Askofu Gwajima na mchungaji msigwa wako Chama cha watekaji na wezi wa kura. nawasikitikia sana
@PhaustineJoseph-w1p
15 күн бұрын
Tumuache gwajima alitimikie shauri la mungu gwajima songa mbele hatuwezi kuiacha nchi iongozwe na waovu pekee Yao watu wa mungu gombeeni nafasi taifa ni letu sote
@EdwinKaywanga-ww7jr
15 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu Elimu uliyotoa ni nzito kwa msigwa
@gabrielyayoephata7069
15 күн бұрын
Kuna kusudi la Mungu Gwajima kwenda ccm
@AmaniMwankili
14 күн бұрын
Mungu Gani ww panya? Au Mungu wenu CCM shenzii
@monicamwita7865
13 күн бұрын
@@gabrielyayoephata7069 yeye yuko vizuri labda akili so sahibi5 kwani mambo mengi yananuka huko alimpa.
@ezrasanga506
8 күн бұрын
Mungu wa kuteka watu??....🤔🤔🤔
@boxdad
13 күн бұрын
Huwezi jua mungu anampango gn nae Hadi kua pale
@NICKSONLUTEGO
15 күн бұрын
Mnaomsema Gwajima vibaya mnapoteza mda kile kiumbe kingine(jasusi la mbinguni) ,taften kazi nyingine yakufanya.
@SaidYusuphu
15 күн бұрын
Kweri??????siaminii
@monicamwita7865
15 күн бұрын
Anasema kweli kabisa
@jeniphermyingajeniphermyin8029
15 күн бұрын
Mmh KAZI wanayo
@maarifatv4160
13 күн бұрын
Una matatizoo ww..jasusiiii bongoo????
@NICKSONLUTEGO
13 күн бұрын
@@maarifatv4160 endelea kupoteza muda .kupinga kwako ww hakupunguzi chochote
@StanleyMwaipopo
15 күн бұрын
GWAJIMA SIO YULE TENA IBILISI AMESHAFANIKIWA
@Witgerjustine
13 күн бұрын
Umelogwa wewe
@KandidoLuvanga
15 күн бұрын
Mtumishi katema cheche ukweli mtupu👏👏👏👏
@BahatiMwampamba
15 күн бұрын
Mwache gwajima
@Mmchusa1979
13 күн бұрын
Itawachukua muda mrefu sana kumuelewa Gwajima. Kile chombo kinaonaga mbali sana🤣
@habariduniani7532
13 күн бұрын
Huyu mtu alipozaliwa sidhani kama alilia. 1. Yeye alifurahia Gwajima kwenda bungeni na alienda kumuona ingawa hakufanikiwa 2. Misimamo yake bungeni aliikubali. Sasa angeisikia wap kama Gwajima asingekuwa bungeni 3. Anamtaka ahamie CHADEMA. Hii ni akili ya matope kabisa. Huu ni ushauri wa Mungu au wa kiitikadi 4. Ametumia kipimo gani kuwaza kwamba Gwajima hana nguvu za Mungu? 5. Mwisho kabisa Gwajima amehubiri wilaya karibia zote Tz na nguvu zilizonekana. Tunaomba na yeye aweke anachofanya hapa. Mwisho ameonekana kuomba nafasi ya kuonana na Gwajima kiustadi. Tutamsaidia lakini afunge mdomo kwanza na akionana naye asisahau kueleza shida zake asaidiwe. Hatutamtaja.
