Angekuja hapa bongo hiyo hela angenunua nusu ya mkoa na watu wake. Ha ha haaaa, dunia!
@worldrapamako3960
4 жыл бұрын
Ingekuwa tanzania iyo pesa tungejenga Madaraja chato tungelipa den la mkamata ndege PAMOJA NA WANAFUNZI TUNGEENEA MABOOM NCHI NZIMA
@hamisimussa2228
4 жыл бұрын
Kama fala vile
@getaromagaiwa7918
4 жыл бұрын
Nice
@emmymathias8849
4 жыл бұрын
Bajeti ya nchi... haha
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Umeona eheee😂😂😂😂😂😅😅👌
@andrewjosephhezron23
3 жыл бұрын
Umekosea ni dola,25 sawa na bilion 63..
@MteuleMabuku
4 жыл бұрын
Kufuru iko wapi sasa hapo..? Mnatumiaje kiswahili kihuni/udaku Uongo "Amenunua kwa shilingi za kitanzania...." Ukweli "Amenunua kwa dola za kimarekani sawa na shilingi za kitanzania ....blah..blah..blah.." Acha uhuni kwenye kiswahili
@benjaminfataki6898
4 жыл бұрын
mpaka kichwa kinauma ngoja nikunywe kindonge kisha niendelee kuota.
@fatmaabdulla7080
4 жыл бұрын
Pepo ya dunia tu hii
@halimahalima1488
2 жыл бұрын
Kwakweriii Allah atujaharia mwisho mwema 👏
@hallin9561
Жыл бұрын
Muslims mnachokiwazaga ni umauti tu, mnaishi duniani kama wafu, sasa mnafanya nin si muwaamuru familia zenu zikawazike, kila jambo kifo. kama umejikatia tamaa ni wew wacha watu waishi duniani kama wapo peponi, mwishowe ufw ukute ata iyo pepo yenyewe mnayoambuwa haipo
@J_Jeromy
3 күн бұрын
@@hallin9561Duh!!!
@hussainomar1849
4 жыл бұрын
Bilioni 25 kwa MTU Kama huyo ambaye alikuwa Ni rais wa nchi Ni pesa ndogo sana .
@Micpiu
4 жыл бұрын
Sio mchezo.
@jaziumusa4131
4 жыл бұрын
Usiludie kumuita Osama gaidi
@yusuphjafarijr7583
10 ай бұрын
Kwa hiyo mauaji ya obama kwa osama ni sifa ? Aiseee wajinga sana nyie
Пікірлер: 19