
Jeshiiii
@karimujuma6595
3 жыл бұрын
Haina shida mdgo wangu hakuna wa kutuzuia konde gang4 love
@ELISSKGTV
3 жыл бұрын
@@yasinkatondopamojasanakaka3831 tusonge basi
@Kenyanewsalertstv
3 жыл бұрын
Dogo Ibraah tutakuona mbali siku za usoni, hatarii🔥🔥
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@getyuth
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/qm2Ck5eur6SLg4Y
@zou7470
3 жыл бұрын
Inshallah
@aysharahman3080
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@sumadashsumadash7342
3 жыл бұрын
Ibra unauwezo wakushiba sana,umeshika hii ngoma kama we ndio mwenye NAYO..nahii ndio maana halisi ya kushirikishwa unatakiwa unafanya kama yako ili kumuonesha upendo mwana
@emmanuelmuthui3081
3 жыл бұрын
Ibraah ameharibika mtoto huyu, moto kama pasi.
@sammykatana855
3 жыл бұрын
Love....Si kama Dada Vanny Mueka Picha Bandia👏👏👌😀
@renohmill5468
3 жыл бұрын
OYAAAAAAH DUDEEEE ILOOOOO PIGA LIKE WANANGUH✌
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@omarnuur5089
3 жыл бұрын
Wooooooooooow
@yohanakiyumbi4795
3 жыл бұрын
Do Lemi Go 👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nyimbo nzuri sn.... hongera sn #kinata MC feat Ibraah
@18_savage_rj43
3 жыл бұрын
Mwaka huu n kwaajil ya konde Gang 2 bx😄✊🏾
@euticasmburu6880
3 жыл бұрын
Atea atea atea atea don't break mi down do le me fa so la ti do nipeni likes anagalau ata Kama Ni moja
@eliuslimbutz5192
3 жыл бұрын
Hatar Sana naomba like 323kama umeikubar hiii kazi
@yuleoymsumufu6704
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥ngoma la mwaka
@moahamoh9959
3 жыл бұрын
Konde tisho uyu Ni mwana tu! Bado baba noma**
@paulkeah9630
3 жыл бұрын
Wale wenye tuliokuwa tunangoja hapo pa kucha bandia za dada vanny nyosha mkono juu nikuone😁😁😁
@jacksonjonas5894
3 жыл бұрын
oya eeeee run Kama umesikia Dada vany mueka kucha bandia gonga like twende sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@herewego3137
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/sqqZl6aYkqyTd6g
@Sabrahcloset255
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wabongo sie kwa kukuza🤗
@leayvictor7330
3 жыл бұрын
Jmn
@jacksonjonas5894
3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@ashamnaida5304
3 жыл бұрын
Habar ya mjini uno ,habari ya mjini wowowo nimependa alivyoonyesha wowowo na kulichezesha
@isadivanny
3 жыл бұрын
Kama unamkubali ibrah na unamuona atafika mbali kweny muziki nipe like me babu yenu 😭
@djdondullah8215
3 жыл бұрын
Mashabiki wa dada Vanny mko wapi, like hapa tukujue na ikikuuma ni unfollow alaaaa #KONDEMUSICWORLDWIDE #CHAMALAWANA #DOLEMIGO
Konde gang KINDAKI daki naomba 1k Kama wew pia Ni mwanachama gang for everybody
@husnanyamvula2372
3 жыл бұрын
Pamoja
@salimdogorasta6808
3 жыл бұрын
Cjawahi Pata like ya Konde Gang Leo Nawaombeni Jamani
@gabriellahpascal4052
Жыл бұрын
Kinata unaimba mpaka Raha jmn na hivi sauti zetu zinafanana maana sio kukwaruza huku much love
@jollykingkenya9878
3 жыл бұрын
Love from Kenya..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇯🇲🇯🇲🇯🇲..likes za ibrah zote hapa tafadhalii..🇰🇪🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲
@robertmgore3653
3 жыл бұрын
Aisee pale habari ya mjini uno habari ya mjini wowo mc kinata kanifurahisha hatari na nusu kama na wewe umependa nipe like 1
@mediotanzania2165
3 жыл бұрын
Asanten sana mashabiki zangu kwakusapoti mziki mzuri wa singeri za kijanja 🤚🤚🤚
