mashallah👌👌 nimependa sana darasa lako. Allah akufanyie wepesi kwakla ufanyalo..I love you ma sister❤❤
@elizabethkeffa1256
3 жыл бұрын
Waooo keki nzuri Asante kwa kufundisha mungu abariki kazi ya mikono yako
@tatianabusoke5407
3 жыл бұрын
Wahooooo nimeona kweli unajuwakupika namipiya nimpigaji wa kk na patikana DRC Congo nimeipenda style iyi kabisa wala aiombi garama nyingi kama zingine asante sana kwa mafunzo
@JosephathMwaisalwa-r9y
Жыл бұрын
No ya. Whsap
@scolastikavictor
10 ай бұрын
Jambo hivi vifaa zinapatikana wapi maana keki nzur san
@anelkaofficial4354
3 жыл бұрын
wow! i can't stop watching this amazing and beautiful video! simple and easy but beautiful and delicious! keep it up maa'm!
Asante sana kipenz nimejifunz na nimeelewa na kujaribu pia hatimay nimeweza mungu akubarikiiii
@maruunyange1091
4 жыл бұрын
My dear nashukuru kwaujuzi make wewe simchoyo kabisa. Kwaajili yako saiv nimekua mjuzi wa mambo mengi,,, barikiwa sanaaaa mpendwa Chanel hii idumu milele.
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
@Maruu Nyange😍😍😍😍😍🤗🤗🤗🤗oooh asante sana dear,nafurahi sana kuskia ivo,endelea kuimarika dear. Mungu atubariki sote, ANEN AMEN AMEN sana kwa maombi yako chanbel hii idumu milele. Asante sana saupport yakk dear.
@ifgeniakimaro4171
4 жыл бұрын
HIV iyo rangi na iyo icing sugar zinauzwa wapi
@ifgeniakimaro4171
4 жыл бұрын
Iyo ising sugar na izo rangi zinauzwa kwa vipimo na ni gharama kubwa
@babykasisi307
3 жыл бұрын
@@ifgeniakimaro4171 SOKONI UTAZIPATA
@babykasisi307
3 жыл бұрын
@@ifgeniakimaro4171 Icing sugar ipo kwa box ina 2500 au 3000 na rangi zinauzwa kwenye kikopo kuna za maji na unga.
@MaryKariuki-v2g
23 күн бұрын
Thanks for sharing your work congratulations to you unatufanya nasi tunajifunza na ww
@kekiplus1andonly
23 күн бұрын
Asante,Mungu akubariki
@chandugujira3023
3 жыл бұрын
Thanks for sharing with us nitajaribu mapishi yako kupika keki kama hii siku ya bash yangu 💕💕
@chachajoseph-q9y
23 күн бұрын
habari yako,mimi sijaelewa kitu apo,napenda kuku uliza, hilosufuria uli liinjika jikoni,au ulipomaliza kuandaa keki ndo uli liinjika jikoni, au unaliweka kabla ili lipate moto,je moto unakuwa wakiasi gani,maana hata chumvi ikikaa mda mrefu inaungua,samahani naomba unielekeze,nimeyapenda hayo mapishi,uko vizuri
@kekiplus1andonly
23 күн бұрын
Sufuria iyo ndo inaigiza kama oven yako,kwaiyo lazima iweke motoni kama dakika 20 kabla kuweka keki ili ipate joto,na ipokee mchanganyiko wa keki ikiwa imechemka ili iweze kuivisha keki yako,lasivyo itachelea. Moto wa kiasi tu kulingana na ukubwa wa sufuria yako na mchanfanyiko wako wa keki
@paulmwangi4315
3 жыл бұрын
Asante kwa recipe dear very educative
@kekiplus1andonly
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@teresiamulanda5565
2 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly so educative
@VICTORIAJAPHET-hr6hi
5 ай бұрын
Yan we dada una kitu utafika mbalii,, Yan Mungu akutunzee mnoo na akubariki sana,,,❤🎉
@esthermasika418
2 жыл бұрын
Santé Sana mungu akubariki Sana endeleyeni hivi dada
@vailethmduda4272
2 жыл бұрын
Barikiwa sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua ni wachache Sana wanaweza kushea walichonacho.Nimejifunza kitu Kikubwa kwako
@kekiplus1andonly
2 жыл бұрын
Amen love,Amen 🙏 🙌 asante sana kwa maombi ya kheri,Mwenyezi Mungu akubariki pia.🙏🙏🙏🙏
@joycekato6784
4 жыл бұрын
Unaelekeza vizuri sana,....... Unaonekana si mchoyo
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
Asante sana kwa sapoti yako dear🙏🙏🙏🙏🙏🙏comment yako inazidi kuniimarisha.🙏🙏🙏
@kulthumsalim7070
4 жыл бұрын
Anaelezea hadi raha ma shaa Allah, nimejifunza mungu akubariki Dada
@نجاةالعبري
Күн бұрын
Una patikana wap mpendwa@@kekiplus1andonly
@HappyKitui-mv1qi
3 ай бұрын
