Inasikitisha sana ngoma kama hii ina viewers wachache halafu video za wanamuziki waliouza nafsi zao na wanaokaa uchi zina mamilioni ya viewers
@mecksonlongole6034
Nakumbuka mwaka 2006 hii Ngoma ya moto sana Harafu pale radio free kukawa na kipindi kiliitwa mpambano wa wasanii siku hiyo wakamshindanisha King crazy GK na professor Jay hakika sikupiga kura
@solomonrein5440
3 жыл бұрын
Listening after the death of DK JPM may he rest in power and all the legends 🙏🙏🙏
@n___athan9487
3 жыл бұрын
Am here after the passing of JPM..God grant his soul eternal life
@mecksonlongole6034
Nakumbuka mwaka 2006 hii Ngoma ya moto sana Harafu pale radio free kukawa na kipindi kiliitwa mpambano wa wasanii siku hiyo wakamshindanisha King crazy GK na professor Jay hakika sikupiga kura
@delabossreizer9471
5 жыл бұрын
Hahaha awa ndio simba wa africa awo as Vita club peleka uko awanainshu simba ndio mwamba wa afrika tupa like apa twende swa kama unakubali gk alifanya kitu konk imepita mpk leo 2019 simba tunaipokea
@alvinalfredy3696
5 жыл бұрын
This is how educated people has to use their education
@jacksonchami9959
Huyo dada aliyefanya chorus anaitwa nani??
@kaizarymfuse7955
3 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana wimbo huu ,hadi machozi yani
@braytonsteven99braytony65
4 жыл бұрын
Kila naposkia hii ngoma nakumbuka mbal balaaaa🔥🔥🔥🔥🔥2020 bdo tupo sambamba
@juhudikihamaya5693
3 жыл бұрын
Plus John Magufuli.. Allah akuepushie na adhabu ya kaburi JPM... You are best in the world..
@devismariki5188
3 жыл бұрын
🇰🇪 Simba wa Africa, 2021 bado tupo sambamba👊
@tanzaniatest4529
Жыл бұрын
One of the best hip hop song in Tanzania
@antonykaranja2095
Wooooow can someone just pinch me , I live to discover great music and this one here is an awesome piece of music.
Пікірлер: 73