Mwenye Enzi awalaani kila alie kuwa dhalim na alie kuwa sababu ya hayo. Hasbiya Allah wani'mal wakiil
@eddynaeem6708
Ай бұрын
wakati huwo nyerere anacheka karume aliwadhalilisha wazanzibar kwa tamaa zake wache yamkute na sisi kizazi cha leo tutaigomboa nchi yetu hapo ndipo ndipo mutakapo tufahamu
@rayaalhabsi1725
Ай бұрын
@@eddynaeem6708 kweli kabisa maneno yako
@abdullakhamis792
3 жыл бұрын
Allah akupeni Firdausi nuzula wahangawote. wa mapinduzi hakika huu ndio ukweli walotwambia wazee wetu wapedwa walivoteseka
@imraniqbal00765
4 жыл бұрын
Allah akurehemu Mzee amani Hakika malipo yapo mbele ya Allah wao walifikiria hawatokufa leo wapo wapi ?????
@umiy1971
8 жыл бұрын
Ahsante sana bin seif tunashukuru kwa wakati wako unootumia kutuletea yote haya mungu akupe nguvu uendelee kutufaidisha.
@jumajorn8932
4 жыл бұрын
karume kiufupi ni msaliti wa zanzibar na ndo adui namba 2 badala ya nyerere
@mangofish9079
3 жыл бұрын
Huo ndio ukweli
@alialamoudi9729
3 жыл бұрын
Wameuliwa NA kuiteka nchi kwa sababu ni tajiri lakini umaskini mpaka hi garne2021
@ayyamirubba5226
Жыл бұрын
Wote watendao mema watalipwa mema nawatendao uovu watalipwa adhabu
@yusufige7030
11 ай бұрын
Kanisa la katoliki no 1 nyerere ni kifwasi tuu kitumwa
@muhammadnasri6340
5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atawahukum ote walio fanya unyama huu
@imraniqbal00765
3 жыл бұрын
Allah akbarr Hakika hisabu ipo kwa allah LA ubaya zaidi nikua ccm wanayafurahia maovu haya Ya mapiinduzi
@hudaasaalim1333
3 жыл бұрын
Yeah babu yetu ni mavamizi na tumeona tena in 2020😭😓
@mgogoonedodoma2250
7 жыл бұрын
Kwa kweli nimilia sana kusikia maneno kutoka Kwa sheikh Thani.Anaeleza vizuri sana.Hawa wasomi wa Zanzibar pamoja Na sheikh Muhsin ndio walikuwa vinara wetu sisi Watu wamrima.Watu wengi wakienda Zanzibar kutafuta Elmu ya Dini Na Dunia. Hamu yangu kubwa NI kumuona Yule Dhalimu Mandera kama yuko hai. Halafu nimtie mikwaju mpaka azimie.
@magellasaid3693
Жыл бұрын
Mfumo ulianza kututafuna kitambo sn na bahati mbaya historia inapotoshwa, Allah ndie ajuae thamani ya malipo yenu shekh Thani
Asalam aleikum. Mimi ni mkenya na navutiwa na maelezo ya mzee wetu. Naomba kujua kama mzee yu hai. Kama yu mzima, mungu amwongezee miaka mingi zaidi.
@godfreydestury8813
9 ай бұрын
Hapana alishafariki
@asiasalimkapalato7463
5 жыл бұрын
Inasikitisha sana pole mzee wngu
@38wahida
8 жыл бұрын
allahu akbar ,binaadamu tunajisahau kua kuna hukmu mbele ya Allah,
@julietkwizera8510
5 жыл бұрын
Mpumbavu huyu
@fatmahamad2156
5 жыл бұрын
@@julietkwizera8510 mpumbavu ww
@salimalkindi145
4 жыл бұрын
Juliet kwizera Kuna upumbavu gani kwenye masimuliyo yake. Unfortunately, wewe ni mshenzi as I can read from name. Jistaarabishe kwanza kabla ya Kurosawa Kauli. Acha chuki kuwa muadilifu.
