Mungu yupo kzn atalipa ,Giza likizidi hua kunakrbia kuchaa ,pia mnambiwa nchi ya amani
@knight6757
18 күн бұрын
🤲
@josephatmhamiji4886
18 күн бұрын
Mungu atawajibu viongozi mnao tumia madaraka vibaya
@abdallaahabdallaahibrahim6719
18 күн бұрын
Mama we ni mwislam unajua kabisa kua dunia tunapita na kunakuhesabiwa angalia akhera yako mama nakupenda kwa ajili ya Allah
@justusmukurasi4383
16 күн бұрын
Kabisaaaa
@mafunguomafunguo3001
17 күн бұрын
Hawa police ipo siku yao tutalipiza visasi hata kwenye familia zao wasubiri roho zetu zichafukwe kenya itakuwa chamtoto
@MuhojaMalicho
15 күн бұрын
Mbona tanzania bara tu
@tumlakimwaitumule
18 күн бұрын
Mambo haya sijui yataisha lini
@RahimRashid-u9j
18 күн бұрын
Ccm nchi imewashinda jmn
@RahimRashid-u9j
18 күн бұрын
Kwanini tusiandamane kwenda hapo police
@noahpaulo3845
6 күн бұрын
Mama mama mama ukiona nguva kaachama usimnyooshee kidore
@nizigiyimanaibrahim2329
8 күн бұрын
Hakika hakuna chozi lisilo ripwa itakawia lakini litafika natamani kuisikia ccm imekufa na wafuasi wk wt
@ZawadyKaoneka
16 күн бұрын
Kama mmeshindwa kulinda watu nani awacha gue? Lazima tuwa angushe Ili tuwatafute wore mnao tends ubaya huu
@jumanesaidi7635
18 күн бұрын
Mama Tz,tumefika hapa ! Viko wapi tunavyodai ni amani na utulivu ulivyotulelea,na kutukuza navyo ?
@musamhaya5319
3 күн бұрын
Wekeni rais mtanganyika na sio wa kutoka ccm
@lucianakweyunga8187
18 күн бұрын
Kila chozi litalipwa mbele ya mungu,...hivi kweli watu wanapotea na watu wengine hawajali , hii lazima mungu alipe
@ZuhuraAmiri-u1u
15 күн бұрын
Kabisaaa
@JoshuaYohanaLaizer
6 күн бұрын
Moyo Wang umeuma san jaman tunachamasat kwel watasania tuamke tukatae ujigauu
@ErickAlipipi
18 күн бұрын
Kiongozi Bora hutatua changamoto za wananchi upi ni uongozi bora
@PaskaliCharles-pz8ds
14 күн бұрын
Mungu naomba usikii kilio hiki cha watanzania naomba uwaibishe hawa watekeji
@user-bf9xj3nf1o
18 күн бұрын
Samia atapata laana wait and see ana watoto malipo nihapa hapa duniani
@CajerMomade
18 күн бұрын
Mbona kipindi chá magufuli mbona mlikuwa hamsemi
@HappyBooks-dj6oy
18 күн бұрын
Hauna Story
@OmmyJames-xn7ji
18 күн бұрын
@@CajerMomadeukiwakumbusha wanaona aibu hawa walevi 😢😢😢😢
@JacksonFrances
18 күн бұрын
Muñgu Tazama Wenye Nia Mbaya Taifa Letu Maana Maana Tunapoelekea Siyo Kuzuri UTEKAJI UMEKITHILI"
@CajerMomade
18 күн бұрын
Kipindi chá magufuli mbona milikuwa kimya
@hopefully7090
18 күн бұрын
Kwahiyo unasupport?@@CajerMomade
@ChristerKoku
18 күн бұрын
Mungu anasikia,ni muda tu mungu atajibu.
@SDM2024-z4s
16 күн бұрын
😮Acheni ushamba ZTO toka lini ana husika na Oparesheni kazi kama hizo,
@FrankEdson-l2o
9 күн бұрын
Mwanamke Hana huruma
@user-oi8ml4vb3o
15 күн бұрын
Mungu wewe unaweza waraani wanaoteka wenzao pamoja na viongoz wao niujinga wakishetani
@johnkaliwanje434
18 күн бұрын
msemaji wa police anaposimama mbele ya public huwa simwelew kabisa, naona anatufanya ss wananchi kama mazuzu sana, mambo yale muhimu tunayotaka majibu wako kimya sana.
@KiringoMtemi
18 күн бұрын
Mama mungu anakuona wewe na vijana wako unaowatuma wauwe watu haha Machozi hayatakuacha salama èbu vaa viatu vya huyu binti wewe kama mwanamke
@aliyageorge6794
18 күн бұрын
@@KiringoMtemi sielewi kuna binadamu anaruhusiwa kuuwa bila judgement in court.?
@christinenyagiro6662
18 күн бұрын
Jamani hii ndiyo Inchi aliyotawala mpenzi na Baba yetu Nyerere jamani?
Mafisiemu wanalipeleka taifa wanakotaka wao.mungu yupo.
