utabaki kuitwa kiba alafu kunatofauti kati ya kuanza na kufata wewe kiba unaanza alafu watu wengine tunafata no one like wewe gonga like kwa kiba
@rajahiv9723
5 жыл бұрын
Mdogo wangu kaniambia siwezi fikisha like zaidi ya 3 kwa #kingsmusic Kama ww ni #Team_kiba #Kingmusic #WCB basi like hapa 🦅🦅
@rajahiv9723
5 жыл бұрын
Ndio mzee baba acheni kubania like team wehu
@hadijarama8152
5 жыл бұрын
Kenya hatujalala jamani shemeji yetu anatoa toto
@kibangahassan8773
5 жыл бұрын
Haaaaaaa tuendeleeee Ku views zaidi maana tamu sana
@kipepohimself7209
5 жыл бұрын
Huna akili
@aluteharija9402
5 жыл бұрын
@@hadijarama8152 hahahahahaha ok mashemej
@teejoee993
5 жыл бұрын
Nan yuko hapa tena🙋...king kiba+ king music=gud music 😊
@idayakey6886
5 жыл бұрын
Team kiba tuna jisahau sana ngoma ikifika viwes miliyoni 1basi tunalizika siyo vizuli inabidi tusapoti benga kwa benga
@adamhashimu4462
5 жыл бұрын
kweli
@snakeboy1225
5 жыл бұрын
👌😃😃😃😃 toroka uje huku mambo ni 🔥
@gutugukuruwanga6544
5 жыл бұрын
+Shemeji waxxl wap
@snakeboy1225
5 жыл бұрын
+gutugukuru wanga WCB
@rayanalhabsi8029
5 жыл бұрын
tupo mpaka kieleweke
@eyfdfhuf1830
5 жыл бұрын
Team kiba mimi sijawah kupata like hata siku moja kwaiy fany km unalike twende sawa
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
We una shida kiba 4 lf
@mirajiabdalla8132
5 жыл бұрын
Kazi nzuri
@scholasticalvibayaaa484
5 жыл бұрын
Eyfd Fhuf nyimbo ikovizur
@charinzefanueli1299
5 жыл бұрын
daaaaah!!! Kings music mnanifurahixha xana ngoma kali xauti zenu kali mnavyo imba hivyo napenda xana kings music
@shabanijuma3473
5 жыл бұрын
sana babuu
@hameedmbogo3633
5 жыл бұрын
Director wa hii video ni mkenya wakenya hebu tumpe Bosco junior likes
@edgarmwasiagi2834
5 жыл бұрын
Kiba lazma afanye kazi na mashemegi
@majimakali6589
4 жыл бұрын
Sijui gundu hata like moja khaa much love toto
@kencha88
5 жыл бұрын
tanzanian music never disappoints ,fan mkubwa wa king kiba nice music all the way from 254
@mutevas7624
5 жыл бұрын
Team kiba munachonifanyia sio fair toka ni comment sijawai kupata Like leo mukinipa like mia tu zinatosha nami nijisikie kuwa moja wa mashabiki wa Team ya upendo lakini King music mmetisha hii ngoma sio ya nchi hii
@kelvinlucas7567
5 жыл бұрын
Nice
@jumakhamis5781
5 жыл бұрын
Mo Fireeeeeee
@kingsmusiccover685
5 жыл бұрын
On fire
@nicasdede5969
5 жыл бұрын
Haha
@talentedtv2369
5 жыл бұрын
Sana brother
@princenewton
5 жыл бұрын
Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯
@mchungamchunga7729
5 жыл бұрын
Prince Newton nkubli
@princenewton
5 жыл бұрын
@@mchungamchunga7729 same💥
@nadedjanadedjinakimanu1685
