Hahah 😁😁😂 kitutu_tz unatisha no one like you your so really talented kweli unaenda kama bubu wataelewa tu watajuwa hawajui ni nikicheckoo...🤣🤣🤣🔥🔥
@kitututz
2 жыл бұрын
hahahahah hahahh asante sana
@marcelinemwaro266
2 жыл бұрын
Kututu nakuaminia napenda watu wachangamfu kama wewe kitutuuuu
@bahlaoman6467
2 жыл бұрын
Kitutu unajua kutufurahisha Ila Bubu wewe unapenda Kula kuoga hutaki au mabubu hawaogi 😅hee kumbe unaongea 😅😅 haki nimecheka
@kitututz
2 жыл бұрын
hahaha enjoy baby
@agathakatumba4228
2 жыл бұрын
Yaani kitutu unajua kunitoa stress
@liylahahmed829
2 жыл бұрын
Jmn htr hii nimechekaaa😆😆😆😆😆😆
@sharifanyumayo6314
2 жыл бұрын
Jaman kitutu wajuwa kunifurahishaga mie ni shabik wako mkubwa! Hyo shemej sasa anavyojua kuelekeza kwa ishara hakika inapendeza. Utafika mbali nakuombea
Пікірлер: 33