Ww kiledio utakuja umizwa MTU mwenyewe nguvu huna bado tunakupenda ujue ❤❤❤❤
@muzhokanta
Ай бұрын
Wallyahi mi ntakupiga kama mwizi TATIZO KIREDIO WE MSENGE UJUI MTU KWENYE CM YAKE ANAWEKA MAMBO MANGAPI KAMA MIMI SIMU YANGU NDO KILA KITU AIJARISHI INA THAMANI GANI ILA VITU VILIVYOBEBWA NI HATARI NTAKUUA SITOKUELEWA
@FadhilaIbrahim-wu6ve
Ай бұрын
Ni Bora ukamuuliza mtu kwanza kuliko kuamua kuivunja tuuu ata kama ni Mimi sitakuelewa kwakweli
@Ahmed-g2b
Ай бұрын
ni heri mtu umpige yeye au umuumize yeye anaweza akakufahamu, kuliko kuiharibu simu yake.
@FadhilaIbrahim-wu6ve
Ай бұрын
@@Ahmed-g2b af ety kirahisi rahisi tuu ni challenge
@abdulaisha4145
Ай бұрын
Huyu NI ujinga unao Fanya simu ndio kila kitu cha mtu kwa maisha haya yakuunga unga kisha upije kwasababu wataka kunipa simu kubwa jee vile nilivyo visevu navipata vipi na ikiwa sijasev kwa account ya email ama sina back up weeeh nakuacha flat hapo chini nasimu naenda nayo pole baaadae
@Ahmed-g2b
Ай бұрын
@@abdulaisha4145 samahani wewe uko coast au?
@SantaJumaa
Ай бұрын
Kiredio nipo pamoja na ww mpaka wakuuwe😂😂
@rosemilingi7860
Ай бұрын
😂😂😂😂
@roseshonyera9929
5 күн бұрын
Ajali kazini usiwaze wala nini 🔥 🔥
@PrincessHellen-pg1oy
21 күн бұрын
😂 huyo dada wa mwisho kanifurahisha eti simu siachi 😂😂😂 yule mimi namweza
Hii tabia si nzuri na ina disappoint sana hujui mtu kaweka file ngapi kwenye simu na unakua umemrostisha vingi😢
@josephineokama2200
Ай бұрын
awe anapasua za kitochi alafu anampa iphone
@dr_ridhiwan
Ай бұрын
Hamna simu hapo....Hilo TANGAZO na simu iliyotupwa Chini ni BOMU la Machozi..... Usiweke userious Mtandaoni 😂😂😂😂
@EdithaManyus
27 күн бұрын
Jamaniii kiredio ww
@veroEdson
23 күн бұрын
Jinsi alivyo tupa sim 😂😂
@paulhema5713
Ай бұрын
Hujui kua watu wanahasira na ww...unavunja mahusiano Yao na simu zao unavunja 😂😂😂😂😂😂😂
@rosemilingi7860
Ай бұрын
Kwakweli
@samwelimoshi5614
Ай бұрын
Just maigizo
@LucyCornery
Ай бұрын
Yan kiredio ayo yoote ni kutafuta ela ugali....wadada wenzangu wanaume wanatafuta pesa kwa tabu mweee😂😂😂😂😂
@LeahCosmasNzoka-po3dr
Ай бұрын
we kaka una roho mbaya 😢 Pole mwaya kiredio❤
@NeemaMsuya-kk6bs
Ай бұрын
Jamn Pole kiredio nimeumia sana Pole Sana😢😢😢
@ValentinaSabas-nf9gc
Ай бұрын
Pole man lakini una roho ngumu wasijewakakuua😂😂
@OmanMuscat-g5p
Ай бұрын
Pole sana kaka ndo changa moto zakazi
@mohammadoman8963
Ай бұрын
Kazi gani hiyo
@ivangeorge1578
Ай бұрын
Utauwawa kuwa makini
@ThomasKeya-z1p
Ай бұрын
Umekosea kiredio cm inakuaga na fail nyingi sana
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
Ай бұрын
😂😂😂😂😂daaah wtz wako feet kweny kutembeza kipondo
@SalhaLuge
Ай бұрын
Walah watakuuwa😅
@AkyooMamad
Ай бұрын
Mmh Leo sijafurahia😢nimehuzunika sana kwnn wampige kiredio Sasa na wanafaham Kaz yake
@tumainiinnocent8335
Ай бұрын
Kiredio bwana 😂😂😂😂
@anethmshahara8519
Ай бұрын
Kiredio namimi nataka simu basi
@emilyfocus5639
Ай бұрын
Ata ulaya wanafanyaga😂
@AzizaMohamed-s7z
Ай бұрын
Nampenda huyu kaka ila nimelia alivyopigwa😢😢
@samwelimoshi5614
Ай бұрын
Ushanyegeka
@user-tp5hk4oh1z
Ай бұрын
Ahahhahahahahah kiredio umekua kama mwanafunzi umeniacha hoi
@edgercyprian964
Ай бұрын
Daaah yaani we kiradio una masihara sana ipo siku wataku vunja kiuno huwezi jua simu ya mtu ametunza vitu gani humo kwenye mafiri kua makini kwenye internew zingine
@hamzamajanga
Ай бұрын
Jaman nimejiskia hurumaa☹️☹️
@ODINAMABADA
Ай бұрын
Ukisikia kazini Kuna kazi ndo Ivi 😅😅😅
@EstherKonja
Ай бұрын
Dah! Sijapenda kabisa yan
@user-qk7bn8dj4z
Ай бұрын
We kiredio utafute mabody guard wakati wakufanya challenge
@bizyajuniour23
Ай бұрын
🎉Nkubal sana kazi nataman kujifunza kitu kupitia wewe siku moja niwe future kwa wengine
@Jacklinejohn7
Ай бұрын
Pole mwaya ila uyo kaka alo kupiga nime mpenda 😂😂😂
@samiakikwete1762
Ай бұрын
Kwani kupigana hawezi
@EstherKonja
Ай бұрын
Jaman sijapenda kabisa!
