Masha Allah, huyu shekhe mie nimemfata sana katika Daawa zake hatukani mtu na anaeleza vizuri sana Mungu amzidishie sana Endelea shekhe wangu tuko pamoja Mungu akulinde shekhe.
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Dini sio kubembelezana jamni mjue . Mtu akikasilika ndio nini hata kama akitajwaa. Acheni hivo
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
@@omaraliomar1671, Sasa wanaomsikiliza ikiwa watakosoana kisiri kwa kuitana pembeni watajuaje? Mm nahisi watumie tu njia nzuri/hekma ktk kukosoana lkn wakisema waitane pembeni wakosoane basi na mawaidha yao au matendo yao waeke/wafanye pembeni na sio mtandao wakapotosha wasiojua. Kumbuka kuna waisilam wengine hawajasoma isitoshe kuna wengine ni wageni kwenye uisilam na wengine si waisilam pia na wote wanaangalia.
@khamisptrany9393
3 жыл бұрын
@@sidratybinkhamis2837 Na ni nani alie kwambia kuwa dini ni kupapurana na kutukanana? Hebu rejea ukasome dini
@khamisptrany9393
3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 S Unaweza ukakosowa kosa na kubainisha usahihi wake bila ya kumtata mwenye makosa aw madhehebu yake, yani unaweza ukazipinga rai na qauli potofu kwa hoja ulizo nazo bila ya kutaja majina ya wenye rai aw qauli hizo potofu
@mohdzhr5107
3 жыл бұрын
Maashaallah ,shukran shekh,tukubali tuu kuwa nashed haifai ,tatizo wengi wetu hataki kusoma na hata tukilimishwa,huwa tunazieusha akili zetu na kufuta matamanio ya nafsi zetu,hebu tujiulize kwann watu ,hawapendi usikiliza qur-an kuliko nashed ,nafsi zetu sijajua kwann Ila hujifanya hazijui,
@ikabako2454
3 жыл бұрын
Umesema ukweli sana. Hivyo vyote havifai kwa sababu Allah SW amekataza lawl hadith (pumbao) Rasool SAW alikataza matumizi ya vifaa vya muziki na hadithi ni sahihi.
@alidochi2889
3 жыл бұрын
Nimependa uslub uliotumia! Hujatukana MTU! Mashallah
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Kichwa.cha habari cha kwenye screen hujakiona au?
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Ndio dini inataka hivi
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
@@mamussi6872 shehe hicho kichwa ch habari hajakiweka dokta Islam, alieandika mnn hyo ya uchonganishi n huyo aliepost Muhammad Nassor Bachu yn huku n kuwachonganisha mashekhe wallahi uyu jamaa anakosea sn yn amesoma lkn hajaelimika coz yy hii dini anaifanya km n ushabiki na ushindani kuoneshana nan Bora lol
@abuuaisha6110
Жыл бұрын
@@mamussi6872hiko kichwa kina makosa gani kama sio kubainisha haki, tuacheni ushabiki.
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Sheikh Islam mashallah mstaarabu sana anaenda direct kwenye point hakejeli mtu
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
Wallahi n jmb ambalo limenivutia sn kumcjiliza coz hajamkejeli mtu ameongea tu kw kuelewesha na hoja madhubuti sn..
@swalehfarid5466
3 жыл бұрын
Hiyo Sasa Ndio Da'awa Ya Bwanamtume Swalla Llahu Aleihi Wasalam.Na Akatuusia Na Sisi Tulinganie Kwa Maneno Mazuri Na Kwa Hikma Sio Kupotosha Watu Na Kuongea Kike Kike Mwanamme Mzima Alafu Ajifanya Kasoma! Namshangaa Alafu Aweka Clip Za Wenzake HAJIFUNZII?!!!!! Kupitia Hao Mashekhe?! Mohamed Bachu Jirekebishe La Sivo Utabeba Dhimma Ya Watu Wengi.Acha Sifa Za Kijinga kama Wataka Umaarufu Muogope ALLAH Sio Kiki Za Kijinga.ALLAH Amnyanyuwa Amtakae Na Amshusha Amtakae
@twahambowe6544
3 жыл бұрын
Maashaallah Dr. Islam hajamlenga mtu bali amenukuu tuu jmn
@gweh3144
3 жыл бұрын
Allaah akulipe kheri kwa kuigusia hii nukta. Desturi ya Duktur ni kuelimisha kwa bayana na hoja ziliowazi. Allaah amuhifadhi na yeye na sisi sote thabaat
@abcdabcd1605
3 жыл бұрын
Hakejeli mtu wapi hayo maneno yako wazi anamlenga nani kila mmoja anafaham mnamfanya ni mtu mwema sana huyu hana lolote hawa ndio wanaotufarakanisha sisi waislamu
@elumarhajj6981
3 жыл бұрын
SubhanAllah.. Waislamu hamuoni ukweli nyinyi..na kwa nn munamtusi huyu Sheikh Dr Islam na ameeleza ukweli.. Sheikh Yussuf Ni binadamu na Ni dhaif,Sheikh Yussuf si Malaika akikosea lazma arekebishwe..aliimba mbele ya wanawake na nyoyo Ni dhaif,macho Ni dhaif,NAFSI Ni dhaif,maskio Ni dhaif ibilisi bdo Yuko.Tusiwe wanafiq,tusiridhishe binadamu km SS.Tusilete mzaha kwa dini ya Allah..Takbiir
@isihakaabdul1134
3 жыл бұрын
Tumepoteza muelekeo sahihi tumebaki tunaimba imba tu, halafu utashangaa mashekhe kama hawa wanaotunyoosha eti tunawachukia !! Ajabu.
