Likes ni nyingi mtumishi zidi kuendelea mbele Mungu azidi kukuinua
@PeterkenyaOfficial
10 ай бұрын
The Year has been great 🎉 Let's gather here kama huoni hasara ❤!! There's more God has put in place for Us 😊🙏! From Kenya 🎉😚If you believe like this comment tufanye count down 🎉🎉!!
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Endelea kubarikiwa na wimbo huu
@brodavidmusingi280
10 ай бұрын
Amenipa uhai sioni hasara
@moreenvinaywa3552
10 ай бұрын
Wow Amen your songs really inspiring 🎉🎉🎉love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kikubwa uhai asanty yesu wakati wangu waja acha n zidi ku subiri bora nko uhai eeeish blessed
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen
@joselynempawenimana6019
10 ай бұрын
Ubalikiw mutumishi wa mungu komando❤❤🎉🎉from 🇧🇮
@niyomwungerebonnide2821
10 ай бұрын
Wow wimbo wangu . Nakupenda saana. Wimbo mzuli Mungu akubaliki zaidi
@ashauwamahoro3555
10 ай бұрын
Siona hasara.. Kikubwa uhai. Continue to be blessed my brother, more money and more blessings from the almighty
@Chrisviva-ki5pu
10 ай бұрын
Hii Ndo Nyimbo Ya Mwaka 💥🎯🎯💯🎯💯❤️
@EverlynKenneth
10 ай бұрын
MUNGU ni YULE YULE aliyewapa amanita na mim😢😢 kikubwa uhai sioni asara❤❤❤❤❤
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Barikiwa sana
@emmayona4912
9 ай бұрын
Iam a very fun of you komando sir
@sylviashiundu382
8 ай бұрын
Mungu ni yule yule,aliyewapa atanipa na mimi,niko hai sioni hasara🙏🙏🙏,napenda nyimbo zako kakangu,,,,ubarikiwe ❤❤❤
@enockpanja6597
10 ай бұрын
Ongera sana Mtumishi nyimbo nzuri sana ii video ya viwango
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@happinesswilliam2948
10 ай бұрын
Nyimbo zako zina nibariki sana ubarikiwe from uk
@theopisterjovent3483
10 ай бұрын
Kweli Sioni Hasara❤maana yajayo yanafurahisha, amenipa uhai sioni hasara🙏🙏🙏🙏 Barikiwa kwa ujumbe mzuri#Komando wa Yesu❤❤
@ممال-ن8ظ
10 ай бұрын
From kenya alowapa atanipa na mimi kikubwa uhai sioni hasara Amen Amen
@fredrickngwalolela3889
10 ай бұрын
Wow Wimbo bomba sana na unanifunza kitu
@Alfredmusa24
10 ай бұрын
Kazi nzuri sana, ujumbe mzuri sana..... Mungu azidi kukutumia Mtumishi 🙏
@kesheninaftal
10 ай бұрын
Siini hasara ,,, hakika MUNGU akubariki sana kakaaa ❤
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@marcyrommy3224
10 ай бұрын
Komando amesema Pia Mimi sioni hasara. Grateful always to God
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen
@kewashone3437
10 ай бұрын
Nice wimbo mzuri sana
@Agnes-hr2nw
10 ай бұрын
Niko na Mungu sioni hasara kikumbwa ni uhai
@Chef_Angie
10 ай бұрын
Sioni hasaraa😢😢❤❤
@SelemanikizaCyrille
10 ай бұрын
Watanzania wenzangu nataka nione🇹🇿lik zenu apo chini❤
@joylinechelanga
7 ай бұрын
I love all your songs.May the lord bless you with more.
