Watu wawili ambao wamefanikiwa kuleta uchawa adi serikalini😂😂
@KS-iw7qv
6 ай бұрын
Inginia HERSI akili nyingi......GSM ni GROUP OF COMPANY
@pacomezouzoua9175
6 ай бұрын
Hensi said enginier a.k.a mr genius appriciation sana brother
@tukuyufm
6 ай бұрын
Tanzania kuna vijana kweli.
@user-xx6uf5kj9w
6 ай бұрын
mtaalamu sanaa Mr Kassim Majaliwa
@omanmct135
6 ай бұрын
Mwijaku anachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-kv8sq6qz7g
6 ай бұрын
Tanzania nchi ya amani sana mnapendana sana na Endeleeni kuitunza amani yenu hamna ukabila na hamna udini na hiii ndo imewafikisha hapo
@Dipeson700
6 ай бұрын
Nyie mnaskiliza joti lakin, karia kaingia chini ya siti🤣🤣🤣
@Omy-dou
6 ай бұрын
More genius majinu ya enginear nkukubal sana
@vero57
6 ай бұрын
Babalevo tumbo hiyoo 😂😂
@hydo8027
6 ай бұрын
Hizi milioni milioni inakuwaje me ata laki sina😢😢😢😢
@chingaboy1149
6 ай бұрын
Uolewe utapata😂😂😂😂
@Manyanyatv8551
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@davidmathew1714
6 ай бұрын
@@chingaboy1149😂😂😂😂
@RobertChacha-hb9re
6 ай бұрын
Ndg wewe tulia tu ikiwezekana ahidi jezi
@westcijosh
6 ай бұрын
Pambana
@godfreykarata3710
6 ай бұрын
Mwijaku apana😂😂😂
@christinanickson2163
6 ай бұрын
❤
@Freedom_fighters898
6 ай бұрын
Kama nchi tunasafari ndefu sana. Hakuka u -serious kwenye mambo ya serious kabisa! Very shame
@user-hn4rq1mt4u
6 ай бұрын
Yaani nyie Ndo kituko cha mwaka inchi nawasomi wote hao munashidwa kubuni taratibu za kuwapa raia kipato munakalia upumbavu tu Kama uhu
@jamesdismas4884
6 ай бұрын
kaka unawaza kama mim 😂😂😂😂😂
@mikemutabuzi3665
6 ай бұрын
Joti video za kucheza umama zinakushuka, Pambana na joti Dume madili yamwagike, Achana na ujike kupitiliza, Watz kama so Africa, zile zinatushusha.
@aymanbahdela9
6 ай бұрын
Karia hatumuoni apa 🤣🤣🤣 4:27
@mellahbrain295
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yes yes of course
@JacobMarton-bb5nd
6 ай бұрын
aliemuona karia chini ya meza amtoe. .. ila joti hapana
@wycliffemuchika8635
6 ай бұрын
Request them please ask them to have something
@ChenchiKing
6 ай бұрын
Yan Kumbe Mwijaku Mpak Kingereza Unajuw
@gustavompemba1781
6 ай бұрын
Mtu kasoma
@christinewomanoffaith5479
6 ай бұрын
Ana degree 2 ,udsm na mzumbe Ila aliona mizinguo mtaani akajiongeza 😂
@hassansaul7098
6 ай бұрын
JOTI, eti karia kaingia chini ya siti😅😅😅😅😅
@Mastoryy
6 ай бұрын
Wewe mimi naahidi Baku jero tu!!😮 Aiongezeki
@user-hn4rq1mt4u
6 ай бұрын
Munatuweka haibu mnooo
@methewbuzuruga-eg8oz
6 ай бұрын
Kama ccm mmechemka hivi ili mambo yenu yaande swa lazima muwalete mwijagu na baba levo maanake chama hakina nguvu tena kinatembelea rime
@evamwambapa5251
6 ай бұрын
Jaman hizi hela wangekuwa wanachangia vitanda vya wa mama uko hospital za serikali km mange anavolalamika wamama wanazalia chini na kula kitanda kimoja watu wawili doh
@shundisammir8084
6 ай бұрын
Kila mmoja na mawazo yake.Weee unawaza madawati,kuna mwenzako nae anawaza matibabu. Hivyo elewa,kama wangechangia hili,kuna wengine wangelalama tuchangie lile.Ishi na msimamo wako kuwa,kila kitu kinakwenda kwa mipango ya wanao liona kwao,narudia "KWAO"ni la muhimu kwa wakati huo.
@sylvestercameo6263
6 ай бұрын
Kuna mama mmoja alichukua mafuta ya gharama kubwa akampaka Yesu Kristu miguu yake. Lakini mwanafunzi wake mmoja kwa unafiki na wivu akamshutumu huyo mama akidai ni heri angeuza mafuta hayo na fedha wakagawiwa maskini. Bwana Yesu akajibu kwamba mama huyu.katenda jambo lililo jema, kwani ninyi maskini mnao siku zote! Tusije tukafikia mahali tukalalamikia hata michango ya harusi tukidai ingekusanywa vikanunuliwa vitanda hospitali I. Kila jambo la kijamii Lina umuhimu wake.