@owagatonny6558
18 күн бұрын
HAKI INAONA HAYA NA IPO SIKU ITAHUKUMU KWA HAKI
@RahimRashid-u9j
18 күн бұрын
Kweli kabisa mungu haziakiwi dunia tunapita
@salummohamed2689
18 күн бұрын
Kuua ni dhambi mkumbuke Hilo, Mnajivisha madaraka ya Mungu.
@Noelkitoi
18 күн бұрын
🇹🇿✌️✌️✌️🇹🇿✌️🇹🇿✌️🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@BaloleBalole-x7e
18 күн бұрын
Very sad
@bakarimmbaga2344
18 күн бұрын
Hili sasa halivumiliki, ni aheri kufa na mtu kabla ya kupelekwa huko wanakotesea watu!
@frankjohn8706
17 күн бұрын
Ufalme haujufitini .mbwa hakamati mbwa wala simba kukamata simba.paka anakamata panya hakamati paka mwenzie.hata tai hakamati tai
@JonathanMatembo
18 күн бұрын
Watanzania tuache kulalamika kila siku kama watoto wadogo tuanze kuchukia hatua za kulipiza visasi wakiuwa mtu mmoja nyie mnauwa watano bola tuuwane tuchinjane ndio tutaheshimiana
@MuhojaMalicho
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂 ccm sasa yakunyanyasa watu
@odoieriasmonga6591
18 күн бұрын
hii dhambi inayofanywa na serikali ya sisisem lazima itawala
@oliviaseth4652
18 күн бұрын
Hivi mama Samia akisikia hivi ana jisikiaje?
@mohanmashine3518
15 күн бұрын
sasa wew unadhana atajickiaje wew unachana na kitu kinaitwa madaraka ndugu
@wilbardmsaki5262
18 күн бұрын
Deus soka alive today and not tomorrow
@clauschaula2050
18 күн бұрын
Hivi jeshi la polisi mnajisikiaje kushindwa kujua ni kundi gani la watu hawa wanaoteka wananchi?Haya waacheni waendelea kama Lina tija Kwa taifa.
@abdalahgunda1319
18 күн бұрын
We need deusi soka alive we don't have to hearing deusi soka been kilild then thrown in katavi Denger game reserve with hinor crush everything we should not agree soka kilild if that is the case what papas to have curt in Tanzania if soka arrested with police then kiling deusi soka without been taken to curt wich justice take position if Samia sluu Hasan with the lteligince who hold deusi soka who was head of dp warld case then ccm leadership hart deusi soka and send take action hold deusi soka by lteligince tanzania people should not agree on that walianza kina team temeke sanga njelu kasaka lytonga mrema mbona toka enzi ya mwalimu watanzania hawajawhi kunyamaza bunduki zikuwepo usalama wa taifa ulikuwepo mbona watanzania mpaka Leo wanaendelea kuongea ktk taifa lao
@JonathanMatembo
18 күн бұрын
CCM ni wauwaji wakubwa sana
@MaarufuHussein
18 күн бұрын
Tuwe waadilifu, tunapotaja maovu ya mtu tukumbuke upande mwingine ana mazuri yake.
@mkurangacnajemasabatochane4626
18 күн бұрын
Narudia anaeteka na anae tuma kuteka mwaka 26 hata fika aridhi itafunua kinywa chake itameza,, Mungu hakosei
@CajerMomade
18 күн бұрын
Umwambie akome
@SDM2024-z4s
16 күн бұрын
CDM mnawatumia vjana wa kitanzania vbaya,sasa mambo kama haya yakiwakuta mnaanza kulaumu serikali..
@mohanmashine3518
15 күн бұрын
acha dhihaka na maisha ya watu
@evelynmwaimu-vd9jo
9 күн бұрын
Jamani ccm haaa!!!
@eliaschipanda2006
7 күн бұрын
Machozi si ya bure
@AleiHadji-js3ed
18 күн бұрын
Si anataka kupindua nchi ????
@sagandamalechampullo659
18 күн бұрын
HIi NCHI hatuna Waziri , Rais wala Wakuu wa Ulinzi bi
@OmmyJames-xn7ji
18 күн бұрын
TUNA MAPAROKO YANATAFUTA ALBINO 😢😢😢😢😢
@BaloleBalole-x7e
18 күн бұрын
Mama yenu amekuwa Mungu wenu?
@muhsinikoki4060
18 күн бұрын
insha alahh
@FatumaSaid-t4r
18 күн бұрын
Machozi tu yananimwaiga.MMungu nisaidie .
@RevocatusSebastian-c8o
18 күн бұрын
Kwani aliwafanyaje adi wakamteka
@benedictgamuya8855
18 күн бұрын
Ifike mahali huu ushamba uishe. Watu wawe na hofu ya Mungu. Naamini haya machozi hayatapita bure. Mungu akasimame na kuonyesha ukuu wake ndani ya taifa hili.