@imraniqbal00765
5 жыл бұрын
Madhali walifikiria na wao hawatokufa Leo wapo wapi wao waliuwa na wao wameshatangulia malipo kwa Allah kwani walifikiria Wataishi milele madhalim
@TaniBlatant93
8 жыл бұрын
ukweli ni huu wazanzibari
@yahyashaib5116
2 жыл бұрын
Laana ya Allah itawakumba tuu Allah akupe kauli thabit
@zainabrashid385
3 жыл бұрын
Allah ndo hakimu wa haki ipo cku
@azizamri1522
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndiye mtoa haqi. Baada ya mauwaji yote hayo wamefika wapi? Na bado! Mpaka waombe msamaha!!!
@rahmajaffar794
Жыл бұрын
Pole baba angu Inshallah hiyo itakuwa sababu yako ya kuingizwa peponi kutokana na mateso uliyoyapata. Mimi nimesikia lakini naumia sana naona siwezi kuisikiliza mpaka mwisho
@kheirdulla9046
7 жыл бұрын
Allah atawalipia yale waliofanyiwa ndugu zetu hakika hii ni dhulma kama wanofanyiwa masheikh wetu
@jamalabdullah6369
6 жыл бұрын
Jamal ✋👠⌚👖👑👚
@saheelameir4313
4 жыл бұрын
Allah atatulipia
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
Bin seif shukra nimetumiya sikunzima ku Angaliya nimesikitika sana nahuu ndiyo ukweli
@salamakhamis8092
2 жыл бұрын
ALLA ndie Hakim mwadilifu kuliko mahakimu wote
@lindondezuberi1963
8 жыл бұрын
Mungu ampe maisha mema dunian na akherA
@ramadhanhushaymaa9622
2 жыл бұрын
Amin
@selekiba
8 жыл бұрын
ndo maana nchi imelaanika kwa damu za watu wasiokua na hatia
@ramadhanlyandu230
6 жыл бұрын
selekiba c
@issajuma9255
2 жыл бұрын
Hao walikuwa hizbur walikuwa wanaupenda uwaarabu kuliko ndgu zao ndio maana yaliwakuta hayo
@issajuma9255
2 жыл бұрын
Hawa ni Hisbur,hawa waliwasaliti ndgu zao weusi kwa kujiona ni bora sana kuwaunga wageni waarabu kuliko ndgu zao na hawakutaka kabisa kushiriki siasa, na kazi na ndgu zao weusi wakawa wanajipendekeza kwa waarabu na machotara wa kiaarabu na hawakutaka Zanzibar weusi kujitawara wakaona fahari sana kuwa nao na walipewa kazi,uongozi na wakawa wao ndio wa daraja la pili la raia na weusi wazarendo ni daraja tatu na waarabu na wahindi ni daraja la tatu. Hii ndio sababu hasa ya weusi wazarendo kuamua kujikomboa na baada ya mapinduzi kutimia ndio hayo yalio tokea.
@ahmedissa7882
2 жыл бұрын
Sasa hawa akina mdungu usi.twala.jaa ubwa .hanga pamoja na akina othman sharifu walikuwa hizb?
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
@@issajuma9255 naskia waliuliwa zaidi ya elfu kumi NA tano bila hatia mauaji nyerere
@gangmore9091
4 жыл бұрын
Mpaka leo hamuna sheria mauwaji n dhulmaa bdo zinaendelea
@ahmadkhamis4231
8 жыл бұрын
NICE VIDEO NIMEJIFUNZA VITU VINGI KUNA LINK NYENGINE AU WATU WENGINE ULIOWAFANYIA INTERVIEW
@ukweliunauma4570
3 жыл бұрын
Mbona ziko nyingi
@zuumoney4829
5 жыл бұрын
Nampaka Leo hii system kutesa kutisha na kuua watu bado inaendelezwa nas serekali iliopo madarakani na kwahayo walioyafanya ndio mana hakikisha kwa njia yoyote hawaachii serekali chama kingine kuhofia kulipiziwa kisasi
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Hiyana na dhulma haifai!! Mungu anaona ubaya wao yani kawapiga dharba adhabu toka mapinduzi yao mpk sasa miaka ni shida juu ya shida tupu nchi zao hazinyanyuki!!
