Asante broo kwa msaada wako wengi unatusaidia kinomanoma
@matyfun1372
3 жыл бұрын
Mimi pia nili update hii Simu yangu Samsung galaxy A01 kutoka Android 10 hadi Android 11 kusema kweli simu inakua nyepesi kuliko mwanzo ila kuna features zinabadilika zingine ninzur nilizipenda ila zingine sikuzipenda.
@jacksonvalence7365
3 жыл бұрын
Aisee Mr techswahili asante kwa somo makini sana
@tomicsimbeye
3 жыл бұрын
Nilisikizaaa videoo review ja van dame 2021 nili appreciate mpakaa leooo
@nationboy2541
3 жыл бұрын
Kazi nzuri bro
@theophilwhiteheart1997
3 жыл бұрын
nimekupata vizur snash 💥💥💥💥
@ibnjuma2308
2 жыл бұрын
Umetisha kinoma²
@newttechog75
3 жыл бұрын
wa kwanza hapa kuview
@muchimuslim331
3 жыл бұрын
Kali kinoma noma💪
@peterjs33
3 жыл бұрын
🙌🙌nakubali master
@tarickmpemba9871
3 жыл бұрын
Pamoja sana mzee mwenzangu naona zambi huna kabisa
@jazatz280
3 жыл бұрын
Umetisha kinoma noma
@suleim505
2 ай бұрын
Asante
@georgekalunde6735
2 жыл бұрын
Good job
@lewosixenine
Жыл бұрын
Hope upo poa mzee! sema imetokea nimeupdate samsung a10 kutoka 10 adi 11 shida inakuwa imebadilika sana kiasi nakosa kufurahia features zilizopo so kama uwezekano upo wa ku -downgrade nirudi kwenye original version pls tuletee utatuzi mkuu
@selleymontana45
3 жыл бұрын
Mkn kaka
@djmchinatz
Жыл бұрын
nina nokia lumia 635 ina zingua kufungua stroe na kuunganisha nokia account ina dai ku update nime jaribu inazingua nifanyeje kiongozi
@bishoomjatz993
3 жыл бұрын
Iko POA Sana broo snash
@thomasamos7728
3 жыл бұрын
Kak naomb ufany review ya tecno phantom x kwa kixwahil nakuomb
@nairobifly5524
3 жыл бұрын
Good
@murtazantimba4270
3 жыл бұрын
Bro nena wasafi uanzishe kipindi uko vzr mno
@abbashalili0880
3 жыл бұрын
Kaka snash naomba uchambuzi wa black camera kwenye iPhone ilitatizo nila update au nilAnini?
@blueton.77
2 жыл бұрын
Unakuta kuna muda una update. And una update kwa MB nyingi unakuta 700 or 800 lakini unakuta vision ipo ni ileile. Hakibadiliki kitu. Bt now nazipuuziaga update
@zuberiimamumhina5164
2 жыл бұрын
natamani hata review ya smartphone moj ya Tesla
@patuckpuymadia304
3 жыл бұрын
Best things
@kelvinisote9194
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 @kelonelions
@remybuyenzi1856
3 жыл бұрын
Kitu sijaelewa kutokana na updates storage hupungua is it the same way on iPhone software???? Please nijibu
@ptr255
Жыл бұрын
Lakini sii una wezaa futa hayoo mafaili mapyaa?
@samsondavid7336
11 ай бұрын
Kaka mm natumia Samsung Galaxy s6 edge+ gb 16 je Inaweza kuongezeka storeg
@johnmwakyokile6056
11 ай бұрын
unyama nime update camon 19 toka android ya 12 kwenda 13 nime ipenda imekua unyama sana
@stevenmeless9734
3 жыл бұрын
Mwanangu me cm yangu Nokia 7.2 ina mwaka 1 sasa . Shida ni camera tangia ni update cm yote . Camera kuna mda ukifungua haifunguki ina onesha black yote ukitoka cm ina fanya kazi ila camera haifanyi kazi ata upigiwe video call haifanyi kazi mpaka u restart cm ndio ina funguka
@ommyguizer6677
3 жыл бұрын
Uko vizuli kaka 🙏🙏🙏
@mafianboyTV
3 жыл бұрын
Yah uko vyema sna kuhux technology
@hassanissa2953
2 жыл бұрын
Kak nakushukur san kwa kunijuz mambo meng kuhus tecnolojia ila mim sim yangu ina matangazo san hat nisipowash data sijui tatiz nini
@benielimushieli8647
Жыл бұрын
Mm natumia Oppo reno 6 5G ilikuwa Android 12 nilivyo update imekuwa Android 13 pia Ram imeongezeka { 8+8 GB} yani ni noma simu ina speed sana
@SpikesTrendy
3 жыл бұрын