5 жыл бұрын
Nawakubali sana kings musics 👍👍❤️
@azizarajab5727
5 жыл бұрын
Daah! Video kali, beats vilevile kali,wanaoimba wakali....kwa kifupi King's Music you're hot my men that's awesome you know👏👏👏👏👏 #kingniking💪💪💪💪💪
@mahmudkiba82
5 жыл бұрын
king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like
@babuu4098
5 жыл бұрын
Hivi siwezi kuapata like kama hizi kweli😂 kam kweli gonga tu tapah👍 #alikiba toto hii ngoma ni noma baba ake 🔥🔥maswala ya konki konki hatuhitaji 😂😂
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
Fyeeeeka mbli team wamama kiba yebabaa
@babuu4098
5 жыл бұрын
@@salimaamir5561 😂😂
@fallymetoo191
5 жыл бұрын
Congratulations wa king kiba nyote... mbona patam apa 👌
@babuu4098
5 жыл бұрын
@@fallymetoo191 😂 mchezo usiuchezee 😂😂 kiba ni 🔥 hamn wakuzima
@Bonnere
5 жыл бұрын
Team kiba all the way from Australia 🇦🇺 nice job
@zakayophillyx6761
5 жыл бұрын
The good music big up 4 them I mean all crews😁👊👊👊
@fridajoseph6642
5 жыл бұрын
wimbo mzuri mtamu kuusikiliza,,,video ipo bomba pia,,,tuloamkia kuusikiliza huu wimbo like hapa plz😘
@novidahtv9354
5 жыл бұрын
Kwa kwel mziki wa kitz
@BeneguPro
5 жыл бұрын
Achia video mxzee baba embu weka like kama zote kama una mkubali King 👑 Kiba mwenyewe
toka kenya mimi... nasema kiba ndo king wa afrika mashariki... ako dope.... like nipate kibao wanaumkubali
@allyhashmu4256
5 жыл бұрын
Kwel
@williamrutophd2987
5 жыл бұрын
inabidi wale WA kujitambua kuwa wao ndo simba waelewe kuwa kuna mfalme anayetambulika na watu na sio minyama
@bahatially9731
5 жыл бұрын
p1.
@jembekali2658
5 жыл бұрын
Waaaaaah kizazi sana homa la East Africa hili hapa gonga like kama umeikubali hiii....nipeni like mwenzenu
@abdulfrance1548
5 жыл бұрын
Kings Music ni tiba ya fleva tuliyotaka kuipoteza
@fungafungatv448
5 жыл бұрын
kweli kbs
@kombakomba7922
5 жыл бұрын
Naipenda hii nyimbo kinoma noma!!!!!! Huyo mwenye rasta anavyocheza ananifurahisha mno,
@dmctv6537
5 жыл бұрын
Number one watching from USA,,KING KiBA FOR LIVE we love you
@jamalmainde4135
5 жыл бұрын
kwani team #kiba tunafanyiana ubaya? haya naombeni like kama tunapendana
@rayanalhabsi8029
5 жыл бұрын
tumeipenda sana iyo
@ashurajamnundu7335
5 жыл бұрын
Hahaaa
@zakiakhamis3599
5 жыл бұрын
Dooooh hiii ngoma ya mwak K_2ga umekimbiza jombaaaa
@jamalmainde4135
5 жыл бұрын
sanaa
@nicolausvicent3006
5 жыл бұрын
Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul
@laurentchimbirani5990
5 жыл бұрын
Yani ni balaaaa
@khamiskheiry1145
5 жыл бұрын
Toto liko wap lije hp nilipo japo moja lkn mm clidanganyi kabix....kings music🎧 juu sana....yebaba.....oyoooo..
