Wengi i tumekua tukichukulia very lightly mambo ya uchawi, na ukiangalia mifano dhahiri na ku relate unaona kabisa, kuna mambo yanakua yanaendelea katika familia au ukoo, ambayo its typical witchcraft, Mungu atuwezeshe kushinda nguvu za kichawi ..Ahsante mtumishi wa Mungu.
@esthercharles2210
3 жыл бұрын
Powerful!!! YESU akutunze Apostle somo zuri sana.
@aayeshakhan9962
3 жыл бұрын
Somo nzuri sana kabisa
@everlyneiminza5722
3 жыл бұрын
Jamani eee nimecheka yangu yote mchungaji alipo sema Bangladesh nikamkumbuka senga,🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌ubarikiwe sana Mungu akuinue zaidi mchungaji 🙏🙏 uchawi upo na tunaitawanyisha kwa njia saba
@angelkanoga2175
3 жыл бұрын
Asante kwa ufunuo huu sasa najua kama kuna kitu kinaendelea maaana si kwa uzito huu maombi kwa mbinde Bible nikisoma sielewi YESU NISAIDIE
@gracekwila5674
3 жыл бұрын
Asante chief apostle kwa somo hili Mungu ameendelea kukutumia tena kwaajiri yangu.. Natamka kila mchawi aliyechukua ufahamu wangu kamata motoooo🔥🔥
@episonfelician7670
3 жыл бұрын
Asante Mtumishi Apostle Mtalemwa kwa Neno lako ubarikiwe Mungu akuzidishie miaka mingi sana ya utumishi wako napenda sana mahubiri yako
@jacklineikoki6653
2 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana nafunguliwa pia
@dariusorao6039
3 жыл бұрын
Asante kwa somo nzuri mtumishi
@josephmatunda2297
3 жыл бұрын
God bless you man of god IS trust wengi wamelogwa kabisa makanisani uchawi upo na kiakili watu wa melogwa kabisa
@SonofMajor1
3 жыл бұрын
Ahsante kwa fundisho zuri baba. Ubarikiwe mkuu.
@akhalakwalubisia1738
Жыл бұрын
Very powerful prophet is ture God comfort you
@robinahumphrey9725
2 жыл бұрын
Mungu akutumie zaidi.
@happymlay4696
3 жыл бұрын
Sema tupone baba yetu chief nakupenda
@misssharonerasmus
3 жыл бұрын
Chief Apostle Unatufunza sana 🤝🤝
@Devothakimei
3 жыл бұрын
Mungu akutunze baba yangu mlezi wa roho yangu, unayenilea kufuata njia za Mungu. Ubarikiwe mnooo. Hakika thawabu yako ipo. Asante kwa somo zuri mnoooo
@pastorkennypauls9486
3 жыл бұрын
This is God speaking
@sallygrace1495
3 жыл бұрын
Yes, indeed 👏
@joycemabarika584
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mtumishi niliyapitia hayo, bila Mungu nisingekuwepo kwenye USO WA Dunia, zidi kuuliza Imani yangu, japo Niko mbali, lakini Kwa NENO la MUNGU, Hakika Niko salama, Nia nitanena na wengine, ubarikiwe sana
@happymlay4696
3 жыл бұрын
Wachawi wote !!!!catch fireeee ,,,,Mungu wa Major 1awaumbue kama elima kwa jina la Yesu
@haidaryashock179
2 жыл бұрын
Apostle your too much,,Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu. Amen
@siakiwelu3255
6 ай бұрын
Kila napokusikiliza mtumishi wa Mungu najifunza kitu kipya. Namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na mahubiri yako hapa KZitem
@vickyalphonce4813
3 жыл бұрын
Asante Chisf Apostle, kwa Somo zuri ,binafsi yangu nijifunza kitu kikubwa Sana !
@gracekanyanza4816
2 жыл бұрын
It's powerfully
@hamisirugai2528
3 жыл бұрын
Namkubali Rev. Mtalemwa!! Be blessed!!