@SuzanaRachel-t5d
10 ай бұрын
I like all of your songs and I make sure that every sings came I have to know it first before someone knows it 👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ElizabethSalama-pg1bq
9 ай бұрын
Ujumbe wa mwaka , bora niko hai najua atanifanikisha barikiwa kwa ujumbe mzuri
@nchilima_dcj
9 ай бұрын
Nimeikubali huku 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 God help you and your work.😊
@PendoMwambogolo-nz2rc
9 ай бұрын
Uhai ndio kila kitu❤❤
@MtanashatiWaYesu-mw2hm
7 ай бұрын
Huu wimbo n🔥🔥nikiwasha redio ndo wakwanza mpk majirani wanasema mmh una Mungu yupi ww et ooh Mungu wako wakuchelewa huyo nasema sana sababu alali wala asinzii,,very nice song
@BeatricePhilbert-e8o
10 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@lucytatublessed9576
10 ай бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼🙏🏽🙏🏽🙏🏽 more blessings.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
@alwendeomulisia6094
10 ай бұрын
Niko Hai sioni hasara 🙏🙏🙏
@TumbaBolengeinnocent
10 ай бұрын
Good work ,,,pajipokuwa na umaskini ila uwai unatosha kumbe sion asara🤩🤩❤
@MujibuAyoub
10 ай бұрын
Zao la commando music 💪❤️❤️
@abedimhjeshi593
10 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 from Drc Abedi Ahadi
@emanalaa405
10 ай бұрын
Amen mungu apewe sifa; hata asipo nibariki sioni hasara kwa sababu amenipa uhai; na uhai ni important sana, glory be to God
@Chrisviva-ki5pu
10 ай бұрын
My Favorite Song 💖💖💖💯💯
@SelemanikizaCyrille
10 ай бұрын
Wimbo mzuri sana mtumishi❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Ahesipicturestv
10 ай бұрын
Nakupenda sana
@Jesika-g2x
22 күн бұрын
Mung ni yule yule kanipa uhai sioni hasara ❤nazipenda sana nyimbo zako zote GOD may bless you
@violachepkoech-qj9vt
9 ай бұрын
Much love love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪God bless you abundantly
@Jamilyissa
10 ай бұрын
🤝ujiandae nitaimba nyimbo moja nawewe unaimba vizuri
@zabibubaruti8593
10 ай бұрын
Kikubwa ni uhai 😇🙏
@MtanashatiWaYesu-mw2hm
7 ай бұрын
aiseee n wimbo nzur sanaaaaaa ,,hongera sana Mtumishi kwa huduma mzr hii na inayo tubariki wengi
@grace735
10 ай бұрын
Much love from 254
@MarthaKikoti
9 ай бұрын
Waooo bonge la wimbo nabarikiwa mno🇹🇿🇹🇿
@OlivagMtula
2 ай бұрын
Mungu akutangulie nyimbo zako zinanibariki kwakweli kaka angu
@emmanuelimark4141
10 ай бұрын
MUNGU Awabariki sana ndugu zetu wa kenya kwa kuendelea kutuonesha support zenu hakika najisikia furaha sana kuona munavyo tupenda sisi wa Tanzania
@damarismbeke
10 ай бұрын
Neema imekubeba mtumishi.. Kenya 🇰🇪 tunakupenda
@mapachawayesu
10 ай бұрын
Ameen Mkuu, Barikiwa saana ❤❤
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@Elizabethcherotich-dm3up
10 ай бұрын
Nasubiri ni kiwa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Ahsante sana zimebaki sekunde tu 😃
@abedimhjeshi593
10 ай бұрын
UNAUPIGA MWINGI SANA AB KAY ak KOMANDO WA YESUongera sana 🎉🎉🎉🎉
@abbythestar2667
10 ай бұрын
Nice song God bless you 🙏🙏
@marthalutuli2575
10 ай бұрын
May the almighty God continue using you to bless more. I love the song❤
@uniqueluate1934
10 ай бұрын
Aimee ❤❤❤🎉🎉🎉
@maureenonyango349
10 ай бұрын
Finally, another blessing it is
@SabrinaSabrina-kv4sc
9 ай бұрын
Ameeen ubarikiwe kwa wimbo wakujenga kweli kikubwa ni uhai be blessed alot
@patrickojuma5157
10 ай бұрын
What a touching song 🎵 brother you are so talented 👏 🙌
@millymachimbo7188
10 ай бұрын
Amen Amen niko uhai sioni hasara 😁, Asante kwa hii ujumbe mtumishi wa mungu na barikiwa🙏
@adamelfazi
10 ай бұрын
wimbo wa baraka 🔥🔥😍
@Rubeth-Rubeth
10 ай бұрын
Amenipa uhai sioni hasara Amen.