@ayanseef4433
5 жыл бұрын
alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u
@majutomshukuludaimodelias2639
5 жыл бұрын
Ali uko juu
@duceronlinetv3910
5 жыл бұрын
Kumbe tupo weng tunaosubili dude💣💣💣like kama we team #kiba
@sharlensherif6447
5 жыл бұрын
Yani wimbo umenikamata, na cheza ata kaa sitaki dance. Bonge la ngoma 😍😍
@lusekelomwandenga214
4 жыл бұрын
Sharlen Sherif waoooo
@zazaissa6799
5 жыл бұрын
Wow so dope✔😘💝💖💖💖💖💖💖kings music ever
@barbiemilleye8276
5 жыл бұрын
Team kiba muache unfki munipe likes zangu bwana 🗣🗣🗣🗣🗣
@rayanalhabsi8029
5 жыл бұрын
tumefurahi kuona wameachia ngoma aya like yako iyo usilielie tena
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
Sawa ushasema wangu
@keyphaedisonedison2607
5 жыл бұрын
Chukua izooo
@laurentchimbirani3434
5 жыл бұрын
Dooh bonge la ngoma aisee
@petersenteu6812
5 жыл бұрын
Kingmusic
@saidikutwambi1799
5 жыл бұрын
Aliyerudia Mara 50 kuview hii ngoma kabla haijafika 1M viewers like hapa
@OffcialKp
5 жыл бұрын
Mie nhc n zaid y 200
@pasiasumaic5145
5 жыл бұрын
Yp
@zeidomar9694
5 жыл бұрын
Hilii in ballaaa sanaaa keep it up guyzz promise to support u till the death
@fatumaabdalla9265
5 жыл бұрын
More fire..king kiba...
@BongoZaKitambo55
5 жыл бұрын
Wallahi Hii Ngoma Kali Sana, Cheed Anajua Sana
@kelvinmasalu7352
5 жыл бұрын
Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics
@shomy902
5 жыл бұрын
King"s atali sana
@barytz5977
5 жыл бұрын
Kama umerudia kungalia hii ngoma wacha #like 2juane
@hancybinho665
5 жыл бұрын
Nice xana
@hatimalnaamani876
5 жыл бұрын
Munaweza sana Mungu awaongoze mufike mtakapo fika kwa Mapenzi yake. K-2GA umenifuraisha ulivyo yaludi kama kucheza kote duuu umeweza👏👏
@abeidmayanga809
5 жыл бұрын
hahahaa k2ga nishidaa
@hatimalnaamani876
5 жыл бұрын
@@abeidmayanga809 umeona yani mi sichoki kuwasikiliza
@sypjuma6123
5 жыл бұрын
We mtoto , weee motot kiba still the king 👑👑
@abuusaidimsigwa9654
5 жыл бұрын
Oooooooooooooooyo wale wotye Tim kiba usiach like kama zote
@patrickmwambepo9849
5 жыл бұрын
Katisha msanii pia mchezaji kote hakoseii
@ziadaibrahim9872
5 жыл бұрын
Jaman wakwanza kutazama naomba like kiba atali na watoto wake sauti tu me napagawa nawapenda sana jaman
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
Twaa buree
@chipochink0087
5 жыл бұрын
No Mimi ndio wa kwanza Niko 251 hapa adama city Ethiopia from tz
@ladyummy1414
5 жыл бұрын
ai ai ai time kiba 💪💪 now one like you time kiba
@abdallarashid7531
5 жыл бұрын
Big up kings music team kiba
@G_254
5 жыл бұрын
Hapa Kenya tunatambua Alikiba..siombi likes hata but nasema tu ukweli
@yagalbyyaayuni7247
5 жыл бұрын
Kweli jamani shem yuko sawa
@misswamboh9585
5 жыл бұрын
You can say that again💯
@supertallone4905
5 жыл бұрын
neymare gershon n vzur mkawajua na hawa aliowaibua
kibaa ni pure talent ..nampenda Diamond pia lakini King kiba ni mnomaa
@ntawurusigajaphetomari882
5 жыл бұрын
Watanzania na warundi tuungane mnipe like Kama munaangalia na kusoma comment Kama mimi
@flova7022
5 жыл бұрын
We to too wemtootooo...vile naiitaga manzi yanguu..one love king
@yelloyellobossalloo6478
3 жыл бұрын
King kiba. Introducing the bestest production
@jumaboy9762
5 жыл бұрын
Kama umeirudia hii nyimbo kuiangalia mara kadhaa hebu zama ndan npe like yako hapa
@sikudhankuhanzibwa6330
5 жыл бұрын
Kiboko Yao
@officialbaclara
5 жыл бұрын
alikiba hawa watoto kama kawafunga vinanda wahllah,,,,wananipa raha
@mwendwamjukuu9468
5 жыл бұрын
@@officialbaclara mwanzo huyu K2GA ni mnoma sana
