maasha Allah . Allah azid kukulind na kukuhifadh sheikh wet kipenz . aaamin na azid kutuhifadhi na sisi tunosoma huku urusi na tunaomba dua zenu pia🥲
@nassorojamila9044
Жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie kwa ilmu na akukinge na adhab ya kabri
@yahyaharun8334
2 жыл бұрын
Allah akujalie pepo inshallah
@yahyaharun8334
2 жыл бұрын
Audhubillah minashethwani rwajim, bismillah rahman rwahim, kuna ndoto niliaota shekhe na zikanitokea kitambo toka ni mdogo sai kuna sauti husikia upande wa sikio la kushoto na nyengine upande wa sikio la kulia naomba ushauri wako
@abdihq4228
2 жыл бұрын
Ondoa shaka, dhana mbaaya na soma qur an na fanya tsbihi na soma Dua za Kinga. Hakuna Chamaa zaidi ya kuona HUO ni mtihani Kwako. Jiepushe na Dhabi za Siri na dhahir nafanya Toba.
@guledmohd8088
2 жыл бұрын
Soma adhkar za kulala na uchukue wudhu before ulale mtangulize Allah kwa chochote..fanya adhkar,Soma Quran,Salah everything will be ok inshaAllah..pole bro
Пікірлер: 23