mh rais .nakuombea sana .mungu akupe kila la kheri na akuondoshee kila la shari mh tunakupenda sana sis vijana .tunakuwahid hatutokuangusha
@ThobiasMarandu
8 жыл бұрын
Ingawa CCM (sio wote) Walimchagua Magufuli ili Wampande Kama lifti ya Kupata Madaraka, He is a Good Man! God Bless Him.
@adelaudarutagwela5070
Жыл бұрын
Nitakukumbuka daima shujaa wetu
@user-zs3ex1gd7k
9 ай бұрын
Pumzika kwa aman mzee wangu,dr John joseph magufuli
@elisspeter2334
8 жыл бұрын
safi sana. mola akulinde .raisi wetu
@janieanthony594
8 жыл бұрын
may Almight GOD be wz u our Prezdaa, amen
@dottokulwa7075
Жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@lucaskashimwita6386
8 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwema atakulinda Rais wetu na Mabayo yote.
@akhousesolutionsltd9433
8 жыл бұрын
tunakuombea maisha bora marefu madarakani from Canada
@siperatusjames8489
8 жыл бұрын
tuombeeni taifa letu
@expartvictorsadala2631
8 жыл бұрын
Baba Magufuli kamatia juu usishuke chini you are the prophet people of Tanzanian have been waiting for
@user-de6ys8dj5j
10 ай бұрын
Never seen and we will wait 4 long time libarikiwe tumbo la mama yake kwa kuzaa mtu wa watu
@gaspercharles4242
Жыл бұрын
Jishusheupandishwe.
@expartvictorsadala2631
8 жыл бұрын
very diplomatic not offensive.......shame on you guys who are not for him.....he's a great guy history never seen in Tanzania
@dickkieluther2351
8 жыл бұрын
JPM unanipa FARAJA sana moyoni kwa namna unayvo hutubia kwa hisia kali na uchungu wa taifa lako halafu unayatekeleza kwa vitendo!Nchi yetu ilishaoza kwa baadhi ya viongozi na raia kuifanya ya kwao pekee!JPM TUMBUA MAJIPU HATA KUKATA MGUU MIMI NITAKUSAIDIA KUYATUPA KWENYE SHIMO LA TAKATAKA!U'RE GREAT MAN IN THIS CENTURY!
@MAKUZIVESI
Жыл бұрын
Jembe letu mungu amlalaze malipema
@estherkajange7016
8 жыл бұрын
Huyu ndiye tulikuwa tunamsubiria
@methodlyaruu641
8 жыл бұрын
Tunaomba kwa ajili yake Mungu amwekee nguzo ya moto mbele na Nyumba na ngao ya shaba maadui wake wajikwae waanguke
@richardkobero6847
8 жыл бұрын
Mungu akulinde na akusimamie raisi wetu ili uliyoyakusudia yatimie
@edwardsenkondo6219
8 жыл бұрын
Mungu akulinde raisi hata tuione Tanzania mpya. Tutatimiza wajibu wetu.
@ismailjuma1452
8 жыл бұрын
salute juu yako Rais wetu ndani ya mda mfupi umefanya mambo makubwa mungu akulinde milele daima Amen
@salumumzuzuli
Жыл бұрын
,,😉😉😉😉,,0,
@evelynebwire7684
Жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa uchungu mwingi, Pumzika kwa AMANI kipenzi chetu
@charlesnguge5825
5 ай бұрын
NI MUNGU WA MBINGUNI TU NDIO ANAJUA. RIP Dkt JPMagufuli
@user-hj3gt2bl1g
11 ай бұрын
Mfano bora wakuigwa na ma rais wengi wa inchi zetu wa afrika
@veeraise9523
8 жыл бұрын
magufuli ni mfano wa kuigwa barani Afrika maana nchi hii ilikuwa imefika pabaya kila mwenye nafasi kujichukulia atakavyo .
@manzialexpapi1746
8 жыл бұрын
tunashukulu kbsa
@mohamedgilala8423
5 жыл бұрын
Kama Mungu anachagua kifo nice mm Jpm abakii nakupenda mpaka nataka kufaa
@chomasongidion6047
Жыл бұрын
Buriani baba angu,daima watanzania hawakusahau,tunakuombea pumzika kwa amani
@HelmanMnazi
5 ай бұрын
Pumzika kwa amani
@noahkasasamashaka8646
8 жыл бұрын
Ahsante
@YosiaYohana
10 ай бұрын
Tumpate wp ten e MUNGU mkumbuke laisi wet kipenzi popote alipo usimuache
Пікірлер: 41