@sophiemsuya6507
12 күн бұрын
Namba 1. Umekosea. Alimsindikiza kipindi kile alipoitwa bungeni akahojiwe na kamati ya bunge. Alikuwa bado hajaunga mkono juhudi😂😂😂😂
@jacklinelyimo7407
15 күн бұрын
Gwajima akiwa Bungeni anaongea vizuri sana hata swala la maono alilianza yeye na ndo wanaweka maono 2050 kwa Taifa kwa sababu aliongea Gwajima
@lusajomwaipopo5042
14 күн бұрын
Hiyo dira ya Taifa2050 bila katiba mpya sawa na zero
@GodyMussa-sc9fj
15 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@BahatiMwampamba
15 күн бұрын
Akili zako na zagwjima hazifanani mwache kabisa
@prospermbe5833
15 күн бұрын
Uko vizuri
@Mjeda-q1m
15 күн бұрын
Gwajima aliiba kura kawe hakushinda halima mdee alikamata mabegi ya kura za wizi
@GeofreyMwaipopo-gl8up
13 күн бұрын
Acha unafiki mwache gwajima tunampenda sana
@monicamwita7865
13 күн бұрын
@@GeofreyMwaipopo-gl8up kweli wanampenda, abysmally mahali akili labda so sahihi2 kutòka mazingira mwogopo.
@jamesmsengi7483
12 күн бұрын
Elewa muktadha wa speech wa huyu mtumishi ndipo useme Gwajima oyee. Tafakari
@rithaurassa
15 күн бұрын
Kuna utumishi sehemu ya uovu kweli! Mtumishi gani ambaye hawezi kutetea utekaji unaoendelea nchi nzima.Tuacheni kudhalilisha uchungaji. WACHUNGAJI WANASIMAMIA UWAZ NA UKWELI. Ila yote ni watu wamependa kumdhihaki MUNGU.
@cristinaruka9293
15 күн бұрын
Usijali mungu anayomakusudi juu ya dokta gwajima atafanya makusudi yake
@davisnkoba2683
15 күн бұрын
Hata Yesu Kristo alienda kuzimu na akamnyang'anya funguo Binafsi naona hakuna alipo kosea naamini kupitia yeye ukombozi na mageuzi makubwa yatatokea kupitia yeye
@AnnaMwitega
6 күн бұрын
Nimekuelewa sana mtumishi
@jamesjr6086
14 күн бұрын
Nimesikia Gwajima ndie rais ajayee kupitia chama cha chadema
@Joseph-hi2ov
14 күн бұрын
Naunga mkono
@JumanneGibson
11 күн бұрын
Ushauri mzuri xana
@sarahkinyashi6213
10 күн бұрын
Jali yako,GWAJIMA muache na yake🙏🙏🙏
@EmmanuelJacob-gb5jn
11 күн бұрын
Huna kazi au acha ujinga bwege ww gwajima gwajima tafuta topic
@pilehkumpaul3034
13 күн бұрын
Umetumwa na aliyekutuma hana jipya Gwajimaa oyeeeee
@TitoRufizi-xb2ub
15 күн бұрын
Nimekupenda mtumishi,kukataa pesa ya ccccm we ni mtumishi wa Mungu kweli,wananchi tunaishi maisha magumu ila kazi ya cccm ni kuiba rasilimali nakuhonga watu ili wanyamanze wasiseme mabaya yao
@abhambomihambo6754
15 күн бұрын
Maneno mazito hayo na ukiyaangalia na kuyasikiliza kwa makini yana-make sense.
@Karen-o6e
13 күн бұрын
Hakiki.
@georgelusinde4972
15 күн бұрын
❤ Nyie mnaomzungumzia GWAJIMA niwajinga sana, unapo muona GWAJIMA mahali popote' ujue MUNGU Yuko mahali hapo" Akili zake anajua azitumie wapi, saangapi nakwamazingira gani, Sasa nyinyi wenye Akili fupi subirini hapo mbele kidogo' muone MUNGU anachokwenda kukifanya. Sina mashaka kwakile nilicho kiona, namaneno haya; yanahitaji DD 2 kuyaelewa.🇹🇿💯
@NixonJohnson-r4m
15 күн бұрын
Umelewa wewe
@petermakusa811
15 күн бұрын
Kwani umesahau huyo askofu wako gwajima alimshambulia mpina au unashabikia huyajui hayo, tuna hoogopa hata watumishi wakiingia bungeni wanasahau kutetea wananchi wanakuwa ni watu wa kitikia ndioooo hata kwenye mambo ambayo hayafai
@andrewlkashusha135
15 күн бұрын
Hamna kitu kwa Gwajima pale, labda apewe nchi!
