Nina swali mwalimu naomba unieleze tofauti zilizoko Kati ya maswali haya mawili ,,,,Tambua viambishi swali na tamati,Tambua mofimu ,,,.tafadhali mwalimu
@amokak7334
10 ай бұрын
sawa, nitaweka video hapa kisha utaitazama leo hii ujue tofauti. Shukran
@MaryAngeline-l7f
10 ай бұрын
@@amokak7334 I'll appreciate sir
@willykipchumba6640
2 жыл бұрын
Thank you brother. Nime elimika
@amokak7334
Жыл бұрын
Welcome
@JoyceChonjo
8 ай бұрын
Samahani mwalimu naomba unisaidie hili swali. Kila kiambishi ni mofu lakini si kila mofu ni kiambishi thibitisha kauli hii kwa hoja tano
Пікірлер: 15