Mjue Swahaba wa Mtume (S.A.W), alikuwa fukara sana na alikuwa akimtumikia mtume, hana nyumba ya kulala na alikuwa analala msikitini. Sh Othman Maalim anatujuza mengi kuhusu Swahaba huyu. Cameraman kutoka Al Hijra Video Production ni Nabil Ally
Негізгі бет KISA CHA JULAIBIB
Пікірлер: 18