@alinanisimbeye9512
15 күн бұрын
Usimuskize juju huyu jamaa tulia anapoint
@EliAchahofu-i2r
11 күн бұрын
Maneno sahihi ukiingia kutoka ni tatizo watumishi wa mungu muwe makini japo tunapaswa kuingia kwenye mifumo ya siasa huku tupo kwenye madhabahu Du mungu atusaidie
@Witgerjustine
13 күн бұрын
umelaaniwa
@philomenastephen3364
15 күн бұрын
ASKOFU KUWA CCM NI MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE. KWANI MBONA BUNGENI HUWA ANA JADILI YA MAANA TOFAUTI NA WA CCM? MI NAONA NI MUNGU KAMUWEKA ILI BAADAE KUPITIA GWAJMA AFANYE JAMBO. TUSUBIRIE KIDOGO TU.
@davidmpiluka5224
15 күн бұрын
Kweli kabisa. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.
@MgangaMalugu
15 күн бұрын
Gwajima anaongea bana
@user-mm6sm9rt9x
15 күн бұрын
Ni kweli kabisa Gwajima kuingia CCM alijichanganya sana. Hata Mimi naona Bora ajisafishe arudi CHAMA Cha watetea haki!
@AbelJohn-tx4in
15 күн бұрын
Mtumishi wa mungu ameingia kwenye chama kinachouwa watu, kweli ni zama za mwisho hizi
@MosesOmary
15 күн бұрын
Kwa nini useme Sasa, Gwajima oyeee ccm oyeee mama Samia Rais wetu oyeeee
@lucylyuki4852
12 күн бұрын
Je like neno la hutakiwi kutumikia Mabwana wawili huyu Mchungaji halijui..anaposoma anakiliruka? Kweli Gwajima ondoka Baki na uchungaji Heshima ya Dunia hii inasaidia ninj? Gwajima ili neno litimie. Ni kwamba Baki na Mungu tu!!!
@RutaJuvent
14 күн бұрын
Mungu akuongezee siku za kuishi ndg.kuingia ccm ni kunajisika.gwajima ni waulinwengu SI wakimungu.
@gowekogoweko5803
15 күн бұрын
DAH MTUMISHI WA MUNGU AMEONGEA MANENO MAZITOO YAMENIFANYA NILIE KANAKWAMBA BINAADAMU MIOYO YETU NI MIGUMU KAMA MAWE NA TUMEMUASI MUNGU WETU WA UPENDO..ASANTE SANA MTU WA MUNGU
@robertbk3508
13 күн бұрын
Kwani shida iko wapi mpaka umchambue Baba wa watu. Nenda na wewe kwa chama chako unachofikili kizuri halafu ukafanye hayo unayosema.
@MusaOgwoko
15 күн бұрын
Gwanjima ni WA zamani sio huyu
@dinakabuka450
12 күн бұрын
Wewe unatafuta umaarufu kupitia hilo jina la Gwajima nyamaza kama matope
@malkavoice2570
15 күн бұрын
Gwajima saivi ni mpigaji kanisa lake limeshageuka Danguro. Msigwa kachanganyikiwa siku nyingi sana,kama ccm wakimkataa sasahivi kesho tutamuona mtaani anaokota makopo na anaweza asiogope mtu akawananga ccm akiwa jalalani pia
@WenslausyTandala
13 күн бұрын
Hiii!!! Muacheni gwajima uyo ni ishu nyingine hanaga kazi mbovu ni swala la mda tu mtaelewa kwamba Yuko hapo Kwa makusudi ya Mungu
@lucylyuki4852
12 күн бұрын
Amina
@danifani7899
15 күн бұрын
Do you know who next president of republic of Tanzania gwajima trust me
@aaronswai3092
13 күн бұрын
Who has told you? Blood and Flesh or Holy Ghost?
