My favorite song for now , my young brother this is hit song , ❤ from Rwanda
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@deelamtv800
9 ай бұрын
Kama unasupport new talents gonga like hapa
@bigtimetz
9 ай бұрын
Wa kwanza kutoka kahama kutuzama sweet Toka kwa kondela Empire nipeni like zangu hata 100
@Amivanny
9 ай бұрын
tupoo
@KondelaTz
9 ай бұрын
Ahsante sana 🙏🏾
@mrpoulmidia7516
9 ай бұрын
Me nawambia huu mwaka asipotoka kimaisha condella Niite mbwa niko pale mr poul_brand mwanza Tanzania ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@aidanshow5477
7 ай бұрын
Daah bro unajua❤❤
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@tarikiMchenje
7 ай бұрын
Nipo na wanangu tumepiga kama x100 🔥🔥🔥🔥@kondela tz
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@Benedictolukanyima-f1i
8 ай бұрын
Rock city finest 🎉
@goodlucktemu3149
19 күн бұрын
Najuta kwa nini sijaisikia mapema nyimbo nzuri kama ii, 🔥
@trestar_tz
9 ай бұрын
STROBERO📸MWAKA WETU HUUUUU KONDELA#oooh ZUCHU
@KondelaTz
9 ай бұрын
Ahsante sana kwa support yenu 🙌
@Brayban
9 ай бұрын
Unajua bro
@AminaAbasi-r1y
9 ай бұрын
Ongera Kaka kwa kutangulia nyimbo Kali kk
@DoctorPesandegeMgangaTibAsili
9 ай бұрын
Keep on touch 💪🏾🎶❤🔥
@jacksonlaurent
9 ай бұрын
Atari sana dogo tena nakumbuka wakt unaitambulisha nilikuwa naicheki kama sikosei eatv
@albertmwalusamba4161
9 ай бұрын
Umeua saana Tena saana 🔥
@samrankingfire5009
9 ай бұрын
Tulio ona hii kwa nay wa mitego tugonge like hapo❤❤🔥💥
@Sintya-o8j
9 ай бұрын
Kimekosewa kimoja dada siyo rasta lkn dada mzuri..ila angewekwa pisi ya kirasta ingependeza zaidi ❤..
@dazzkid_tz
9 ай бұрын
Brother uko vzr bonge la sound keep up from today im your fan kazi nzuri tu zihusike ❤❤
@KINGSHALA
9 ай бұрын
Boom bro nakubali sanaa mwanagu kutoka Mombasa good job my brother big up 🔥💥💥💥
@saidymbarouck1018
3 ай бұрын
Kahama moja kaz nzuri mkuu
@jonesnohito4620
9 ай бұрын
I love your melodies am from Malawi 🇲🇼 .. Uko vizuri nakubali
@BANJOTZ
9 ай бұрын
Kaka umeuwa sana
@k2kscott53
Ай бұрын
We jamaa mkali sana wasanii kibao hawakuwezi
@yussbreezy918
9 ай бұрын
Let's Support this Talent guyz🎉❤ Ngoma siichoki kusklza alooo🎉
@pdaxofficial3144
9 ай бұрын
Ngoma Kali sana hongera sana ila nenda kwa mocco kafanye nyingine najua mocco atakufanyia kitu Bora km hiki kiukweli unajua mwanangu pdax official from kinondoni
@mburatech8402
9 ай бұрын
kazi nzuri haina makolo video ya level za juu uimbaji wa kiwango cha juu
@filbertmalim4680
9 ай бұрын
Video kali, 🔥🔥🔥
@bwoydecko254
9 ай бұрын
This song is going to be big🎉🎉
@Laizer_boy
9 ай бұрын
mashabiki wa muziki wa kondela kaeni kwa kutulia kuna mengi yanakuja tuinjoi na sweet mambo mengjne yatafuata
@mansouromary9246
9 ай бұрын
Kupitiaa Audio yenye ujumbe mzurii basi tuli sadiki kuwa ata video itakuwa kali bc kwa hakika umetuwakilisha vyema msanii wetu hongera kwako #KONDELA🔥🔥🔥