@mudyhamad408
5 жыл бұрын
Kama umeikubali gonga like
@bahopamountana8226
5 жыл бұрын
King always king and forever king good music alive achana na mamb ya nyegee
@hafsamasood6273
5 жыл бұрын
Hataa hivyo ili hit vinoma
@manenoshabani3456
5 жыл бұрын
Waoow so marveloux king code 😘😘
@bahopamountana8226
5 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua mbak anakera
@dasalramadhani7053
5 жыл бұрын
Ziz
@gracekaroki7137
5 жыл бұрын
Our team inakubalika tena kabisa KingKiba 🎶🎶🎶🎶anytime anywhere 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍😍😍
@bettysande3285
5 жыл бұрын
Noma sana love you king kiba
@abeidsocco9912
5 жыл бұрын
Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,, kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake.. moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music. #king kiba #abdu kiba #killy #cheed #K2GA Nawakubali Sana. Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.
@shamsheryaj18
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumamasaka9162
5 жыл бұрын
😁😁yebaba
@hashimuismail5587
5 жыл бұрын
Duh mm nina bahati mbaya. Yaani sijapata like hata moja
@GedeonJamesGedythedon
5 жыл бұрын
Wale tuko pamoja kuona kua king ataendelea kua king tuwe pamoko.. 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@lilbronze978
5 жыл бұрын
Team kiba you're a such a good broh,supporting your bro big up
@fatumasaid4370
5 жыл бұрын
Yani hii ngoma siichoki yani Ni Mwendo wa 💃💃💃
@amisisteven8339
5 жыл бұрын
Killy noma ! Duhhh mbona king music ni fire 🔥 👑 [cheed , k2GA, Abdukiba , Killy ] 🔥🤟👑
@rajabukulandea827
5 жыл бұрын
kama umerudia kuicheki ngoma kama mimi gonga like twend sawa
@jojoflash1454
5 жыл бұрын
Wow my music we mtoto we mtoto unanivuruga akili kama mtoto 😘😘😘😘😘🙏🏻
@mcjakababakenya4912
5 жыл бұрын
Apa team king kibatuuuu....+254 tuko ndaniiiiii kingz music mpaka kufa mtu.....kitaeleweka tuuuuuuuuuuuuu
@justinadamiane3496
5 жыл бұрын
Namimi ni likeni basi team kiba msiwe wachoyo wa like 😊
@madinafuraha3435
5 жыл бұрын
Don't worry tuko wengi
@official_jb8409
5 жыл бұрын
Ni follow pls
@zaujatsingano9385
5 жыл бұрын
Namm Jamn msiwe wachoyo wa like mm team kibaa
@innocentaugust7483
5 жыл бұрын
😱😱😍
@menasgeorge3263
5 жыл бұрын
Toto
@hassanluqman7823
5 жыл бұрын
Kama kuna MTU namkubali African nzima ni king kiba 💪💪 kama na ww wamkubali kapige like hapa #from Turkey
@nusphatnuru6667
5 жыл бұрын
Who is here 2019!!!🎶🎶🎧🎤🎤 GOOD MUSIC ALIVE 💪🏼💪🏼💪🏼🤘🏼🔥🔥
@ashajuma2499
3 жыл бұрын
N
@zulekhamnyaturu6341
5 жыл бұрын
Wale wa 2019 tujuane kwa like
@georgendimila6405
5 жыл бұрын
Team Kiba mwanzo mwisho sifa peleka tandale hapa kazi tuu
@azizalydiaaziza6051
5 жыл бұрын
team kiba ya 🇨🇦 usiku mwema namaliza kuangalia kichupa kipya usiku mwema sote na asubuhi njema kwa wenzetu wa🇹🇿
@sdofficiel3033
5 жыл бұрын
Asante sana
@chuination
5 жыл бұрын
Aziza ujala
@afyakwawanawake3909
5 жыл бұрын
Mmeipokeaje hii nyimbo huko
@marumswhly4186
5 жыл бұрын
Nimerudia mara3 Eti jaman goma tam hili naomba like zenu twende sawa guys 👏
@robertcarlosrobatyrobaty2682
5 жыл бұрын
Sempre king nao faria force kings muzicas uma wera uma boa king kibaaaaaaaaaaa ye baba
@salimmashengu7164
5 жыл бұрын
K-2GA umetisha sana bro na iyo staili ya kucheza
@antonyngala1977
5 жыл бұрын
Team king team mziki mzuri yebabaaaa
@jandaboytztz6314
5 жыл бұрын
sisi wakenya venye tunasema hii gomakalisa sana like mingi kwa sisi bakenya
@ikbfils1949
5 жыл бұрын
Leo leo natabiri 1M in 24h I'm sure King kiba the best Yooooooh!
