hon Kisima majabala watching live from Ghana 🇬🇭. You are too much keep up with the good work. Thank you guys in music industry
@lukasjulius7034
Жыл бұрын
Nakukubar sana kisima nikiwa kigoma Ila Kaz ya Namonge nishaisubr kwaham sana mkar wetu
@amosfeleshi2671
Жыл бұрын
Kisima kisima kisima hakika wewe ni mwalimu wa wasukuma unafundisha unaelimisha na unaburudisha mungu akusaidie na akilinde sana tunakuhitaji sana bado
@mussamathias2159
Жыл бұрын
Duh mm huo ujumbe nimeuelewa kisima pamoja sana
@josephsospeter8188
Жыл бұрын
Mtc hujawahi kufeli asantekwaujumbe mzul kwa kushali watoto wapate elim asante tuwakilishe
@kelvinmayala3475
Жыл бұрын
Sawa bro acha niishie hvyo 🙏
@stivenjiduki6606
Жыл бұрын
Umetisha sana tena sana ßiger up💪💪💪
@yoshuapaul8300
Жыл бұрын
Tunakupata vzur sana cc huku tabora
@maikomboje2783
Жыл бұрын
Zanzibar kila siku tunakusikiliza kaka nakubar sana
@zakalialaurian8943
Жыл бұрын
ebu fanyeni mpango uje Zanzibar tukuone kisima
@deusgamaya7763
Жыл бұрын
Hatariii mkuu xalute kwakoo##
@Suzi_Ndatulu
Жыл бұрын
Kazi nzuri kaka ujumbe safi sana Mungu akuzidishie welevu br❤️🥰😍🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kandolomatiasi5363
Жыл бұрын
Kka pamoja san japo sija soma ila limenigusa sana
@mkapajohn5716
Жыл бұрын
Safi sana kwa wimbo wenye ujumbe kisima
@kakolaonlinetv7272
Жыл бұрын
m.t.s Tanzania hatari Sana miaka kumi kwenye geme James kakola Sina komet kwako ninapogezi tu,🍎🍉🍊
@mussamathias2159
Жыл бұрын
Upo maeneo gan kakola jamaa
@jamesmgwililapharlestv9356
Жыл бұрын
Nakukubari sana kisima
@johngandama2020
Жыл бұрын
Kwa nn nisikupe sifa zako kaka kiukweli kisima ni mfalme wa nyimbo za asili Tanzania sioni wa kushindana na kisima jumbe kama hizi bloo unatisha sana ####Sulwa Sulwa
@shinjengasa3574
Жыл бұрын
Video Iko pw sana,mmepiga hatua katika Hilo,camera zimetumika za kiwango nazan,hongeren Kwa ilo
@salvatorystephene9750
Жыл бұрын
Mbona huyo mpenzi wangu kapata mimba bhana
@Zainp-o4o
7 ай бұрын
Acha zako
@luciafrank4406
Жыл бұрын
huu ndio muda mungu ameamua kuonesha kipaji chako endelea kumuomba mungu uzind kusonga mbele
@amosmacompyuta1015
Жыл бұрын
Huuuuuwiiii kumekucha tenaaaaa kisima majabala mjini tena tumeishi
@makoyerichard5937
Жыл бұрын
KISIMA HUU WIMBO UNYAMA NI MWINGI SANAAAAAAAA HONGERA MWAMBA MAJABALA
@jumajulius2666
Жыл бұрын
Huii
@ndeteleleoizdory2292
Жыл бұрын
Nakubar SANA
@pauloenockjr8603
Жыл бұрын
Kazi nzuri sana kijana kisima nyanda Nakupa vizuri nikiwa Morogoro dumila kalibu na Morogoro watu wanakupenda sana kila seem nyimbo zinapigwa redioni na matangazo 🙌🙌🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝 KISIMA NYANDA MAJABALA💪
@susanimgematv5668
Жыл бұрын
Kisima ujumbe muzuri sana msanii mwenzangu tutangulieni hivo hivo brz
@josejohn141
Жыл бұрын
Nakukubal bro yan!
