Kweli serikali imeamua ufufuaji wa reli kutoka dar tanga na arusha ni jambo jema sana mungu ibariki Tanzania
@immamlowe7151
4 жыл бұрын
We proud to have Maguful
@augustinosimwiya3005
5 жыл бұрын
safi sana Kutuhabarisha Ndg Ben Mwanantala ..Tupo pamoja
@rachelkibaya8537
5 жыл бұрын
Ooh Mungu awabariki sana jamani,Magufuli Mungu akulinde na viongozi wote wa Tanzania.
@DrFatmaKhanPanAfrikan
5 жыл бұрын
@MagufuliJP. Hongera Sana Kazi unayoifanya Rais Magufuli hajawahi kufanya yeyote kabla yako. Kura kwa hakika 95%✓✓✓★★★★★★★♥️🇹🇿🌻👏🏽 Magufuli Daima Juu Daima Oyeee ♥️🇹🇿🌻👍🏽👏🏽 UBaarikiwe Kipenzi Chetu Rais wetu Mwema Mzalendo Mwadilifu Mkweli Jasiri Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi AkuTangulie Daima na AkuLinde Daima na Milele ♥️
@tanzaniakwanza1699
5 жыл бұрын
Thx Beni, nimefurahia sana. Yahu aendelee kutubariki na rais wetu mpendwa Magufuli
@kamgomoli3650
5 жыл бұрын
Ninachompendea Rais Magufuli if you work hard you get rewarded. Safi sn Rais wangu
@lusese1
5 жыл бұрын
Hongereni vijana kwa moyo wenu wa kizalendo na kazi kubwa mnayoifanya ya kuifufua reli ya kati, lakini nawaomba wahusika waliowapa kazi hiyo wawatafutie vifaa vya usalama wakati mkiwa kazini kama Mabuti magumu, gloves, kofia ngumu, nk Hiyo ni kazi ya Serikali na Serikali haiwezi kukosa kupata vifaa hivyo muhimu wakati wa utekelezaji wa kazi yenu inanisikitisha ninapowaona wengine wenu mnafanya kazi hiyo ya machuma machuma mkiwa mmevaa YEBOYEBO Ni hatari sana.
@erastochaula8764
5 жыл бұрын
Kazi nzuri
@peterkailembo4101
5 жыл бұрын
TRC wanabadilika ndani ya muda mchache, hongereni sana nimewakubali, Tanzania mambo yanaenda sasa hivi!
@rosenamilia4140
5 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu JPM kwa kufufua reli ya kaskazini-Dar-Tanga-Moshi,-Arusha. Naamini wachagga kipindi cha kurudi nyumbani kuhesabiwa, Christmas na mwaka mpya mambo swadakta. Wenye mabasi yao watatusikia kwenye bomba tu. Tutateleza na Reli yetu Dar-Moshi. 🤗🤗💥💥💪💪👍👍👍🙏🙏🙏🤝🤝.
@tanzaniakwanza1699
5 жыл бұрын
Walioifukia ili magari yao yabebe mizigo, kwao hii kazi nzuri ni PIGO!!!!! CHALIIII!!!!!
@mgasathedon1579
5 жыл бұрын
Ben vp maendeleo ya SGR? Wataleta lini Treni ya kisasa Ndugu yangu nakukubali kazi yako God bless you Ben
@ancientdemon234
5 жыл бұрын
wale washabiki maandazi wa CCM wajifunze kuongea mambo kama haya kuwa Serikali ya awamu ya 5 haijengi SGR tu. hata reli ya Dar - Tanga hadi Arusha inafufuliwa na inakaribia kuisha. ni aibu kila waziri kila mbunge kuimba wimbo mmoja tu wa SGR utadhani wamekaririshwa.
@kamgomoli3650
5 жыл бұрын
Ngoja Rais kichaa aje baada ya Magu kuondoka atang'oa tena hiyo reli alafu atakaekuja tena 2035 atajenga upya. Tanzania tanzania nakupenda kwa moyo wote.
@Wastara001
5 жыл бұрын
ripota mzuri sana,
@ancomagu9893
5 жыл бұрын
SAMAHANI NDUGU YANGU NAOMBA KUULIZA SWALI JE TRENI INARUDI NYUMA AMA AILUDI
@majorkazimoto1452
5 жыл бұрын
Miaka 12 Kikwete alikuwa wapi ?
@thelalas9204
5 жыл бұрын
Aongoze watu muandisi watu arubaini na tano kidogo wazalendo atleast 100 kila mtu apate riziki yake kazi yende faster
@princekassim4089
5 жыл бұрын
Respect
@hassanmpwepwe3826
5 жыл бұрын
kazi invur wa washimiwa
@mussaamosstevenjr4571
5 жыл бұрын
BENI ~update SGR please
@TRCRELITVTANZANIA
5 жыл бұрын
Ok...tazama kipindi hadi mwisho
@wamburacalystus7788
5 жыл бұрын
Good news
@rasheedmsigwa4612
5 жыл бұрын
80% 👍 👏👏👏
@bundaman8542
5 жыл бұрын
kama umeona bwashee ameamka nazo gonga like
@danieljoseph6309
5 жыл бұрын
Nilikua najiuliza sana nani wa kwenda moshi au arusha atapanda treni 😂😂😂😂wameamua kuwaentice kwakuweka deluxe😂😂😂😂
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Mabasi yatapotea yoote, subiri uone.
@danieljoseph6309
5 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 kwa muda wa kusafiri upi izo treni zinazoenda 35km/hr
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
@@danieljoseph6309 wanaongeza hadi 70km/h speed.
@danieljoseph6309
5 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 io ni reli ya kati sio ya dar arusha, kumbuka hata reli zenyewe baadhi wanatoa kutoka reli ya kati ambazo zimetumika hio reli mi naona wangeconcentrate na mizigo au wangeanza na tanga dar kwanza kwa abiria ila sio mpaka arusha abiria wa arusha dar wanapenda luxury na muda
Пікірлер: 38