@jeniphermyingajeniphermyin8029
15 күн бұрын
Niliwah kumuuliza mtu kuwa,unajisikiaje kilasiku kuwasema wezako yaan badala yakumhubiri Yesu watj wamjue,wekazj kjwahsema wezjo vby kuwa hawako sahihi watenda dhambi,je sk ile unaenda mbinguni ukakuta walewale uliokuwa ukiwashambuloa vby ndiyo wanaokukaribisha utanisikiaje?ama wao ukakuta wao mbinguni nawe ukaingia motoni itakjwaje,kunavitu asimame Mungu pekee siyo mwanadamu maana yeye Mungu ndiye afanyaye yote nakumhukumu mtu kwahaki yake.
@user-mm6sm9rt9x
15 күн бұрын
Haya ni mafundisho Kuonyana ni mhimu Na anachoongea huyu mtumishi ni sahihi
@ORG960
13 күн бұрын
Kuwa katikati ya waovu haina maana na ww uliye mtakatifu utakuwa ni mwovu, hata Yesu alikaa katikati ya waovu lkn aliendelea kuwa ni mtakatifu so leave him alitumikie kusudi la Mungu la maisha yake kwa utulivu mwingi
@adammjomba5814
14 күн бұрын
Msigwa ( mchungaji) mamma Samia raisi msaidie ,U, DC msimchoshe bure anatafuta ugali wake 😂😂
@NoahSeludao
15 күн бұрын
Uko vzr chama cha majambaz wanateka watu wanaua
@lucylyuki4852
12 күн бұрын
Wachafu ni wengi sana hakika mbona hawamtetea Mpina, kwa hayooo!!!!
@joshuaswai8203
15 күн бұрын
Mtumishi kumbuka mdee alikamata masandku kumi ya kura lakini yeye ndiye aliwekwa ndani kura zikatangazwa
@justardzelphine6526
15 күн бұрын
Duh umewapa za uso
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
10 күн бұрын
Kwa Mchungaji kuwa mwnasiasa ni hatari, Inadhoofisha Hali Yako ya Kiroho, Bora kukaa pembeni huku ukiionya Serikali.
@MtumrefuChino
12 күн бұрын
Unachokiongea hukijui,,bora ukae kimya sababu ungekua unaona kawe ilivyotengenezwa usinge sema,,,tunaushika ulimwengu ovu kwa mikono mitakatifu.
@PaschalKimboka
15 күн бұрын
Akiondoka ccm wanavunja lile kanisa
@user-oi5tw8zi2f
15 күн бұрын
Umempima na Nini mpaka unamjaji
@mbikamtanganaki
15 күн бұрын
Kanisani hamna ela wachungaji wote wanakimbilia kwenye siasa
@mathiaskisaky5372
13 күн бұрын
Tatizo hapo siyo Gwajima ila ni wale wanaotekeleza mambo maovu bila hata yeye Gwajima kujua chochote.
@MngwaliAllykizangwa
15 күн бұрын
Kumbe unataka kutuaminisha chadema ni chama kitakatifu watumishi wa mungu wote wakiwa chadema ndiyo sahihi.mkuu wa wilaya mbona ni chadema yule.
@JaziraMustafa-g9p
13 күн бұрын
KUMBE KUJA KWA CHADEMA NI KWA JINA LA YESU NILIKUWA SIJUI HILO.ASANTE MCHUNGAJI KWA KUNIZINDUA.
@mathiaskisaky5372
13 күн бұрын
Gwajima hawezi kuleta ukombozi wowote pale kwani alishatoa hoja nzito akiwa bungeni na hajawahi tekelezwa hata. Bado ni mtu mdogo sana mle bungeni
@JacobMbosalee
15 күн бұрын
Watu wa MUNGU 🤣🤣🤣🤣.in and out ni ushauri mzuri sana kwa GWAJIMA NA MSIGWA.