@beatricejerome2628
5 жыл бұрын
Team kiba itabaki kuwa kileleni chiiiiii💥🔥🔥🔥Atari fire
@yacqub.m575
5 жыл бұрын
Ahhh mm huyu cheed ananimalizaga tu ⚡️🔥🔥🔥🔥
@zawadiomary8195
5 жыл бұрын
Hapo fresh sana kwa kweli kama unakubali team kings music gonga like yako ili tuendane
@zawadiomary8195
5 жыл бұрын
Aise vijana wa team kiba tupo
@jumambarouk
5 жыл бұрын
jamani na mm pia ni shabiki wa kingmusic niko barani Asia naombeni like zenu japo sijui vizuri kiswahi
@dannygroening3547
5 жыл бұрын
Nice
@philoteuslwena3082
5 жыл бұрын
gooder
@fatmabtili9422
5 жыл бұрын
Ndio kisa ukaandika ki Asia
@nellymollel4672
5 жыл бұрын
+Fatma B Tili hahaha hahaha! listen song
@Carolineapolinary
5 жыл бұрын
Prince Kijay how are you hahah😅😅😅😅😅😅
@justinkbzo1178
5 жыл бұрын
In fact kama wakubali kama #teamkiba ndo KING OF BONGO FLEVA 😍😌gonga like hapa
@janethnzali5746
5 жыл бұрын
Yes yes vizaz kwa kizaz tu .big up broo
@officialvanillano6817
5 жыл бұрын
nimekua.wa 72 kuangalia iih vidio naomba ka like jaman
@novidahtv9354
5 жыл бұрын
Acheni uchoyo team kiba naomba like zangu
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😜
@novidahtv9354
5 жыл бұрын
@@salimaamir5561 😸😸😸
@guulajini3596
5 жыл бұрын
😂😂😂
@JAELBOY
5 жыл бұрын
kzitem.info/rock/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
@JAELBOY
5 жыл бұрын
ooyoh ...watch it comment and subcribe .....thanks🤟🏼
@abdullasalum9412
5 жыл бұрын
Ki2ga unasaut kama yangu gonga like yako hapa kama unapenda team kiba
@vanessaurio2135
5 жыл бұрын
Cheed na Tuga Jamani Wanajua Mpaka Wanaboaaaa Chaaaa Ila Cheed ndo Kibokooo Kabisaaaaa
@hamiduathumanmwene1874
5 жыл бұрын
Baba awavijana wamekuja kufanyamageuzi ya dunia mnaweza mtoo we mtooooooooooomtoooo
@jeccaonline7755
5 жыл бұрын
Jomoniiiii jomoniiii alikiba we ni nyokoo sana umenikamata yaan ngoma imenikamata sana fundi was madude na bado yebabaa
@hassansaid9925
5 жыл бұрын
Jescka habari 😂😂😂😂😂😂👦😂 Kama mm
@edinnasimon9032
5 жыл бұрын
nawapenda sana king Music sauti kama yote
@anthonymwandu2615
5 жыл бұрын
acha niseme no one like kiba no one like king music nakubali kinoma noma
@mabulamsabula3125
5 жыл бұрын
Team kiba naomba tujuane kw kugonga like
@charlesnyeiga5093
5 жыл бұрын
Bonge la song
@sizzategetetegete9498
5 жыл бұрын
Good song
@godpherylimson4855
5 жыл бұрын
mabula msabula yooooooooo
@shabanyamiry6301
5 жыл бұрын
Kweli Now mambo my ni fire kings music
@husnahasna7161
5 жыл бұрын
Nice
@jumakibabe3548
5 жыл бұрын
Nipo Colombia sijui kiswahili ila hili ji song la King kiba nimelielewa balaa 😀😀😀🔥🔥watu wa Colombian like hapa 🏃🏃
@marwaabdalla9306
5 жыл бұрын
Hujui kiswahili na mbona umeandika kiswahili?