@ANKOZUBERI881
Жыл бұрын
hongera SANA jamani 😂😂😂
@yoshuapaul8300
Жыл бұрын
Bhuhabhi hiyo ngoma tumeisubili video yake brother
@hansotzofficial1408
Жыл бұрын
Mimi naisubiria bhuhabhi hyo ikitoka naichukua hata kama ina mb ngap Lakn yote na yote your the greatest singer
@rogetichuo4687
Жыл бұрын
Congratulation more effort my Brother
@hassainshija6622
Жыл бұрын
Hongera sana ndugu yangu ,kazi nzuri ujumbe kwa jamii pia iko safi, Goo blees my best . By bonge mwepesi msalala kharumwa.
@deejaybngudukwimba2857
Жыл бұрын
Zamani sanaaaaaaa mzigoooo ushachotwa Niite DeejaY B From Ngudu Kwimba
@jeremiahmabula4837
Жыл бұрын
DJ bonge nakupata now nipo Mbeya
@philippaulo1298
Жыл бұрын
Nakukubali sana kwa ujumbe mzur?❤❤
@hassainshija6622
Жыл бұрын
Piga kazi ndugu, mungu atakusaidia tyu , hongera sana, nyimbo nzuri,ujumbe mzuri, Naamini jamii imekusoma tunajufunza kupitia nyinyi.asante sana, By Hassain Adam, a k a bonge mwepesi from msalala kharumwa.
@kakolaonlinetv7272
Жыл бұрын
Mungu akupe mwogozo mzuri kisima kwa mjumbe zur Kama hizi hakika wewe ni diamondi wa kisukuma unatuwakilisha vizur 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@bubisingesela3521
Жыл бұрын
Kisima huwezi kumulinganisha na diamond 💎 kisima nyimbo zake ziko na ujumbe mno tena sana siyo kama jeje
@manenosaidy
Жыл бұрын
Endelea kupiga Kazi mkubwa
@jesicmichael-7982
Жыл бұрын
Hongera kwa ujumbe mzr
@PetroMwita-t7f
Жыл бұрын
Kisima hakika tumekubali
@boniphacejr2815
Жыл бұрын
Kaka kisima kazi zako ni nzuri sana mm shabiki wake Namba one hongera sana brow
@nesto_automobiles6537
Жыл бұрын
ni kweli kabisa kuna waalimu wasela
@franciskashilimu6730
Жыл бұрын
Safi sana kisima elimu niurisi usio na wivu by the way msalimie sana mahenga nigo
@zejomasalu3
Жыл бұрын
Am waiting brother by Zejo from misungwi msambazaji mkubwa
@maobundala3376
Жыл бұрын
Namkubali sana kisima From dar es salaam huku✅
@chingimaganga8081
Жыл бұрын
Kazi. Nzur kaka keep up
@zephaniajohn4760
Жыл бұрын
KAZI nzuri kaka kisima, tunakupata vizuri sana huku kabila by msheng'hwa
@james.shagembe
Жыл бұрын
chapa kazi.mkubwa.we.noma
@magememasanja7611
Жыл бұрын
We jamaa unatisha sana, kaza sana baba la baba, your the champion, your our dedication
@LivonaSimon
6 ай бұрын
Kalibu sana mwanza tunasubili sana❤❤❤❤❤
@HadijaMwangu
2 ай бұрын
Namkubal xaaaana kisima
@abelmanyilizu9845
Жыл бұрын
Mmebaki wasanii wa3 tu ... Wakwanza majabala wa pili bhudagala Na gude gude basiiiiiiiiiiiii
@LivonaSimon
6 ай бұрын
Nakukubari sana mimi Niko omani Ila naisubiri sana shikome
@MhuliYanughaMasasi
9 ай бұрын
Poa kaka kisima by mhuli YANUNG'HA masasi kishapu shy
@EmmanuelMihayo-oz9sb
Жыл бұрын
Umetixh kak kwa nyimb hiy
@makoyeminza6212
Жыл бұрын
Washabiki kotoka mpanda mwaka kesho uje kasekese
@ibrahss1174
Жыл бұрын
Nyanda Majabala🔥🔥
@ErickMadama-jj9pe
11 ай бұрын
Turaga milimo wa mwamajabala abamajungu batagayaga pee ikona
@petervidal1784
11 ай бұрын
I like this artist
@mouradajimi776
Жыл бұрын
Nice song, good music.. wonderful dancers...
