My first day and i fell in love with this song ❤️ Proud to be Christian Wale wa 2024 tujuane hapa
@beatricemvungi
23 күн бұрын
🎉🎉🎉
@oscarmatapila6937
3 жыл бұрын
Daaah machozi yanatoka kwa furaha kumbukumbu za zamani sanaaaaa mbarikiwe mnooooo
@AnnieMankya
8 ай бұрын
This song reminds me of my mama, Tutaonana asubuhi iliyo njema mama angu..endelea kupumzika kwa amani
@revinmlay5031
5 ай бұрын
Apumzike Kwa Amani.
@ellenmlay4203
14 күн бұрын
Same here, rest easy mama😢@@revinmlay5031
@DanielShekfu
8 ай бұрын
Wameomba vizuri,na kuonyesha maisha ,mengine baada ya ulimwengu huu,unaochakaa kwa haraka I ❤it
@donkipps5124
10 ай бұрын
This song reminds me my experience as student at AGAPE LUTHERAN JUNIOR SEMINARY. Best school for our kids and tanzanian youth generation at large. 🔥
@catherinemossi4598
8 ай бұрын
I was coming here to comment the same 😆. Long live the memories and the learnings we got from Agape🔥
@joycemhando7380
2 жыл бұрын
Wimbo wangu pendwa 🙏🙏
@angelbenjamin7326
Жыл бұрын
Nice song, huu wimbo naupenda sana nakumbuka kipindi nikiwa primary my Aunt alikuwa mwimba kwaya, walikuwa wanashindana kuimba na huu wimbo ulikuwa kila kwaya lazima waimbe, basi alikuwa ananichukua tunaenda kwenye mashindano na tunarudi na ushindi, Get well soon my Aunt, umenikumbusha mbali sana, Tembea na Yesu upone Aunt yangu
@happykimaro7783
Жыл бұрын
Amina
@agustinokimaro1483
11 ай бұрын
Ata mm mamaangu alikua ni muimbaji wa kwaya wakiimbaga hii nyimbo nakumbuka mbli cn
@pascalrweyemamu4351
9 ай бұрын
Mm nilikuwa katika Safu ya waimbaji chini ya mwalimu MSUYA.. cant imagine nilikuwa ndio nimemaliza std 7... Niliimba sauti ya 4
@brantywilson1347
5 ай бұрын
Yes! Ulikuwa ndo wa kuingia....hatari sana
@sir_ENOCKMACHA
2 ай бұрын
Wimbo mtam wa enzi na enzi...mpaka nimekuwa mtu mzima leo,nilikuwa nikiusikiliza niko mdogo ukipigwa nyumbani kwetu na wazazi wangu,MUNGU NI MWEMA hadi leo nainjoy
@jamessungu-h7d
Жыл бұрын
Wimbo huu ulikuwa ukiniamsha kila Alfajiri kupitia Redio Tumaini nikiwa kidato cha nne na tano 2003-2005 Pugu Sekondari. Tangu wakati nilipousikia sijawahi kuuchoka. Mungu atubariki.
@festourugu1476
Ай бұрын
❤
@christineireri2272
Жыл бұрын
Can't get enough of this song. Very uplifting. God bless this choir.
@yudamwakatobe338
Жыл бұрын
This song reminds me much about my good past life while I was at Yombo Lutheran church early in year 1997
@emanuelsamwel999
Ай бұрын
The year i was born 😁
@El9a
Жыл бұрын
Huu wimbo ni wa Kinabii, ni wa Kimbingu, namtukuza Mungu kwaajili ya hufuma yenu Watumishi. Mungu Awawezeshe Duniani mudumu katika furaha ya Bwana na milele katika Ufalme wake... Nawapenda, Nimependa sauti na Ujumbe tangu nilipokuwa mdogo miaka 5-7 hadi leo Miaka 27 huu wimbo bado ninaupenda. Leo nmeuona machozi ya furaha yamekuja. Hakika Injili ni uweza wa Bwana Uletao wokovu, Tuingie katika njia ya Injili na tukaze Mwendo.
@gabbyymunga563
2 ай бұрын
Hapa mtoe version mpya tena kali kama hii big up
@lawarencemacheta7326
3 жыл бұрын
Kitambo sana RTD huu wimbo kila jumapili sa nane /tisa ulikuwa unapigwa na John Kamoyo
@emelineukashu4962
3 жыл бұрын
Great memories. As I can see my Dad singing nice n happily. God bless you all.
@elizabethmwakajilaayo6707
Жыл бұрын
I miss my dady tooooooo😢😢😢😢
@emanuelsamwel999
Ай бұрын
@@elizabethmwakajilaayo6707😢
@webijacktan6668
2 жыл бұрын
This song never fades up l have been listening to it for many many years it is always new:
@allanngowi9015
Жыл бұрын
Wow ! Just WOW !! Sweet memories !
@TheoGiyan
Жыл бұрын
Well nmeutafuta sana huu wimbo ghafla tu nimeupata, nostalgia.