@sylvestercameo6263
6 ай бұрын
Kuna mama mmoja alinunua mafuta ya gharama kubwa akampaka Yesu Kristu miguu yake. Mwanafunzi wake mmoja kwa unafiki na wivu akamshutumu huyo mama akidai ni heri angeuza mafuta hayo na fedha wakagawiwa maskini. Bwana Yesu Hali akijua unafiki wake akasema mama huyu katenda jambo lililo jema, kwani maskini mnao miongoni mwenu kila siku. Kila jambo litendekalo katika jamii lina umuhimu na nafasi yake. Vinginevyo tutalalamikia hata michango ya harusi tukidai ikanunue vitanda hospitali I!
@robertzamani5612
6 ай бұрын
Natamani siku Moja ingefanyika harambee kama hii ya kuchangia madawati ya wanafunzi katika shule zetu tungepunguza tatizo la wanafunzi kukaa chini
@alzawahirabdallah2299
6 ай бұрын
Sasa mbona km wanalazimishana kuchangia
@sabihaibrahim143
6 ай бұрын
😂machawa wakimaliza kuchangisha wamepata za kwao 50 m😂
@JumaOmary-ou3oc
6 ай бұрын
Machawa wakitetea ugari😅😅😅
@ibrahimaziz7158
6 ай бұрын
Ss mnaona uchawa unavolipa
@giztony2009
6 ай бұрын
If we have an any representative here hili jinga linasemaga lina degree mbili halafu haliwezi kusema sentensi moja ya kingereza!poor mwijaku
@jdanny497
6 ай бұрын
Hii nchi wajinga ni wengi that's why una ona upumbavu mwingi
@YoshuaSeverino
6 ай бұрын
Kwa hiyo kuwa na degree mbili ndio anyoshe kiingereza vizuri? Kwani ni mtaalamu wa lugha ya English? Elimu yake imemfanya awe mbunifu na kupata kipato kizuri sana hata cha kuzidi maprofesa wanaojua kiingereza
@drmussa1220
6 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/r2OIp4OLgKqQjJwsi=4y49PV8sKnWQbZPY MAAJABU YA MTI WA MNAZI kzitem.info/news/bejne/r2OIp4OLgKqQjJwsi=4y49PV8sKnWQbZPY
@chazyjacks673
6 ай бұрын
😂😂😂
@samuelcharles3796
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@mussatete2618
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@chingychingy2066
6 ай бұрын
Nchi aiko serious ii
@tyronemofekeng7152
6 ай бұрын
Hawa jamaa ujinga wao unawasaidia
@aziza9093
6 ай бұрын
Hiyonifujabaf😅😅
@gilliardgodfriend5745
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nacetsiringa1334
6 ай бұрын
Mbona SIMBA sijawaona😅😅
@petermando917
6 ай бұрын
Sasa watu wanachangia alf majitu yanakuja kujamba uwanjani
@Faustine_Charles
6 ай бұрын
Joti anashindwa kutofautisha sehemu inayohitaji comedy na inayohitaji protocal. Tatizo ni elimu.
@yusufmwangichannel6692
6 ай бұрын
Wewe ndie elimu huna. Kwenye mchango kunaitaji comedy ili kuwachangamsha na kuwachekesha walio hudhuria ili we rahisi kutoa mchango wakiwa na nyuso za furaha, unless uwe ni mchango wa mazishi au mchango wa mgonjwa na bado pia hapo watu watachekeshana
@user-yn7mt4mh8n
6 ай бұрын
Sasa Zile digre za mwijaku nizanini kweli !
@christinewomanoffaith5479
6 ай бұрын
Hazikumsaidia akajiongeza
@sitimohd2136
6 ай бұрын
Mwijaku😂
@user-vu2yu5je6r
6 ай бұрын
MILADI AYO NAOMBA NAMBA YA BABA LEVO.KUNA ISHU BINAFSI YA FEDHA. SHAKAZA KIBAHA
@AnnoyedMarsh-ex9xx
6 ай бұрын
wengine wanarazimishwa
@user-rn2zm7lu5w
6 ай бұрын
Hahahaha
@leokamil6284
6 ай бұрын
Ndio watanzania na mambo tunayopenda kuyaona 🚮
@patrickKitambo
6 ай бұрын
Kwel ni aibu sana na ujinga hali ya juu... Nchi yenye rasiliamli nying kama hii inachangia michango kwaajil ya timu
@r14kgroup68
6 ай бұрын
Hapo mmekula shavu
@richardmagaka9525
6 ай бұрын
Mtafute karia hadi apatikane kazi kupigapiga faini tu watu na timu afu yeye anaishia mitini zote anazofainisha anataka azijengee kwake tu
@philemonmagesa5548
6 ай бұрын
Ni mchango wa nn ndugu zangu???
@user-uo8xw9kr4b
6 ай бұрын
Ni timu za taifa znazofuzu kwenda mashindano ya nje km taifa star waogeleaji wakimbiaji n.k.
@ernestgeorge8412
6 ай бұрын
Hizi ni nyakat za mwijaku na B levo majumba joti pumzika tuu maana naona unatumia nguvu nyingi Sana kuchekesha hauna mvuto kwa sasa kaa pembeni tuu
@lilyshayo761
6 ай бұрын
Du
@christinanickson2163
6 ай бұрын
❤
@Kabeya410
6 ай бұрын
Weee joti huna ADABU HUYU NI WAZIRI MKUU KILA UKITAMKA TAMKA CHEO CHAKE KAMILI MAANA WE KILA UKITAJA UNAMKATISHA ATI MUHESHIWA WAZIRI. sasa waziri wa nini muwe na Adabu. Huyo siyo mtoto mwenzio
Пікірлер: 75