@hamisathuman5325
Жыл бұрын
Safi sana kaka kazi nzuli ina gusa kila m2 kaka
@lukasamosi4561
Жыл бұрын
Na hiyo tuzo uliyiipata n harali yako unatisha sana nyanda majabara
@kakabeny8001
Жыл бұрын
Kazi nzuri.... Keep flying 🦋
@danielntondaboytz6072
Жыл бұрын
Good song,big up kisima
@marcokasuka105
Жыл бұрын
Faza hongera Mungu akupe nguvu ktk kaz yako pia hinger kwa kutunga nyimbo nzr zenye ujumbe
@kisimamajabala135
Жыл бұрын
Asante father
@manenosaidy
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🖐️🖐️ majabala hongela Sana mwanaume ngoja hii wile
@manenosaidy
Жыл бұрын
Pambana Sana brooh kwa ngoma hii Atari Sana mola azidi kukupa pumzi ili uachie ngoma Kali Tena pa1 Sana kisima..👍👍👍🔥🔥🔥 hakika ni Moto atari
@BrightSanaaTabora
Жыл бұрын
Nice Brother Good Job Respect
@yussufdavid5272
Жыл бұрын
Kisima hujaenda Qatar zikawatale nzuki😁
@edwadcoplo674
Жыл бұрын
Like nyingi kwake 🔥🔥
@costa_modelofficial1390
Жыл бұрын
🔥🔥
@ras.gerzel
Ай бұрын
Music is happiness reggae jah live music
@malingomediaofficial
Жыл бұрын
Unyama San Kwa Mzeee Wa NZUKI Pa1 Na Director Migera Kaza Kaza Chapa Kazi Mashabik Tuna Kubali Unyama Kam Huu Na Ubunifu Zaid
@emmanuelondoua5358
Жыл бұрын
Beautiful
@nyandanzilatuzu5307
Жыл бұрын
Ndio roo
@ImanuelDaudi
9 ай бұрын
Kisima wewe minoma
@DianaAbneli
10 ай бұрын
Na
@ntinginyamajaba6269
Жыл бұрын
Hello kisima
@faustinesalawa
Жыл бұрын
Mkali wa nyimbo za asili kalibu Moro kaka
@conkerlosevenofficial8692
Жыл бұрын
Asante Sana Kaka 🙏
@petervidal1784
11 ай бұрын
👍
@directormagina1151
Жыл бұрын
Like song and video
@youssoufadaoud4713
Жыл бұрын
BS/ B. Rythmes Y.
@bongoswahilimax09
Жыл бұрын
Kisima nakubali Bonyeza link iyo .kzitem.info/news/bejne/woGiqpVnqGaebHo
@tigeroj5923
Жыл бұрын
Hhhv
@fredrickhenrygwantemi1816
Жыл бұрын
Safi sana kisima by GWANTEMI
@bapfakurerajean7807
Жыл бұрын
Ishuri
@emanuelsangija994
Жыл бұрын
Pp0
@nyandanzilatuzu5307
Жыл бұрын
Kaz y mtc Tanzania Iko vzr
@athumanmateo5628
Жыл бұрын
Kisima nakukubali sana
@adeoyethomas5938
Жыл бұрын
Despite the fact that I am Nigerian I love this music so much. How I wish it could be translated to English language.
Пікірлер: 99