Inshallah mwenyezi Mungu akubariki Sana ipo siku katika uhai wangu nitakuja kuongea na wewe uje sehemu moja morogoro inaitwa mlimba uje uwapatie wa Islam wenzetu mawaidha hakika wewe ni mwalimu mzuri Sana asiye kuelewa hatakuja kumuelewa yoyote
@MuddyBenye
22 күн бұрын
Maalim Allah akupe umri mrefu tuzidi kupata elimu
@19ddr
Ай бұрын
Mungu akubariki sheikh Othman maalim
@husseinibrahim5438
Ай бұрын
ALLAHUMMA AMEEN
@shamzone388
20 күн бұрын
Mash allah tabarak rahman Umetufundisha umetupa mawaidha mazur sana… Kweli maneno yako allah akuzidishie elmu zaid utueleweshe zaid na zaid Allahuma amin
@halimaramadhan2000
Ай бұрын
Jazzakah llahu kheir sheikh Othman
@jamilahali-jg8er
Ай бұрын
Ma sha Allah
@husseinibrahim5438
Ай бұрын
MAY ALLAH AZZA WAJAL REWARD YOU ABUNDANTLY SHEIKH UTHMAN MAALIM ALLAHUMMA AMEEN ♥️♥️♥️♥️ .
@husseinibrahim5438
Ай бұрын
♥️
@apexmombasa6809
Ай бұрын
Ma sha Allah jazakallahu kheir
@KassimMaulid-fb9pv
18 күн бұрын
Innshaalla mwalimu mungu akulipe kwa darasa zuri
@AndulHida-hs5py
Ай бұрын
Tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe mola akulipe Kwa Niya yako inshaallah
@KhadijaMbwana-kb8ib
24 күн бұрын
Subuhhanallah mungu akubariki kwa ukumbusho ustadhi wetu
@RajabuLesali
Ай бұрын
Alah akupe umri mrefu utupe elmu mashaalah
@user-rc7oi2hp8l
Ай бұрын
Shukran jazaka llah kheir sheikh wangu nakupenda saaaana kw ajili y Allah
@Kmaryam
Ай бұрын
Shukran kwa darsa hili, Mwenyezi Mungu Swt akulipe malipo mema Allahumma Aaymin 🤲
@HusseinAbdou-zw3is
Ай бұрын
Amiin
@SaidKessi-be2gd
Ай бұрын
Sheikh Wang Allah ajalie mkuone live kabla kufa
@amissishauri-eq7sl
20 күн бұрын
Manshallah mungu azidi kukuifadhi my sheikh
@MwajumaKidaya
Ай бұрын
Allah akulipe kwa elimu unayotupa
@AbdallahSalum-vi3tw
25 күн бұрын
Manshaallah. Shukran jazila Hongera ķwa elimu unayotugea. Hapa Kinshasa nishawapa waislamu jina lako wale wajuao kiswahili wakutafute kwa U tube. Shida hapa wengine hawajui Kiswahili. Allah akuzidishie umri na akujalie thawabu Amiin.
@HusseinAbdou-zw3is
Ай бұрын
Assalam aleykum wa rahma tullahi wa barakatuh Sheikh. Na penda sana mawaidha yako na namna yako ya kufundisha watu. Allah azidi ku kuhifadhi mwalimu na akulipe kila la kheri. Ni mimi HUSSEIN kutoka CONGO D.R.C🇨🇩 jijini Goma.
@HusseinAbdou-zw3is
Ай бұрын
Amiin
@AbdullahOmar-be4wy
15 күн бұрын
@@HusseinAbdou-zw3is mashaallah
@a.856
Ай бұрын
Jazakallah khayran
@rachidecachimo6265
Ай бұрын
Ma sha allah
@AmusedCanoe-vp3mq
17 күн бұрын
Mashallah
@MuddyBenye
22 күн бұрын
Mashaallah
@azizayassin3623
Ай бұрын
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
@azizaramdan5879
Ай бұрын
Mashaallah mimi nammba Allah anikutanishe nae kwani inakuwa furaha sana
@AbdullahOmar-be4wy
15 күн бұрын
Njoo Zanzibar
@ummysaabersaeedy8152
Ай бұрын
Naipataje hii video kama ipo tiktok niambie
@SaidSaid-wh4ky
Ай бұрын
Hujataka tu ukitaka utaipata
@SaidSaid-wh4ky
Ай бұрын
Bonyeza share itume kwako kama what's app au unapotaka kuituma utaipata
@jamilahali-jg8er
Ай бұрын
Record kwa Sim yko
@masudimessed252
Ай бұрын
Sasa bendera ya Tanzania ya nini na tena apo ni burundi 🇧🇮
@mustafamasudi8093
Ай бұрын
Kwa nn wakristo wakianza kuelezea visa vya mitume wananyooka na wanaeleweka lakini waislam sisi tunachanganya mambo mengi mpaka mtu unashindwa kuelewa
@makenaOG
Ай бұрын
Usituzingue wewe hata hiyo historia ya yesu mwenyewe kwenye biblia haieleweki
@user-jb8nx6sk9g
Ай бұрын
Kwanza ww sio muislam.ndomna huelw Sisi waislam.tuna elewa
@zuhoor-mc7hq
Ай бұрын
😢😢 subhaanallah...una jina zuri lkn ume comment pumba kabisa astaghafiru llah... Mawaidh ya shekh anaelewesh vzr na hatoki ndani ya mada ...anabaki haphp ..Sasa mtu km amegusia mfano swahaba Fulani ..humjui Ndio maan unaona anamuelez kidg ili mpate kuelewa lkn hatok ndani ya mada ..
Пікірлер: 42