KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ameweka wazi lengo la mechi ya kilele cha Simba day ni kuwa anawapa wachezaji muda wa kucheza uwanjani kuonyesha uwezo wao na muunganiko wa timu yake.
Simba wanatarajia kushuka dimbani kesho dhidi ya APR FC ya Rwanda, katika kilele cha Simba Day, ikiwa ni mara ya kwanza baada ya kutoka Misri walipoweka kambi ya maandalizi ya msimu wa 2024/25 wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Негізгі бет KOCHA FADLU, TSHABALALA WAUKOLEZA MOTO SIMBA DAY, WAWAITA MASHABIKI KWA MKAPA
Пікірлер