@eliasnavytanga
8 жыл бұрын
Innah Lillah waina Illahi Rajiuun. Allah amuweke mahali pema mzee wetu Aman Thani.
@muawiyajamali2557
6 жыл бұрын
Elias PROmhh
@muawiyajamali2557
6 жыл бұрын
Sote hatujui ukweli uko wapi
@kidaumtumbwi1128
6 жыл бұрын
Muawiya Jamali . Ukweli si ndo huo anaueleza Mzee Aman Thani. Yeye ndio alikuwepo live jela sasa unataka ushahidi upi mwengine.
@husseinfarid2883
2 жыл бұрын
@@kidaumtumbwi1128 anatka labda yamtokee au tamfike yeye ndio aamini !
@adamsimba6555
8 жыл бұрын
Allah awape hatima njema mababu na mabibi zetu hawa waliodhulumiwa
@rayaalhabsi1725
3 жыл бұрын
Allahumma ameen yaarab jamian
@maryammussa9002
2 жыл бұрын
Amiin
@alhabsi6430
Жыл бұрын
Amiin Yaarab
@user-nv7jg6xc8l
4 ай бұрын
wazanzibar mkikinukisha mje mnichukue niwasaidie si kwa dhulma hyo mliyofanyiwa
@munaaqatar4109
2 жыл бұрын
Mungu atawalipia yaraby awalaze pema awape kaul thabit yaraby
@ukuvukiland2387
8 ай бұрын
Inasikitisha mimi upande wa mama mngazija imeniuma sana.
@ahmedmussa8231
5 жыл бұрын
Hii ndo historia ya Zanzibar co ccm kazi kudanganya watu tu mamazao
@alialamoudi9729
3 жыл бұрын
NA sikia elfu. Ishirini walikufa watoto wadogo NA wazee NA wanawake
@ally1702
4 жыл бұрын
Dah nilisoma tu kitabu chake angalau Leo nimemuona
@rashidomar2771
7 жыл бұрын
hazidi kitu dhalim ila hasara ,hakika nchi yetu hii dhulma inamtafuna kila mtu mwema ,,mungu atusalim salama inshaallah ,,
@jeanmusamba8448
6 ай бұрын
mtu fasaha sana katika lugha,miamba hii hatunayo tena,ni huzuni kubwa,The Brain of Zanzibar
@abdullkilawi5504
8 жыл бұрын
Thanks for memories
@yusufige7030
3 жыл бұрын
Mm nilikuwa naona wazee wa kisomali wakikamatwa na kusafirshwa kumbe sababu ni waislam
@hemedabdullah7301
4 жыл бұрын
Laanatullahi alaihim wakulli man tashabbaha bihim
@brightdeogratias6664
2 жыл бұрын
Mwaka 1968, hakukuwa na CCM. CCM imeanzishwa 1977.
@farouqjk4245
Жыл бұрын
Kilimani au kule mahala PA kunyongeya.
@muwanguzigodfrey7420
8 жыл бұрын
Ni kumbukumbu nzuri sana!!
@abdulkarimjuma6804
3 ай бұрын
Mungu atawahumukwalanawaloifanya
@chibaboy5803
8 жыл бұрын
shukran xnaa bin seif npo apa apa zenj lkn nlkua ctambui aya mambo ila gud xna
@mohammedkhimji7505
2 ай бұрын
Nchi ambazo zimeendelea hawafichi historia yao, na hua wanakiri makosa yao... wanatumia mamilioni ya hela kutunza historia na sehem za makumbusho... Lakini Waafrika mpaka leo wanaficha historia yao.. vizazi vijao vinakuwa mabwege na mpaka leo wanasoma alichoandika mkoloni... na inakua aibu kweli akija mzungu nchini kwetu na anajua mengi kuhusu nchi yetu ata kuliko sie wenyewe... hii inafanya wananchi wabaki kuwa wapumbavu.. hata tukivaa suti na tai aina gani.. tunabaki kuwa wapumbavu tu...