Good reviews... Tupe reviews ya Samsung 2021 models @32,a52 and @72 zinatuchanganya
@directorimmah_vfx3043
3 жыл бұрын
ii Kwelii ata mim naunga mkono
@babajohn8176
2 жыл бұрын
oya bro mbon cm yng infinix smart 2 inakataa ku update
@maujanjatzonline4724
2 жыл бұрын
Kka me natumia samsung A51 lkn kila niki download game niki copy data afu nikienda ku pest kwenye file la data naambiwa file is not found sasa apo labda ni update ety kk
@mummymaduhu5307
2 ай бұрын
Na je unapo apdate simu inafuta mafile ya mwanzo au je kama picture zinafutika
@wazirngwadi7311
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@goodluckdamian9521
2 жыл бұрын
Kaka sielewagi swala la simu kua plain na nyingine plus au s na n same 4n
@vainqueur6382
2 жыл бұрын
Je kwanini Kuna simu ambazo hazina bass kwenye earphones na aux??? Lakini kwenye Bluetooth zinapiga vizuri kawaida
@epicmoments6514
2 жыл бұрын
Kitu gani kinaathiri screen fingerprint
@sebastiandelin
2 жыл бұрын
Snash nataka uelezee kuhusu ku haki sim ya mtu yani akitumiwa kila kitu muone sawa sawa kama wew ndo mwenye sim msada wako snash
@edgarmalila6808
2 жыл бұрын
Namna ya kuapdate simu yote?
@neliusplatnumz3554
2 жыл бұрын
Mbona simu za Infinix haziwezi kupandisha android
@abuuumarmk4291
2 жыл бұрын
Vip kuhusu Samsung used
@blessvevo
Жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍
@bravo_man
3 жыл бұрын
Gonga like kama unamkubali #snash
@miirajmohamed6352
3 жыл бұрын
Msaada brother watsaap yangu imegoma kufunguka picha video na audio nikituma zinafeli ata nikitumiwa zinafeli hazifunguki
@iconentertainment1057
3 жыл бұрын
Ukisoma comment jibu....ntaka niulize na update vip Android eg from 8.1 to 9
@captainsamafa5467
3 жыл бұрын
Snash Tz
@Snapermstafa1768
3 жыл бұрын
🔥🔥
@jumadiao5901
3 жыл бұрын
Mm naitwa juma diao kutoka zanzibar naomba uifanyie riviyuu simu ya huwawei p smati ya mwaka 2021
@elipharajapetro8410
3 жыл бұрын
Jungle cruiseeeeeee vipiiii
@henryfaith6934
3 жыл бұрын
Simu gan inatumika apo
@abdallahhamadi8448
Жыл бұрын
Cm yangu inazingua
@victorvicky6647
2 жыл бұрын
Poa bro na ikikuletea ya watsaap
@therealsalymin1748
3 жыл бұрын
naaanzaje sasa kukosa leo
@rwechungurarweyemamu8536
3 жыл бұрын
Mm nimeapdate kutoka 10 kwenda 11 ila kiukwel programu zilizokuja sizipend na nataka kuirudisha 10 naweza kufanyaje
@rwechungurarweyemamu8536
3 жыл бұрын
Simu yangu samsung A30
@isackmasesa5767
3 жыл бұрын
Je ? Ni vip unaweza kutoa update mpya na kurudixha ya mwnzo?
@paulamos3913
3 жыл бұрын
Huwez ku downgrade update
@aminaabdallah9049
3 жыл бұрын
Snash mbon mm nime update sim yang huawei nova 2 plus imezid storage sasa
@saeedzahor
3 жыл бұрын
Duuuuh hii kali
@christophermourice4936
3 жыл бұрын
Xana
@sadathabdully234
3 жыл бұрын
Yaaan inanikeraga ile kwanz simu yng inatk kuupdate system nzima bando sasa kisha Kilicho nkera siku iz fb n KZitem videos zinajiplay zenyew daaah
@chabuuharun7016
3 жыл бұрын
Disable autoplay
@sadathabdully234
3 жыл бұрын
@@chabuuharun7016 ipo sehem gn iyo
@hoseamsuya7038
3 жыл бұрын
Eti cm ikizima chaji ukiwa una update haitawaka tena
@calvinsilayo2052
3 жыл бұрын
Inawak bila shida
@mchinavideocenter5853
3 жыл бұрын
Mimi naomba unisaport hata Mimi napenda kuwa Kama wewe
@visiondepmaxtv6105
Жыл бұрын
Y
@zamatv6494
3 жыл бұрын
Niko pamoj nawe
@zanzibarreaction3641
3 жыл бұрын
Tech in Swahili bro ombi langu kwako fanya kubedhi na kwenye upande wa kumake money online cuz watu wengi watafaidika
Пікірлер: 83