@lizymmbogo-yg7zt
Жыл бұрын
Hallelujah glory to God nawachukia wachawi jaman
@eunicemarugu3595
2 жыл бұрын
Nakubali uchawi upo sana tu
@magdaestomihmdee3755
3 жыл бұрын
Mungu akutunze kwa utukufu wake chief asante kwa somo zuri
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Asante apostle mtalemwa bushiri kwa neno zuri 🙏🙏 Mungu azidi kukuweka viwango vya juu
@jacmueni7907
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@gracemwakasanga1521
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@eunicemarugu3595
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🤸wapigweee
@eliwemaambaida6216
3 жыл бұрын
Asante sana Chief kwa ufunuo huu hakika hajaja hivi hivi umenikomboa sana
@brigitkinyua2397
3 жыл бұрын
Huo dio ukweli mtumishi
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Hili somo huwa nalisikiliza sana mara kwa mara
@basilkihanga8019
3 жыл бұрын
Naona mpaka sasa tunawachawi saba walio dislike haya mafundisho powerful lakin wamesahu kilichompata elima na kwa hili tunaweza kushuhudia kua wamerogwa ufahamu na wamepigwa upofu. Asante mtumishi wa Mungu kwa kutufungua kiroho, kimwili na kiakili Bwana Yesu akubariki sana, akulinde na kukuhifadhi na neema yake ikazidi kwako zaidi kwa utukufu wa Jina lake Yesu Kristo, Amen.
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Nalisikiliza hili somo leo tena 16-12-2022 nikiwa arusha sinoni mtaa wa migungani. Asubuhi saa moja
@gladysgladys7393
3 жыл бұрын
Hoo lord 🙏 remember me and my family in Jesus name protect against witchcraft
@highzacknnko4002
3 жыл бұрын
Mimi itikadi yangu natambua kuna kulogwa!!! Najua uchawi umetajwa!! Kwenye biblia kwahyo uchawi upo
@evamwabulambo390
3 жыл бұрын
Bigup Apostle
@gracekanyanza4816
2 жыл бұрын
Exactly 💯 Apostle
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
BABA KTK JINA LA YESU. NINABARIKIWA NA MAFUNDISHO YANAYOENDELEA KUHUSU SPIRIT YA UCHAWI KTK MAISHA. NINAOMBA BABA MUNGU WFTU AONDOE KABISAAAAA UCHAWI KTK FAMILY, KWANI SIJUI KWA NINI BAADHI YA NDUGU WAUZUNGUMZE. YESU WANGU UWASHUT UP KABISA. ..
@happymlay4696
3 жыл бұрын
Hahahahaaaaaaa!!!umelogwa na mtu wa shinyanga
@deborahdelly4532
3 жыл бұрын
Hahahaha Baba nimecheka na nimepata kujifunza kitu ubarikiwe mnoooo
@issackpastor1915
2 жыл бұрын
Nakukubar baba
@reymasenya6450
3 жыл бұрын
Asante Sana Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa
@mgessimatiko2379
3 жыл бұрын
Powerful
@apostlesamwelisautiyasimba238
3 жыл бұрын
Ahsante Sana chief apostle mtalemwa kwa SoMo zuri
@vickymahanga7734
3 жыл бұрын
Thx dady
@annasteel8925
3 жыл бұрын
Lovly apostle ..🤣🤣 Bangaladash....thats funny .
@joycemushi248
3 жыл бұрын
Oooooh halelujaaaa ubarikiwe man of God
@doriskyaruzi7509
3 жыл бұрын
Hakika apostle nakukubali tufundishe tupone maana uchawi upo
@estherjohnmwambazi4679
3 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana.
@peresisilikale3789
3 жыл бұрын
#Amina.+👏 👏 👏
@edwarddaud6785
3 жыл бұрын
I understand the topic be blessed
@Devothakimei
Жыл бұрын
Somo strong sana hili
@domitiladsm
3 жыл бұрын
Asante Sana Apostle...
@jemimahjamilay.m6239
3 жыл бұрын
Nimekielewa Apostle
@toyclaude776
3 жыл бұрын
Amen
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
asante Yesu kwa kumleta chief apostle
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Nasikiliza hili somo leo 24.1.2023 nikiwa kibaha pwani kata ya kongowe mtaa wa bamba!!! Mungu nisaidie nimalize mwendo na wachawi na waganga wasinishinde
@evalynerwegasira7485
3 жыл бұрын
NIMEPENDA SOMO Lako UBARIKIWE mno.
@estherwambuies1782
3 жыл бұрын
Amina Amina
@putgmedia
3 жыл бұрын
Amen.