@SweetBertMlinda-bq7mp
18 күн бұрын
Acha kuhadithia bas
@FrankMwakatundu-cu6bd
18 күн бұрын
MTU ANASIMAMA JUKWANI KUHUTUBIA HALAFU ETI ANAMSHUKURU MUNGU, MUNGU YUPI!!!? KWA MATENDO HAYA? KULINDA CHEO TU!!!? NI MUHIMU SANA KUIFIKIRIA MILELE YAKO.
@user-bf9xj3nf1o
18 күн бұрын
Kwanini samia anakaa kimya why rais gani huyo watu wanatekwa ccm wanashangilia kwanj watu wa ccm hawatekwi nikwanini
@CajerMomade
18 күн бұрын
Mbona kipindi chá magufuli utekaji ulikithiri mbona haukuongea kitu boya wewe
@user-qb1jv2dy2d
18 күн бұрын
Aliyo ya sema Mhe. Lissu ni ukweli wala hayana ubishi na nieleweke tu kwamba Mama haya matendo ya police kuteka Watu wa Taifa Hili Hakika litamhalibia na kumchafua sana sana.
@MwasLeonard
15 күн бұрын
Amani
@BaloleBalole-x7e
18 күн бұрын
Oho
@AbelJohn-tx4in
18 күн бұрын
Yaani hii serikali, mungu yupo
@frankbutati8343
18 күн бұрын
Kuna watu wanaishi kana kwamba haukuna Mungu mbinguni, ili iko siku watajibu mbele za Mwenyezi MUNGU
@SundaySteven-bz4yq
18 күн бұрын
Lisu uko sawa maana Hawa viongozi wetu wao ndio wanawateka maana walitamka wenyewe sasa uchokozi huu usipo koma ni hatari maana nawao wanaovunja damu
@user-cv4yx4uf8u
18 күн бұрын
Nchi ngumu sana hiii
@OmmyJames-xn7ji
18 күн бұрын
Hamia BURUNDI 😢
@louisnyoni4139
18 күн бұрын
Mungu yu mwema hakuna linaloshindikana kwake
@wilbardmsaki5262
18 күн бұрын
Auae kwa upanga atakufa kwa upanga hata yeye aliyeagiza haya atakufa kama alivyokufa mtangulizi wake huyu Mungu hajawahi kukosea anatenda mambo yote kwa haki na haki ataitenda dhidi ya utawala huu
@sizorstartv6168
18 күн бұрын
Tanzania ndo imebaki ukimkosoa kiongozi unawekwa ndani au jela ..sasa sijui nchi ni yao au ya wote
@AleiHadji-js3ed
18 күн бұрын
Hatuchekani Lakini C anataka kuipindua CCM na Nchi?????
@SeverinMagwaya
18 күн бұрын
ccm ni kitu gani?
@christinenyagiro6662
18 күн бұрын
Mbona hata walipokuwa wanawapiga hamkuwa hata na aina yo yote ya slaha hata ya kujihami poleni wazazi wa vijana wetu wanaoteswa bila sababu. Sasa wote tutaweza kuingia serikali kutawala jamani
@CajerMomade
18 күн бұрын
Umwambie akome kutukana rais
@aliyageorge6794
18 күн бұрын
Lini alitukana raisi wewe mpuuzi.. Freedom of speech unaishi dunia ya ngapi mpuuzi wewe?
@malundaamani.gmai.
18 күн бұрын
kengewewe
@oliviaseth4652
18 күн бұрын
Koma mwenyewe
@elibarikimollel7149
18 күн бұрын
Mateso yoote haya tunayofanyiwa na utawala kisa ni siasa na tamaa ya madaraka tu,au kuna sadaka ya roho mtaka roho ndani ya serikali?!! Mbona yamekua sugu na uongozi mzima upo kimya bila hofu yoyote ya Mungu ndani yao?!! Au wao wana uhakika wa Mungu kuwaachia pumzi yake waendelee kutoa sadaka uhai wa wananchi tunaodai haki zetu zinazopokwa na wao bila hatia?!!
@FeisalDoctor-wr8ws
18 күн бұрын
Ccm ni wanaharamu
@user-sr8tc8ke6q
18 күн бұрын
Ccm Oyeee😂😂😂
@aliyageorge6794
18 күн бұрын
Most of watanganyika ni wendawazimu hamna akili yaani mnafurahia maumivu ya watanganyika wenzenu kama si laana ni nini? Uma laana utakufa kifo kibaya kuombea kifo wengine. Laana ikufate mpaka kaburini..
@oliviaseth4652
18 күн бұрын
CCM SHENZI
@OmmyJames-xn7ji
18 күн бұрын
@@aliyageorge6794PAROKO NA ALBINOS VIPI MBONA HUBWEKI😢😢😢😢😢
@monicamwita7865
18 күн бұрын
Mjinga
@AbdallahSeniour
18 күн бұрын
Boraa chekaa ipo siku itakufikaa hata kma sio wew. Kuna ndg kuna rafiki..ucpendee kushangaliaa maumivu ya mwenzio
Пікірлер: 103