@Ashuraatanasmogella
7 жыл бұрын
mzee wetu tunakupenda sana natamani nikuone kwa macho
@ashuraatanas5967
6 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake na ampe pepo tukufu In shaa Allah
@ibrahimsheha215
5 жыл бұрын
Inaalli laahi wainnaailaihi rwaajiuuna
@allysuleiman6022
2 жыл бұрын
Ila ukweli hatakama unapingwa lakini zanzibar wametutesa sana nampka kesho kutwa bado wanatutesa ila malipo nihapa hapa duniani Ila Mungu amlaani Nyerere huko huko alipo
@gangmore9091
4 жыл бұрын
Kweli ukipandikizwa mchochezi kwao unakua adui mkubwa kwao ndio mana adii leo ndio wanavyofanya mungu atawalipa
@khamistano4848
3 жыл бұрын
Haliofanya hayo walikua Ni wazanzibar sio warabu. Na ndio Mana Hadi leo wanaendelea
@alialamoudi9729
3 жыл бұрын
Kusema kweli waarbu wa oman ni watu wawema sana nilishi NA kufanya kazi nao wanakujulia hali waaslaam wenzetu wamekufa kufundisha dini mwarabu sio adui mzungu ni hatari
@chibaboy5803
8 жыл бұрын
gud xnaa bun seif
@TheEmmy015
8 жыл бұрын
Bin seif ipo clip nyengine maana story haijamaliza inaonesha
@rashidomar2771
7 жыл бұрын
inaonyesha kama ipo stori nyengine ,inaonyesha kama haijamalizika
@chibaboy5803
8 жыл бұрын
bin seif mzee yupo hai uyoo
@nacheali5250
8 жыл бұрын
Alhamdu-Lillah nimefurahi sana kumuona Sheikh Amani mzima wa afya. Mara ya mwisho nilimuona kwake ndio kwanza kunyanyuka ktk maradhi miaka 16-17 iliyopita, nilimuomba kitabu alichoandika miaka hiyo. Sheikh Masha-Allah kanipa vitabu zaidi ya kimoja na kimoja kati ya hivyo alitia sahihi yake. Sikujua tena hali yake mpaka hivi sasa kumuona ktk mtandao na ktk hali nzuri Alhamdu-Lillah mzima wa afya. Allah akupe afya nzuri Sheikh na utuombee Dua na nchi Nchi yetu isalimike na shari ya mahasidi.
@Ali-nl2du
11 ай бұрын
Ilopinduliwa ni dola ya Zanzibar, sio waarabu. Huu ni mkamilisho wa kuikata mapande dola ya Zanzibar, ulioanzwa na wajerumani na kumalizwa na waingereza. Nyerere katumiwa na waingereza, na yeye kamtumia Karume, na yeye kawatumia washirazi.
@charlesbibombe2301
Ай бұрын
Wanaofaidi matunda ni lile tabaka tawala tu, wale ndio wanasifu yale mambo yaliyofanyika na dhuluma zote😢
@mufamozmufash166
3 жыл бұрын
Every revolution has a story to tell ,
@saidahmed9688
2 жыл бұрын
allah awasameh dhambi zenu
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya Kama hasad
@fhyubhhh2881
2 жыл бұрын
Mapinduzi ya znz yalikua ya kikatili tena ya kishenzi kabisa!! yanalaniiwa mpk sasa na dunia nzima!!