@eunicemarugu3595
2 жыл бұрын
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️👏👏👏
@pauloteleja7548
3 жыл бұрын
Aminaa
@alexandergitonga770
3 жыл бұрын
God bless you more and more
@gladysgladys7393
3 жыл бұрын
Come out from my family in Jesus name 🙏
@neemahamisi4302
3 жыл бұрын
Kweli chief hata mimi nimelogwa Mungu anisaidie🙏🏻
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Hakika tunatakiwa tuwamalize tuwaue
@UsafiMichael-mc8kt
9 ай бұрын
Uchawi upo nimegundua kumbe baba yangũ alikufa kwa kulogwa
@anaaanick4187
3 жыл бұрын
Ameen ushindwe kwa jina la yesu
@jacksonkamuzora6029
3 жыл бұрын
Asante mtumishi was Mungu
@leatimoth3611
Жыл бұрын
Nani amesikiza hii message 2023 kama uko pita na like
@user-zb5be9kc9b
9 ай бұрын
❤❤❤
@saramalila4441
3 жыл бұрын
Ukijua habali za yesu kristo ni faida
@basilkihanga8019
3 жыл бұрын
Amina dada Sara, naomba tu nkukumbushe kua jina la Yesu linaanza kwa herufi kubwa, ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
@monicabh1668
3 жыл бұрын
Wewe mchawi Elima uliyeniloga upewe upofu wa muda Katika jina la yesu it’s done ☑️
@clairemuchai623
3 жыл бұрын
Amen be blessed
@jokshannubuntu2580
3 жыл бұрын
❤️🇧🇮
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
samea mara saba sabini hizo nyama za watoto uliokula utazitapika
@marykageha4305
3 жыл бұрын
YES CHIEF UMENIONGELEA MIMI .HAKIKA PANAUCHAWI KATIKA MAISHA NIKIANGALIA KUNA ELIMA MAHALI ANANICHAWI ICONNECT KILA MCHAWI CATCH FIRE .NA POKEA ANOINTING KATIKA JINA LA YESU LIKE FATHER , LIKE SON .. ORAY FIRE ME CONECTING FROM LEBNON.
@edmundhyera8063
3 жыл бұрын
Chief apostle yupo vizur sana anatembea namafunuo ya Mungu
@barakamponda914
3 жыл бұрын
Ame appostle
@furahaatuwene9981
3 жыл бұрын
🙏🏼
@AK-od4by
3 жыл бұрын
Anayejua huduma hii ilipo aniambie tafadhali, maana leo nimejifunza mno
@tressahun8115
3 жыл бұрын
Kanisa linaitwa ecg lipo kwnye njia kama unaelekea makongo juu
@angelmsoffe398
3 жыл бұрын
Karibu sn tupo makongo juu kituo mashine au mdaada kanisani. Karibu tuabudu wote
@joykapaya1970
3 жыл бұрын
👏👏👏
@joykapaya1970
3 жыл бұрын
Wachawi wa Kyela potelea mbali.
@marykageha4305
3 жыл бұрын
CHIEF NIOMBEE NIMEKAZIWA NA BOSS WANGU KUCONNECT MIRACLE OIL .IMAGINE MAMA HUYU AMEKATAA . ETI NIKITAKA MAFUTA YA ANOINTING NI NUNUWE KWA INCHI YAO NAMI NILUJIBU NO NATAKA YA SPIRITUAL FATHER WANGU , OOH ANEKIMYA PLZ DENGUWA UCHAWI HUU UNITOKEE MAISHANI MWANGU .
@Erickvicent4124
3 жыл бұрын
Hakika
@aminam267
3 жыл бұрын
Mimi amina🙏🙏🙏
@bernardngaa6696
3 жыл бұрын
That is my chief iyee
@joycemaige8683
3 жыл бұрын
Yani humu kwenye comments Kuna watu na viatu huyu pastor akiongea neno ambalo unakuta limekuingia utaona wanashangilia akianza kuhubilia watu na kutoa mapepo akitoa unabii wake mnakuja na comments za ajabu mnatuvunja moyo wafatiliaji jmn tulioko nje ya tz jmn
@lissochacha5218
3 жыл бұрын
Duh naona wachawi wame dislike vidio hii
@josephmatunda2297
3 жыл бұрын
God bless you man of god IS trust wengi wamelogwa kabisa makanisani uchawi upo na kiakili watu wa melogwa kabisa
Пікірлер: 106