Asalamu alykum waendeleaje mwalimu wangu ...nashukuru Sana kwa mafundisho yko Alllah akujaze Kheri ...mm Nima shida niliota nimeuwa nyoka kumi na mbili kwa nyumba yngu ..ukifa asubu nikauwa kwl nyoka akiwa mlamgoni nakufikia sai nimewauwa wanane nauliza mwalimu wangu itakuwa ni nini
@NADUAonlineTV
2 ай бұрын
Ni mizimu y kwenu angalia na nani aliyeachiea mizimu
@onesmuskatana6112
4 ай бұрын
Mwalimu video haina sauti
@Biashara641
3 ай бұрын
Mwalimu ninashida ya kitabu kinacho husu makudamu na namna ya kuwatumia
Пікірлер: 6