@justinekigomboa
8 ай бұрын
😂❤Barikiwa
@ekassertive7079
Ай бұрын
Huu wimbo haujawahi kuchuja leo,sasa na hata kesho na mtomdogoo
@DeoMrema-k1q
7 ай бұрын
Mungu nisamehe dhambi zangu
@benjaminmichael1099
2 жыл бұрын
Jina la bwana libalikiwe milele AMINA 🙏🙏🙏
@joelynassarynassary7257
3 ай бұрын
naupenda mnooo
@JoshuaHilgath
Ай бұрын
Hii nyimbo kila siku ni mpya ninapoisikia hongereni sana Mungu awabariki
@adrianjungu8360
5 ай бұрын
Hakika Mungu ashukuriwe kwa wema wake
@ngusekisu6746
2 жыл бұрын
Nawapenda bure Wana wa Mungu mwema Mmeimba vizuri sana
@alicenyabate8148
3 жыл бұрын
Tutafikia lini furaha yake bwana barikiwa wanakwaya
@stephenmlay385
2 жыл бұрын
In lovely memory of my late father who passed away 15 years ago.......he used to love this song
@charlesmindolo6062
3 жыл бұрын
Classic song 2021 naipenda
@rutarutahindurwa2080
Жыл бұрын
Kweli kila jambo lina wakati wake... Mungu ni Mwema Wakati Wote.
@pilipilimanga2619
2 жыл бұрын
I never get enough of this peace. It was well articulated.
@abdalahelihazina512
11 ай бұрын
Nice song, nakumbuka miaka nikiwa kijana,hakika kutembea na Yesu Kuna faida,
@justinekigomboa
8 ай бұрын
Nakumbuka St.Andrews Magomeni na Magomeni Lutheran (Mviringo)❤
@joelmomanyi4925
3 жыл бұрын
May the Lord God bless you so much for the good work you are doing
@ChristerShao
8 ай бұрын
Gene unakumbuka wimbo wetu huu tuliimba sana.
@gloryaizaki8922
Ай бұрын
Naupenda sana🎉
@bakarijessemnaya3019
3 жыл бұрын
Kwa kweli m'barikiwe MNO. Nyimbo zenu zinabariki sana. Album zinapatikanaje....DVD
@blessedtumaini516
Жыл бұрын
Ninaingia furahani mwake Bwana Haleluya Amina..
@rodgersgasper7006
2 жыл бұрын
Always loved this song, classic one with good memories. Ninatembea imara 2022
@roggermwakyanjala3586
8 ай бұрын
As we navigate towards the end of times foretold by the prophets, we shall Miss the purity of everything, including the purity of the Gospel songs, since everything is contaminated, everything.
@user-ge5kp5hw9o
Жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana baba yangu alicheza kwenye harusi ya dada yangu kwa furaha Sana Basi tukienda sehemu yoyote tukiusikia lzm tumkumbuke baba alivyokuwa anacheza kwa madaha na furaha kwa kushuhudia harusi ya binti yake lkn kwasasa wote hawapo duniani dah pumzika kwa amani baba yangu Sylvester Robert Mushi na dada yangu Evelyn Sylvester Mushi🙏🙏🙏
@cutemoshi9028
Жыл бұрын
Pole sana dear
@DoreenPonda
Жыл бұрын
Wow ❤❤❤
@geofreykaaya1003
Жыл бұрын
Hongereni sana Kwaya ya KKKT - KIMARA.
@emmanuelngewa8894
2 жыл бұрын
blessed are those who sing the song of praise like this
@clarachediel2039
6 ай бұрын
Daaah moyo wangu umeruka ruka
@jackjacob9264
3 жыл бұрын
Barikiwa kwa nyimbo zenu nzuri zenye utukufu.
@GabrielMbwambo
3 ай бұрын
NAFURAHI SANA WAPENDWA
@davidnchoji
2 жыл бұрын
I really love this song❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@angelmmary6799
10 ай бұрын
Nipo hapa 2023 still nikiuskia napata tabasamu haswa
@juliusamani4002
5 ай бұрын
Those days at Mwika Sec❤
@rubenasajile439
2 жыл бұрын
2022 still listening
@salamamasegedo3640
Жыл бұрын
Nakumbuka kurasini st Maurice
@ruthmikindomikindo
Жыл бұрын
Hongreeeen sana watumishi wa mungu
@BelinaMwaipungu
11 ай бұрын
Nabarikiwa mno na huu wimbo
@LucasNkwamah
11 ай бұрын
Atari sana hii pini
@janethjkavishe589
Жыл бұрын
Zamani sana nikiwa primary Kila siku upendo radio walikuwa wakiupiga
@happymsaki1720
Жыл бұрын
Nakumbka mbali sana hizi nyimbo ni hazina
@georgembwale826
3 жыл бұрын
Mlitisha sanaa hongeleni
@angelmmary6799
7 ай бұрын
2024 this song🤲🤲🤲
@Dotto19
6 ай бұрын
My favourite song
@DoriceInnocent-bc6df
Жыл бұрын
Be blessed always
@thagondale9041
7 ай бұрын
2054 still a hit
@daud8785
3 жыл бұрын
Safi kabisa, Mungu awabariki Sana
@gracejapheth3476
2 жыл бұрын
Yani huwabarikiwa sana na huu wimbo. Mbarikiwe waimbaji.