@hashimrweabula9
Ай бұрын
Tayariii ushapimwa sutiii ahaaaaaaa h
@JonathanNelson-l8h
Ай бұрын
Hiv mwanaume unaombaje like acheni umama
@user-tm3ut4px5s
Ай бұрын
Ila kiredio kuwa makini utakuja kuumia nakukubali sana
@sophiarajab5476
Ай бұрын
Kiredio watakuua mbwa wewe.😂😂
@hadijamuhidin3692
Ай бұрын
Dah imeniuma kweli jamaa yule anazingua
@beckhmediaproduction7624
Ай бұрын
utakutana na mmoja ambaye ajui unachosema aki jiandae kuaribiwa sura .Tafuta kazi ya kufanya
@naomikivuyo8854
Ай бұрын
Yan nimeumia kidog niliee
@aishamwenda-m6k
Ай бұрын
Nimecheka 😅😅 ila kiredio utatutoa mbavu zetu jamani
@madinarobert4944
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂yamemukuta mwenzenu
@EzraKafuka
Ай бұрын
Mm ukipasua yangu nakutia kisu 😢😢😢
@DalilaHasani-m2i
Ай бұрын
Jamani poleee aise kazi zinachangamotoa ka nin
@homeofstories6281
Ай бұрын
choo cha kiume kiredio kaingia'
@ImaeImae-p3v
Ай бұрын
Pole sana😂😂😂😂 daah had huluma jamn
@SelineChandja
Ай бұрын
Keredio amefanya makosa kupasuwa simu bila kumuhambia
@salmazwallo5920
Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣ataa mm ngefanyaa hinyo mnamraum bure 2 alikuwa hajui
@zabibubashiri3034
Ай бұрын
Kazi hatari sanaaa
@MeryMrosso
Ай бұрын
Mh nilisema nipo sambamba adi siku watakutoa meno
@ayoublupande3007
Ай бұрын
Hahaha 😂 kwahiyo kumbe muoga hivi huyu jamaa haha 😂 nimecheka san ndo changa moto ya kz ulo chagua hahaha 😂😊
@GervasWillson
Ай бұрын
Kiredio watakuuwa ndugu yangu sema usiwaze nakutafutia ticher kutoka japani
@jaroggalatimore9490
Ай бұрын
Changamoto za kawaida hizo
@user-yb6wh1bk9d
Ай бұрын
Namm naomba cm
@GraceRoman-xw7xm
Ай бұрын
Kazini kwangu Kuna kazi ndio hii sasa
@user-sy4wf5ll4o
Ай бұрын
Ila una moyo Babu kupgwa kote huko
@RemigiusJohn
Ай бұрын
😂😂😂😂😂alivolambwa mtama
@nancyg8664
Ай бұрын
😂😂😂kiukweli kupasua simu amekosea, watu wanakumbukumbu zao wamezitunza ndomana ata tukinunua simu mpya hatutupi za zamani. Pole mwaya kipigo imepata na simu umempa
@lightnesssikawa1412
Ай бұрын
Dada umetisha, simu tunachukkua na hamtufanyi ki2 dadeki😂
@NajahatiAgway
Ай бұрын
Nakukubali sana kiredio utafika mbali
@elizabethkikwesha1567
Ай бұрын
Kazi yako ngumu Sana Leo Kwa mara ya Kwanza nimekuonea huruma😢
@user-rc6ww6rx7n
Ай бұрын
Wee kiredio nae unatuyayusha iko wp hy part 2 ss
@DorotheaJames
Ай бұрын
ndy kazi hiyo kaka pambana
@Mercy-ml6no
Ай бұрын
kama unataka kumpa mtu kitu ,mpe tu siyo mpaka umuumize kwanza ila polee sana
@shakilaDaudy
Ай бұрын
Kiredio ni mbbwa😂😂😂😂
@bryanzeconfesor5476
Ай бұрын
Kapigwa afu kapost mwenyewe😂
@VERONICA-o7n
Ай бұрын
Kajua itabamba
@princecharmy6838
Ай бұрын
Video zenu za uongo skuiz
@julianagowele9163
Ай бұрын
Wabongo huwa wanajifanya wajuaji sana. Nilishamwambia kiredio awe na BAUNSA
@innocenthaulee
Ай бұрын
Huo mtama kiredio mmepanga prank😅😅
@RachelNgalya
Ай бұрын
Kwan nyie cm mnazitoa wap?? Au mna kiwanda cha sim mana siyo kwa kugawagawa uko😢😢
@annalubango9899
Ай бұрын
Mtu aunatakiwa umuandae asve hata vitu vyake so kihivyo ugetolewa meno ya mbele nyau we
@PhinerJulius
Ай бұрын
Uwe makini na aina za challenge unazo chagua. Tunakupenda
@sabunitv2121
Ай бұрын
We yan jichanganye upasue yangu wee Ujue shida sio simu au computer shida ni files za kazi jishikirie bro nakuvunja shingo😂
@user-yb6wh1bk9d
Ай бұрын
Pole kiredio ila ww hukomi😂😂😂😂
@TeddyIsaya-iy2ud
Ай бұрын
Jmn naombe like zang me nd wakwanza il utakuj kufa kiredio
Пікірлер: 313