Asante dada kwa darasa lako nzuri tunapata mambo mazuri Sana bi.nafsi na enjoy some naamini baada ya hapa nitapika cake nzuri
@shamsaamos3130
4 жыл бұрын
Unatufundisha kwa njia rahisi sn. barikiwa sn
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
@shamsa amos Asante sana,Nafurahi sana kuskia unanufaika na video zangu,tubarikiwe sote dear,
@AgnesPeter-yz1nc
2 ай бұрын
🎉i really appreciate i know how to bake but i eas wondering how i can decorate it without equipment, dhanxx alot u have helped me
@adelinadeogratias1841
3 жыл бұрын
Hongera sana kwakusaidia wengine,maana wengi hawana moyo wakufundisha bure had pesa..❤❤💋
@kekiplus1andonly
3 жыл бұрын
Alhamdullillah dear,
@hamiduhamisi2371
2 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly jamani mie naomba namba yako nikienda kununuwa vitu hivo unitumie Whatsapp usihofu kwa hilo jina nimeandika tu mie ni mwamke mwwnzio
@sadahussein7152
Жыл бұрын
Jamani mimi nimejaribu lakini haikauki nifanyaje
@HusnaMakwasinge
11 ай бұрын
Nimefurah nami kwa kutujuza nasi thanks you kwa upendo wako❤❤
@eunicewawira8785
3 жыл бұрын
Thanks for this simple recipe
@ChancelineCatherine-bj6jd
2 ай бұрын
Mashallah Allah akuwekeye wepesi kbx nakupenda sana my friend
@HhnnChhv
2 ай бұрын
Hi hi comedy salma Oman sasa nippo Om an Cena ji ko Lanka now where is kutub Mi guess à l'info kouadio gues alakh Nike ka quality usne Dekho tumhen aata oven ovulation to make it again Chromecast muqabla make a joke kutub Minar ji ko legacy à l'info ni cabe naye gane si necesita la cocoyoca I can't Accenture
@@kekiplus1andonly Allahumma aaamiiin thumma aaamiiin, nataman hata nikufate ulipo niweze kujifunz vzr yaan unaelekeza vzr bila choyo.Allah azid kukuhifadh tupate mamb mazur zaidi.Nakupenda kwaajil ya Allah 😍😋
@HusnaAlliy
Ай бұрын
Wooow very simple uktiy allah akuzidishie
@mfaumembumo7580
4 жыл бұрын
Fantastic, Big up mamie
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
Thanks for supporting
@miskifirdausamiss5930
3 жыл бұрын
Wawuuu
@aminakikwale-ss1gu
Жыл бұрын
Asante sana mommy nimekulewa nimependa Sana
@neemamlangali8432
4 жыл бұрын
I love the way you do it, thank you dear
@masikaathuman
5 ай бұрын
Mashallah....be blessed napenda io decoration
@lydianjuguna4887
3 жыл бұрын
That cake is amazing
@josephmuthoka131
2 жыл бұрын
Please nna swali baking soda ni gani
@josephmuthoka131
2 жыл бұрын
Unaeza nijibu ata kwenye fb pls my friend
@IsmailMaulid-f6i
Жыл бұрын
Nashukuru madam najifunza meng kupitia kipind chako asante ❤❤
@fahadali167
3 жыл бұрын
That looks yummy, maybe in the in summer I will bake it. 😋😋😋
@NasraAjida
4 ай бұрын
Asante Sana mpendwa nilikubipu napata shida jinsi ya kuandaa ice mungu akubaliki
@beatricekanyi1668
2 жыл бұрын
Wow that's a great idea of cake 🥰🥰
@anuaryally6204
Жыл бұрын
Well done ,kazi nzur mimi ambaye nakoseaga kwenye kuandika inakuaje nikitaka kufuta mfano nikosee niandike hapo badala ya happy hahahah😅😅😅😅😅😅
@Odama-dn7xy
Жыл бұрын
Jitahidi usikosee utaharib cake
@ameenaabdood2974
3 жыл бұрын
Kweli ni raishi na nzr sana
@mmembanadya1978
3 жыл бұрын
Sanaaa yaniii
@SharifaShabani-u5e
2 ай бұрын
Ahsante dada nimejifunza kitu kwako hongera kwakuwa mwalimu wangu❤❤❤
@sangadorcasy7821
3 жыл бұрын
Allah akuzidishie ukthy
@Mercyachieng-uw7sw
6 ай бұрын
Wow!cake inapendeza..... hongera dada👏
@adijarashidi1426
4 жыл бұрын
Maashallah shukran
@jescamamiloo
23 күн бұрын
Waoooooo❤ natamani kujua kama ww nizunr san👏👏🌹🌹
@kekiplus1andonly
23 күн бұрын
Utajua dear,endelea kujaribu mara kwa mara,utaweza
@mariamsengwila5679
4 жыл бұрын
Manshallah
@mariyamhasan9136
4 жыл бұрын
waoo nice
@DeboraSuday-fw5uo
2 ай бұрын
Wow.....Hongera sana dada kwa kazi nzuri. Nimeipenda
@upendomfwomi4580
4 жыл бұрын
Iko Vzur
@isihaqkerdehaqker1403
2 жыл бұрын
Very nice am a father in future I will make it for the family in future..
