Kituo cha Afya Dutumi kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kinatarajiwa kuanza kutoa Huduma kwa wananchi kuanzia Machi 15 mwaka huu.
Hayo yamebainishwa leo Machi 12 Mwaka huu na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani humo ambapo alifika katika kituo cha Afya cha Dutumi na kukagua Ujenzi wa kituo hicho Kama umekamilika.
Негізгі бет KITUO CHA AFYA DUTUMI KUANZA KAZI.
Пікірлер