Maa Shaa Allah.... Mwenyezi Mungu Atuhifadhie nuru yetu, kipendi chetu mudiir wetu❤❤❤ fadhweelatush-shaykh ustaadh Muhammad Ali Athmaan Bute
@ummusalim1991
6 күн бұрын
اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين وسلم ❤
@nurdinmfamau3493
6 күн бұрын
ILLAH KARIM Atuhifadhi Kuwa Miongoni Mwa Wenye Kuisoma Qur'an Kupitia Mdomoni Pasi Nakuwa Nayo Qur'an Ndani Ya Moyo.
@abdulhalim5950
6 күн бұрын
Tuzidi kufuatilia mambo y dini hata kma kuna ugum.upinzani mwingi hadi tujue ukweli mana tukifa Tu haya mambo ambayo si magum kma mipira,nyimbo hazitakua an umuhim. Lkn ktk kufuatilia tuwe wa kweli ktk nukta hizi 1.dini imeshakamilika 2.dini inaendeshwa na Sanad 3,maswahaba ndo wamemfaham zaidi mtume kuliko sisi 4.dini hii allah kailinda na kila kitu kipo wazi ni juu yetu kufuatilia huku tukizingatia hayo matatu ya mwanzo NOTE Tafsiri za hadeeth na Quran walizotoa maswahaba hadi Leo zipo tufuatilie Lakini Nakuapieni kwa allah kma mtazingatia hayo ya juu kma mizani kuujua ukweli Lazma utakua salafy (Wahhabism)
Пікірлер: 4