@mandatanamasapata4330
5 жыл бұрын
npo tayari kkupa tafsiri la dude zima ju tayari wachina wanalifagilia
@frankakuno.9511
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@JAELBOY
5 жыл бұрын
kzitem.info/rock/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
@issakitamuyo7437
5 жыл бұрын
SR_ dullah manyoko wew
@kingdommxixiry1122
5 жыл бұрын
Gonga like kama unapenda mziki mzuri toka kwa king music hatuwezi kukuacha upoteeee daaaa kweli huu ni mwendo wa muziki mzuri agaaaaa we mtotoooooooo
@sounasamdy8303
5 жыл бұрын
Excellent music.i love it Tanzanian Swahili melody ..great voices.. attractive instruments 😉😉 love from north Africa
@youngrappertz1735
5 жыл бұрын
kama unaikubali label ya AliKiba Gonga like hapa....❤❤❤❤❤
@shanizyusuf8210
5 жыл бұрын
waaa round hii niatari km wakubaliana na mm weka like twende sawa
@ahmadmpilipili2899
5 жыл бұрын
Kings music wote wakali Sita wacha wapote niwapeleke kwenye jukwaaa lazima tubembeee then kila mwenye jina kama king self kiba tumfate njoo bs njooo bs
@thomguy445
5 жыл бұрын
King music moto wa kuotea mbali!!
@hamismalimungu9959
5 жыл бұрын
Sijawah kupata like kwa king kiba
@mursilmursal
5 жыл бұрын
Wale wa kusoma comments nipe like ya KINGKIBA
@ncobiledlamini2668
4 жыл бұрын
I'm from Swaziland,but I love this song with all my heart😘
@onesunshine4136
5 жыл бұрын
Representing Zambia. Am in love with this song too much, I listen to it day and night, these are the hits we want to hear..Kings Music Records CEO and your team ASANTE Sana for giving us a HIT of this kind, Keep it up my people..
@mohammedally8569
5 жыл бұрын
jamani naona hapa kuna mfumo mpya watu woote wanaomba like tu . hii ngoma ni kali sana sana (big up king music)
@salimaamir5561
5 жыл бұрын
We mbona uombi au utaki mi nakupa yngu bureee
@kandejunior6175
5 жыл бұрын
ni moto we mtoto
@beautyforall1783
5 жыл бұрын
Daaah....+254 ebu musintenge pia mm like kwa ILI DUDE LA MWAKA
@JAELBOY
5 жыл бұрын
Hashim M2 kzitem.info/rock/Z8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
@khalfamo8874
5 жыл бұрын
Alikiba n atareee
@hadijayusuf8083
5 жыл бұрын
Kali sana
@isakwisamwaiseje294
4 жыл бұрын
Vijana wameondoka kipindi wanahitajika kimuziki sijaona ubaya ila nawaza mbali wasije wakawa wameongopewa na watu kama nimeeleweka timu king music like zenu
Пікірлер: 6 М.