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Zanzibari ilivamiwa kutoka tanganika
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Haifai kuisherekea mauaji ki dini nafsi ya watu ni haramu kwa mungu kwa hiyo unangia katika mathambi jahanam sio mchezo kuna mahakama huko kiyama mungu atakehukumu
@kamalofanuel8120
2 жыл бұрын
duu huyu mzee alikuwa upande wa wakoloni huyu
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Naskia katika uvamizi huo waliuliwa zaidi ya elfu kumi tano kwa dakika arbaini tu
@tecnof1232
4 жыл бұрын
Yamefichwaaa lakini kumbe ukweli na historia havifichiki, na vikizamishwa,hatimae huibuka, mambo ndivyo yalivyo, haki haipotei!
@allyderossi9742
4 жыл бұрын
Tecno F123;;Ina mana vile vitabu tulivyosomeshwa darasa la 5 ni story za fisi na sungura (ZAKUTUNGWA).
@gangmore9091
4 жыл бұрын
@@allyderossi9742 history y vitabuni madarasani mpango wa waengereza na Kenya na nyerere kupotosha na kuondoa ukweli wa history ya zanzibar lakini mungu ndio muhukumu n ukweli haufichiki ao wapo wengi walofanyiwa matendo ayo
@hamilsaleh-zo3hp
3 ай бұрын
Nakuunga mkono mia fyil mia
@user-qk9iz5lt8q
2 ай бұрын
Ama kweli utwala ule ulikuwa WA kidhalimu na wakishetani KABISA, HATA KARUME HAKUWA BINADAMU WA KAWAIDA ,KWANINI ASIAMURU HAWA WAPELEKWE MAHAKAMANI? KUMBE HAKUKUWA NA MAPINDUZI ILA MAVAMIZI
@drnow1528
Жыл бұрын
Nyerere na Karume wako Jehanam
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-nv7jg6xc8l
4 ай бұрын
Na wanaoendesha serikali ndio wadhamini wa mauaji yaliyotokea
@ashminhaabdullah4963
5 жыл бұрын
Hivi nchi iso Ihstoria ya kweli itakua haina msimamo
@imraniqbal00765
5 жыл бұрын
Wapinduzi Allah anajua jaza yao na wanapostahiki kwa dhulma waliowafanyia waja wa Allah Bila kosa
@fahdmhamed7745
Жыл бұрын
Hao walikua ni makafiri wa kimongoli ..wanaitwa muhidin nani lakini matendo yao ni maovu nyerere alaniwe kabisa
@mbotaamani3826
11 ай бұрын
Karume alikuwa chinjachinja 😢😢
@ahmedsaidi1938
5 жыл бұрын
Swadaktaa!!!
@sabriabdallah8887
2 жыл бұрын
Ukweli haufichilki
@user-qk9iz5lt8q
2 ай бұрын
NI HUZUNI KIBWA KWELI KWELI
@nashnene6326
16 күн бұрын
Yussuf himid ndo kawafunga
@King_Of_Everything
6 ай бұрын
👊✌🙏.
@mwarabumsitu4098
Жыл бұрын
Kumbe hayakuanza leo
@abiboseleman1649
2 жыл бұрын
Mzee ulikua kwa sultan nini
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Naskia waliuliwa zaidi ya elfu kumi tano NA walikua raia tu bila silaha
@bahatinassorali5222
5 жыл бұрын
Mi sitaki kisikia upumbavu siasa tuhhh
@abdulomary5003
5 жыл бұрын
Bahatinassor Ali wewe ndio mpumbavu mkubwa maana mtu mwenye akili timamu atashindwaje kuona ukweli huu??
@tecnof1232
4 жыл бұрын
Wasiwasi wako nini wewe, au yanakutisha!
@hemedabdullah7301
4 жыл бұрын
Ww bahati hujui kitu maskini , umetawaliwa na na mawazo dhaifu na chuki katika ulimwengu wa dhulma.
@husseinfarid2883
2 жыл бұрын
hizo ni chuki na moyo dhaifu unakuhangaisha malipo yake mabaya sana.
