Sema baba atakaesikia afahamu hz siku ni za hatari sana
@MwambaDidier-wq4qu
11 күн бұрын
Mutumishi wa Mungu unatubariri sana kwa neno la Mungu hasa sana ukihubiri neno la Mungu kuhusu unyakuo wa kanisa Ubarikiwe
@dorotheabadili4526
5 жыл бұрын
Hakika wakati ni sasa wa masihi kurudi,Bwana Yesu naomba mwisho mwema
@MwambaDidier-wq4qu
Ай бұрын
Napenda israel sana Muniombee ili nami nifike inchi la taifa la Mungu
@pascaziaz.butoiakasisterp.3897
6 ай бұрын
Injili ya kweli isiyo na janja janja wa utapeli MUNGU AZIDI KUKU TUMIA KWA VIWANGO VYA JUU ZAIDI PAPAA !
@angelitapaulo
4 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana baba kweli tunatakiwa kuishi maisha yenye tumaini
@jefwakalama4336
5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya
@Martine-bd3sy
4 ай бұрын
Asante Sana baba kwa hii ukweli.ubarikiwe saaaaana na Yesu
@floraflora5717
8 ай бұрын
Past unanibariki sana baba Mungu akubariki Sana
@rebeccayona393
2 жыл бұрын
Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni wa ajabu sana. Mungu aibariki Israel na Yerusalemu, Mungu akubariki mtumishi, aibariki Tanzania. Nimempenda Yesu.
@user-qh9dr8dm2y
9 ай бұрын
Injili ya kweli kabisa siku hizi za mwisho MUNGU atainua mashujaa kama hawa ili ukweli wa neno la MUNGU ujulikane
@user-un2td1no5f
8 ай бұрын
Kweli kabisa
@haruniphilemon9060
5 жыл бұрын
Nafatiliaga sana mafundisho yako mazuri sana ,toka Singida nabarikiwa sana
@JamesIbrahim-el4zw
Жыл бұрын
Mungu akusamee Bure tu, Kwakuwapotosha watu wa mungu, kuhusu kutopitia mateso,mateso ni lazima, ndo unyakuzi ufuate,soma 1wantesalonke 4:13-18 soma hayo mandiko mpendwa, achana na maneno pasipo neno,uongo nilazima uingie kanisani ili mungu apate walioa makuni,na kumbuka ya kwamba siku ya hukumu Kila mtu atasimama mwenyewe bila mchungaji
@olaislukumay2208
7 ай бұрын
Dhiki kuu ni baada ya unyakuo Soma vizuri
@angelitapaulo
4 ай бұрын
We ndio usome vizuri dhiki kuu itakuja baada ya unyakuo kupita hapo ndio mpinga Kristo anajitangaza wazi wazi
@CaptainLufumbe
9 ай бұрын
Amina mjumbe wa nyakati za mwisho
@user-gc9ie8vd7j
5 ай бұрын
Jitaidi sana ndipo utanyakuliwa siku hiyo inatisha
@lucmtembezi4420
4 жыл бұрын
From Maryland, Baltimore 🇨🇩. God bless you.
@azaliamathias414
3 жыл бұрын
God bless you Rabbi🙏
@jacobsteven2613
5 жыл бұрын
Watu hawataki tena kusikiliza injili ya kuludi yesu wanataka mafanikio nd mana ata coment ni chache yesu utusamehe🙏
@haruniphilemon9060
5 жыл бұрын
Hakika ,unenenaa watu wametekwa na mambo ya dunia
@mankamassawe9410
5 жыл бұрын
Amina
@alammkini2325
5 жыл бұрын
Amina baba
@smartlifefashion
2 жыл бұрын
Yesu amecharundi yumo ndani yako
@dawhiteschola8847
2 жыл бұрын
Amina Kwa mahubiri mazrii
@edwardpatrick4100
5 жыл бұрын
Amen Mtumishi!!
@marthahenry7332
4 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana Mtumishi Mungu akuinue zaidi, na Mungu atusaidie katika kipindi twende na Bwana
@akothchristine4752
7 ай бұрын
Glory glory hallelujah
@joycewakandwa9457
3 жыл бұрын
Tume shukuru mungu kwa neno la unabii. Nipo south Africa
@amonsekajingo6996
8 ай бұрын
The christians need this. God bless u Rabbi abshallom.!
@olaislukumay2208
7 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@vailethdaniel1241
2 жыл бұрын
Amen
@tupokengwala2027
3 жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Bwana.
@elisevikova-qo7mi
Жыл бұрын
Nakaza mwendo. YESU arudiapo, anikute na jamii langu tukiwa tayari. Mafundisho mazuri kabisa. Tunashukuru.