@halimaderua4281
3 жыл бұрын
Imagine!!yaani watu wamependa dunia ndo maana wakoradhi kuwatusi mashekh eti kwa sababu amesema ukweli Shekh jazaqlahu heir.
@abcdabcd1605
3 жыл бұрын
Nendeni uko hii dini hamuijui peke yenu na sio mnachotaka nyinyi ndio kishakuwa qurani em heshimuni mashekhe wengine dini hamuijui peke yenu
@abcdabcd1605
3 жыл бұрын
Yaani awa mashekhe uchwara ndio wanaotuharibia dini na kutufarakanisha sisi waislamu ana hekima gani uyu km si ujinga tu anaoufanya?!!!
@ab.a8353
3 жыл бұрын
Wenye wanauliza tutamfata sheikh yupi? Kama hauoni u kweli kwa haya maneno doktor ananukuu na naswaha zake basi kuna tatizo sehemu fulani Lakini hayatoki kwenye hii video, Lazima tufungue macho na moyo zetu tuingie kwenye dini yetu. Masheikh wetu waki kosolewa tusikasirikeni jameni. Allah Ailinda dini yake kupitia waja Wake.
@atifseif6413
3 жыл бұрын
Huyu aliyeweka hini video cha kunishangaza yeye akiweka video zake anafunga comments lakini video za watu kawaachia comments sasa sijuwi zile video zake hajiamini anachosema mpaka afunge comments
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Hakika
@husseinabdulrazaq3101
3 жыл бұрын
Huu sio usahawa katika sheria za kitekebisha Duktur na ilm yake yote pia ame chemsha hapa. Lile bora zaidi ni kumfata sheikh yusuf waja diliane sio kumfedhehesha na kumkashifu mitandaoni
@elumarhajj6981
3 жыл бұрын
A.a ndugu waislamu, MashAllah huyu Sheikh ametoa sababu z kimsingi kutetea hoja zake..tumsikize kwa Makini.Tuangalie Haki Na ukweli wa Dini ya Allah..Tusiwe na roho y chuki au bidha.. Mtume Muhammad SAW alituonya bidha mwisho wake jahanam,motoni.Tusivutane katika dini kama hatuna ilmu.jazakhalah kheir
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
Kw nn sheikh Muhammad Nassor Bachu unakuwa unakosa hekima na heshima na adabu ktk kuongea na kuandika? Hivi Kuna haja gn ya kuandika raddi kw sheikh fulani, uyu Dr. Islam hajamradi mtu, just ametuelewesha tu kuwa jmb flani halifai huu n ukumbusho kw kila Muislamu ambae anaamini kuwa nashidi znafaa nikiwemo mm, ss ina haja gn ww kuandika maudhui kw namna hio? Mbn Sheikh hajasema km hii n raddi kw flani? Acha mmb haya ya kuleta timu ktk dini bana acha tuelimishwe lkn acha kuwalenga watu na kuleta mifarakano baina ya watu (mashekhe) mana huyu sheikh Masha Allah hajamtaja mtu yyte wala hajatuekea sauti ya sheikh fulani tuickilize na mwisho uyu sheikh anasema hasa kuwa "nasaha hizi n kwangu na kw waislamu wote na wale wote waliozama ktk mmb haya" Yan hajamlenga mtu yyte wala hajamkejeli yyte just ameongea vle ambavyo yy anaamini na kw hoja madhubuti, yan mtu akickia huu ujumbe aweze kujitathmini mwenyewe na ajue km na yy n ktk wanaoamini kuhusu nashidi ama laa na wala hajamfedhehesha mtu yyte shekhe hyu Masha Allah, sio km vle unavyofanya ww, nakuhusia tafadhali acha mnn ya uchonganishi badlisha hyo lugha hapo sheikh hajamlenga mtu Wala hajamtaja mtu ameongea kw faida ytu sote na tumejifunza. Alhamdulillah..
@youngdaddy3085
3 жыл бұрын
Wapi ameandika raddi kwa sheikh fulani
@ab.a8353
3 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah. Jazakumullahu khayran
@neemafatu7885
3 жыл бұрын
Namkubali huyu shekhe wallah. Anatoa mawaidha kwa mjibu wa qur,an na hadithi kwa kila kitu,kila asemalo. pia mstaarabu na hekima kubwa.wallahi natamani nikuletee mwanangu umsomeshe kwa gharama yoyote.ALLAH AKUPE UMRI MREFU WENYE ISTIQAMA NA AKUFISHE SHAHID.