@matridakapilimka1838
3 жыл бұрын
I real adore that be blessed
@kashimohammad4162
2 жыл бұрын
I like it,so simple dada, shukran kwa kutujuza
@ChitranjalisvlogsRecipes
4 жыл бұрын
Wow looking amazing 👌.
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
Thanks dear
@electronicshubtz6195
4 жыл бұрын
JAMANI watu wanajua kutengeneza
@electronicshubtz6195
4 жыл бұрын
KEKI
@Jaydeen-0
Жыл бұрын
Thanks for your idea be blessed 🙏,
@saumuabdalla9633
4 жыл бұрын
Amaizng 😍
@Gloryulirk
8 ай бұрын
Naomba uniandikie vitu tunavyo tumia
@TwaybaRashid
Ай бұрын
Mungu akuinue Zaid ya hapo my dear,kupitia wewe naamini nitafanya jambo,❤
@sarahshayo8356
4 жыл бұрын
Hello nzuriii
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
Asante sana dear,asante kwa sapoti yako pia
@zainabumbondei8635
3 жыл бұрын
😋😋😋😋 hongera dada mashallah
@dianajonidianajoni9816
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y6-DqYSCsZiBfpw
@dianajonidianajoni9816
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/y6-DqYSCsZiBfpw
@happynessmmari74
3 жыл бұрын
Wakati wote nimekuwa nikiona upishi au uandaaji wa keki ni kazi ngumu mno hasa ukizingatia sina baadhi ya vifaa vya keki, LAKINI kupitia wewe nimeona ni kitu simple sana na rahis katika mazingira yoyote, ubarikiwe sana
@vashtikigelulye7467
3 жыл бұрын
Nzuriiii
@faridabalyobae3063
3 жыл бұрын
Dada ahsante sana mungu akubariki akuzidishie maana wewe si mchiyo wa elinu yako. Watu wengi hawko hivyo minajua kupika kama ulivyoonyesha ila kupamba ndio kazi. Kupitia maelezo yako naona nitafanikiwa.
Nice mwakan nitamuandalia mmewangu pamoja na mwanangu I hope wata enjoy Asante kwakunifundisha
@elizabethmicere9712
2 жыл бұрын
Vanilla n asali
@pendosabanja9842
Жыл бұрын
Waooo nzuri sana nimepika keki sasa najiandaa kupamba Asante
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
MashaAllah..hongera sana
@fathiaamani8918
3 жыл бұрын
wengne uckivu hakuna so ikiwa na subtitles kuelewa rahis
@aishagide4828
Жыл бұрын
Jamani hongera ndugu Kwa kufundisha bila uchoyo ntajaribu barikiwa sana ndugu nimekupenda ❤️
@azizaabeid2055
4 жыл бұрын
MashaAllah
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
😙😙😙
@ahmadmadhi8147
4 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly ~
@maliamsadi8362
4 жыл бұрын
mashallah
@asmaramadhani1078
3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Mambo
@vasityruto7953
Жыл бұрын
Asante saana dear umenisaidia saana ulinifunza kupika Sasa umenifundisha kudecorate
@hibaalfarsi7756
4 жыл бұрын
mashllh
@agustinokhawaga5336
3 жыл бұрын
Kumbe ni simple
@HawiyaJabiri-jf8xx
Жыл бұрын
Mungu akubariki we dad tena san maana umenifany nijue kupika keki za wanang kwa gharam nafuu san ten bila ya vifaa asante san
@jolenta-mx1ph
Жыл бұрын
Nimeipenda 🥰🥰🥰🥰👌👍❤❤❤ Unawashinda na Walio na vifaa Nimeikubali sans👌👌👌👍👍❤💯😍
@theresiastephano1606
2 жыл бұрын
Waoooooo yaan leo ndo nimeelewa jaman nitajaribu na mimi jaman,asante Sana madam
@abiasamson3357
3 жыл бұрын
Waooo nimekukubali wewe n mwalimu mzuri sana barikiwa na Bwana
@feroozrajab4391
28 күн бұрын
Keki nzuri Sana mke wangu kila akijarolibu ana aribu.Video hii hata mimi napika sasa.Tarehe 27/8/2024 ni birthday ya binti yangu nilipanga kununua cake ya sh 20,0000=. Sasa sinunui tutapika za majaribio had tr 27 tutatoa kitu mujarabu😂😂😂Ubarikiwe mwalimu🙏.
Пікірлер: 1,5 М.