@HaidarOmar-tx7cc
4 ай бұрын
⁹😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅 2:15:04
@nadabi1982
5 жыл бұрын
A Salaam alaikum mbona haija malizia ipo kamili ao?
@nadabi1982
5 жыл бұрын
@@sirallymasoud nakusudia baada ya hapo kuhusu twala kutoroka jela na mzee hapo alipo fikia haijamalizia story hapo ( baada ya Askari kumnong'oneza mandera ?
@julietkwizera8510
5 жыл бұрын
Bila hayo Zanzibar ingekuwa na hatma gani Atoke hapo
@jimj8285
2 жыл бұрын
@@julietkwizera8510 Juliet Vipi upo wapi??? Hebu nijibu unipe na namba yako ya simu,nukuahidi utazaa Kwa kufirwa tamuuuuu!!! Kama matoke na beef!!!
@topaviator
3 жыл бұрын
Heh
@alialamoudi9729
Жыл бұрын
Wamevamia watu hawana silaha wajinga kweli nyerere huo
@hamishassan6784
Жыл бұрын
Natamani tume ya haki jinai iliundwa na mama ilete mabadiliko makubwa kwani kufungwa si chanzo cha mtu kumpotezea haki ya kibinadamu mtu. na mimi naamini kwa hawa viongozi wetu waliopita na mifumo hii ya kidhalimu katu hawawezi pita hivihivi kwa Allah.NAomba historia kama hizi zihifadhiwe na zifundishwe kwa vizazi vyetu ili udhalimu huu usije rejelewa tena
@abubakarihamissi4178
2 жыл бұрын
lakini mbona kama hawa wazee walikuwa wanawaona waarabu ni watu wema sana kuliko utawala wa watu weusi coz hakuna hata sehemu moja alipoilaumu waarabu ilhali waarabu wengi waliwauza watu weusi utumwani
@mkude
2 жыл бұрын
Wewe akili yako imechotwa na habari ya uongo na ya chuki dunia nzima habari eti waraabu waliwauza weusi mnazijua nyinyi tu east afrika,nwarabu hakufanya utumwa,utumwa kafanya nzungu angalia watunwa waliopelekwa Brazil na nchi za America ya kusini na America yenyewe mamillioni kwa mamillioni ,Europe yote mpaka England kulikuwa na minada ya wazi ya kuuzwa utumwa, yote hayasemwi .
@mkude
2 жыл бұрын
Mwarabu hakufanya utumwa hiyo in story ya uongo imetengenezwa na wazungu ili warabu wachukie.utumwa wamefanya wazungu hiyo mbona IPO wazi
@madetetv6576
2 жыл бұрын
@@mkude hapan mkuu waarabu wamefanya biashara ya utumwa sana tena watumwa wengi walipelekwa nchi za kiarabu huko kufany kazi za ndani na mashambani na vile vile hata hao wakoloni Muarabu alikuwa anawakusanya watumwa zenji hapo halafu mkoloni anakuja kuwasomba kwaio mkoloni kasaidiwa na muarabu kuwapata watumwa nandomana mzungu alivoondoka alimpa tu serikali Muarabu ilihali weusi ndo walikuwa wengi sababu Ni kuwa Mzungu na muarabu walikuwa marafiki sana we hujiilizi kwanini Tanganyika na kwengine huko machifu walipigwa stop maamuzi tapifanywa na mkoloni tu Ila Zanzibar sultan alikuwa na nguvu ingawa mkoloni ndo anaitawala Zanzibar Yani sultani anamsaidia mkoloni kuitawala Zanzibar Watanzania tumeelimika sana hatuwezi danganywa namna hio
@xl6941
Жыл бұрын
Ni wajinga hawa hawajui historia. Na mtumwa asiyejua Uhuru anaona utumwa ni Uhuru bado
@alikhamis8063
4 жыл бұрын
Hiyo yote mliisababisha wenyewe kwa kutokuwa waadilifu na kudharau watu kwahiyo Serekali yenu ya mwezi 1. Ulitakiwa uelezee na ushenzi ulofanyika kabla ya hayo mapinduzi.