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Dada yng Neema Fatu nakuunga mkono.mi mwenyewe nampenda natamani atupe muongozo tumpe wtt wetu awafundishe dini yetu tukufu.nampenda thumma nampenda.
@adilsaleh3867
3 жыл бұрын
Madina University material. Dactour
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
@@adilsaleh3867 ndugu yng Hiyo madina university ipo nchi gn?
@piruuaziz8944
3 жыл бұрын
@@khatwabisadathil3423 Anayo madrasa na mkewe pia anafundisha wanawake..Mke wangu anasoma madrasa yake
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
@@piruuaziz8944 madrasa ipo Mombasa?
@mahmoudali2881
3 жыл бұрын
Ukweli lazma usemwe shukran sheikh wetu
@marcinsalim8742
3 жыл бұрын
Mbona hamsemi kua hutba zake nzuri kwahiyo mnaangalia makosatu kwani katienu mashkh nani alietukuka ikiwa hamna tambueni Allaha ndio anaejua...... Yusuf Abdi allah akubaric shekh amin
@youngdaddy3085
3 жыл бұрын
Sisi tunaamrisha mema na kukataza maovu ..lazma tukemee uovu babaa
@khadjahakamali1979
3 жыл бұрын
Hii ni dini mtu akifanya makosa lazima arekebishwe, naye ni binaadamu amekosea, sio kuangalia makosa, fikiria kuimba mbele ya wanawake na kutuzwa, SubhanaAllah, tunampenda shekhe wetu Yusuf Abdi, lakini dini ni msumeno
@fauzishma8033
3 жыл бұрын
Hawasimi kwa sababu ni mazuri mtu kama amekosa wacha kumtetea hili jambo walianza kumwambia kitambo lakini bado yumo tu sasa ameenda kuimbia wanawake kesho atakua maharusini
@emmadora7848
3 жыл бұрын
@@sharrifidris3422 samahani mpendwa naomba tu niulize kwa uzuri, hiyo dhana ya wanaume kutokuimba mbele ya wanawake ina apply kwa mashekhe tu au kwa wanaume wote? Na je inachagua mazingira au popote walipo wanawake mwanaume haruhusiwi kuimba?
@kudrawanguvu5923
3 жыл бұрын
Dini amesema Allah Subhana Wataalla amesema Mtume Swalallahu Aleyh Wasalam tunakuelewa sana Shekh tunafata Shekh aliosimamia haki na sio alie fata maslah yake na matamanio yake Tunafaidika na dawa yako tunakupata kupitia Mahasni Tv Nakuombea kher nyingi Allah Subhana Wataalla atuongoze ktk kher nyingi sote
@farhardahmed5395
3 жыл бұрын
mashaALLAH....ALLAH akujaze kheri.....tuna haki kumskiza Dkt ISLAM....kwa upande wa elmu yy amewashinda wengi.....
@thureyazuheir293
Жыл бұрын
ukweli usmwe tu mashaallah shekhe wetu allah akuzidishie elim
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
3 жыл бұрын
Mara nyingi wanao comment matusi na upuuzi huwa hasikilizi hizi video mpaka mwisho, na ndio maana kila siku wanasema mashekhe wanakosowana tuuu hawajui wamfuate shekhe gani. Siamini kama utasikiliza mpaka mwisho kisha utasema hujui nani kapatia.
@nuruchidre5838
3 жыл бұрын
Watu wengi tumewaachia wapumbavu wenzetu dini watuelimishe, hapo ndipo mtihani ulipo
@abdillahbakar9850
3 жыл бұрын
Ni kweli walio wengi tunafata mkumbo na mapenzi ta mtu hatutaki kuukubali ukweli
@spodo1044
3 жыл бұрын
Barak Allah fyk Muhammad Bachu.
@sultansalehe4494
3 жыл бұрын
Shekh Muhammad Nassor unguja unapatikana sehem gani?? cku nkipata nafac nije kustafid vitu vingi hapo
@abuabdurrahmaan112
3 жыл бұрын
وأعرض عن الجاهلون
@abulghareebzimbawy790
3 жыл бұрын
"ولا يحملنكم إستبطاء الرزق أن تطلبوه في المعصية...إنما عند الله خير..أو كما قال ص..."
@binrashid3242
3 жыл бұрын
من لا يعرف أن الرزق من الله حتى يطلبه بواسطة المعصية ?!!