@shangaziwataifa8675
3 жыл бұрын
Wasafi wanasema irudiweeeeeee
@lockedaway4666
3 жыл бұрын
😂😂😂😂🙌
@karnkarn4538
3 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@shangaziwataifa8675
3 жыл бұрын
Mm kama ambassador wa wasafi nakubaliiii..Npeni likes za wasafi
@aysharahman3080
3 жыл бұрын
Umekuja huku 🤣🤣🤣
@shangaziwataifa8675
3 жыл бұрын
@@aysharahman3080 Goma kali
@mansourmkanakuta6641
3 жыл бұрын
Awa watoto wametisha sana
@hassanovajunior6972
3 жыл бұрын
Don't let me go if my baby you love me forever, if you wanna go my heart break me down.Singeli to the World🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@boninabombenga1905
3 жыл бұрын
Eeeee
@alwattanchinga
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/s5yEsHpqk3-nmII
@barakarashidi3425
3 жыл бұрын
Ibraah umetisha sana
@carlvinnah5988
3 жыл бұрын
Wapi likes za Ibra... Love from Kenya
@asaa3219
3 жыл бұрын
Nani mwengine anarudia kama mm🔥🔥🔥🔥
@eliasparf4m
3 жыл бұрын
Kitoko sss ibraah de King🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿✌🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪💪💞💞
@biadiali8097
3 жыл бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
@jameschipande1090
Жыл бұрын
Huyu msanii Kinata mc anafanya vizuri hapa South Africa kwasababu anaimba kiingereza , kwahiyo kinasikika vizuri na ni mzaliwa wa hapa Kwa Zulu Natal, South Africa flag Ft Tanzanian flag.
@frenckmuhigi6694
3 жыл бұрын
Singeli kienglish yamoto sanaa 🤗
@rashidatymayad5221
3 жыл бұрын
Wamakonde 💥💥💥bebaneni
@frenckmuhigi6694
3 жыл бұрын
@@rashidatymayad5221 hahahaha daah
@luckychris3986
3 жыл бұрын
Much love from +254🇰🇪🇰🇪 wapi love from kenya
@eduwizzatheekingtheeking6169
3 жыл бұрын
Ngoma Kali bwana ibraah 🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘
@sheemuhammed4395
3 жыл бұрын
Yaany ngoma bado na watu washa dislike...kweli wachawi wapo
@salongoomutaka9708
3 жыл бұрын
Dada van kaeka nini??? Nimeipenda nikiwa kenya ebu wakenya tugonge like kinyama
@sarahdamas6724
3 жыл бұрын
Nawa ona mbali Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dyzerjoshuah5475
3 жыл бұрын
Hahaha nakbl ebu like hapaa kama hii ngoma kalii konde gang 4 every body
@impactoelectrical5814
3 жыл бұрын
Konde gang Kali sana.....tuendeni jamni
@sbboymkaliofficial9108
3 жыл бұрын
Kinata Aya mauno ulio mwaga umu kweli hii ni ya international singeli my blood ibraah more fire 🔥🔥🔥 tume kuelewa ibraah umetisha Sana mzee nakukubali
@amoskithy5705
3 жыл бұрын
Nimehama kule nko kond gang 4life
@DogoCharlie
3 жыл бұрын
Haha Do Lemi Go Hatari Sana!!!
@GitoshDan
3 жыл бұрын
Parody loading ....@Dogo Charlie😂😂
@Rebornmusiq254
3 жыл бұрын
Hiyo parody ikuje
@johnmaina608
3 жыл бұрын
Parody master @dogo charlie
@jollykingkenya9878
3 жыл бұрын
Hey broh..I like your parodies..hope to do one colabo with you soon
@paulkeah9630
3 жыл бұрын
Dogo fanya mambo yako😁😁😁
@shebyhassany911
3 жыл бұрын
We sooooooooooo pw weweeeee3eeeee
@LinePlusTV
3 жыл бұрын
Waliokubali hii ngoma tujuane 🔥🔥🔥🙌
@Mtumbaya09
3 жыл бұрын
Tayaaaar trend
@Andrex_Andrew
3 жыл бұрын
Aaaah! Kinataaaa🤗🤗 mmmmh!!
@jumaabdalah3884
3 жыл бұрын
Ngoma mzuri sanaaa jaman gonga like kwA chinga
@Jkemtranslators
3 жыл бұрын
Moto zaidi ya moto kenya tumekubali konde gang for everybody
@ibraahmfw1147
3 жыл бұрын
woyooooo.....Goma la moto kitaa halipoi vibanda umiza ndo 🔥🔥✨✨🌟🌟🌟💥
Пікірлер: 3 М.