@mangofish9079
3 жыл бұрын
Kama yeye hakutaja tunaomba utuletee wewe kwa kumhoji mtu aliekuwepo wakati huo akujuze au aje mtu akupe ushuhuda nani alieuliwa au kuteswa n. K kabla ya mapinduzi niko intrest sana kubadilishana mawazo na wewe juu ya hili
@ahmedissa7882
3 жыл бұрын
Wazee watu walituambia kuwa mapinduzi watu wengi walizulumiwa na kuuliwa lakini hakuna hata mtu moja alisema kuwa Ali Mukhsini Baruwani alizulumu. Inasikitosha sana hakika ulicho kipanda ndio utachokivuna
@mfaumemetta-vr1cl
8 ай бұрын
Hakuna mapinduzi ambayo hayapotezi maisha ya watu. Angalia China Mao alifanyaje? Pia Cuba nao walifanyaje? Wapingao mapinduzi ukiwaachiaapinduzi hayendi.
@abbiecox1
2 жыл бұрын
MMHH MTUMWA NI MTUMWA KAMWE MTU MWEUSI HAWEZI KUJITAWALA! UHURU HUTAFUTWA HATA NA MTU MMOJA LAKINI HUWA NA MANUFAIKO YA WOTE
@rashidalihamad7228
3 жыл бұрын
izo chuki watanganyika wako nazo hadi leo na hawapendi sisi kuepo wanatamani wangelikua na uswezo hata mchanga walingetugeuza michanga
@seifrengwe2542
5 жыл бұрын
MuongoNaChuki
@allyabeid4188
5 жыл бұрын
Seif Rengwe hujielewi
@yousufharthy6876
5 жыл бұрын
Seif Rengwe Wewe unayoyajuwa ya kweli tueleze Basi. Siulukuweko
@seifrengwe2542
5 жыл бұрын
Binaadam huwezi tarajia mema kama unahubiri mabovu Wahenga walisema" kinachokwenda, ndicho kinachorudi" Kwa maana hiyo.., hubiri mazuri upate mazuri. Na kama siyo hivyo basi ni siasa za chuki tu na kuwapotosha vijana Tu
@yousufharthy6876
5 жыл бұрын
@@seifrengwe2542 Usizungumze usiyoyajuwa. Siajabu hata zanzibar hujapata kufika. Siye tumeyaona na tumeishi nayo na hatutasahau yalowafikia ndugu jirani kwenye mapinduzi na baadae
@yousufharthy6876
5 жыл бұрын
@@seifrengwe2542 Halafu kuna tofauti ya kuhubiri na kuzungumziya . Kuhubiri ni kitu kitachotokea baadae. Kuzungumziya niyale yaliotokea kabla Ambayo kayazungumzia Amani Thani Mungu Amrehemu.
@zengandoto7088
3 жыл бұрын
Huyu kama Tunduliso. Propaganda nyinyi haupendi uafrica wake. Kibaraka cha waarabu
@ahmedissa7882
3 жыл бұрын
Hayo anayaeleza ni kweli kwa sababu wazee watu walitueleza usikurupuke tu.mimi binafsi nimekutana na babu london alitueleza ushenzi uliofanywa
@zengandoto7088
3 жыл бұрын
@@ahmedissa7882 hayo anayo yasema ya kujenga chuki kwasisi sote wazanzibar. Angalia wewe unasema uko london. Wakati waengereza ndio waliowapa watu silaha, na nguvu ya kufanya mabaya. Na kumbuwa wao ndio waliomueka Sultan. Na wakawa wanafanya nao biashara ya utumwa. Sasa mbinuyao na uchanja wao wamefanya kitendo kile cha mapinduzi makusudi ili wazanzibar wafarikiane na tusipendane ili twende nchi za ulaya na uarabuni tuone bora. Na tuwaone waafrika wenzetu wabaya ili yao yawaendee vizuri. Angalia hakuna Muafrika yeyote aliotoka afrika akaende nchi za ulaya au urabuni kuwatala, au akasema yake.Angalia waarabu wanatoka Omani lakini bado wanasema zanzibar yao.angalia wazungu wanatoka uzunguni lakini wanasema South africa yao. Huo wao ndio waanzilishi wa ungovu na mtu akimpiga mwenziwe haoni mbaya akirudishiwa yeye ndio anaona ubaya. Sasa huyu mzee alikuwa azungumze kwanza waarabu walivyo wafanyia watu wa ngambu na mashamba. Wako wengine kama yeye alikuwa kibaraka basi alikuwa mambo yake powa na waarabu. Kumbuka siku ya kiama utajuwa nani mgovu na aliyeleta fitina hapa duniani.ukweli utaopata mbele kwa Mungu.