@AW-vt9pw
3 жыл бұрын
Shaikh Yusuf Abdi kubali makosa na tubu kwa Allah atakughufilia makosa yako Allah akusamehe akughufulie makosa yako آمیـــــــــــــن یارب العالمین
@abdallaabdulrehman8508
3 жыл бұрын
جزاك الله خيرا فضيلتكم ؤ نفعني الله و إياكم و جعل في ميزان حسناتك
@shafisaggaf1889
3 жыл бұрын
Muko na sifa za nzii hamutui isipokua kwenye ila Lkn hili mmi hunishangaaza leo mumapigana nyinyi kwa nyinyi
@nassorozubery7394
3 жыл бұрын
Amna aliepigana na mtu wew,, tumeitwa umma kw kuamrishana mema na kukatazana mabaya,, bila kujali nan aliefny
@nassorozubery7394
3 жыл бұрын
Tumeitwa umma bora*
@maryamabdallah3140
3 жыл бұрын
Haki itabaki haki, hakuna mkamilifu Ila Allah, Allah atuswamehe kwa mapungufu yetu sote
@fatmaismail13
3 жыл бұрын
Tatizo ukweli ukisemwa wanatoa maneno eti wanahusudiwa
@mohdzotv2676
3 жыл бұрын
Masha Allah Allah azidi kukupa umrri mrefu sheikh wangu ili tuendelee Kujifunza Mengi kupitia darasa zako karibu Tanzania sheikh
@binrashid3242
3 жыл бұрын
Kwa iyo shekh akifa na ww Darasa limekufa, acha mkumbo nenda darasan
@binrashid3242
3 жыл бұрын
Na muda uwo unao?
@muayidh5789
3 жыл бұрын
Assalamu aleikum warhma tullahi wabarakatuh . kwa alieka hii video clip ingekuwa vizuri kumwomba duktur islam ruhusa maana kulingana na hio topic yy anaongea kufundisha wala sio kumpiga raad mtu yoyote na kma ni raad sio lazima kuweka jina ni lazma umuombe ruhusa ili awe radhi nalo
@asiaally3947
3 жыл бұрын
Kabisa,,,, Hawa waandishi ndio wanaongeza hii migogoro,,, hajamsema mtu Lakin alimuradi tu inafanya a kwa fikra zake kasema fulani na kuiweka na picha yake sio sawa,,, ukweli utabaki kuwa pale pale,,,,tumeambiwa wanawake tusidhihirishe mapambo yetu labda yanayojidhihirisha kwa maana ya asili yako,,, lakini Leo
@HassanAli-kq4sp
3 жыл бұрын
Wa Jazakallahu kullu khayr yaa Shaikh.
@abulghareebzimbawy790
3 жыл бұрын
Allah akuhifadhi ...akulinde na husda na chuki za waja
@alhaddajmohammed4768
3 жыл бұрын
Tatuzo sasa nasheed/dufu/Qaswida zimekuwa biashara/ajira (kazi), wanapiga Ala za Miziki na kudemka kama Ndomboro/kama Mziki wa Gospel! Sasa nasheed ni sanaa/tamthiria, wanashindana kwa mavazi, kudemka, na kurecird videos kila kukicha na kusahau/kuwacha kusoma na kuhifadhi Qur'an ! Hii ndo uthibitisho miongoni mwa kauli "hawatokuwa radhi Makafiri na Manasara mpa mufuate mila zao"
@Salafi_online_publication
3 жыл бұрын
Tanbihi sheikh alikuwa anafundisha dini kuhusu ANASHEED kwa hii video Haja sema ana radii mtu Yeyote
@zuheirtammam5532
3 жыл бұрын
Hafidhaka LLAH Dr. Yislam Shukran kwa kukutuwekea mambo wazi
@faridahalwaily85
3 жыл бұрын
Sisi waislaamuh lazmah tuwee kitu Kimojaa jambo dogo si kukusowannaah .hiyoo kaswidaa ni dawaa kufundishanaaa sheikh Yusuf hajakosa.Alhamdulillaah kwenda kutowaa kasida hiyoo kulikoo nyimbo.
@twalibhamza9059
3 жыл бұрын
Shekh Yusuf amekosa huwezi wewe kama shekh wakutegemewa kisha uwende kuimba MBELE ya wanawake na halafu uisilamu wapinga kiongozi mwanamke Leo shekh a support kiongozi wakike fluss flusss fluss soma kisa cha Nabi Suleiman na namrud
@budabest7564
3 жыл бұрын
Jazakumullahu khayran.....
@rukiyaswaleh8619
3 жыл бұрын
Swadaqta sheikh umesema point Ile kutangamana tu palé wake kwa waume Kisha sheikh maarifu anaenda kuwatumbuiza tena ktk mwezi mtukufu wa Ramadan subhanallah dunia imefika mwisho
@shaqiiqal-jameel1029
3 жыл бұрын
Ulipost Na Ulipostiwa Wote Rudini Darasani Upya Hamna Kitu Hapa Mumetawaliwa Na Uadui Na Kutafuta Umaarufu Kwa Kumponda Mwengine...Hekima,Elimu Na Busara Hakuna Kabisa Nawaambia Wazi Wazi
@swabirattwas6385
3 жыл бұрын
Njia muafaqa zipon , lkni hajazifata mbona🤔???