@pendosamson7202
3 жыл бұрын
Amina kubwa
@ezekelebisengimana7356
3 жыл бұрын
Bwana yesu aku bariki kabisa.
@daudkipasawinga924
3 жыл бұрын
SoMo hili ni zuri mno Barikiwa Baba ...SoMo hili limenifanya kujifunza kuishi katika kweli na kumngojea Kristo
@kizandume3015
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kwakweli mahubiri yako yana nibariki sana tena sana mungu azidi kuku tumiya
@user-tz9ic7jn4j
4 жыл бұрын
Mungu atunguwe fahamu zetu tuambiwe natusikiye
@graciousmedia8235
3 жыл бұрын
Ameen
@user-yy8ox4ig1v
Жыл бұрын
Nabarikiwa na kufunguka sana kila ninaposikiliza mafundisho haya. napenda kuyarudiarudia sana
@hawaomary1641
2 жыл бұрын
Amina,Amina
@user-yy8ox4ig1v
Жыл бұрын
Barikiwa sana baba, najifunza sana, nayarudiarudia sana yananijenga sana.
@user-gt4hp4cd5o
Жыл бұрын
Nimekupenda bure, kwa Mara ya kwanza nimekusikia, nimesikia kubarikiwa mno.
@stephennsarhaza7411
3 жыл бұрын
Thanksgiving for your teaching, God bless you more Amen, Amen, Amen
@leahndumbya
5 ай бұрын
Aminaaa
@ndimamsuya9709
2 жыл бұрын
Ooooh! Glory to God, I was there at Dodoma Luth Cathedral , Am so blessed!
@fidelischinguku1556
Жыл бұрын
MUNGU akubariki kwa elimu nzuri
@hatangimbabaziSenzoga-kz4nm
10 ай бұрын
Mungu na kusihi unipe kujiweka tayari Amena.
@user-qk3sq6hx5x
Жыл бұрын
Ubalikiwe Rabbi Abshalom umenijenga kabisa
@winnerjudith2007
4 жыл бұрын
Be blessed rabbi
@bettykageza1964
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@eunicenangole5740
3 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho Rabbi. Kweli this is what we need to hear and to know. God bless you.
@onolathandedela9440
2 жыл бұрын
Huyu baba anafundishaaa vzr mnooo
@edwardpatrick4100
3 жыл бұрын
Tunachokiona Izrael, nimekumbuka mahubiri haya siku ile. Nimeamua kurudi kusikiliza tena. Unabii
@onolathandedela9440
2 жыл бұрын
Hasa somo la kurudi kwa YESU KRISTO
@godlivingkimaro2824
4 жыл бұрын
Ubarikiwe
@marthaarnold1283
5 жыл бұрын
Amen Rabbi. Be blessed
@alammkini2325
5 жыл бұрын
Mungu akubark ,unatuinua sana kiimani hvyo hatuna bud kutia bidii Ktk neema ya Kristo
@toshanyiti2154
7 ай бұрын
MIMI SIO MSABATO😅
@mercyadisa9030
5 ай бұрын
Lakini sisi tulimkubali wayahudi wakamuua.but twapenda waisraeli.
@leahelias5275
3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@user-yy8ox4ig1v
Жыл бұрын
Hakika ninajifunza kitu kikubwa, injili iokoayo ina upinzani mkubwa sana, ila ingekuwa ya kufanikiwa kimwili kungekuwa na coment nyingi, nimeamini ibilisi anajitahidi kupambana na injili isiwafikie watu waokolewe kutoka gizani, amewapiga upofu kabisa watu wasimjue Mung aliye hai, maneno haya ni ya uzima kweli.
@barakantalenga3195
2 жыл бұрын
Umebarikiwa
@azizaaziza468
3 жыл бұрын
Amena amena
@danngailo4396
3 жыл бұрын
Hakika hakika
@greenmwasile9769
4 жыл бұрын
Amen be blessed
@madetetv6576
7 ай бұрын
Uko sawa lakini baadhi ya maneno yako yanapingana na biblia hasa unapisema wayahudi wnaamini yesu ni masihi wengi wao hawakuamini mpk leo na bado wanamsubili masihi ndiomana Yesu akasema Nabii hakubaliki kwao akimanisha wayahudi hawatamuamini kirahisi bali mataifa
@neemakameta6479
4 жыл бұрын
Nayaishi mafundisho yako
@vumiliawambula1716
3 жыл бұрын
Amen
@christinandetaulwa4039
2 жыл бұрын
Amen Rabi Longan. Nimrbarikiwa na ujumbe huu. Jumbe za namna hii ni nadra siku hizi. Tunasikia injili za mafanikio tu sasa. From your Old friends Mr and Mrs Urio of Arusha TZ.
@priscaelisha3326
2 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho yako Nimazuri sana.Barikiwa baba
Пікірлер: 77