@georgebongi4844
2 жыл бұрын
Uafrica siokufanya dhulma
@mkude
2 жыл бұрын
@@zengandoto7088 kwanza umesema uongo Oman wala hasemi Zanzibar yake,na serikali zote mbili sasa hivi zinashirikiana vizuri,halafu soma historia Oman kuja Zanzibar wenyeji was Zanzibar wazee waliwaomba msaada wake wapigane na mreno aliekuwa anafanya uchafu na ufisadi pale Zanzibar warabu walikuja kuwasaidia wanzanzibar kwasababu kiimani walikuwa ndugu zao na waliweza kumpiga mreno.halafu umeongea vyema malipo kwa ALLAH na kama wewe unayaunga mkono mapinduzi yaliowaua maelfu kwa maelfu watu wasiokuwa na hatia basi ALLAH atatoa hukumu yake.
@jimj8285
2 жыл бұрын
Hahaaa zenga ndoto,wee bado masikini WA akili na pia masikini kabisaaa! Bado unatawaza Kwa majani,makaratasi,mchanga,mabunzi ya mahindi,na wakati ingine unapangusa mavi yako kwenye Kona ya ukuta! Ukikojoa ubakojoa wima na mamikojo yako yanakurukia miguuni,mapajani, kwenye mapumbu na mwili mzima! Kafiri mkubwa wewe!
@jamesmwenda5427
4 жыл бұрын
wacheni unafiki hao waarabu walikuja kutesa watu pia,poleni kwa yale yaliyowapata ila mgekuwa nyumbani kwenu hajangetokea....kumaanisha mlikuwa wezi na mababe wa kuonyesha nguvu pia.
@mangofish9079
3 жыл бұрын
Tunaomba utelete shuhuda yoyote babu yake aliedhulumiwa kufungwa kuuliwa n. k kama haya ambayo tunayosimuliwa na mashuhuda wenyewe ktk na baada ya huo uhuru na haki na usawa wa mapinduzi?
@ahmedissa7882
3 жыл бұрын
Wewe hujuwi kitu kwa sababu wewe sio mzanzibar
@hassanmfaume4522
2 жыл бұрын
Mwalimu alikuja kufanya nn kama naye alikuja kutesa waislamu kuwadhulumu mali zao na kuwafunga jela kama afanyavyo karume lao lilikuwa moja..!
@nassorali5511
2 жыл бұрын
Twambi mwarabu alimtesa babu yako ama bibi yako baba yako au mama yako twambie cio unajisemea tu
@mkude
2 жыл бұрын
James wewe umessma kwasababu ya chuki yako kwa uarabu na pia chuki yako dhidi ya uislamu.mwarabu hakuna ubaya wowote aliokuwa anaufanya na alitoa serikali wachaguane wenyewe kwa wenyewe Leo hii hayo masomo mpaka wasiokuwa waislamu wanaelezea kama kina tundu lissu na wengine,hakuna ushahidi hats mmoja kama warabu walikuwa wanatesa watu Bali waraabu walikuwa wanakaa kwa uzuri na wema.
Пікірлер: 175