@ummuabdsheikh9581
3 жыл бұрын
Umesema ukweli wengi wetu yametukera sana shukran sheikh Allah akupe umri twawil
@ruhumakhadija8772
3 жыл бұрын
Mashallah wape ukweli wao mashekhe wetu niwa pesa watoe makosa yao...
@abdulrazakkassar
3 жыл бұрын
Allah subhana wataala atuhifadhi na uzushi wa auna yoyote. Ikiwemo maulidi
@drayamochannel12
3 жыл бұрын
ZANZIBAR... Waislam tuache majungu tuache kuhusudiana kama unaona mtu kakosea mtafute privet ukieka mambo wazi kama hiv sis waumin unatufunz nn Elimu ni bahar ulichonacho mwenzio hana tufundishane tusishushane na kutiana aibu ZANZIBAR
@ahmedmohamedshaksy9471
3 жыл бұрын
Wacheni siasa kwenye Dini,Yusuf Abdi alifanya Da’awa kubwa pale ikulu ALLAH atamlipa Janat firdaus.
@firdausyalhaji5569
3 жыл бұрын
Kabsaaa....Hawa kazi yao kufarikisha tyuu watyu..Allah atuswameh sote
@jumamohamedi4495
3 жыл бұрын
Firdawsi kwa kuimba kuimba?
@abdulrazakabdinoor5316
3 жыл бұрын
Acha uongo unaushahidi
@mussamussa9446
3 жыл бұрын
Alhamdulillah!Jazakumullahu Khairan katheera
@mamussi6872
3 жыл бұрын
Mie najiuliza Zanzibar kumeingia wimbi la waimbaji kasida za vinanda kutoka madrasa tofauti masheikh hili hamulioni? Mbona hamlikemei hili mnazona hizi nasheed anzeni na vinanda kwanza
@ummuzeinab6132
3 жыл бұрын
La kushangaza sikulisikia Sheikh akitaja jina la Sheikh Yusuf kwa hii clip, Let people fear Allah swt and stop spreading fitna and emnity among Muslim Da'ee. personally I can attest the love and respect this two great Sheikhs have for each other. If you have a difference with Sheikh Yusuf do it using your own views na uwache kusingizia Dr. Islam
@habityabsa997
3 жыл бұрын
Well spoken my dear sister in Islam! Ma Shaa Allah a great reminder from Dr. Islam, May Allah preserve him
@saidimadzumba2266
Жыл бұрын
I think some people have Satan mind whereby causing conflicts between islams for them it's a Joy!٪
@saadiahalima6087
3 жыл бұрын
Shukran sheikh
@ummuahmad4400
3 жыл бұрын
Allaah atupe hidaya. Anasheed imekua biashara. Umeanza uislam ukiwa ni geni itarudi kama ilivyo anza. Allaah atupe salama.
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
Allah atunusuru na mambo haya ya kuiga kwaya za manasara. Yameshtaddi siku hizi. Watoto wa kike nao wanaimba kama wapo kanisani. Hii ni ishara ya iflaas katika imani yetu.
@emmadora7848
3 жыл бұрын
Hamuwezi kubishana wenyewe bila kuingiza maeneo ya ibada ya watu wengine ?
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
@@emmadora7848 Ibada au dini? Nawatahadharisha waislamu wenzangu wasije kupotea kama walivyopotea manasara. Ni wajibu wangu na ni haki yangu.
@emmadora7848
3 жыл бұрын
@@Ali-nl2du haya wamekuelewa mpendwa
@Ali-nl2du
3 жыл бұрын
@@emmadora7848 Asante mpendwa. Mungu akubariki.
@faisalmohamed727
3 жыл бұрын
Mashabiki wa nashidi na vinanda imewakera sana naona comment zao, hawataki ukweli unauma but endelea wape dawa, wapenda kuhalalishiwa kila kitu watafurahi sana wakipata mtu wa kuwahalalishia nyimbo uraibu (mirungi) na zina.
@user-ql2om7qj3v
3 жыл бұрын
Sheikh masha Allah umeeleza vizuri sana.maneno yako yakweli
@kaidisaidi4649
3 жыл бұрын
ذلك لذوى مرض شهوات القلوب من لا فى قلبه التقى اتقى لا يسثمع صوة بل منعوت
@binrashid3242
3 жыл бұрын
لكل قلب شهوة إما فى الحلال أو فى الحرام، فكيف تنافي شهوة القلب تقوى صاحبه
@thureyazuheir293
Жыл бұрын
mashaallaj shekh
@AbdillahSOthman
3 жыл бұрын
Hakika Mtume rehma na Amani zimwendee yeye ndio kigezo chema kwetu. Kumlingania mtu kunahitaji lugha ya hekma, wala si kukejeli ( kisa cha bedui aliejisaidia mbele ya Mtume, ndani ya mskiti, kwann maswahaba walipandwa na jazba wakataka wampige lkn Mtume hakuwa hivo bali kauli zilizo njema kwa kijana yule zilitosha kuwa mafundisho kwake na kwetu) vipi sisi tusitumie lugha itakayopendeza na kufahamika na watu wakaendelea kupata Elimu zaidi. Sheikh Naswir Bachu Allah amraham alikuwa ni mkali kukemea uovu lkn pia hekma ya kufikisha ujumbe ni mzuri ndio maana lazima alifahamika vizuri.
