Anaitwa Said Siulanga Mwamwindi, mhehe aliyemuua Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Kleruu baada ya kukasirishwa na maneno ya fedheha kutoka kwa Mkuu wa Mkoa huyo. Mwalimu Nyerere alitia saini hati ya kwanza ya kifo cha Mzee Mwamwindi.
Subscribe channel hii usipitwe na makala za kihistoria kila siku.
Негізгі бет KISA CHA MZEE MWAMWINDI ALIYEMUUA MKUU WA MKOA WA IRINGA DR. KLERUU | NYERERE ALIMHUKUMU KIFO.
No video
Пікірлер