Khutba ya ijumaa yenye maudhui ya kubainisha itikadi isiyo sahihi juu ya kuitakidi mikosi katika baadhi ya miezi ikiwemo mwezi huu wa safar. Sheikh Abuu Mus'ab Attanzaaniy Allah Amuhifadhi katika khutba hii amezungumzia na kuonesha dalili katika dini ya kiislamu juu ya kukanusha uwepo wa imani za mikosi katika mwezi safari.
Pia khatibu SHEIKH ABUU MUS'AB ATTANZAANIY Hafidhwahullahu Ta'ala ameongelea baadhi ya mikosi ambayo imetajwa na kuthibitishwa katika dini kuwa mikosi hiyo ipo.
Негізгі бет KUBAINISHA ITIKADI BATIL KUHUSU MIKOSI KATIKA MWEZI WA SAFAR, NA MIKOSI ILIYOTHIBITISHWA KATIKA DINI
Пікірлер