@nuumanrk4814
3 жыл бұрын
Ninachokiona mm hapa hatugombani bali huyu shekh asema ukweli mtupu japokuwa unauma....saivi hakuna naashed wote wanaimba taaarabu utumbo mtupu...niupotevu juu yaupotevu haki inaonekana baatwel na baatwel inaoneka haki..mashekhe wakitukumbusha laayaalamuna wanasema eti mashekhe wanagombana waokwawao hujuwi ushike wapi....ikiwa hujuwi ushike wapi ww itakuwa hunajicho lakuiyona hakkkkiii.naikiwa huiyoni hakki basi tuseme Innaalillahi wainnaaailayhi Raajiuun
@halimaderua4281
3 жыл бұрын
Watu hapa wanamkosoa shekh coz amegusa maulidi wanayoyapenda MashaAllah shekh ameongea ukweli simamia Haki wacha matamania ya nafsi yako.
@MA-ht7po
3 жыл бұрын
Allah ibarik fik ya sheikh
@allytwalibjr.6431
3 жыл бұрын
Sheikh umeweka wazi vizuri mzungu ampe ufahamu huo ustaadh u
@SalimAlly
3 жыл бұрын
Utaratibu tunaotumia kusoma Quran ndio tunaotumia kuisoma Nasheed. Mahadhi sawa na key sawa. Je, na Qurani tusiisome mbele ya wanawake. Nadhani jitihada hii ya kupinga nasheed mkiielekeza kwenye kuipiga vita nyimbo basi tungeweza kuokoa jamii yetu zaidi kuliko kutumia jitihada hii kupinga nasheed. Mnapambana na kupinga nasheed wakati nyimbo zinaathiri kwa upana zaidi jamii yetu. Inaskitisha tunapingana NDANI katika dini yetu na tunampa nafasi shetani. Nastaajabu !
@sudiali4694
3 жыл бұрын
It’s very important to follow what our beloved prophet teaches us instead kushinda ukiskiza masheikh hawapendani
@twahambowe6544
3 жыл бұрын
Tatizo c kupendana,ila kuuondoa munkar
@khamisptrany9393
3 жыл бұрын
Kuondowa munkar inamisingi zake nilazima ijulikane na ifuatwe na hicho kitu mawahabi hawakijuwi, tunawaomba wawakirimu waisilam kwa wema wa kimya chao
@kukww2024
2 жыл бұрын
Asalam aleikum warhmatulah wabarakatu iko haja ya kusoma bro c, o uropoke tu huyo sheikh anakubalika
@sashaali9207
3 жыл бұрын
Kabisaaaaa...sheikh wetu, Mungu akubariki, utawaona wanakashifu nyimbo na huku wanaunga mkono nasheed ilhali zote ni nyimbo mfumo ni ule ule hakuna excuse lakini watatia viji excuse vidogo vidogo ili kuridhisha maoni yao na support zao. kunyooshea wengine makosa hali mambo draw. Ikhlaas Muhimu.
@qaseema5676
3 жыл бұрын
UKWELI SIKU ZOTE UNAUMA SWADAQTA YA DR ISLAM MUNGU AKUWEKE TUPATE FAIDA KILA SIKU
@swabirattwas6385
3 жыл бұрын
Njia muafaqa niipi kwani???
@Halimaalawsy
3 жыл бұрын
Kwani Dr Islam alikutuma wewe ueleze watu kuwa amemkosoa Sheikh Yusuf Abdu??? Wacha kugombanisha masheikh wetu wa kenya...umetoka kwa sh Mbarak na sh Izzudin sasa waanza kugonganisha masheikh wanaohishimiana ....kuwa na hikma usitafute umaarufu kupitia mashekhe wengine tengeza jina lako
@maryamaliy2825
3 жыл бұрын
Asl,ushauri wngu kwenu mashekhe inapotokea khitilafu yyte ni bora zaid kuitana na kulizungumza kwa pamoja bila ya kuonesha khitilafu au mkanganyiko wowote kwani kufanya hivyo inapelekea mgawanyo baina yetu na tukumbuke sisi sote ni waislm na tunataka pepo ya ALlah (sw) .sina elimu in mawazo yng tu mashekhe
@nassirmohamed8437
3 жыл бұрын
Huyu mwenye account hii ndio anapenda sana amali hii nahisi anafurahi kuona mmoja katika waislamu anavunja heshma ya mwenzie nahii ni amali mbaya mtu kudumu nayo
@laizatitu7536
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@abdillahbakar9850
3 жыл бұрын
Sema kweli japo kua ni chungu
@supumoto6819
3 жыл бұрын
جزاك الله خيرا يا شيخنا
@farhardahmed5395
3 жыл бұрын
msmamo wa imamu na sheikh ni QURAN....ndio jukumu lao kwa UMMA....sheikh yusuf na wenzake waitajika warudi nyuma...na kuskiza daawa ya Dkt ISLAM
@seifuzeiry2188
3 жыл бұрын
Kwani mbona kuna mambo mengi sana hatuyajui tena yenye umuhimu sana hamsemi badala yake mnazama katika mvutano wa nyinyi kwa nyinyi kwa makosa madogo na kuacha makosa makubwa yanaendelea kushamiri kwa kiwango cha juu sana dini yetu inaenda wapi jaman MASHEIKH SISI MAAMUMA WENU MKIGOMBANA TUNAKOSA MWELEKEO SAHIHI
@haarunsaidabdillahi4082
3 жыл бұрын
Mbona tunasikia enzo za Mtume kulikuwa na wasoma mashairi? Au vitu tofauti?
