Mm sheikhe ninaota ninaelekezwa madawa ya kinyeji maana yake nn
@tinadidas848
Жыл бұрын
Habari Mimi nmeota mgaga hakinchacha vindole
@kashijuma3201
Жыл бұрын
Asalmalykum mm ustadh nifafanunulie nimeota mganga ananitibuamechinja kuku akamwaya pale ndani nn mana yake
@marymbangu2262
6 ай бұрын
Leo nimemuota nikiwa nimembeba mganga wa Tanzania mgongoni
@machanohajji7209
Жыл бұрын
Assalaam alykum mm nmeota mganga wa kissunna ananitibu
@meryansaid235
Жыл бұрын
Assalamualaikum mimi nimeota tunaelekezwa Kwa mganga hy dada anatuonyesha nipale tunaonyeshwa mji wake
@MgishaSpalos
8 ай бұрын
😊
@MgishaSpalos
8 ай бұрын
.😊
@sports1429
Жыл бұрын
Je ukiota mganga akikutibu na akwambie chida zako zote na akutajie kama unaitaji utajili na akuambie utafanikiwa,hio ndoto inamanicha nini?
@lilsligmajor8812
Жыл бұрын
Niliota mganga akimbia mbio sijui hiyo inamanisha nini
@saidilupindo
Жыл бұрын
Ukiota unavumbua mkoba wakiganga.
@tabithalucy9700
Жыл бұрын
Mm niliota napelekwa kwa mganga na mtoto wa mjomba angu,,,wa kivulana,,,,na aliye kuwa twamfata alikufa kitambo sana,,,sasa nikaota yuko hai hata twaenda kwake,,,sasa tulipo fika pale,,,,akawa hafanyi haraka mm nikaanza kukasirika yule mtoto wa mjomba akasema hapa umefika daa hautahangaika tena,,,,hii nayo inamaana gani
@AminaJuma-on1rb
3 ай бұрын
Mm kabisa hiindot nimeota
@saidilupindo
Жыл бұрын
Ostath nope jibu
@mbondetz1895
2 жыл бұрын
HABARI munaweka namba zakupiga kisha sim yenyewe amupokei
Пікірлер: 22