@PriscaIzebei
13 күн бұрын
Wewe ulitakiwa kuwa mchungaji tangu mwanzo achana na Gwajima wewe Akili zako ni ndogo sanaaa kaa utulie utumikie kifungo chako maisha yakuongelea watu ndio yamekuponza
@AnzelimJulius-sh2qm
13 күн бұрын
Hujui unachiongea fumba kinywa chako urudi uliko toka gwajima ni mjumbe wa Mungu kwa nchi hii na huwezi kumfundisha kazi aliyopewa na Mungu. Njaa ina jusumbua.
@Malaikahomedecoretion
12 күн бұрын
Achana na baba maaana Huyo ni jasusi tena la mbinguni
@YohanaPetro-xv9tp
15 күн бұрын
Ata Mimi Nilishangaa Gwajima Kwenda Ccm Kwajinsi Alivo Kuwa Nanguvu Inje Ya Ccm Toka Aingie Ccm Amekuwa Bendela Fata Upepo
@JanethSwai-i3d
15 күн бұрын
Yule ana nguvu bado ni swala la Muda tu atarudi kwenye reli
@Karen-o6e
13 күн бұрын
Askofu Gwajima huu ni ushauri bora kabisa. Huwezi tumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja.
@annkim2690
15 күн бұрын
Maji yakipotea mtaani anarauka na lorry la maji anaenda akiwagawia watu bure my friend hatukuja duniani kuhubiri tu zipo kazi tukifanyA zina mlazimisha Mungu kututunza pamoja na vizazi vyetu
@Juliusmelk
11 күн бұрын
Yeye mwenyewe Gwajima alipita kwa kura halali???
@robertbk3508
13 күн бұрын
Basi kumbe tumesha elewa lengo wako unaona anafanya vizuri CCM mnamtaka aamie chadema. Mwambie aliye kutuma jambo lake haliwezekani.
@wirangamochemba7063
15 күн бұрын
Mtumishi sio ww unaeongea bali ni roho mtakatifu alie ndani yako ubarikiwe na Mungu azidi kukutumia ktk Taifa letu
@eunicekengajaha2953
4 күн бұрын
Gwajima anajielewa sana lkn
@shadrachkamyori9911
14 күн бұрын
Msigwa kajikaanga mwenyewe. Kaamua kujinyamanzisha mwenyewe. Uchambuzi wa John ni wa kuzingatiwa.
@uzimameditv8148
14 күн бұрын
Nisawa aliingia kimwili nia yake ilikuwa nzuri, kwa habari ya Baba Magufuli alikuwa mzalendo, na mwadilifu wa kweli, alikuwa mfano wa Daudi, usiseme upepo ulimpitia kidogo.
@JenniferMakere
13 күн бұрын
Pia kama mtumishi wa Mungu uta kiwi kujaji wenzako kwenye mtandao watafute uongee nao
@BeniJohn-xd3cn
15 күн бұрын
Achana na Gwajima kabisa Kila Taifa Mungu aweke watu wake
@SeverinMagwaya
15 күн бұрын
kwani gwajima ni nani?
@zebedayokatamaduni9676
15 күн бұрын
Kwani Gwajima yeye ni nani?
@zebedayokatamaduni9676
15 күн бұрын
Ushindi wake wa ubunge kawe ni wa halali?
@yaronaWilliam
15 күн бұрын
Uko sahihi, hawezi kuwa mtumishi wa Mungu tena, bali mtenda dhambi tu, mchumia tumbo tu!
@JosephMoyi-n4w
15 күн бұрын
Kweli tupu"
@mosesmashauri
12 күн бұрын
Ni mbaya Sana kusema mtu Tena mtumishe wa MUNGU kama umemweka wewe achana nae hata kama anawashirika wawili...... Nenda ukaandae mashamba ya mihogo musimu wa mvua chache utaanza hivi karibuni
@davidmagesa6773
12 күн бұрын
Ww nimunafiki sana ulikiwa umsimamo ya Corona mbona ukutoka ninge kutukan ila nimekuacha
@JenniferMakere
13 күн бұрын
Hata Yesu alisema hakuja kutafuta watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu so kama unaona amekosea jua hapo alipo kuna kazi maalumu ametumwa na Mungu hivyo kaa kwa kutulia uone mambo yajayo
@FrankEdson-l2o
15 күн бұрын
Gwajima nae mhuni sana, ukabila wakijinga.