@ahmedjuma2674
3 жыл бұрын
Hakuna kusikia usome ndio uatajua
@abufirdaus4254
3 жыл бұрын
Walioisoma maswahaba sio kwa mfumo wetu wa kuimba kwa kupendezesha asaut... hii za zama zetu ni mziki
@salaffiyuyahya8774
3 жыл бұрын
مشاءالله وجزك الله خيرا
@salo.613
3 жыл бұрын
Vp hapa hadith zimepita Bibi Aisha ameeleza Kua Mtume(s.a.w)kafanya hivi na vile.Na masahaba wanarikodi yote.
@husnisunkar8477
3 жыл бұрын
MASHAALLAH TABARAKAALLAH
@alyomar1637
3 жыл бұрын
Kwan mtume muhamad s w s wakati anapokelew hakukuw na wanawak swali langu ilo?
@swahibrashid5807
3 жыл бұрын
Jazaaka llahu khayra
@yassirzain9319
3 жыл бұрын
Au unataka bale tudumbuize kwa nyimbo na miziki
@nassorbinfundi1196
3 жыл бұрын
Ulitaka waimbe kwaya, mbina muna hilla waislam hampendan nashidi inaubaya gani kwenda uko
@abulghareebzimbawy790
3 жыл бұрын
Wapo njiani kutunga mikanda ya sinema ...kwani kwatafutwa nini?!
@nassirmohamed8437
3 жыл бұрын
Hali tuliokuwa nayo waislam ni mbaya Sana usomi wetu umebakia kukosoana اللهم رحمنا يارب العالمين
@hassanhussein896
3 жыл бұрын
Dr ameeleza tu kuhusu nasheed hajataja mtu
@mamussi6872
3 жыл бұрын
@@hassanhussein896 angalia kichwa cha habari hujakiona hapo kwenye screen
@hassanhussein896
3 жыл бұрын
@@mamussi6872 account ya Muhammad Nassor Bachu ndio imeandika kaskize kwa account ya Dr.Islam uskize na uangalie kichwa kilikuwa Tafseer Quran.Na je mtu akibainisha maneno ya wanazuoni kuna makosa?
@deathrow8004
3 жыл бұрын
HII NI DINI SIO BANGI WALA MIRUNGI KWA HIYO RADDI NA JER'HI NI SEHEM YA DINI KWA MWENYE KUIPENDA NA KUFUATA MAFUNZO YA RASUL LLAH(Swala llahu aleyhi wasalam)
@nassirmohamed8437
3 жыл бұрын
@@deathrow8004 hii ndio raddi yenyewe kusema mtu anasoma anashiid Kwa sauti laini mpaka anatoka kwenye sauti ya kiume ndio raddi au uislam ndio ulivyo tufundisha haifai kushabikia Jambo ambalo halina afya katika dini yetu
@jumasaid6170
3 жыл бұрын
Sasa imba tusikie hizo sauti za masahaba tujue skh sio kusema tu
@abdulhafidhuqassim2481
3 жыл бұрын
Ila ukweli umefika, japo umekukera
@jumasaid6170
3 жыл бұрын
@@abdulhafidhuqassim2481 Sikiliza tena vizuri kaka yeye shk amekubali maswahaba waliimba sasa tatizo ni Sauti, skh Hatmi ameimba kwa sauti alobarikiwa yeye akasema maswahaba hawakutumia sauti hiyo ndio nataka sauti za maswahaba tuzisikie kutoka kwake au kwako kaka
@makenakendi282
3 жыл бұрын
Ustadh Yusuf msanii usanii unafanya
@twaibumikidadi7377
3 жыл бұрын
Nin hukum ya kuvaa saa mkono wa kushoto?
@aybkham5795
3 жыл бұрын
Vaa wa kulia ukichoka badilisha, YOTE yako. Mguuni tu usivae ITAKuWA kiatu. Wala kidoleni ITAKuWA Pete, na mguuni ITAKuWA kikuku. Ila wa kulia mi napendelea, lakin huwa pia nachoka na ndio hubadilisha kidogo alaf nairejesha kulia. Asante
@binbaya923
3 жыл бұрын
Mkono ukatwe
@yassirzain9319
3 жыл бұрын
Allah Huakbar kwakweli Hakuna hukmu ambayo iliyosema nasheed Haramu
@shamzone388
3 жыл бұрын
Kasema kwenda kimba mbele za wana wake tena ramadhan
@binrashid3242
3 жыл бұрын
@@shamzone388 kwa iyo funga yake imeharibka?
