Sijawahi kuona mtori na nyanya au mchele mmoja mapishi tofauti
@jayzeem14
Жыл бұрын
Mtori wako ni improvised lakini Mtori originally Hautiwi nyanya wala kotmiri wala pilipili kali overall no spices zaidi ya chumvi na siagi kidogo.
@christina_john77
2 жыл бұрын
Waooooh i love this 😍
@Muhammad4063.
Жыл бұрын
Dada, u rock! 🙌 hats off to you! Achana na negativities za wa2. Achana nao, people do talk a looooooot when it has nothing to do with them🙄. Seeking ur knowledge and yet commenting bs. And hey lady, u speak and sound good in English, I loved it.💃😇
@EastAfricansexclusive
2 жыл бұрын
Chicken soup, kwenye beef? Noway
@Muhammad4063.
Жыл бұрын
I just watched mtori video and subscribed. ❤
@jayzeem14
Жыл бұрын
Sio lazima Bukoba ingawa ni nzuri! Mtori ni chakula ambacho asili yake in Moshi ambako ndizi zake sio Bukoba wanatumia mnyenyele ambayo ni laini!
@lizymassae2708
Жыл бұрын
Hajui mnyenyele😂😂😂
@agathabaraka6077
6 ай бұрын
Asante kwa somo lakini hiyo sio recipe sahihi ya mtori wala haupikwi hivyo kabisa. Toka mahitaji hadi upishi. Ni vizuri vyakula vya asili vikafundishwa kwa usahihi maana ni sifa yetu watanzania/waafrika.
@guruboleonard7314
2 жыл бұрын
Dada mbona umeweka nyanya si italeta uchachu
@ZanzibarianDoll
2 жыл бұрын
Uchachu kivipi? Ndizi na viazi sijawai sikia wala kuona vinachachuka ukiwa nyanya. Kuchachuka si ndio ukali au? Mi nafahamu nyanya ukieka kwenye chakula chochote inabidi ueke kwenye friji sababu vitaaharibika yani usilaze kiporo sababu nyanya haistahmili joto.
@Binti1801
2 жыл бұрын
Mmmh!!😞😞😞
@beatricemrisho8431
2 жыл бұрын
Nitampkia hvyo mume wang itakuwa ndo breakfast yake asubuhi atafurah sana
@carolinemwakagali3909
2 жыл бұрын
Hizo mbogamboga znapatikana wap
@SuperMukama
Жыл бұрын
Tafadhali orodhesha vipimo .
@beatricemrisho8431
2 жыл бұрын
Aisee uko vzuri
@fatmamazige9486
2 жыл бұрын
Utakagi kukosolewa Wew Acha nikukaushie tu
@ZanzibarianDoll
2 жыл бұрын
We itakua una kaogunjwa sio bure……Sasa tukuelewe Ndio bingwa wa kukosoa maana Mungu alikuumba hajakosea Huna Kasoro wewe wala kwako unakuja kutafuta kasoro kwa wasiokujua Wala hawakuhusu?… kazi unayo 😂😂🎁
@ZanzibarianDoll
2 жыл бұрын
We itakua una kaogunjwa sio bure……Sasa tukuelewe Ndio bingwa wa kukosoa maana Mungu alikuumba hajakosea Huna Kasoro wewe wala kwako unakuja kutafuta kasoro kwa wasiokujua Wala hawakuhusu?… kazi unayo 😂😂🎁
@fatmamazige9486
2 жыл бұрын
@@ZanzibarianDoll Aaaah !! Ujanielewa sijamanisha hivyo Nimemanisha Unajua Sana kupika huna unachokosea unapatia kila kitu kwahiyo hatuna chakukukosoa,hivyo Yani Ila sorry Kama umemanisha Uwasama
@ZanzibarianDoll
2 жыл бұрын
@@fatmamazige9486 hemu kanaka hujawaza kukosoa mwanaadamu ambae hana tym na ww kwa kukosoa mwenyewe kwenye lipo then kosoa familia yako maana kwa wengine ukitafta yasiokuhusu utapata yasiokuridhi.we inaboonesha bingwa kukosoa watu na chuki ulionayo kisa sio ww?basi kapike ww iko kizuri
@batrumbeziks5946
Жыл бұрын
Mtori sio chakula cha kiZanzibari. Unatafuta umaarufu feki.
@Ivona-rr3bz
Жыл бұрын
Kwakwer mm siwezi kula hiyo
@rebecakigutu
Жыл бұрын
unaongea kama niffer
@subiramkwawa674
Жыл бұрын
Mmh ts boring the way unaongeaa aaaassh bora tujue English or swahilii
Usiwe na makasiriko ,pole na my dear?kwa kweli siwezi kufanya unachotaka wewe na kama litakukwaza jibu langu m sorry but i live for me not for wewe. Punguza makasiriko dear then kua happy usichukie how i live and be happy ondia that hatred uko nayo surrounding your dark heart eenh mamy . Haya peace out ✌🏾
@rentadelilah
2 жыл бұрын
Kwani kiswaenglish kina shida gani bora you can understand that's all
@fasterwalker1464
2 жыл бұрын
@@ZanzibarianDoll video unaifanya kwawaswahili wapo wataoshindwa kuelewa kwann usichague lugha Moja fasaha km Kiswahili au english kweli inaboa sana
Пікірлер: 29