@SuzanaRachel-t5d
10 ай бұрын
Command god bless you 10000 time of all your songs 😇🙏😇🙏😇🙏😇🙏😇🙏😇😇🙏😇🙏😇🙏
@HappyMlinga
10 ай бұрын
Nyimbo nzuri saaana
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@beatricekoima5929
9 ай бұрын
Waaaw,amazing ❤❤❤❤ my situation though thnks for the inspirational song
@DinaPetit-b9j
10 ай бұрын
Amen ubarikiwe ❤❤❤❤❤
@DedeboraIrakoze
15 күн бұрын
Ubarikiwe wimbo huu unazidi kuniongezea Imani
@margaretsidi2162
10 ай бұрын
Ameen to this song, I promise to come back here for I trust in God, kesho yangu ni nzuri
@lizmburu3318
8 ай бұрын
Sioni hasara Leo🇰🇪my song this January
@loiceloi9471
10 ай бұрын
Kazi nzuri nyimbo nzuri sana
@LUPIMO_TV
10 ай бұрын
Barikiwa sana Komando nakukubali sana👍
@penueldjuma2845
9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana 🎉🎉🎉🎉🎉❤
@kitambatv8363
10 ай бұрын
Amina barkiwa mtumishi kazi nzuri sana
@Dramackjr
10 ай бұрын
Good job
@sheki9163
10 ай бұрын
Dadicated to those who were rescued from hazard of landslide and mudflow in Hanang'.. "Kikubwa uhai hakuna hasara" . R.I.P tho those who lost their life.. 😢 KUNA KUSIMAMA TENA
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen
@sedekiakiza
9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa MUNGU kwa huduma njema
@officialjoakim3555
10 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@rispercharo810
10 ай бұрын
Apa bro msg safi sana🔥🔥🔥
@sultanasayedhossen2741
4 ай бұрын
Ubarikiwe hii nyimbo ina uwepo wa Mungu ndani yake na inainua sana thanks ujumbe nimepokea ❤
@annkendi7724
10 ай бұрын
Wewe ni mcha mungu kwa kweli do not change bro❤
@herimboya
10 ай бұрын
Komando🔥🔥🔥🔥
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
😃😃🙏🙏🙏🙏
@michaelrahim
10 ай бұрын
Asante natiwa moyo 🙏🙏🙏
@hollybattalion
10 ай бұрын
Hongera komando mungu azidi kukuinua zaidi
@komandowayesu3642
10 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏
@collinsimito52
10 ай бұрын
Touching song indeed,yuko mungu anayetoa watu matopeni na kuwafanya jinsi apendavyo
@marymsemwa9161
10 ай бұрын
Kikubwa uhai sioni hasara
@rachelmollel-p1q
7 ай бұрын
Ubarikiwe endelea kumtumikia mungu wetu
@Chizoofficial
9 ай бұрын
Umeua boss congrats sana
@idahnjage3609
10 ай бұрын
Amazing amazing🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@michaelkamtupe1970
10 ай бұрын
Kikubwa uhai sioni hasalaaa
@Sharon-is4gv
10 ай бұрын
Kazi nzuri mungu akubariki sana❤❤
@jesusislordoflords8957
8 ай бұрын
Great from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🌹
@eliasiasende7115
10 ай бұрын
Uhai kwanza menginé badae
@joelmaige407
10 ай бұрын
Ubarikiwee sana kaka
@raphaelnyagah6256
10 ай бұрын
Waiting for song 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@heavenguard3248
9 ай бұрын
🎉uhai kitu cha dhamana
@DamarisWemali
10 ай бұрын
Hallelujah 🙏🙌 glory to God 🙏
@TatuAngomwile
10 ай бұрын
God bless you more and more my brother🙏🙏
@gracekunambi7438
10 ай бұрын
Amen.. Mungu ni yule yule, ata uuu uhai alonipa inatosha..barikiwa komando wa Yesu
Пікірлер: 180