@suleimanmussa3212
3 жыл бұрын
Cha kufany ni kusoma dini katka misingi sahihi (qur'an na sunna) ndo tutajua nani yuko sahihi na so kulalamika tu km haujui nani yuko sahihi alaf umekaa kitako tu nyumbni unasema una elmu chache mawazo yang ayo 🙏🙏🙏
@achanifumos1093
3 жыл бұрын
Shekh islam ni vile wewe hujaitwa ikulu ndio unaumwa...ht hio sauti yako yaskizwa na wanawake tofauti yako sinzuri na mwenzio amepewa na ww hujapewa...mbona hamuwakosoi kina mahir zain na mishary bin rashid..ama kwa vile wale ni waarabu...wacha wivu mwenzio kapewa wala hakuna makosa..
@rashidjumamohamed3437
3 жыл бұрын
Safi sheikh. Uko vizur. Mi akili yangu ilikuwa haikai vizur kuhusu hizi nasheed.. Umeweka vizur shkh. Yusuf na wengine wajikague upya
@vetahlimited9
3 жыл бұрын
BaarakaLLAHU Fiyka ya duktuwr...
@salhacker7728
3 жыл бұрын
Wakati huo nae ajiangalie kupiga mapicha na mavideo Kama haya ni sawa?! Na sisi tunamnasihi juu ya mambo haya
@nduwimanahidja5891
3 жыл бұрын
Naomba namba zahuyu sheikh samahani
@kijanadoyo693
3 жыл бұрын
Raddi raddi kila siku. Rudini msome ndio muraddi. No feelings attached
@abdoulanzizkassimcharif3753
3 жыл бұрын
Kwani إمامنا العسفي hakusoma hayo yote? Awo hayo ni mambo ya ijtihad? Sheikh yusuf alisema kouna ihtilafu na mimi nafikiri hajakoseya .
@Mohamed-vv8fc
3 жыл бұрын
Kazi kujifungia msikitini kujibizana tu Eti madoctor Huyu alisoma wapi??
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
3 жыл бұрын
Pemba😆
@alikhulaten4501
3 жыл бұрын
Sheikh Yusuf is the best you don't know nothing
@salmabintuthman3243
3 жыл бұрын
Mashallah
@lutfaadam9568
3 жыл бұрын
كلام رائع مرة يا شيخنا الفاضل .. حياكم الله ووفقك وسددك
@maulidmnukwa3171
3 жыл бұрын
NAKUPENDA SAANA DK. ISLAAAM
@tanzanite9944
3 жыл бұрын
Diini haifikishi watu mbinguni ila Imani ndio.
@mohaedjaffer7709
3 жыл бұрын
Angalieni yaliyo muhimu mufanye kazi mizozo na chuki kila kitu hakifai kasomeni zisomeke
Shekh sungeenda ukamueleza mukiwa wawili kuliko kumuumbuwa mtu mbele za watu tumeambiwa tuambiane kwa siri sio kwa dhahir
@bintybaker8402
3 жыл бұрын
Sheikh islam mohammad hakushindwa kumtaja lakini ameichunga hishma yake,vipi ww uje uweke picha useme ni raddi apigwa nayo sheikh Abdi?huyo sheikh islam hapendi uchonganishi i wish ungekuwa mwanafunzi wake ukamjua.
@alidochi2889
3 жыл бұрын
Zamani waumini walikuwa wanapambana na makafiri! Leo waisilamu wanapambana wao Kwa wao! Au ndo Elimu ni bahari?!
@fatmakhanii1676
3 жыл бұрын
Tena bahari isio na fukwe
@حامدسلطان-خ5ف
3 жыл бұрын
waislam tusomen ili tujue haki ilipo vinginevo tutakuwa kama bendera
@abdulkadirsufiabubakar1061
3 жыл бұрын
Tumekaa tuwapingana sisi kwa sisi na waislamu wanakufa tuwaombee waislamu wa palestine🇵🇸 Allah atunusuru
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Tuwsombeeni sana nikweri nankufundisha uuma unaopotea pia ni muhim sana
@sefoadelino6684
3 жыл бұрын
Kwa nini hakuende kumkosoa moja kwa moja akikutana nae,? Hajafanya vizuri huyu shekhe
@ummarmuhammad3376
3 жыл бұрын
Juu yeye alifanya kisiri
@salehsuleimanmbaruk2645
3 жыл бұрын
Kwan siku izi Kuna mashekhe au Kuna wasenge tu mwanaume mzima anajipendekeza kwa mwanamke sio anasoma nasheed Ile Ni nyimbo km nyengine t
Пікірлер: 372