@HassaniUlenge-j5j
14 күн бұрын
Gwajima hajakosea kuwa ndani ya Ccm ila ataonekana wa ovyo asipokemea, kukataa na kujitenga mbali kwa vitendo na moyo safi kabisa dhidi ya uovu unaofanywa na kundi fulani la wana
@MagrethEsau-fz6oe
14 күн бұрын
Yusuf aliwahi kuwepo kwenye serikali ya wachafu na baadae akaleta mafanikio makubwa.Pia Daniel alikuwa ktk serikali ya waovu na Mungu akamtumia kutimiza malengo yake.Pia Musa alitumiwa na Mungu ndani ya uchafu wa Farao,akawakomboa Waisrael.Tuache mapenzi ya Mungu yatimizwe.
@philemonbenjamin4225
14 күн бұрын
Gwajima aliingia ccm kwa kura za wizi
@ECO-AFRICANATV
13 күн бұрын
Huna hoja za maana tukuelewe , ACHA KUTAFUTA KIKI GWAJIMA ANAFANYA KAZI🎉
@fabianmainchanyangachika5017
14 күн бұрын
Gwajima akemee Hilo pepo la CCM la kuteka watu na ajiuzuru hana uhalali wa kuwa huko
@annkim2690
15 күн бұрын
Gwajima ako na zaidi ya familia elfu moja wanao mtegemea kila mwisho wa mwezi ako na skuli fees ako na house rent za kulipa ako na wajane na yatima pia Wana mtegemea hii yote ni KAZI ya Mungu Mimi Bora hatendi dhambi
@georgemajalu8823
10 күн бұрын
Gwajima ni kichwa kingine kabsa kile, huyo mtu muache2 bongo yake iko juu mno
@nassibuduma7162
6 күн бұрын
Wachungaji na siasa havipatani wachungaji pigeni siasa ya mbinguni msijichafue,
@elitusgeofrey5104
15 күн бұрын
Yes,heri kuishi mwaka mmoja kama simba kuliko kuishi miaka mia nyumbu.Umeeleweka baba
@ErickWankuru
13 күн бұрын
Ww mzee njaa inakusumbua kila mtanzania ana haki ya kuwa kwenye chama chochote
@PriscaIzebei
13 күн бұрын
Hatujawahi kukuona hata siku maja leo ndio tunakuona
@CLEMENTNDOLE
12 күн бұрын
Unakosoa watumishi wa Mungu kuingia katika siasa au unawashauri waingie katika chama cha CHADEMA? Ndugu hakuna chama cha siasa kinachohubiri mambo ya Mungu.
@robertbk3508
13 күн бұрын
😂😂😂Akili ndogo inajarubu kushindana na akili kubwa ni kufukuza upepo tuu. Ngwajima Oyeeeeee
@BenardMzulwa
13 күн бұрын
Danieli kwenye bibilia alikuwa Kiongozi mkubwa sana wa Siasa kipindi chake. Kwani Wafalme wa kipindi kile walikuwa watakatifu sana? Huyo Danieli mwenywe alitengenezewa zengwe na viongozi wenzake unadhani hao viongozi walikuwa watakatifu sana? wanawapenda watu, hawali rushwa? Mtu ambaye yuko tayari kumuua mwenzake kwa kumfanyia fitina ni mtu mzuri? Gwajima aachwe afanye kazi yake mtakuja kumuelewa baadae sana hoja zako nabii ni nyepesi nyepesi mno. Watoto wadogo tu watashindwa kupambanua
@user-ej5vc7zg7o
8 күн бұрын
Hili nalo neno.
@JoshuaStanley-qu3im
13 күн бұрын
Umesema kweli
@adammjomba5814
14 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu kunawatu bila kufanya fitina hawapati mafanikio msigwa ni miongoni mwa watu wenye njaa sana
Пікірлер: 326