@FrankDeyong-e2d
7 ай бұрын
Now I cry because of the beauty of the song. How wonderful you are, my brother 
@fizzy_music
9 ай бұрын
ngoma Kali sana
@chaudele
9 ай бұрын
Apo aihishi mpaka iishe kaka love song ❤️
@NicholasColonery-xi7vg
9 ай бұрын
Dahh unajua San boy ni Star unae kuja Usha toboa boy kumbuka na wenzi kuwa saport kondela usisahau ulipo Toka mwanza haitoi mafara ni 💥💥💥💥💯
@halisimediatz
9 ай бұрын
Mwanza au shinyanga
@AyubufaidaJakobo
9 ай бұрын
Nakubali kaka lakin umenitenga
@easyvisualz
7 күн бұрын
Still my favorite artist 🔥🔥🔥👌👌we need new hits habari 😂😊Love from zimbabwe
@EmmanueliChachachacha
4 ай бұрын
I swear nakubali chenye unafanya wewe ni nyota njema
@Mastaa_1
9 ай бұрын
Ngoma kubwa 🎱
@elickjohn5824
9 ай бұрын
😢umeua sana big up dogo kaza mwanangu una melody moja kalii sana
@kingfisher101
8 ай бұрын
Mzigo nimeucheck naona niwenyewe
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@andrewyusuph6563
9 ай бұрын
Kazia hapohapo kijana...hili ndio tusu lako.
@fredyfaston2267
6 ай бұрын
nimekubali kana kwamba kitaani naitwa kondela Kwa sababu navaa t-shirt zimeandikwa kondela😅 kazi kubwa blood🔥🔥
@barakaernest7897
9 ай бұрын
Chupa kaliiii kaka umeua sana🔥🔥🔥🔥
@latwiffahpeter6417
8 ай бұрын
Kondela kazi kali kaka hongera Sana mungu akubariki🙏.
@AngleShio23
8 ай бұрын
I appreciate what ur doing nakuombea uwe na muendelezo nzuri .kuddos
@EmilianaPaschal
5 ай бұрын
Condera ichek lock star tz utoe kommet maana dah
@BAN2LUCKY
9 ай бұрын
Kijana wangu kaupiga mwingi.. always proud of you my brother ❤
@ellyxplatnumz5655
9 ай бұрын
Noma
@AmusedCamel-vs9mg
8 ай бұрын
Nzur sana kondela unajuwa sana we ni fund aiseh
@hamisijumanne4137
8 ай бұрын
Umetisha sana mzee
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@eaglecyno5056
9 ай бұрын
Nikipinga ntakua nakosea kaz mzuri kijana 💪🎶🎤🎶🦅
@ibrakingtz-yp1dn
9 ай бұрын
Good music Mr ngoma yakwenda sana
@JulitaSimon-w8m
6 ай бұрын
Hongera sana bro upo GOOD ❤
@LavidaInn
Ай бұрын
Nakubari Sana
@CR7-t7g4u
9 ай бұрын
Tune kaliii sanaa
@rotahboy
9 ай бұрын
Congratulations bro video kali nyimbo kali🔥🔥🔥🙌🚀🚀🚀
@AbdullaHanny
9 ай бұрын
Moto mzee baba umenfny niwe fansi
@Laizer_boy
9 ай бұрын
kipaji kipya kutoka Tanzania
@kamdinindevu5185
8 ай бұрын
Unajua kuimba kama 🎉🎉🎉😅
@Naughtymiles1
9 ай бұрын
Hii ni nyangu bro zidi kushine zaidi ambapo inakufaa
@emmanueldaud8371
8 ай бұрын
amini uko vizuli 🔥🔥🔥🔥🔥
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@elykizz
8 ай бұрын
Wangap tunaona jamaa lazma atoboe
@KondelaTz
7 ай бұрын
Asante
@bernardwekesa8581
9 ай бұрын
Keep doing what you are doing bro. From Nairobi Kenya chapa kazi, nimekujua since BSS
@arabgandaempire
9 ай бұрын
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Пікірлер: 242