@tuzonyava8306
8 ай бұрын
Kwa sana namuona Brian Decon sasa kipindi icho tuna amini huyo ndio Yesu weee hunitoi kwenye rel😅😅
@emanuelsamwel999
Ай бұрын
Ndiyo ni Brian Decon katika kuwakilisha jinsi Yesu alivyofanya kazi yake. Hakika aliigiza vema uhalisia wa Yesu kiasi cha kutuaminisha yeye ndiyo christ mwenyewe 😊😅
@aishayahaya5119
3 жыл бұрын
Hakika naipenda hii nyimbo
@lilianmkelewele7489
2 жыл бұрын
Mungu awabaliki kwa ujumbe mzuri
@secelelamatonya3179
Жыл бұрын
Namkumbuka marehem mke wa mwalimu wangu JANI wa Tumbi primary, mama neema, hata siku alipokwenda kufanyiwa upasuaji alituaga akiimba wimbo huu, hakuamka tena baada ya operation, kila ukiimbwa kamwe siachi kumkumbuka, bado nakupenda sana kipenzi huko uliko, maana nawe ulitupenda sana ulipokuwa duniani, Rest in peace dear
@hauleshadrack5879
2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana ,nimekumbuka kipindi kile
@justinekigomboa
8 ай бұрын
Kabisa ndugu🎉
@blandinasamwely6288
3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Kwaya Kuu Sauti tamu
@musandyamkama3886
8 ай бұрын
Good song
@georgebruno916
2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@mpaleandrew7424
3 жыл бұрын
Ziko wapi hizo sauti tamu Sasa? Warithi wapo?
@reginaldswai3804
3 жыл бұрын
wapo karibu siku uje ututembelee usharikani
@hosianajumbe4356
3 жыл бұрын
Nabarikiwa sanaaaa
@eliabuelisantemziray5908
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@reysohelman7315
2 жыл бұрын
I like this song😍😍
@estasiashiringa1038
Жыл бұрын
❤❤2023
@BuckleRebecca-n3k
7 күн бұрын
Ken Shoal
@erickmariki1313
2 жыл бұрын
Vijana wa ukwata walikua wakiimba hii nyimbo mpaka vinyweleo vinasimama
@EmmanuelAyo-l1u
Жыл бұрын
Ni wimbo uliotungwa na kuimbwa kwa akili!
@justinekigomboa
8 ай бұрын
Sana❤
@Kwelihukuwekahuru
3 жыл бұрын
Manyama kwani Mungu aliumbia wasabato peke yao uimbaji mbona hiyo siyo ladha ya kisabato ulitakiwa umpe Mungu utukufu siyo kuipa sabato utukufu
@victoriamalogo4587
3 жыл бұрын
Umeona ee kwa kweli MUNGU anasitahili atukuzwe
@amirayubu7013
2 жыл бұрын
Amen
@magrethfrank9294
2 жыл бұрын
Nyimbo yangu pendwa
@thagondale9041
7 ай бұрын
Lyrics please
@siyaminja8169
3 жыл бұрын
2021 ❤
@ayoubbajuta4427
2 жыл бұрын
mwenye audio volume 11 anisaidie
@estasiashiringa1038
Жыл бұрын
❤❤
@marryadolph4634
Жыл бұрын
Zuur
@fanueltarimo509
Жыл бұрын
Good
@norbertseho
2 жыл бұрын
lyrics za huu wimbo napata wapi???
@subiramihayo1305
11 ай бұрын
❤
@lalashowimunisi3566
2 жыл бұрын
Amen
@DanielShekfu
8 ай бұрын
wameimba
@sarikokiagape7685
3 жыл бұрын
🙏
@mosesmanyama1773
3 жыл бұрын
Ninyi ni wasabato ila bas tu
@hellendaniel3809
2 жыл бұрын
Yaan sijuiagi mnashida gani Wasabato. Mpe Mungu utukufu
@juliethkipeja4791
2 жыл бұрын
Huo ndio uimbaji halisi wa Kkkt na ndio maaana ya kwaya kuu
@lutheranhours6610
Жыл бұрын
@@juliethkipeja4791 hakika dada Julie hio ndo maana halis ya Kwaya Kuu
@eliahmsuya3392
3 жыл бұрын
P
@amirayubu7013
2 жыл бұрын
HUU WIMBO KWA SIKU NAUSKILZA MARA 7 YAAN UNANIFNYA NAISHI KWA AMANI SNAA MLITISHA SNAA MUNGU AWABARKI SNAA AMEN KINANDA KIMETULIA KWNYE MOYO SNAA
Пікірлер: 121